Mungu naomba usimpungukie mtoto wangu.Naomba unielekeze kumlea.
@wangarisusan91202 жыл бұрын
Kazi njema...be blessed doctor
@husseinkadawa28468 күн бұрын
Asante sana umenisaidia sana mana nampiga mwanangu kila mara anapokosea na Wala habadiliki ila kuanzia Sasa nabadirika mm,
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Maashallah Allah akulipe heri lnshallah. Kwa mafundisho mazuri
@veronicawoisso53322 жыл бұрын
Barikiwa sana kwa somo zuri sana.
@adijashaban47932 жыл бұрын
Shukran sana my brother
@winfridavicent-gp1my Жыл бұрын
Darasa zuri sana ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@sophiajackson50012 жыл бұрын
Asante dr Mungu akubariki..... Tunaomba mbinu za kumsaidia mtoto asiweza kufanya vizuri katika masomo
@ggio25202 жыл бұрын
Thank you bro chris
@GraceSebastian-f7xАй бұрын
Asante
@heavenmusicbeats8942 жыл бұрын
Amin
@NeemaMichael-dq9seАй бұрын
Hakika. Asante Sana, Amina.
@user-xh4wp2ld2h11 ай бұрын
Barikiwa ndugu
@user-bm3mw7ql6d4 ай бұрын
Nikweli kabisa wapo hawawezi
@jellynesssemu94062 жыл бұрын
Asante sana Dr. Somo zuri sana🙏🙏
@TumainiChengula-dn5vx3 ай бұрын
Asante nimejifunza kitu
@massmediatz47853 ай бұрын
Asante sana
@catherinenasambu53662 жыл бұрын
Point wel noted boss thxz
@NZAMUYEJosephАй бұрын
We are together kaka niambiee namna ya kupata vitabu
@lucyleonard74782 жыл бұрын
Baba yangu alikuwa mpagani lakin alikuwa anasisitiza kila jumapil tuende Sunday school
@abdulimohamedi46302 жыл бұрын
Dokta mi nilikaa miaka sita kwenye ndoa.hatimae nikaamua kuondoka kisa mume wangu ni mchafu.hapend kuoga,haswak,hajipend,yupo rafu.nikimweleza tunazua ugomv mzito.lakin ni mtu anaenipenda na kunijal sana.na anajal familia yangu.nifanyeje maana sina upendo wala sina hisia nae kabisa.lakin anafaa kwa familia
@neemamushi39802 жыл бұрын
Criss mi nilikuwa naitaji ushauri private nakupataje