MPINA MTAM JAMANI MPINAAA WE LOVE Y MAN OF GOD.❤❤❤
@hornpesa2 ай бұрын
Unafaa kuwa Rais kiongozi wetu!
@masambullajamessamson25462 ай бұрын
Mpina mungu akutagulie utafka mbali mungu akusimamie tk1
@OwenShoo2 ай бұрын
MUNGU akubariki broo ww ndyo pekee mwenye akili huko
@yahayaramadhani64182 ай бұрын
Ukweli Mpina hakutendewa haki, Spika alikurupuka kwani Bashe sikiongozi mwadirifu ila analindwa lakini nimpigaji tu huyo nasisi huyu mbunge wetu tunamuunga mkono sana, japo wanampania kuja kumkata jina lake kwenye vikao vya Chama wakati wa uchaguzi, nasi tunamuombea Mungu tu kwani Ccm niyakwetu wote.
@Mima-cl2im2 ай бұрын
Sina uhakika kama mahakama itasimama na haki wananchi, ama chama cha CCM Tunangoja kujionea
@TitoRufizi-xb2ub2 ай бұрын
Safi sana Mpina Mzalendo wa kweli sema ma CCM men zako majizi yaani aibu kubwa kwa serikali ya ccm hadi Bunge lilitetea huu ufisadi ccm😢
@winstonmwalukasa8312 ай бұрын
Huyu mpina ndo moja ya mfano wa anavotakiwa kuwa mbunge ndani ya bunge,watz wana imani na Mpina
@abrahamsamweli-wg8ck2 ай бұрын
Nakuelewa sana
@selemsigala47712 ай бұрын
Mpina Mungu akutangilie na kukulinda dhidi ya majizi na mafisadi wazalendo tuko nyumayako naamini Mungu atasimama nawe 🙏
@sultanNassor-c3v2 ай бұрын
hongera mwana halisi
@barakakafurike20112 ай бұрын
Mhuu
@MageAwe-hl5zb2 ай бұрын
Mahakamani ya tz hakuna haki maana siasa imeingia ndani
@bakaribakari1672 ай бұрын
Siasa TU, lkn unatafuta kuingia kwenye mfumo TU huna lolote mpina kwanza hawakujui umewadhulum wavuvi mali zao na mafaini ya ajabu , ungekuwa hujawa kiongoz sawa
@SilahMasima-pi7bn2 ай бұрын
Pamoja sana luhaga tumechoka na wanafiki
@EmanueliWildausoni2 ай бұрын
Yani tungekuwa na wabunge 100 kama mpina hii nchi ingenyooka ila kwa stail ninayoiona sasa hv nchi inavyoongozwa duu kama.kina job ndugai wanashangaa ambao washakuwa ndani ya mifumo ina mana nchi imeoza ni basi tu hatuambiw mara chadema wanawekwa ndan anapigwa huku tunadangangwa kuna R nne za rais jaman sis so wajinga bana tuna akil ila iko siku si mmeona kenya anzeni kutia maji
@AbdMohamedi2 ай бұрын
Bashe Hana huruma na watanzania
@GeofreyKalo-ot3we2 ай бұрын
Mi namwelewa mpina TU!
@gerevasliyunga98312 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@FedyKafyulilo-iz2nw2 ай бұрын
Mpina ni mbunge mzuri sana
@nelsonnyamle2 ай бұрын
Tanzania tunambunge mmoja tu Luhaga mpina
@MageAwe-hl5zb2 ай бұрын
Mpina hama Ccm huko kumeoza hat bungeni si umeona
@josemalley16912 ай бұрын
Wewe na mwabukusi nawaelewa saaaana
@ernestamani45682 ай бұрын
mpina anatafuta umasikini ulipo kana kwamba hawajui ccm michezo yao
@aloycesamba9982 ай бұрын
Mh.mpina huwa nakuelewa sana maana huwa huyumbishi maneno pokea 🥀🥀 yako mapema
@MageAwe-hl5zb2 ай бұрын
Syo bashe tu na mwigulu
@MiriamAbdallah2 ай бұрын
Kweli
@barakakevela2452 ай бұрын
MPINA HONGERA SANA HUYO BASHE NI MWIZI TUU
@edwardmizambwa2372 ай бұрын
Watanzania wengi hawajui kabisa unyeti na ukubwa wa sugar scandal. Afrika Mashariki yote bei ya sukari Tshs 1,500/= Watanzania tunauziwa Tshs 4,000/= kwanini? Itaagizwaje sukari toka nje wakati ipo ya kutosha hapa nchini? Matokeo miwa ya wakulima hainunuliwi wananchi wameingiwa na umasikini. Kodi ya sukali iliyoagizwa haikulipwa/imesamehewa, iweje wananchi wauziwe shs 4,000/= kwa kila? Hii ni hujuma mbaya sana kwa Watanzania hakika.
