Watazamaji wa hii movie weka like kwa Donna tv🎉🎉🎉🎉
@KhadijakassimMwaipayaАй бұрын
❤❤❤❤❤
@KhadijakassimMwaipayaАй бұрын
Nzuri jamani sisi wamama jamani
@MwanaiddMasoud-qk4hbАй бұрын
Nawakubari sana donta TV zanzibar hapa ila huwa sipendagi kukoment tu Mimi jama lakini muv zenu hazinipit maana munasomesha Asante I sana
@NatashaManea7 күн бұрын
Donta
@Miriamsanga-wf9siАй бұрын
Jamn sijawah kupata like kwa Kelvin 🎉🎉
@FatmaMangaleАй бұрын
Jmn Hana hata hurum
@Miriamsanga-wf9siАй бұрын
@@FatmaMangale nan huyo
@SomoeAbdallah-xl3wxАй бұрын
Nishakupa😂
@Miriamsanga-wf9siАй бұрын
Asante@@SomoeAbdallah-xl3wx
@Njunwa-DKАй бұрын
Kelivin ame mchana Tina nime ipenda sana iyo kama ume ikubali hii ya kelivin kuchana Tina makavu gonga like tuone tupo wangapi
@hafsahmassemoh3598Ай бұрын
KAMA UNATAMAN AKA KANYUMBA KAWE NA CC TV TUJUANE HILI UKWELI WA LOVENESS UJULIKANE NA CIO MAONEVU2❤❤❤ ONGEREN SANA TEAM KELVN🎉
@user-cp4iv2ut4xАй бұрын
Mimi kama Gen Z from Kenya Wana Donta twa wapenda sanaa Kelvin Twakupenda pamoja na wenzako 🎉🎉💯
@Emeraldlady16920Ай бұрын
Wanaompenda lovennes kama mm wagonge like❤❤❤❤❤
@MaryMatereadvicer011Ай бұрын
❤❤❤nampenda loveness na Kelvin
@user-hm6hy6rr1hАй бұрын
Nampenda laveness na kelvin miss youuu ❤❤❤❤
@rizmwMwriz-mf2cuАй бұрын
Nampenda mnooo tna akiolewa na Kelvin ni vzury kuliko uyo Tina mwenye roho ya kkorosho nampend sana LOVE NESS
@user-tn5gl6zu2vАй бұрын
Mm pia nampenda sana❤❤❤🎉🎉🎉
@aaminaasljbgbvf745Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@AmranNasibuАй бұрын
ambao wanaitaj mwanamke mwenye akili na upendo wa dhati kama loveness weka like kwa loveness❤❤❤❤❤
@EmmanuelUshindi-n9mАй бұрын
❤❤❤❤❤😂
@MartinKiondoАй бұрын
Anajielewa
@user-qr2ls8nf1mАй бұрын
😂😂😂Apo sasa
@saudinearalhasa2674Ай бұрын
😂😂😂❤❤❤
@AminaRamadhan-mg9ljАй бұрын
Sioo mwanamkee tuu hata mwanaumee kamaa kelvin tnatakaa piaaa sisi😌😌😌😌😌😌😌
@franciscanyangau2807Ай бұрын
Alafu kelvin naomba please tutolee video au audio ya hii wimbo ni nzuri sanaa,, kama unaungana nami nipee like tafadhali
@Mani_MaherАй бұрын
Kweli tu
@user-lu7vs8wd8vАй бұрын
Kweri
@SalehMachela-uo2ycАй бұрын
Kweli
@samychanceАй бұрын
Afadhali nmepata partner 🎉❤❤
@jescakaiza7229Ай бұрын
🎉@@Mani_Maher
@reginaldrogath1621Ай бұрын
Kelvin khan utakuwa bonge la super star hapa tz nipeni like ambao tuko pamoja
@judithpendo9985Ай бұрын
Genz 👊 team strong hoyeeeeeeeeee team donta family unawatch. Ukiwa wapi nawapenda saaana 🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦❣️❣️❣️❣️❣️
@user-kx8fp4xx2gАй бұрын
Usilite Ukenya wako hapo. Hio ujinga sio hapa
@judithpendo9985Ай бұрын
@@user-kx8fp4xx2g acha ukuma ww n yenu wwe Kenya mavi ww
@user-py5sn3sx2hАй бұрын
Oman hiyo acha tupate madini hapa
