Dr. Chris Mauki: Mwanaume Mwenye Tabia hizi 7 kamwe usimuache

  Рет қаралды 1,034,915

Chris Mauki

Chris Mauki

3 жыл бұрын

Wengi sana huniuliza nitajuaje kama kweli ananipenda. Nitajuaje kama huyu mwanaume sio msanii. Najua maswali haya yanawatatiza wengi. Nimekuletea tabia 7 za mwanaume ambaye hautakiwi kumpoteza kabisa kama unaye.#DrChrisMauki#Tabia#Mwanaume

Пікірлер: 1 100
@helenwailly1558
@helenwailly1558 2 жыл бұрын
Umesahau point ya muhimu sana Mcha Mungu, God fearing 🙏
@eunicenjeri3393
@eunicenjeri3393 2 жыл бұрын
Kuna pretenders
@jenniferojango7823
@jenniferojango7823 2 жыл бұрын
Je mwenye haongei hakushugulish na mambo yake anayo Fanya mpaka umulize huyo utamu chukuliaje
@Ashsultana
@Ashsultana 2 жыл бұрын
Kumcha Mungu sio tabia na amesema tabia
@calebmutiso8387
@calebmutiso8387 Жыл бұрын
@@eunicenjeri3393q
@happinessjuvenile2349
@happinessjuvenile2349 Жыл бұрын
Asante sana Dr nimejifunza vitu vingi sana kutokana kwako is good blessings
@zaitunkhamis5943
@zaitunkhamis5943 2 жыл бұрын
Namshukulu mungu kwahakika mme wangu alikua n mtu kajkatia tamaa na alikua mwenye kuzalaulika sana na nlpoanza nae watu had ndugu wa kalbu walsema ctoweza kwa dua na kumtegemea mungu nlimwambia mungu ikiwa nmekuomba mme umenpa huyu kwa ridhaa yako naomba mbadlshe ww Hakika amekua mme mzur sanaaaaaaa had watu wakasema nmemloga ila Kiukwel ndugu zangu haijalsh kwa dn gan ukimtegemea muumba WA vyote anatenda mungu akubalk sana mauki
@user-up1sc3kw8r
@user-up1sc3kw8r 2 ай бұрын
Aksante
@KelvinGeorge-wo8nk
@KelvinGeorge-wo8nk 25 күн бұрын
Dah pole
@SesiliaJosephat-zr1ki
@SesiliaJosephat-zr1ki Жыл бұрын
Neema ya Mungu imuongoze popote alipo may be one day atatokea mwenye sifa hizo🙏
@rianamunishi2701
@rianamunishi2701 11 ай бұрын
Mungu nijalie nimpate mweny hzo sifa amen
@sarahdamian5043
@sarahdamian5043 2 жыл бұрын
Ooh Asante Yesu kwaajili ya mume wangu, anazo zoteeee, mwaka wa nne sasa hajawahi kubadilika toka tuoane🙏🤗
@sweetymamu6568
@sweetymamu6568 2 жыл бұрын
Kwamfano izo tabia zote zipo ila hana uwezo landa wa kipesa iyo inakuaje
@belak999
@belak999 2 жыл бұрын
Hana nguvu za kiume huyo wakah ndio pungufu lake sema hauwezi kusema hapa. HAWEZI KUWA NA SIFA ZOTE HIZO UONGOOO
@theodoratesha7065
@theodoratesha7065 2 жыл бұрын
Tafuteni pesa pamoja.
@winfridapeter9455
@winfridapeter9455 2 жыл бұрын
Mjengee sanamu japo la mbao ndani 😂
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Жыл бұрын
@@belak999 😆😆😆😆😆
@miriamogada5097
@miriamogada5097 3 жыл бұрын
I thank God almighty my husband Ako na zote Saba, thank you Jesus for giving me that kind of a man 🙏🙏🙏
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@pastoreliedhahaule4562
@pastoreliedhahaule4562 2 жыл бұрын
Una fundisha vizuli yani nikwer kabisa
@richaelmichael2655
@richaelmichael2655 2 жыл бұрын
@@ChrisMauki1 Mimi nyingi anazo ila moja umenigusa kweli nilifanya kosa moja akanisamehe lakini sasa unalitumia kunichapa kila siku naumia mnoo
@selechacha8283
@selechacha8283 Жыл бұрын
mm mume wangu nilifiwa na baba angu muzazi alinite lekezea
@selechacha8283
@selechacha8283 Жыл бұрын
kilasiku ugovi nalawa manyingi
@zuwenajuma8944
@zuwenajuma8944 Жыл бұрын
Sifa zote ziko kwa mchumba wangu!😊 Mungu asimamie uhusiano wetu 🙏🏾
@dayana5513story
@dayana5513story 8 ай бұрын
Hongera sana
@sharifamohammed809
@sharifamohammed809 2 жыл бұрын
Ilove u my husband mungu adumishe hizi tabiya zako 7 mungu alizo kukupatiya yani sina lakusema kwako ila kukuombeya duwa kwa mungu atulinde kwenye ndowa yetu amin
