Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@RACHAELMALALE2 ай бұрын
Mungu atakuponya boldozer makonda 0:00 ❤
@isamoo736TV2 ай бұрын
KICHWA CHA HABARI CHAKO KINATIA HATARUKI BRO
@simonkaaya12202 ай бұрын
Naomba tuombe kila mtu kwa IMANI yake amuombee kwa MWENYEZI MUNGU AMPONYE. Bado Taifa linamuitaji. Mapungufu yapo kwa kila binadamu ata YESU alituhumiwa na Kusalitiwa.
@Allyhujjat2 ай бұрын
Kila jambo lina mwisho wake kama rizki yetu kwa makonda imeisha tutashukuru mungu na kama bado pia tutashukuru mungu akuna atakae ishi milele cha msingi ni kwamba kama kiongozi wetu yuko likizo apumzike vema arudi kwa nguvu kutumikia wana arusha mungu akubariki mdogo wangu makonda
@RACHAELMALALE2 ай бұрын
Pole rc makonda
@RACHAELMALALE2 ай бұрын
Mungu atakuponya boldozer makonda 0:00
@hafsalucky10882 ай бұрын
Unatuletea story!!! Tunamtaka Makonda!!!
@ZainaJuma-t5g2 ай бұрын
Ee mungu amnusuru makonda wetu na mabalaa hayo, amjaalie awe kiongozi mkubwa zaidi ya hapo❤❤
@Pixxmoleli2 ай бұрын
Mungu husika
@kiliantereba65022 ай бұрын
Mungu mnusuru Makonda. Maelezo yako ni pumba tu. Rafiki wa karibu ananafasi ya kukufanyia chochote kuliko hata adui. Makonda akidhurika, wanaotuhumiwa wachunguzwe
@nickb32892 ай бұрын
Mwenyez Mungu amponye 🙏
@SesiliaYustini2 ай бұрын
Eee mungu Kwa nn tukipata chapa kazi Wana yeyuka Kuna nn? Kwani tusadie tuu mungu wambingu na araz 🙏🙏🙏
@bmajesky632 ай бұрын
Makonda will not die watakufa wapuuzi wengine mpaka Mungu atakaporuhusu Makonda kufa
@Mutako-ig1ik2 ай бұрын
Huyo baba wawatu makonda akifa aiseee watanzania mutakuwa watu wa ajabu sana nitawachukia milele japo wanaangu pia ni wa Tanzania iweje kila kiongozi imala na mwenyekujali masirahi ya nchi na mupambaniq haki tzd anadhulikq
@FadhiliMgalla2 ай бұрын
Nduguyangu mimi kila ninavyo angalia hizi kilipu nazidi kuto kuelewa kabisa Yani ngoja tusiongee kwanza
@Mutako-ig1ik2 ай бұрын
@@FadhiliMgalla Mungu amulinde huyo baba wawatu namupenda sana jamanii mie siyo mutanzania ila wanaangu ni wa Tanzania wakipataga kiongozi mzuri najikuta namupenda sana kuliko maelezo nilimupenda Magufuri wakamuondoa nikamupenda Majaliwa wakamukalisha kimya saa hivi hana kauri amekuja Makonda wanataka kumupoteza aiseee sjui wana Mashetani gani ila kabla Kikwete na Mwiguru hawajaondoka duniani hii nchi haitakaa ipate kiongozi bola ata siku moja
@tomsijohni2 ай бұрын
Wachunguzeni hao wote waliousika kumpa sumu Makonda kama ni Watanzania wa kweli na kama sio wafukuze wote
@khadjamhozya2 ай бұрын
Wafukuzwe Nanani usinichekeshe
@DAVIDJOSEPH-u8r2 ай бұрын
Hii inch imewekwa . kwaajiri ya watu wachche. Ndiomaana akiwepo kiongoz mwenyewe haiba na uchungu wawatu wachin..anapotezwa.
@rodsconehenry42492 ай бұрын
Sasa hii story ndo ya kuichunguza why global ndo mnamsafisha?amewatuma au?