@maseleenaesleen8149Ай бұрын
@@user-kx8fp4xx2gAcha makasiriko kama ww hautaki wa Kenya c upite na mbali kwani umeitwa kwenye hiyo comment😏😏😏😏 makasiriko na account ya Donta c yako
@TeresiaNjoki-ox2qfАй бұрын
Oman 🇴🇲 🇴🇲 🇴🇲 😅😅😅team majinun
@BonithaRegnardАй бұрын
Kama unampenda loveness gonga like hapa japo hata Kumi tu plz 😂😂😂
@GeorgeSijale-l8uАй бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@MARYNAGUJustinАй бұрын
❤❤❤❤❤❤
@user-nf7kt6wp6sАй бұрын
❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
@RehemaSikanyikaАй бұрын
Hatutaki mmezidi nyie
@EmmanuelUshindi-n9mАй бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-gg5ed4wt2vАй бұрын
Mama kelevin hujuwi kufunza mtoto jaribu usikilize upande wote huyo Tina siyo mwanamuke, muzuri pia Wacha kutafutia kijana Yako muke,na mukumbuke pia loveness Hana makosamunamutendea vibaya munamusemanga,munamutusi,sana lla kelevin endelea kusimama na loveness, Nakupenda sana bro❤❤❤
@user-sv6zy3hc8oАй бұрын
Jamani hii ni movie maelezo yote hayo ya nini 😂😂😂😂😂😂
@user-rh2nj5hw4tАй бұрын
😂😂😂😂😂@@user-sv6zy3hc8o
@ZawadiGloriaАй бұрын
Wew ach kujifany mwalim hii ni movie tu ndoo ilivy pangiliw so wanajarib kutufunz maish sis maan hat hiv Kun wa mam weng wak kam mamaak kelvin
@sphamzasphamza6223Ай бұрын
😂😂😂😂😂hata mm nashanga@@user-sv6zy3hc8o
@user-gg5ed4wt2vАй бұрын
@@ZawadiGloria sawa mama ni muvi ndiyo maana tunajufunza pia na kutoa maoni yetu kwa hoa wenye muvi,,,,
@user-vf8ms7xm9fАй бұрын
Kama unapendezwa na kazi yake Kelvin katika uigizaji gonga like tukimtakia aendelee kufanya vizuri zaidi
@SakayoDaudiАй бұрын
Nawapenda sana
@philipinatemba90312 күн бұрын
❤❤️
@SplendemnChepkirui4 күн бұрын
❤❤❤
@IssaBakari-e4u29 күн бұрын
lovenesi nakupenda kinoma nafwatiliya san kazi zako nakukubali kinoma ❤❤
@user-wz8vt6xl2lАй бұрын
Jamani like zangu jua lavunesi nawapenda saaana 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 kutoka Burundi
@user-tj6pl1lz5bАй бұрын
❤❤❤
@user-wp2dc3dr3wАй бұрын
Jaman mm nmara ya kwanza kutazama hii movie naomba like zenu hat 3 Jaman nashukuru 😢😢
@rebeccaNakuviria-nu2xvАй бұрын
Wanaompenda lovennes wpy like zake na za kelvin
@MwanaiddMasoud-qk4hbАй бұрын
Jitahidini musilewe masifa kama clam yiyi nawakubari sana
@JosphinMidevaАй бұрын
Hongera kelvin uigizaji wako una mafunzo mazuri sana yana elimisha vijana kuchagua mke mzuri❤❤❤ bro God bless you wpi like ya kelvin
@DiyanaSimkoko23 күн бұрын
Loveness pole momy
@user-xb2hx8rf2vАй бұрын
Ak nyi watu ni wazuri, Mwajua ku act ndugu zangu. Much love from Kenya.Kelvin ni mwambie kitu.Waendana na Loveness,simuoane jaman?❤❤
@MugabeMedard-yf9jnАй бұрын
Leo wakwanza kutoka Bujumbura burundi naomba likehata 5
@KijanaMwepexiАй бұрын