@badriyahemed3663
@badriyahemed3663 2 жыл бұрын
I got this men after so much struggle am glad
@Esthermwalimu7732
@Esthermwalimu7732 Жыл бұрын
Asante kwa ushauri huu,umenipa motisha wa kuzidi kumpenda aliyepo
@macrinacaesar1564
@macrinacaesar1564 Жыл бұрын
Thanx dr.and i thank God naona zote 7 mume wangu anazo.ubarikiwe kwa darasa
@eddasamwely820
@eddasamwely820 2 жыл бұрын
Lord this is what am looking for bring him
@jonisiamdulingwamdulingwa3336
@jonisiamdulingwamdulingwa3336 2 жыл бұрын
Nakushukuru Sana Mungu kwa kunipa mume wa aina hii🙏🙏🙏 na simuachi.
@janethmush3158
@janethmush3158 Жыл бұрын
Jaman mungu naomba uniletee huyu kiumbe
@rehemarwanda6039
@rehemarwanda6039 3 жыл бұрын
Dr.Thanks for this.
@happinessm1919
@happinessm1919 3 жыл бұрын
1.Sio mwaminifu hata kidogo +muongo sana 2. Sio mgunduzi 3.Sio mbunifu 4.Sio msikivu lakini ni mwenyew huruma, naweza mtegemea na anasamehe. Sasa sijui km huwa anajilazimisha kuyafanya haya maan simuamin kabisa. Dr ni ngumu sana kukupata nina shida ya huduma zako lakimi imekuwa ngumu sana kukupata, tafadhari nisaidie siko salama.
@esteralan5241
@esteralan5241 2 жыл бұрын
Afadhal wewe hata moko
@nadiakabamba7373
@nadiakabamba7373 2 жыл бұрын
Namu shukuru mungu kupata mume hakweli zote 7 Quality lakini ana tano❤️ thank you Dr Chris mungu akubariki zaidi
@mwanaidimwinyi7081
@mwanaidimwinyi7081 3 жыл бұрын
Masha Allah ninependa somo mungu akubariki Sana
@kayombog1694
@kayombog1694 3 жыл бұрын
1. Mugunduzi/mtambuzi wa hisia zako 2. Msikivu Anasikiliza ushauri& anakusikiliza 3. Mwenye huruma 4. Mwaminifu Anaweza kusimamia maneno yake 5. Unayeweza kumtegemea 6. Anayeweza kusamehe 7. Mbunifu Kufanya namna tofauti ya malezi, Ndoa et cetera Karibu tuendee kujifunza
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@maulidnuhu7733
@maulidnuhu7733 3 жыл бұрын
Asante docta mauke naomba msaada mke wangu hana hisia na mimi baada ya kumkosea ila nilijirejebisha makosa yangu naomba ushauri wako nifanye nini ili ni rudi she mapenzi yetu kama mwanzo
@kharidmushangan3320
@kharidmushangan3320 3 жыл бұрын
Namshukur mungu aslimia 98 anazo mwenza wangu,ni kam baba kwangu anajali san
@leahmagaiwa9099
@leahmagaiwa9099 3 жыл бұрын
@@maulidnuhu7733 Mpe muda, Endelea kumpenda hata kama yeye anakupotezea, mjali na ufanye vitu anavyo vipenda bila kuchoka,,, taratibu atarudisha moyo,,, onesha kwamba unalijua KOSA lako na usimlaumu kwa kuchelewa kukusamehe maana hujui alitumia jitihada gani kukufanya umpende badala yake ukamkosea! So, Muda Ni Tiba. Kuwa mvumilivu na onesha kumpenda kweli
@fortunataangelo5575
@fortunataangelo5575 2 жыл бұрын
@@ChrisMauki1 nimepata mwaume was aina hiyo, , na ana nipenda sana, Ila Alisha kuwa na mwanamke mwingine, ambae huwa ambaealisha zaa naye, na huwa anamzungumzia vibaya na kwa miaka yote wameish mbalimbali hukutana likizo tu, ,, na sasa anataman waachane aanzishe mahusiano mengine, awe na furaha ,ila anaogopa kwao mwanamke asije fanyiwa vibaya , kwa hiyo yuko njia panda nikama anataka Tuoane, akikumbuka yule mke wambali anasita, basi Mimi nilimwambia ningetamani wayamalize kwanza wenyewe then ndo aendelee na Mimi maana najiona kama namkosea mwanamke mwenzaangu, nikimwambia nimpe nafasi afanye maamuzi hataki, basi nimebaki njia panda , kumpenda nampenda ila sikuwahi taka kuchangia mume maishani, pia sikuwahi taka kutembea na mume wa MTU, nikmueleza hayo yote anasema nivumilie , nisikate tamaa mapema, na tuendelee na mahusiano, naomba ushauri
