Asante sna kupitia ww najifunza meng doctor mungu akupe umri mrefu uendelee kuwaokoa wengi🙏🙏
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@FatumaAlly-f4v4 ай бұрын
Asante doctor umenipa moyo sana nilishakata taama adi mwisho
@OdetteKahambu8 ай бұрын
Aksante Dr. Kupita mufundisho yako, nime badilika positivement. Tena sasa nina ujasiri
@Pixxmoleli6 ай бұрын
Mungu naomba unisaidie
@yerikombilinyi89472 ай бұрын
Asante sana My Mentor
@NyakayiMwishagoli Жыл бұрын
Dr ubarikiwe sana hakika umenifanya nizidi kukupenda kwa meng mazuri yak
@agnesspaul1866 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤😂😂 nililia kufiwa navwazazi nikaja nikazushiwa Jambo kubwa na dada yangu wa tumbo moka ashukuriwe Mungu hakuwai kumuacha hata siku moja Mungu akutangulie
@asmaafamau8307 Жыл бұрын
Asante Sana ubarikiwe tunajifunza mengi kupitia kwako.
@bensonjohn54003 жыл бұрын
Thanks for this message
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@rejinajoseph2994 Жыл бұрын
Docta honger mungu akulinde
@thomasferdinand87692 жыл бұрын
Daah asante sana Dr hiyo hali nimepitia Mungu akubariki sana
@KhadijaYusuph-n9z11 ай бұрын
thanks docter Mungu akupe miaka mingi , kupitia ww ninapiga hatua
@zaitunisingano8295 Жыл бұрын
Ahsante sn dr kwa maneno mazuri yenyekutia faraja.🙏
@jessicamasepo8320 Жыл бұрын
Yana Faraja, na Yana tia moyo
@reginakirway3626 Жыл бұрын
Hapa ndo mapumziko yangu wakati wa huzuni au nyakati zote nikiwa na bando God bless you 🙏
@irenekyando44293 жыл бұрын
Asant doctor Mungu azidi kuku bariki najifunza vingi kupitia masomo yako
@ChrisMauki12 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@Hungrydonkey93452 жыл бұрын
Asante sana Mr. Chris!!!!
@nancypeter4300 Жыл бұрын
Ishi Sana Dr mauki
@nellygondwin37352 жыл бұрын
Nakupenda sana unifaliji sana nimejifuza vitu vingi sana kutoka kwako mungu akupe maisha malefu
@niriacatering172 Жыл бұрын
Shukrani sana
@ErnestAfrika Жыл бұрын
Kwa kweli somo hili limenigusa sana
@neemashirima61212 жыл бұрын
Yesu akulinde
@estherkalenge16893 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa ujumbe huu, umenivueha mahali, Asante