No video

DK 7 za KINANA AJILIPUA MBELE YA RAIS SAMIA , "tunalalamikiwa tuache rushwa"

  Рет қаралды 7,057

MwanaHALISI TV

MwanaHALISI TV

Ай бұрын

🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Пікірлер: 39
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 Ай бұрын
Mnajitekenya wenyw
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Ай бұрын
Kama rushwa hakuna kwanini mmempa adhabu Mpina kwa kusema ukweli kukosolewa swala la sukari acha hayo
@user-tn7ic2ky3i
@user-tn7ic2ky3i Ай бұрын
Kumbe Munajuwa ndani ya ccm kuna ruswa Mpina alisema Bashe , Mwigulu wilitowa vibali vyasukari bila ruusa ya Bunge hiyo sio Ruswa
@wilsonandlea8614
@wilsonandlea8614 15 күн бұрын
Mmeshapoteza iman
@kaburi920
@kaburi920 Ай бұрын
Rushwa na CCM ni sawa na Samaki na maji. Ccm bila rushwa haiwezi kudumu hata saa moja na Kinana anajua hilo bayana na ndiyo wapikaji wa hiyo rushwa. Lissu kuna kiongozi kanunua pikipiki 18000 kwa bilioni 54. Pikipiki hizo zina nembo ambazo si za serikali wa za chama chochote ila kifupi cha jina la mtu. Bwana Knn hii imekaaje kwa nchi maskini lakini tajiri kama Tanganyika. Hoja ni kwamba zina nunuliwa kipindi cha vuguvugu la uchaguzi bwana Knn hiyo imekaaje. Watanganyika watakuelewa kweli kwamba unakemea rushwa kwa dhati comrade. Mambo haya hayako sawa na maono ya Mwalimu kwa chama chake.
@OdiloMagungu-uf5is
@OdiloMagungu-uf5is Ай бұрын
Exactly
@andrewkissava9184
@andrewkissava9184 Ай бұрын
Hakuna kwasasa mwenye imani na chama cha mapinduzi wala mwenye imani na raisi
@user-wj6zj1ly4e
@user-wj6zj1ly4e Ай бұрын
Bashe na mwigulu walipata wapi mamlaka ya kisamehe kodi ya sukari? Pia bashe alipata wapi mamlaka ya kutafta mtu wa kuleta sukari ambae kisheria haruhusiwi?
@OdiloMagungu-uf5is
@OdiloMagungu-uf5is Ай бұрын
Ccm rushwa ndio zenu
@MohamedBlanker-jw9qy
@MohamedBlanker-jw9qy Ай бұрын
Mpina ndio muadilifu
@ezrommkambati1554
@ezrommkambati1554 Ай бұрын
I'm typing and deleting.....
@wilsonandlea8614
@wilsonandlea8614 15 күн бұрын
Leo umeongea pont
@StewartKileva175
@StewartKileva175 15 күн бұрын
CCM IMEKUA LEFTED
@reginas1832
@reginas1832 Ай бұрын
Hahahaha ccm yote haifai. pepo hilo
@TwalibuKimaro-th5mv
@TwalibuKimaro-th5mv Ай бұрын
Mungu ndo anajua kama mnachosema ni kweli atawaumbua siku si nyingi subra inavuta kheri
@andrewkissava9184
@andrewkissava9184 Ай бұрын
Wewe mwenyewe kinana ni mwadilifu? Umeanza lini uadilifu kinana ,jambo moja kikuombe mzee wangu hebu jipumzikie lea wajukuu nyumbani mzee wangu ,pia hii rushwa nani kailea kwnye taifa hili sinyi wnyewe
@amosmangura
@amosmangura 14 күн бұрын
Hii kauli tungefika mbal
@evelynmwaimu-vd9jo
@evelynmwaimu-vd9jo Ай бұрын
Ni pamoja na wizi wa mali za umma
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 14 күн бұрын
Himize na wizi uendelee
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Ай бұрын
Nachekaaaaa mla rushwa anawezaje kukemea kinana
@HashimYahaya-hd3zm
@HashimYahaya-hd3zm Ай бұрын
Uku bukoba rushwa imetawara sana
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 29 күн бұрын
Rushwa ni ugonjwa wa saratani stage no 4 isiyotibika.Rushwa inarudisha maendeleo nyuma.Tujitambue.