Hope Leo likes zangu kumi nitapata juu nimewai from Kenya Gen Z oyeeeeeeh
@harunithabiti9572Ай бұрын
Very good
@user-lu3mf1ir4wАй бұрын
Kwa maongezi ya kelvin na Tina kumwambia ukweli wake 😂😂😂 gongeni like apa ata tano
@Mwenjuma-zz1jtАй бұрын
Hii muvi inanigusa sana hamjui tuu 😢😢 Ninanikumbusha mbali sana kulazimishwa kuoa au kuolewa na wazaz yan dash😥😥😥
@ElizabethyNeema-mq6bwАй бұрын
Kevin unafanya vizuri sana ongera nakukubali sana
@EstherMulindwa-fp3mlАй бұрын
Tumeishiya apa Kelvin kajitambuwa kasha aribu 😂😂😂 atazingatiwa na mama😂😂😂😂
@RashidKhanOmarАй бұрын
Nzuri sana hii Nipeeini like moja tu
@AishaLucy13 күн бұрын
Nikiwa Kenya malindi
@JabanFranklinАй бұрын
Leo wakwanza kutoka Uganda nipen like jaman tunasuburi engine much love ❤️❤️❤️
@emmanuelharerimana1Ай бұрын
Harerimana
@user-ji1su1ie5l29 күн бұрын
Wow napenda babake Kelvin una busara na mawaidha mazuri hongera sana 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
@rashinRamadhaniАй бұрын
Mbon Mr kelv hamna dakika tang juz is like❤
@Brother-moses2vs7bi1vАй бұрын
Sasa jamaa badala ya kupongeza wana DONTA TV nyinyi kazi yenu n kuomba likes sio poa jamaa🙏💞🙏
@user-tj6pl1lz5bАй бұрын
usiwape😅😅😅😅😅😅😅
@user-im8pr5cj3nАй бұрын
Wanakela blaa
@user-yz2wu9lg6dАй бұрын
Wananiboo aki
@lilimoswambu9934Ай бұрын
Walai 😂🤣
@MtituboyАй бұрын
Kelvin anakela unapekekeshwaje hvo kama boya
@HadijaKanzeАй бұрын
Aki nawapa hongera nawependa sana team Kevin nafuatilia kutoka kenya 🇰🇪❤❤❤
@OnikeSanzeАй бұрын
Ndo naanza kuifatilia jaman nimeipenda naomb like hata mbili
@user-ym6rb3xz1zАй бұрын
❤🎉 natamani ata iwe albam Kila siku niwe narudia kuona mov zako kipenzi upo vzr ktk kueleimisha asnt sana pamoja
@shannybabby5655Ай бұрын
Nawapenda wote mnaomfatilia kelvn Donta tv naombeni like na mim jamn ❤
@LaurentRukutsaАй бұрын
ooooooh endelea kuifuatilia💕💕💕💕💕
@HeisibrahАй бұрын
Story ni nzuri sanah ata uigizaji piah ... Lakini tungejitaidi kupunguza maongezi kwenye baadhi ya scene, kuna baadhi ya sehemu wanaongea lakini wanarudiah kitu kile kile mda wote
@mohamedlopa8410Ай бұрын
Tangia hii movie hianze sijawah kupata like please like ata tano 5 tu zakulia ugali .......😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mohamedlopa8410Ай бұрын
❤
@RehemaMsigitiАй бұрын
Nakuoenda mama unajuwa kipaji kikubwa unacho nafwatilia sana movie zako ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂 hongereni kwa kanzi nzuri
@sabinahnyaboigo2125Ай бұрын
I salute you Kevin ukweri ukuweke huru
@KhadijaZainab-yk2wwАй бұрын
Huyu msichana love ness picha zake zote uko tu mpele❤❤
@aishajuwinji3818Ай бұрын
Loveness na kelvin kanz nzur san Masha Allah 🎉 allah awazindishie inshallah 🙏🙏❤️ from Kenya 🇰🇪to🇸🇦 amazing 🤩
