Naamini utakua kiongozi bora kama kawaida yako. tale be strong 💪💪💪💪
@ivyishakaeltonjohn73703 жыл бұрын
Dada unaweza👌 Nimepend vyot kwako🔥🔥🔥
@sharinv88643 жыл бұрын
Babu tale pole sana mungu alikuwa na kusudi kumchukuwa wewe angalia wanao baadae majaliwa mungu atakupa ubavu mwengine.
@julianakazinza60993 жыл бұрын
Fanya kazi Mwanangu maisha lazima yaendelee usisikize maneno ya watu angalia watoto wako
@nzeyimanamwavita19043 жыл бұрын
Nikweli usisikize maneno ya watu angalia watoto wako mungu atakusadiya
@hanifaally46943 жыл бұрын
Kwakweli
@nooromar62333 жыл бұрын
Badala ya kuka usiku bila usingizi amka usali hakuna wakati mzuri kama salah za usiku machozi hayam saidi marehemu wala wewe ila ibada na kumuombeya mngu marehemu na wewe aku saidiya maisha yako akupe nguvu ya kuwa mama na baba na inshallah mngu haku wachi
@mapendosafi34293 жыл бұрын
Namupenda sana babutale ana hekima sana very humble man anyway sorry kwakumupoteza mama watoto be strong and focus ❤
@janewashe72763 жыл бұрын
Congrats babu tale aki unajua kuongea 👌👌👌👌🇰🇪
@mwannerajabu86883 жыл бұрын
Babu tale mm nakuelewa Sana na unahaki ya kuchukua ubunge maana ktk viongozi wote wa pale WCB uko nahekima na busara nyingi tofaut na Yule sallam sk anaendekeza uteam bila kujua kunaleo na kesho
@angelbwija95473 жыл бұрын
Pole sana babu tale kupoteya mke siyo raisi 💔💔💔💔😭😭😭😭 na watoto bado wadogo,mimi tu mama yangu alifariki 2012 mupaka leo aniliye kila siku 😭 najuwa kupoteza mtu huliye mupenda duuh siyo raisi
@husseinjongo75883 жыл бұрын
Babutale has a very good heart❤
@albinatesha41533 жыл бұрын
Tale never fail
@MWAMALUMBILI3 жыл бұрын
Umeeleweka vizuri sana!
@BARAKABLESSING3 жыл бұрын
Kuhusu mke skip hadi 14:52
@winfredkisigo94023 жыл бұрын
Good bwoy..
@pamelauwera38303 жыл бұрын
Thank u
@azamajid95303 жыл бұрын
Mashallah babu tale
@omarykindaile64513 жыл бұрын
Naamin utakuja kuteuliwa kuwa wazir ciku moja😊😊😊 inshallah
@frankmchwemba54163 жыл бұрын
Watangazaj achen na story za marehem shemsa 😡
@slayingtee60443 жыл бұрын
Wengi wanataka kujua
@julianakazinza60993 жыл бұрын
Jipe moyo mungu hajakuacha
@sylviaw44213 жыл бұрын
Why ask him kama alimtoa shammy kafara? Wanaotoa kafara wanajitangaza? Ilo swali ni mungu tu anajua. Continue resting in peace Shammy🕊
@rukkysayid66133 жыл бұрын
Hata sijuwi kwa nn aliuliza hill suwala aagh
@muharamiesther59083 жыл бұрын
Ubarikiwe sana sana kwa moyo mwema wa kuisaidia jamii!!!
@azzamahamdu70393 жыл бұрын
Kwan wabunge wanalipwa ngapi sasa hivi?
@muhsinissa10233 жыл бұрын
Mil.7
@azzamahamdu70393 жыл бұрын
@@muhsinissa1023 mhm it's true? I thought it's 70.mil.zaman ilkua 40.mil
@annamsula71153 жыл бұрын
12M per month nje na posho za vikao,na after muda wa uongozi means 5yrs unapewa 200M.
