SIKIA MWANZO MWISHO DOTTO MAGARI ALIVYOSIMULIA KISA CHA KUATAKA KUCHOMWA MOTO KARIAKOO BAADA YA KUIBA SIMU KARIAKOO INASIKITISHA SANA TAZAMA FULL INTERVIEW HAPA #manaratv #hajimanara #diamondplatnumz #wasafimedia #millardayo
Пікірлер: 48
@amisamaurid18824 ай бұрын
Bland ya kaka Dotto magari haiwezi kushuka hata siku moja hivi ni vitu vya kawaida alipo kaka yetu Dotto na sisi tupo iwe furaha au huzuni Tunduma border post moja❤❤❤
@user-tz9ut9qz3l4 ай бұрын
Usipofunzwa na Ulimwengu Utafunzwa na Mamae....@duh! Mamae Dotto😂😂😂
@ElizabethWamcha4 ай бұрын
Yes mm ninaekujua shemela wangu ndqni yq kino blazili nakuombea kwa mungu uishi sana huna baya wkt upo modo tolu 😅
@SeifRajabu-r5qАй бұрын
Doto magali nakukubali sana bloo
@guccij62364 ай бұрын
Ivi kwanini madem wakiomba hela afu usimpe wanachukia?
@charleskaozya99244 ай бұрын
😂😂😂😂sasa akikosa maokoto atafurahia kweli shida wao wanamini wanaume ela tunaokota vjui😊😊
@barakabusima4 ай бұрын
😂 hata Mimi sijuwi
@MTOTOWAvitoto4 ай бұрын
Kufanya interview na dotto hunahaja ya kutafuta content utaipata katika maongezi yake tuu
@charlesally60284 ай бұрын
Kweli kabisa uaminifu ni muhimu sana
@KarobosaKhan-dt9qj2 ай бұрын
Ila kumhoji dotto ni kazi sana
@user-jb7nh5pp2e4 ай бұрын
Angalia doto hiyo bongo....watakuchua police wa bongo noma
@mwanaishaabubakar50134 ай бұрын
Bado maisha yanaendelea. Kwani ukinyamaza itakuwa jee?
@Ugalimbili4 ай бұрын
Njoo Kenya
@user-mx9tx7xx3r4 ай бұрын
Big up
@godwinmwakibibi2744 ай бұрын
Yaan huyu aitwe tyu na joti walai watapiga pesa idea watengeneze kitu na huyu jmaa
@SiahShayo-mx5gt4 ай бұрын
Jump jump no position
@georgesamwelchacha76804 ай бұрын
#Hajimanara weka challenge ya waongeaji
@allahisone63864 ай бұрын
KUTA NOGA SANA KBS
@amisamaurid18824 ай бұрын
Na hapa ipo😂 xafi xana tunakuombea kaka mkubwa
@JohnKenge-bt2tx4 ай бұрын
Tisha sana
@BerylMumbi-xm4sq4 ай бұрын
Watching from china😂😂mwijaku makes my day wallahi
@mwitaagness4554 ай бұрын
Ifulensa.. Influencer duhhh
@twiseghekisilu88454 ай бұрын
Huyu Dotto magari influencer
@mwitaagness4554 ай бұрын
@@twiseghekisilu8845 anavyoitamka sasa ndio mtihani, siatamke tuu kwa kiswahili chetu
@Mussamakame-ig1kp2 ай бұрын
catalism ndio nini doto nenda shule na ulimbukeni wako ....ifolesa ndo nini
@JacklineNamundengozi4 ай бұрын
😂❤🙌🔥
@user-yc4tn2eg1h4 ай бұрын
Mbona unasema haujasoma ,sasa mbona unasema mlipokuwa mnatoka shule mnapanga kuiba,tukuamini kipi sasa
@swahiliforex4 ай бұрын
Pank kama mcheza X😂
@godwinmwakibibi2744 ай бұрын
Msenge huyuu
@modestsanga60434 ай бұрын
😂😂😂 ety panki kama mcheza X
@comed_373Ай бұрын
Do too magali binzali
@twiseghekisilu88454 ай бұрын
Dotto unanitoa stress Mimi jamani 😂😂
@BraytonMassawe-yb6mb4 ай бұрын
Haaaah
@rashidisanju96284 ай бұрын
Ukihitajika utaitwa....😀😀😀😀😂😂😂😂
@twiseghekisilu88454 ай бұрын
Vitu vya kawaida kwenye jamii😂😂
@DelaOutfit4 ай бұрын
Wew dotomsenge kumbe mgaigai
@user-kw4vt8ny2l4 ай бұрын
Mikwara hiii
@vibetz99914 ай бұрын
Sasa mbona hajaacha uo wizi😢
@rizikiabdalla25014 ай бұрын
Kumbe kakuibiwa Jana au
@ashamahadi52814 ай бұрын
Chumvi nyanya binzari mbona upati jeraha
@MTOTOWAvitoto4 ай бұрын
Maana maswali utayoenda nayo utayasahau tokana na maongezi yake jinsi anavokutoa kwene reli
@allahisone63864 ай бұрын
😅😅
@nyemosamamba4 ай бұрын
Mshamba mwenyewe doto wewe😂😂
@nurdinmfamau34934 ай бұрын
Kama Nikweli Walitaka Kukuchoma Moto. Bora Wangekuchoma Moto Tukapumzika Kuliko Hivi Sasa Unavyotuchosha.