@user-hf7pk2lx4vАй бұрын
Kazi nzuri kaka kelvin movies zako nazipenda sana na ziko na mafunzo sana zimenibadilisha sana ❤❤❤umeona uvumilivu ni kitu ya maana
@JullianaEmmanuel-tm5xgАй бұрын
Waoooh Asanten jaman, Mungu awalinde
@RadjaboyKubitaАй бұрын
AMEN 🙏
@methodnkundumukiza6367Ай бұрын
From🇧🇮to 🇱🇷 twawape'nda sana much love for you❤
@user-st3nx7dl9kАй бұрын
Loveness apewe maua yake jamn❤❤❤
@TumainiSteven20 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤
@rebecangilangwa1732Ай бұрын
Tunashukuru wanadonta kutufurahishaaaa mashabiki zenu kwa kutupa dakika nyingi Mungu azidi kuwabariki mnoooo jamnnn tunazidi kuwaombea mzidi kubarikiwa Amen 🙏 🎉
@YustinaEliasАй бұрын
Si hivyo tu wanatuburudisha na kutuelimisha
@user-oj7zw4fw8eАй бұрын
Naiona keshoyako Kelvin zidisha dua najuhudi mng atanyoosha hitaji la moyowako.kichupa kikali mno,tunainjoi kk.nipo Kuwait huku nakupata vizuri mno.
@user-mh4ii4rz6lАй бұрын
Pongezi kubwa kwa Donta tv kazi nzur sana, hakika tunapata elimu kubwa kupitia nyinyi
@hendrypeter6182Ай бұрын
Wanae cheki move uku wanasoma comment like kwa love akeee
@chunaabdullah1333Ай бұрын
Bichwa baya hata hilo wigi alikukai😂😂😂😂kula chuma ichooooo Tinaaaa.
@MbarakaidiIdirisaАй бұрын
Nmekuwa wa kwanza naombeni like zangu
@user-dn3sn2fk9vАй бұрын
Ww ni muigizaji gan unaeomba like😅😅
@JullianaEmmanuel-tm5xgАй бұрын
Wimbo huu nan kaimba jaman nimeupenda sanaa
@HudhaimaYussufАй бұрын
Iyo sauti tu ni kelvin Khan 😊
@EstherMulindwa-fp3mlАй бұрын
Kelvin
@user-gc2rd8ln3vАй бұрын
Yeye mwenyewe Khelvin ndo kaimba
@user-tj6pl1lz5bАй бұрын
🎉🎉
@LucyMlelwa-dn3ryАй бұрын
Unaitwaje
@johncenamakori2000Ай бұрын
Wangapi wanajua. Au wanaona movei ❤❤❤ kelvin ako ndani inaepeza sqna ata viewers wanakuanga niwengi.....🎉 nipeeni sangu likes....
@NORAHNECHESAАй бұрын
Gonga like za lovness 🎉🎉🎉❤
@DoreenOnderi27 күн бұрын
❤lovve
@user-mi9bz5gy2uАй бұрын
Nyinyi muache wivu,wapi likes za Amina, alikua ready kupata mpoa❤❤❤❤❤❤❤
@wedsonanangisye5512Ай бұрын
kwaaaa maraaa yaaaa kwanzaaa leo nimee kuaa waaa 16 leo hahahahaah like nyingii kwanguu kwaaa kuwai
@usterbaeАй бұрын
Wakwanza kazi nzuri sana Mr Kelvin Khan may God bless you na team yako 🙏❤
@Bintabubakar-id2soАй бұрын
Love kuwa jasri mama ndio kutafuta😢😢 nawapenda san ❤❤❤
@MiishHassan-qm1etАй бұрын
Kwanini umempiga love wangu 😢had nimelia sijui kwanini 😢❤lovenessan &kelvin❤
@DOREENNKIROTE-gc7cf25 күн бұрын
Hili lishumileta linajiita Tina, lasinya kweli, naombeni likes za kelvin na loveness jamani
@FransisAloysАй бұрын
Kelvin mzazi kwenye mapenzi hahusiki hata kidogo kwasababu yeye pia hatohusika kuishi nae mke wako. Advice tu hiyo chaguo lako ni loveness pigana ki vyovyote mpaka uishinae.