@happyblance82743 жыл бұрын
Huyu Babu tale ana hekima sana endelea hvyo hvyo usibadilike
@zou74703 жыл бұрын
Kwel kbs huwezi kunfananisha nayule mwarabu koko
@maryamkhatau94453 жыл бұрын
Allah atuongoze Mimi niko ndoani miaka 8 ikitokea mume wangu amesafiri wallah kulala peke yangu usingizi hauji sipati picha Hali yako Allah akuponye Kaka inshaAllah
@hijahsaidy15623 жыл бұрын
Muombe mungu mumeo Allah ampe afya na amzidishie umri kupoteza mke au mume nisawa na yatima afu maumivu hayaishi nna mwaka wa tatu sililali bado nalia
@svt33 жыл бұрын
@@hijahsaidy1562 pole saana
@mrs29183 жыл бұрын
@@hijahsaidy1562 pole sana
@maryamkhatau94453 жыл бұрын
@@hijahsaidy1562 pole Sana Allah atakujaalia utasahau inshaAllah kila Jambo Lina muda wake pole Sana inshaAllah namuombea kila siku Allah atuhifadhi sote Amiin
@salmaalbarwani26183 жыл бұрын
Pole sana just put in ur mind no one will live for ever
@jestinabenedict46203 жыл бұрын
DADA JALIBU HAPO JIMBO LIPO WAZI KWA MHESHIMIWA UNAWEZA KUBAATIKA KUJILEMBA KWAKO ISIWE BULE🙈🙈🙈
@edwardmkwelele3 жыл бұрын
hapohapo umesema miundo mbinu iko vizuri
@lutwfiyyahmkonga80933 жыл бұрын
wew ujamuherew anamaanish hawez kucherew kufika jimbon kwak kwavile miund mbin ipo vizur si chin wala juu akitak kwend mara moja anafika
@munaahmed84993 жыл бұрын
Kila ck unalia kila uwazapo lkn mwehu yuatitokeza asema umemtoa mkeo kafara ili upate kiti cha ubunge astaghafirullah inaum jmn hebu tuachen kuhis visivyohusika na tusivyovijua
@annickniyokwizera14143 жыл бұрын
Nonsense
@anjunurdin23923 жыл бұрын
Babu Tale umejikamata mwenyewe sasa usikatae km hujamtoa mke wako.kulia lazima ulie unakumbuka lah mke wangu nimekutoa kafara?
Nikweli alimtowa mke wee kafara ivi anapata cheo kuzimuni ajili ya kutowa kafara mke wee Diamond anacheo cha King simba kuzimuni mkubwa fela yeye aliharibu roho za watoto mkubwa na wanao salam yeye njo bala,wewe babu tale mbona sauti yako ni ya kike utaweza mbungeni? Pesa ni shetani ujuwe motoni ndiyo sehemu yenu
@mudriqhamidu60313 жыл бұрын
We kuma kweli unazungumza utumbo gani wwe, cyo munaxungumza ujinga ujinga t ,wachen hbr za utim ktk hili 🤔🤔
@zamdachiguru20543 жыл бұрын
Ulikuwepo usishuhudie uongo
@ntabyoetienne25083 жыл бұрын
@@mudriqhamidu6031 mutaona matokeo sasa izo kafara za damu munapana ajili ya cheo na pesa za shetani basi zina kwisha
@ntabyoetienne25083 жыл бұрын
@@zamdachiguru2054 bora ujumbe unafika kuwote zamda kazi kubwa ni kwa mwenyezi mungu siyo kwa shetani goodbye
@feyzalyusuph143 жыл бұрын
Ndo maana sipendi kua karibu na wenye mawazo ya kimaskini wana roho mbaya kama ulivyo wewe pumbavu
@kaburaakbar70693 жыл бұрын
Babu tale nakukubal sana njo maan diamond Platnumz iko juu kwa Sabab ya watu kama nyie
@nahyialetomia92843 жыл бұрын
Nice interview
@zou74703 жыл бұрын
Babu tale mungu akuongoze mana una hekma sana kwakwel kwamaongezi yako 🤝🤝
@catherinrutagatina69953 жыл бұрын
Babu tale nimekuelewa sana,pia kunakitu kimenigusa sana kutoka kwako Naomba nipate namba yako, pole kwayaliyokupata nauzidi kumuombea mwenzio mungu amuepushe na adhabu ya kaburi.