@ALBERTMWEMEZIBATAMUZI2 ай бұрын
hao ni marafiki mungu awabariki
@loishiyesamwel13742 ай бұрын
Sema alipo Makonda acha Mboyoyo 😂😂🎉🎉
@Nandymsophe2 ай бұрын
Kaka hatutak maneno meng sis tunamtaka makond. Wet tu akiwa mzim wa afya
@Richforever662 ай бұрын
Yani Rais jamaniii amsaidie makonda coz daaaa
@mazongeshomari80322 ай бұрын
Hatamimi naamini maneno yamsimuliaji
@VailethVee2 ай бұрын
Hatutaki maneno mengi kaka waambie tunamtaka makondaa wetu akiwa na afya
@philomenastephen33642 ай бұрын
YUDA ISKARIOTE HAKUWA MBALI NA YESU. NAYE ANGEPEWA NGUVU ZA KIROHO ANGEJUA ATAKAYE MSALITI.
@novatusmakunga30302 ай бұрын
Superb 👍👍👍
@rosetreffert41792 ай бұрын
Na ole wenu iwe kweli tunamtaka Makondaaaa😢
@dorahmushi-we6ts2 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢
@emmanuelqaday69492 ай бұрын
Wahuni wanataka kumchonganisha gambo na makonda
@mashramadhani19892 ай бұрын
WATU WANAONGEA UJINGA SANA KITU KAMA HIPO HAKIPO
@MatidoniFasitini2 ай бұрын
Hii mitandao na yenyewe inachangia kuvuruga aman ya nchi yetu mamlaka ya mawasiliano ifanye kaz yake tunataka taarifa zinazoeleweka
@ashakomba80342 ай бұрын
Mnachokitafta mtakipata 😢😢
@ramadhanchonya94972 ай бұрын
Tunamtaka makonda
@adolftimanywa27092 ай бұрын
Ameñ
@Carolina-sm5zt2 ай бұрын
Jamani hii ni Inchi ya ajabu kwanini wasituambie tujue yupo wapi kuliko hizi taharuki Mungu Mwenyezi tunaomba utusaidie ili mja wako arudi kutupambania
@AmosSija2 ай бұрын
Haya mambo yanasikitisha kusikia viongozi wanawekewa sumu ukweli si jambo jema
@AyubuMsindo2 ай бұрын
Daaaaaaaa jamani 1:31
@TeddyDickson-w5p2 ай бұрын
Kama mke anaweza muwekea sumu mumewe itakuwa rafiki ?
@EdwardYohana-nj9ky2 ай бұрын
Acheni kuchafua jina la gambo nnacho taka kujua mkonda yuko wapi basi
@linusmmassy97302 ай бұрын
Siasa za Arusha ni ngumu MNO mno
@clemencemkondya85612 ай бұрын
Ninyi mbwa wakubwa mrisho Gambo atahusikaji wakati makonda na mrisho Gambi nimarafiki wa siku nyingi
@khadjamhozya2 ай бұрын
Kikuracho Kiko ndani mwako
@isacksimonmahungilo2 ай бұрын
Rafiki yako ndo adui yako
@luckygmdegela84772 ай бұрын
Tunamtaka mtoa uzushi ,huyo ndio anajua alipo makonda , sisi tunamtka makonda kamata huyo aje aseme ukweli.
@prospermsemwa14332 ай бұрын
akiludi aachane na hio kazi
@bnztechnologies26762 ай бұрын
Mmmhhhh gambo huyuuuu sio
@gilbertmchai24902 ай бұрын
Akujuae ndio akumalizae
@jizzotheking92382 ай бұрын
Ni zaid ya upuuzi kabisa
@RukiaTanzania2 ай бұрын
UNaesema hawezi ndie rahis kuweza
@onesmomwakasege52152 ай бұрын
Mbona mnaleta makelele msituletee izo habari mlizusha kuhusu makamu wa rais kafa ikawa uzushi msituletee uzushi wenu mmeshajibiwa kuwa yupo likizo
@IssaMsangi-ro7qr2 ай бұрын
Jmn
@hanifamziray2772 ай бұрын
Ila wabongo tuache uzushi jamani
@jameskilasi51312 ай бұрын
Hujatoa jibu bdo yupo wapi makonda
@nickb32892 ай бұрын
Waiting
@jonasimwanzi2 ай бұрын
Kinana kajiuzuru CCM kuna kitu kinaendelea jamani vijana 2000 tuamuke maana awa wasitucheze
@gigoyrn43942 ай бұрын
😂😂 Sasa kujiuzulu Kwa kinana sisi tuingie mtaani
@jumanyanda97402 ай бұрын
Nani mwenye ushaidi wa hilo na je ni nani mwenye ushaidi kuhusu makonda alipo na je nani mwenye ushaidi wa kweli makonda kapewa sumu?