@infodigtechforcommunityemp4103
@infodigtechforcommunityemp4103 Ай бұрын
Mimi nasimama na Mama Samia wabunge mpambane
@user-bf7sr1cv1g
@user-bf7sr1cv1g Ай бұрын
Mungu anakuona Mzee mbona wew ndowakwanza
@mamlomamlo9064
@mamlomamlo9064 Ай бұрын
Mtaa wa amana kuna rushwa ,kuna milori mikubwa na mabasi makubwa kelele masaa yote
@MajutoElliasi
@MajutoElliasi 15 күн бұрын
Inatakiwa ccm iutwe upya
@juliusmalunde9636
@juliusmalunde9636 Ай бұрын
Tatizo myasemayo hayatoki moyoni
@stewartdyamvunye-wz6rn
@stewartdyamvunye-wz6rn Ай бұрын
Kabisa. Na mwalimu Nyerere. Aliwahi tamka bayana kwamba tunataka kiongozi ambaye akikemea rushwa na ukimwangalia usoni ubaini kabisa kwamba anakemea toka moyoni. Wengi wanakemea lakini ukiwaangalia si kwamba inatoka moyoni. Na ndo sawa na mwalimu wangu Kinana. Ukimwangalia ni kweli kemea yake haitoki moyoni! Kwanza kwa watoa/wapokea rushwa: anawaomba, anawasihi kujiepusha, wawe na tahadhari na maneno kama hayo. Hivi kwa mla/mtoa rushwa wa leo na hasa mtanzania ukimwendea na kauli hizo za kumbembeleza unadhani atakusikiliza! Ataona unampotezea muda tu na inakuwa, kikwetu: business as usual. Ningemkubali Kinana kama angesema hivi, tena kwa ukali: kuanzia leo atakayebainika na rushwa, chama/serikali tumejipanga kumshughulikia, ebu jaribuni muone cha mtema kuni! Hawezi! Kwani naye mazi ga nyanza! Nyerere hakukosea!
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 Ай бұрын
Nyie ndio wala na watoa rushwa mafisadi no moja.
@StanleySewando-nb4xm
@StanleySewando-nb4xm Ай бұрын
Kumbe
@TwalibuKimaro-th5mv
@TwalibuKimaro-th5mv Ай бұрын
Mlisema umeme utapungua bei mbona mnazidi kuongeza bei?
@saidmabanga388
@saidmabanga388 Ай бұрын
Siasa za kijinga izooo mzeee twiga vipiii ur umesahauu
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Ай бұрын
Rushwa imezidi kila sekta kwa vyama vyote viwe vya Ccm na Upinzani
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Ай бұрын
Mzee kinana nyimbo hizo ndani ya ccm pikipiki zipo mtaani rushwa eduady sokoine muringe alisema tuanze sisi wakubwa kwanza NYinyi.mnskula parefu alafu mnawambia ccm masikini wasiombe rushwa wakati viongozi wa kuu ndio balaa Sasa wewe Abraham kinana usitudanganye sisi watanzania
@user-bf7sr1cv1g
@user-bf7sr1cv1g Ай бұрын
Rushwa ni ccm na ccm ni rushwa
@hamismabula9934
@hamismabula9934 Ай бұрын
Mh!
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv Ай бұрын
HII WATOTO WA MAMA TUNA ITA MBWA KALA MBWA
@knight6757
@knight6757 Ай бұрын
🙄🤔🤑🤑🤔🤔
@salmanmagwe2612
@salmanmagwe2612 Ай бұрын
RUSHWA HAIPO CCM PEKEE,IPO NA KWENYE VYAMA VYA SIASA VYOTE,BALI HATA KWA WANANCHI,WAFANYA BIASHARA,WAKULIMA,WAFANYAKAZI,NGO'S PIA NI WALA RUSHWA WAKUBWA.WATANZANIA WOTE TUJITATHMINI UPYA KWENYE HILI,TUSIJIDANGANYE ETI NI CCM TU.
哈莉奎因以为小丑不爱她了#joker #cosplay #Harriet Quinn
00:22
佐助与鸣人
Рет қаралды 10 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 36 МЛН
Bony Just Wants To Take A Shower #animation
00:10
GREEN MAX
Рет қаралды 5 МЛН
Викторина от МАМЫ 🆘 | WICSUR #shorts
00:58
Бискас
Рет қаралды 6 МЛН
哈莉奎因以为小丑不爱她了#joker #cosplay #Harriet Quinn
00:22
佐助与鸣人
Рет қаралды 10 МЛН