@tinaoquaro3 жыл бұрын
This guy is so wise. I like how Tanzanians are keen with their words. So wise, just like Ruge. Big ups tz #teamtzkenya Much love from Kenya
@aminanamoyo833 жыл бұрын
Pole mpendwa I feel maumivu unayoyapitia kwa kufiwa na mkeo but futa machozi na umuachie yote mungu 😔 halafu hapo ulipoongelea swala la salam na hamo waoo umeongea kwa vizuri sana wengi hatukupenda mi mmoja wapo, unabusara sana babutale sikujua hilo congra magu hakukosea kukuchagua, tunakuomba basi uwapatanishe D na H tumia busara uliyonayo tunapenda kuona wanaelewana na kushirikiana wote wetu hao please ❤🇹🇿🇨🇭
@davisdeogratius94753 жыл бұрын
Mkaka mstarabu
@kirittajaneth11153 жыл бұрын
Jamani Mheshimiwa Babu Tale Pole sana Mungu akupe Amani na faraja muombee tu Mungu ampe pumziko la milele..
@mwannerajabu86883 жыл бұрын
Yaan we mtangazaji unavouliza maswali ya kinge unahisi watakaosikiliza hii interview ni wathungu mxiuuuuu 😏
@namsifumihungo863 жыл бұрын
Mwandishi unajisahau auu?mahojiano ni ya kiswahili Lkn unataman kuongea lugha ya watu, hatuielewi...omba pindi la kingereza,kama umesoma eng media..huku waachie wanaweza kuongea lugha moja ya nyumbani twende sawa
@mwasimbega87123 жыл бұрын
Yani mke atakayeolewa na babu tale atakua anajistukiaa kilaa kitu atakua anahic anakosea kila kitu na yy atamfikiria shamsha...sijui alikua anapka hiv,cjui alikua mbusu hivi,sijui alkua anamuogesha!! Unatupa mtihan wake zako watarajiwa babu tale...
@naiyammoud64093 жыл бұрын
😂😂😂😂😂aowi tna alisema akna atakae mueza anagubu la kiluguru 😂😂😂😂😂😂
@kanyangeesther42653 жыл бұрын
Tale stay strong my brother don't understand people's words ambao wanasema hivyo hawajawahi kufiwa. Don't lose hope we are behind you
@Queen-be1uf3 жыл бұрын
Nice interview lakini umekufuru mzee mwenzangu uliposema unakwenda kwa mganga astopishe mvua. Umekufuru sana na umemshirikisha ALLAH. Staghfiru haraka urudi kwa mola wako
@زينابوو3 жыл бұрын
Hyu bado anamaneno ya kiswahili sana
@nishasalim28803 жыл бұрын
How can you manage Diamond na kazi yako ya ubunge atafanya nini?
@denicenshange38823 жыл бұрын
Mbn kajibu aseee
@ms_caramel26883 жыл бұрын
Hio can you say things clearly sjui mtangazaji nd neno analijua
@johnramazani38483 жыл бұрын
Tale is very intelligent man, pole sana be strong 💪
@mwaminijuma75443 жыл бұрын
K🇸🇻
@patriciacarlo72363 жыл бұрын
Ngumu kuishi bila shamsa💔💔😭stay strong.Tale never fail
@bakarimohammed9083 жыл бұрын
Nipeni like zangu
@mamukassim40753 жыл бұрын
Babu tale. Nakupenda Sana. Njoo. Unioe. Upo na busara. Kama baba yangu
@muharamiesther59083 жыл бұрын
Such A WiseMan!
@felixmitchell68213 жыл бұрын
you all probably dont care but does any of you know of a way to get back into an Instagram account?? I somehow forgot my login password. I would love any assistance you can give me
@greatiq78353 жыл бұрын
We dada hiyo sauti, kwema toba?!
@munaahmed84993 жыл бұрын
Babu tale allah akuongoze kwa kila hatua acha waongee wanavyoongea lkn mumgu anajua zaid muombee mkeo dua tu apumzike kwa aman maan huo ndio mwisho wa mwanadam ma sie tutapita mlango huu
@allymdoka86343 жыл бұрын
Wakwanzaa nipeni like zangu
@wahiduitsverycommentmane54213 жыл бұрын
Wee unakulaga like au
@ghambichannel66323 жыл бұрын
@Babutale respect wewe ni 🔥🔥
@josephngonyani62643 жыл бұрын
Huyu jamaa Ni kchwa
@habibasallah81393 жыл бұрын
Mashaallah babu tale
@gagedamoursarusaru80793 жыл бұрын
Stay strong Tale!una roho nzuri na uko very smart human being ❤️❤️❤️
@naamohamed99643 жыл бұрын
Taletale👏👏👏
@shangwekamando25993 жыл бұрын
Tale Kun watu wanakutafuta ubaya Eti umemtoa kafara mkeo? Iv Wee uliyesema kamtoa kafara una uhakika?