@DAVIDJOSEPH-u8r2 ай бұрын
Ndugu hizo wanapiga wakuu wanch
@YassinRajabu2 ай бұрын
ukitaka kilimo mpe msomali 😂😂😂😂
@MiriamAbdallah2 ай бұрын
Yassin rajabu wee😂😂😂😂
@FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын
Ooh allah angalia mola wangu kila pente haki itendeke
@AllyFaraji-r4y2 ай бұрын
Umeshinda kesi yupo mwabukusi uyo mtu siyo mtu mzuli ktk kudahi aki
@PauloAlfayo-qi1gn2 ай бұрын
Mzalendo tz mkweli
@MageAwe-hl5zb2 ай бұрын
Kwani kuna kiongozi alie juu ya sheria? Wacha Wenye haki walindwe na Mungu
@rejobu97232 ай бұрын
Mpina kwa ccm inatosha maana ni chama ambacho kimechoka kwa sasa tunahitaji nguvu mpya
@EmmanuelStephano-xz6zhАй бұрын
Bashe usiwe MN afki
@MageAwe-hl5zb2 ай бұрын
Mpima ukweli utkuweka huru kaka
@MageAwe-hl5zb2 ай бұрын
Kaka Gombea uraisi mimi nakupa kura zangu wewe ni mtetezi wa wanyonge tena kama mwigulu chemba mshughulikiwe
@nyembobea72852 ай бұрын
Mawakili hata wangekuwa milion mia moja kinacho angaliwa huwa ni hoja tu mr mkiwa utashindwa tu
@Mima-cl2im2 ай бұрын
Hakuna nchi inaruhusu sukari kuingiza sukari hovyo hovyo. Matapeli Kenya waliingiza sukari hovyo hovyo,, sukari isiyo 😅kuwa na viwango.
@AbdMohamedi2 ай бұрын
Mpina na sisi wakulima wa mbaazi tunazulumiwa na Bashe tunaambiwa tukauze galani tusaidie baba
@NixonJohnson-r4m2 ай бұрын
Apite bila kupingwa
@paschalpaul38622 ай бұрын
Kwa nchi yenye viongozi wala rushwa utasikia tu
@MageAwe-hl5zb2 ай бұрын
Ujue ni biashara ya viongozi kwa nini nitz bei ysukari
@nakalikyumile32342 ай бұрын
Sasa kweli eti kilimo kiendelee wizara anapewa msomali!ujinga mtupu,
@MiriamAbdallah2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@jalaryababilasi15622 ай бұрын
Kaka mpina sulut kaka
@froma37322 ай бұрын
Sasa havai kijani tena
@IsayaSosolo-nx8zk2 ай бұрын
Mdogomdogo atahamia huku kwa wenye akili siyo wakijani,
@MiriamAbdallah2 ай бұрын
@@IsayaSosolo-nx8zk😂😂😂😂😂 umeonae
@dorismkongwe41402 ай бұрын
Hii sare yacheo gani
@umlaith52022 ай бұрын
Huyu Mbaya sana., pia anachoyo sana., Mroho wa madaraka😂😂😂
@SaidAlly-uh4qw2 ай бұрын
Tunashuhudia anguko kubwa la mpina kisiasa insha allah mungu atamuangamiza
@majaliwabwitonde69002 ай бұрын
Utaangamia wewe na watu wenye akili kama zako. Amina
@sifamwakaniemba4432 ай бұрын
Unatumia akili za ny**a au basi maana nakuona akili zako hazina akili hata 1
@MiriamAbdallah2 ай бұрын
Kwa kosa gani
@jumaomari38422 ай бұрын
Mpina unacho fanya ni kufeli kwako kwa maisha unacho kipambania ni swa lakini mlango ulio fungua sio kwa sababu ni nyingi .kwanza ni kanakwamba wewe huna madili ya chama chako chengine wewe waonyesha uko na chuki na uwongozi ulio kuepo najua tunao umia.ni sisi watu wa ali yaachini tena tuna teseka sana lakini mpina wewe ni kiongozi wa siku nyingi kwaiyo hiyo ndio njia ulio amua kupita
@HamzaHeri2 ай бұрын
WEWE MPINA TUACHIE WAZIRI WETU KAMA UNASHUKHULI ZAKUFANYA NJOO HUKU CHUNYA TUCHIMBE MADINI CHOKO MKUBWA
@JafethTully-h2mАй бұрын
Wewe ndo choko kbsaaa huna akili
@clemencemkondya85612 ай бұрын
Mpina akina mwabukusi anakudanganya hakuna kesi yoyote uhuni mtupu tu