@jakobongwara30382 ай бұрын
Heeee
@MaulidNdunda-cl3gz2 ай бұрын
Huo ni uwongo gambo na makonda ni marafiki sana tangu enzi za magufuli na ni marafiki sana hawana shida hao wawili hizo ni mbinu za watu wachache kumtengenezea gambo ubaya but gambo yuko vzur hanashida
@Sweetnaah2 ай бұрын
Je wajua kwamba kikulacho kinguoni mwako?
@salmaalimusa68092 ай бұрын
@@Sweetnaahhajui mtu wakwanza mwenye kukudhuru ni mtu wako wa karibu
@SirajiAbdalah2 ай бұрын
Raha na shida vinalingana
@sylvestercameo62632 ай бұрын
Uzushi kila kukicha! Mnamzulia Makonda kupewa sumu, mbona hamji na ushahidi na uthibutisho? Mnamzulia Gambo kumpa sumu makonda, tupe ushahidi na uthibitisho. Tunachoka na waandishi makasuku na makanjanja wasitofanya juhudi utafiti kutafuta facts wanabaki kuwaaminisha watu uvumi na uzushi! Acheni uhasidi!
@mamboshepea88882 ай бұрын
Wanaozusha wanataka wasidhaniwe ni wao😣😣
@cheiknamouna20582 ай бұрын
Lisemwalo lipo mbona atajwe yeye tu
@elinurukitomali60082 ай бұрын
Hivi jamani wanao toa taharifa za uongo c, wachukuliwe hatua
@margarethsolomon98232 ай бұрын
Yuko WAPI mkuu wa mkoa Paulo Christian Makonda4
@khadjamhozya2 ай бұрын
Makondakana watamuuwa kama magufuri nitahama nchi hii
@kibemassao64782 ай бұрын
Acha mbwembwe
@jacklinakinabo64792 ай бұрын
Trust nobody
@nyabahailani31692 ай бұрын
Makonda mzima bwana mnataka kusema kikulacho au nini😮
@philemornmutta15972 ай бұрын
Leteni majibu sahihi yuko wapi Makonda acha maneno mengi
@emmanuelmasatu2 ай бұрын
Hawa watu wanao waua viongozi vipenzi vya Watanzania ni kinanani.? Na wanatuchukuliaje watanzania.!
@rosetreffert41792 ай бұрын
Ole wako gambo awe ndio yeye maana rafiki anaweza kuwa adui mkubwa
@jacksongidione-yo8vg2 ай бұрын
😢
@dicksonkilupa22582 ай бұрын
MBONA NI KAMA UNARUSHA UTETEZI?