@mudriqhamidu60313 жыл бұрын
Watu wanaoongea hyo bdo hawajaoa ,na wala hawajui nini uchungu wa mke, na hawajui ndoa nini, kuma hso wataongea t pumba, yy anapenda kulea watoto wasiyo kuwa na mama, badilikeni ndgu mucpende kukumbushia machungu ya mtu aliyefiliwa na mke, mke ni zaid ya baba maumivu yke, oen kisha muje mufiliwe na wake zenu alafu muvute picha hili la mwenzenu ,kumamazenu wte munaosema amemtoa kafara mkewe👆😭😭😭
@khalekichambo11313 жыл бұрын
Nimekupenda Taletale
@maigathomas23533 жыл бұрын
!!!!
@greatiq78353 жыл бұрын
Maana ya kumtoa kafara binaadamu ni kumfanya msukule. Si kumuua. Japo anajulikana kafa! Ingawa sisemi umefanya hivyo, Tale. Ninefafanua tu!
@61523253 жыл бұрын
I wish I have contact with this guy lm a old woman who's from UAE
@patriciacarlo72363 жыл бұрын
Kaa kwa kutulia .tafuta muarabu mwenzako
@wambuuwathika56403 жыл бұрын
Unataka akusaidie na nn tafuta mababu uko UAE
@61523253 жыл бұрын
@@patriciacarlo7236 he is a very good guy so I wanted him for my youngest daughter if it was possible
@61523253 жыл бұрын
@@wambuuwathika5640 I don't need musaada from him may be I will help him if he needs money 😔
Babu Tale is very intelligent..Future TZ president..hongera kaka.
@murayamark56283 жыл бұрын
Best interviewer..no lie🙌🏽
@mofathool41583 жыл бұрын
Acha ujinga jkt haiajiri usituongopeee wanaenda kujitolea tu
@namsifumihungo863 жыл бұрын
Kama hujui usicomment jaman,kwenu hakuna aliyeajiliwa kwa sabb,lakn vijana wameajiliwa
@molinmasumbuko86073 жыл бұрын
huyu mbwa wa nn
@iddymstapha30933 жыл бұрын
Uyo kamtoa mke wake kisa ubunge malipo cku yake yamwisho
@christinebelinda34983 жыл бұрын
Omba mungu sana usije ukafia ww punguani wa akili🙄🙄🙄someone is in pain & u hv the odousity to open ur mouth to type shit😏😏heri ungekaa kimya tu
@waziriramadhani21983 жыл бұрын
Una uhakika?
@ujenezasandrine68543 жыл бұрын
Haki people are heartless why?how can you say that?sikuombeye mabaya ila mungu akupeye unacho kistahili alafu ukaonje maumivu....after that you Will think before typing and mostly God forgive you haki naumiya kweli...kumuona uyu mwanaume in pain alafu wewe unamchekeleye...haki duniyq mbaya...
@braysonmatoy82203 жыл бұрын
We msenge kwl
@minabuelysee83 жыл бұрын
Ivi wew iddy unazo hakili ao uko namatatizo ya hakili? Alipo mtoa mkeo ulikuepo? Unaujua uchungu wakufiwa wew? Yani kila mbunge anatoa mkeo kabla yakupat ubunge? Tuwe tunatazam yakuongea jameni mimi sipendi mambo kama hayo
@bongo255tv73 жыл бұрын
Uyu ajielewi 😒😒😒et naitaji madawati ya watu wangu
@sixmundadolf46573 жыл бұрын
Wewe ndo hujielewi
@hamedabashir93 жыл бұрын
@@sixmundadolf4657 kabsa yeye ndo hajierewi
@coletashirima21933 жыл бұрын
Ulitaka madawati ya wap kwan s anatakiwa kupigania jimbo lake