@JosephineMomanyi-jp8tvАй бұрын
Leo wa kwanza from kenya nawapongeza Kevin kwa hii movies
@lidyamhova8528Ай бұрын
Kazi yenu ni njema sana donta tv Tunawakubali sana tunajifunza pia
@ValmaOtienoАй бұрын
Mungu ugeumba kila MTU Na roho y lovennes walai Dunia igekuwa poa sn au munaonaje❤❤❤
@user-hp3vn4kc4sАй бұрын
Kazi nzuri❤
@veronicasolange930Ай бұрын
Leo nimekuwa wa kwanza like zangu mnipe jmn😂😂😂
@JohnNoa-ff1qvАй бұрын
Hello 👋
@veronicasolange930Ай бұрын
@@JohnNoa-ff1qv hi
@JohnNoa-ff1qvАй бұрын
@@veronicasolange930 hbr za nyumbn
@user-tj6pl1lz5bАй бұрын
🎉🎉🎉
@veronicasolange930Ай бұрын
@@user-tj6pl1lz5b 😍😍
@NicelindaMwitaАй бұрын
Wrong house wanawamalizia mb wachanganya movie kwakua mnakera sana badara ya kusapoti kaz ushauli nyie ni like2
@DianaDiana-ej6fnАй бұрын
Kazi nzuri kelvin khan
@AnnOmbogoАй бұрын
I love and I like the kindness of loveness,,sweet move keep it up
@user-zw7nz4nh6dАй бұрын
Kelvin twakukubali bro🎉🎉 big up kwako❤❤🎉
@MariamNdahya-w6vАй бұрын
Kelvin umenifurahisha sana. Umepasua ukweli jamani. Ukweli unauma pia ni tiba💗💗💗
@RaelAmungaАй бұрын
Kevin move yako nzuri Sana nawapenda Sana watu wangu nikiwa kenya❤❤❤
@hashimuomary4569Ай бұрын
Mm tu nikumuona lovennes nachanganyikiwa nyie mwanamke mzur San huyu Kila movie nataman kelvin ndo awe na mahusiano nae nampenda San🥰
@user-dn3sn2fk9vАй бұрын
Umeona ee kwanza wawe wapenzi TU alafu na nguo za dada wa kaz zimempendeza 😂😂😂For sure she's beautiful 🤩❤️
@ashamrisho1322Ай бұрын
Kelvin upo correct kbsaa unaweza sana kaka, congratulations 🎉
@user-xh3cc7yp6oАй бұрын
Nawapenda sana kbx munajitaidi sana kelvin nakupenda wanawoshindikiana na mie kuwapenda Love ness na Kelvin nipeni like❤❤❤ mubarikiwe
@user-gi4jo5ib6lАй бұрын
Kazi nzr bwana kelvin kawapat nikiwa Burund 🇧🇮🇧🇮🇧🇮mauwa yen🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Cuteeeee477Ай бұрын
Nikajua nimewahi kumbe kuna watu wamelala umu😂😂
@HudhaimaYussufАй бұрын
😂😂😂😂😂 watu wanauraru
@user-dn3sn2fk9vАй бұрын
Watu wamegeuza KZbin magetto yao wanalala humu humu 😂😂😂😂😂😂
@jordanjonas8009Ай бұрын
Umemshauri vizur sana kuwa, 😅😅 kuwa utakuja kulia ooooh badae asije kutusumbua me natunza huu ushari 😂😂😂😂 kazi nzur sana kaka 🙏🙏
@YohanaFulikaАй бұрын
Nimengi sana tunoyo jifunza kupitia ninyi yaani movie zenu kiukweli zina tufunza mengi zaidi Donta TV good luck
@Mary-lh1nkАй бұрын