@ClementMmuru2 ай бұрын
Jamani watanzania ninani aliewaloga?kila kiongozi shupavu anatafutiwa mauti je hiiitakua ninchi ya kidicteta au huo ndio uzalendo watanzania? Duh hii Sasa ningumu kumeza jamani
@Carolina-sm5zt2 ай бұрын
Yani inaumiza mno mwisho watu wataogopa kutusaidia Raia
@ReginaSimkonda-vb7pz2 ай бұрын
Q11 is
@edrickniwamanya56652 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢
@BarakaRwegoshora2 ай бұрын
Tuombe subira kwa kila mtu tusitaarukishe taarifa na lawama. Tuamini lile tunalolipokea kutoka kwa serikali ndo kuna taarifa sahihi
@jennifersirikwa74492 ай бұрын
BIASHARA ya kuamini rafiki inatoka wapi. Rafiki Ndio snitch mkubwa
@JudyUrio-zy7ri2 ай бұрын
Tutampa ubunge Arusha anatufaa
@AmenMushi-j2j2 ай бұрын
Mmm
@SelijusMalambo2 ай бұрын
Tunaomba mtuambie amelazwa hospital gani 2 inchi gani alikopelekwa ,leo siku yangapi tangu amelishwa sumu na niaina gani ya sumu ,3 chakula alichokula kikiwa na sumu nichakula gani
@RukiaTanzania2 ай бұрын
Anekudhuru ni wako
@FrankSamson-r6s2 ай бұрын
😁😁😁😁me nachekaga tu na siasa za tz
@WilfredKuyonza-jz2nj2 ай бұрын
Tunachotaka sisi ni kumuona makonda akipiga kazi basi
@JustinMkumbwa2 ай бұрын
Tunakuoma kama mmbeatu watu wanatakakujua Hali ya MAKONDA na alipo acha kutuletea mboyoyo kwani gambo hawezikuongea mpaka wewe
@florencebudoya38142 ай бұрын
Never trust anyone.Tena mtu wako wa Karibu ndo anakudhuru kirahisi kabisa.
@MiriamJoel-z2w2 ай бұрын
Acheni uongo kumchuria mtiu kifo shindwa
@athanaswilliam69402 ай бұрын
Hamna akili nyie,... Mnaleta taharuki kwa kivuli Cha uzushi.... Kama uzushi kwanini muiweke tusikie. Mbaafu
@nickb32892 ай бұрын
Kama n kwel
@naqiahmad262 ай бұрын
kikulacho...
@oswardjaphal-cd6np2 ай бұрын
Kikulacho kiko nguoni mwako. Wajuwakwamba. Baba ana weza kuwua mwanae wakumuzaa. Atashindwaje. Kwarafiki yake. Lisemwalo lipo fanya ucunguzi
@OmaryRamadan-m8v2 ай бұрын
Shida yetu sisi so maelezo shida yetu ni makonda tumuone basi😢😢😢😢
@MastarKuntuabaharia2 ай бұрын
Rafiki yako mkubwa ndio adui wako mkubwa chukua hiyo usiwe bwege
@rayisadesigns26462 ай бұрын
Kumbe nyinyi macha-demu ndiyo mlioandika uzushi huo...
@section8ight1742 ай бұрын
Huwezi kuwa panda zote mbili, haiwezekani! Ni eidha rafiki ama adui
@GeorgeJusto-y4v2 ай бұрын
Unaongea vitu vya uongo wewe umelewa nini
@daudimichael73382 ай бұрын
Sawa, umejitahidi kukanusha kwa niaba ya mtuhumiwa labda kakutuma.
@hawaelymaricca76022 ай бұрын
Yote ni yote tuombe Mungu ampe uponyaji popote alipo arudi akiwa hai bado tunamhitaji sana sana.
@bushbabytz2 ай бұрын
AENDEE TU...KAMA ALIUAWA KINA BEN SAANANE HIYO SUMU ITAMUONDOA...
@JELSONMAUKI2 ай бұрын
Mhmhmhm 😮😮😮😮
@SelijusMalambo2 ай бұрын
Ok ukiitwa ushahidi unao au nimkurupukaji
@WilfredKuyonza-jz2nj2 ай бұрын
Sikuhuzi watu wanaweza kufanya jambo kisha wakakaa kimya na kuziacha media walizozilipa pesa ziwasemee ili wao waendelee kubakia kwenye safe zone. Ni mtazamo wangu kwa uelewa wangu wa mambo tumia akili kulitafakari jambo linaloongelewa au uvumi wa namna yoyote ile.
@onesmomwakasege52152 ай бұрын
Mbona mnaleta makelele msituletee izo habari mlizusha kuhusu makamu wa rais kafa ikawa uzushi msituletee uzushi wenu mmeshajibiwa kuwa yupo likizo