Aki kevin am happy of u,mwambie humtaki mara 70😅😅
@Jimmie_MJАй бұрын
Wana Donta kwanza Niwapongezi Kwa Kuleta Series ya Dakika Mingi. ...Tunapenda Ivi kelvin Safi Sana....Hii imezidi zote.....❤❤❤
@Tedy-s7oАй бұрын
Wanaompenda kelvin naomba like zenu
@user-xq4id9ju3tАй бұрын
Tunashukuru kwakuongenza muda tena muendeleye Kwaju munatufulayisha sana
@elizanyamboba4753Ай бұрын
Tynaompenda lovenes jamani like zenu tu
@Lucy-vp8pmАй бұрын
Mnafiki sana ww Christina ila chako kiko motoni ngoje utakipata mweu kabisa ww
@matihassanmwachigutu-hq7eiАй бұрын
Kazi nzuri sana brother kelvin Mungu hawabariki nyote
@user-kx2kr8mp3eАй бұрын
Kelvin simama kwenye msimamo wako sis mashabiki wako tunaona kua hisiazako zipo kwa lavnes kwahiyo umefanya vizuri kumwambia ukwel tina achakuchaguliwa mke kama zaman chagua mwenyewe kumbuka maneno ya lavu alikwambia hisia hubebwa na mhusika mwenyewe simama kwenye nafas yako. Nawapenda sana ❤❤
@RahmaAlly-mg3vsАй бұрын
Wanaompenda kelvi kama mm wagonge like
@JumaaaluyHussen-ey2joАй бұрын
Yaan hii move kwa kweli nzuri mpaka inakeraaa🔥🔥
@AishaHussein-qh7nwАй бұрын
Ambaye hawez kuona makosa kwa mpenz wake kisa anampenda agonge like hapa
@DianaDianakarembojefwaАй бұрын
Wenye tumefurqhia dakika njooni uku wow napend hii movie jameni ni tamu ijayo kelvin tuongezee tena😅😅😅😅
@wanjalawanjala487Ай бұрын
nilikua naisubiria sana..much love from kenya
@glorymanga3650Ай бұрын
Movie nzuri snaaaa🥰🥰🥰🥰🥰🥰asanten piaa kwa kuongeza mdaa🥰🥰🥰🥰
@user-hw1el5lh3yАй бұрын
Bro huyo mama in part 03 amebeba uhalisia wa mama wa kiafrika katika kutetea au kusuluhisha jambo bila kupima uzito wa taarifa,,jngawaje alisisitizwa na mume kufanya hivyo..hii ni content nzuri inabeba uhalisia wa mwanaume kuwa kiongozi wa familia na hata ulimwengu,,appreciate kelvin
@basheerunurdeen5113Ай бұрын
Mzee Hashimu kambi Kasimama Kama Mwanaume Siyo Kukubali kubali Tu ✊️💪
@LightnessUrio-fo7mqАй бұрын
Ivi jmn watu mnafanya jazi kwer khaa mbn mko fasta ivyo mm nazan nimewai kumbe niko nyuma kam tako😂 duuuu ongeren like nyingi kwa kelven ata yy sikuiz mmemfunza kuomba like😂😂❤❤❤❤❤
@YohanaTekelezaАй бұрын
Nime chelewa kidogo naomba like zangu
@user-og5bq6qq6cАй бұрын
Donta Tv is best weka like 👍
@NuruNdegwa-yg2bmАй бұрын
Et wadada wa elfu mbili wananjaa sana da!!😢sio wote😅😅anyway hongereni kwa kaz nzuri 🎉🎉🎉 nawapenda 🇰🇪🇸🇦