@sekelamwambungu356
@sekelamwambungu356 3 жыл бұрын
Asante Mungu kwaajili ya zawadi uliyonipatia,Asante sana mtumishi kwa maneno yenye kutia moyo.
@princesslusio4792
@princesslusio4792 Жыл бұрын
My man has all the characters I love him😢😢
@dorothyxavery6178
@dorothyxavery6178 2 жыл бұрын
You're so talented 👊👏.
@janethlaban9407
@janethlaban9407 3 жыл бұрын
Ahsantee, nimejifunza anazo sifa 6 ulizozitaja simuachi ng'ooooo tena SIMUACHIIIIIIIII
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@lilianotieno5816
@lilianotieno5816 22 күн бұрын
Asante xna mwenyezi mungu kwakuni panguza machozi,ni kwarehema yako eewe yesu🙏🙏🙏
@magrethsimtenda926
@magrethsimtenda926 3 жыл бұрын
Asante Dr chris MUNGU akutunze Mtumishi najifunza zaidi nije kuwa mke mwema
@yvonewere4012
@yvonewere4012 2 жыл бұрын
I learn more about this video, thank you very much 😘😘
@happinessm1919
@happinessm1919 3 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa kazi zako
@judithngomo4009
@judithngomo4009 Жыл бұрын
Sifa sita zipo kwa Mume wangu , namshukuru Mungu kwa ajili yake.
@lilianemmanuel7144
@lilianemmanuel7144 Жыл бұрын
Asante sana kwa somo lako zuuuri doc umefanya niwe happy nimemwelewa mpenz'wng
@annireri8814
@annireri8814 2 жыл бұрын
I never got it clear the kind of boifred I have. I left him 2yrs ago thinking he's not the kind of husband I need. 2 yrs away has proved it all. I thank God for meeting my man... Soon getting married. Pray for us🙏🏾🙏🏾❤️
@neemakerefu4876
@neemakerefu4876 2 жыл бұрын
Lllloooooooook oo thinking that haha hhggggggy III III uvuuuuuuub
@petermatabwa4034
@petermatabwa4034 2 жыл бұрын
Alright
@amaningalla9420
@amaningalla9420 11 ай бұрын
​@@petermatabwa4034😢
@dr.elimikatv1919
@dr.elimikatv1919 6 ай бұрын
Are married now?
@josephmartinswai151
@josephmartinswai151 2 жыл бұрын
Asante sana Doctor Chris Leo nimepata lesson nanimetokea kumpenda sana mume wangu kiukweli huwa ananifanyia haya yote nkajua nikunifunika nisijue mambo yake kumbe huwa serious Thank you God for the kind of a man you gave me Leo nimefarijika sana I deserve to love him so much nakupenda sana Joseph wangu you deserve to be loved by me
@retisiamasota8425
@retisiamasota8425 Жыл бұрын
Hongera sana
@josephpancrassghally8333
@josephpancrassghally8333 Жыл бұрын
Hongera dada
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 9 ай бұрын
❤❤❤❤❤mme wangu anazo zote hongera mme
@phoebeadikinyi3441
@phoebeadikinyi3441 Жыл бұрын
Am thanking God for he has done something in my life, giving me the man with the same character, may God keep him for me
@happyadam512
@happyadam512 2 жыл бұрын
Thnx God for this gift,,, aliyenipa Mungu ndie nliyestahili kuwa nae tabia zote hapo anazo,,, SIMUACHI hakiii
@annashem3263
@annashem3263 3 жыл бұрын
Asant sana kaka namshukuru mung nipo kwwnye mhusiano nimwaka namiezi sits rakini mwanaume Wang haja wahi kubadirika nahizo tabia urizo zisema zote anazo mung akubariki kwa mafundishi yako
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@stelladaud9788
@stelladaud9788 3 жыл бұрын
mshukuru sana mungu maana wengine tunawanaume lkn hata pesa ya matumizi ujitegemee mwenye unaweza kukwama lkn hana msaada wowote hata asikie mama yako anaumwa awezi uliza wala kujali zaidi anajali ndugu zake tu muda mwingine unapatwa na matatizo unaona bora unyamaze tu bila kumwambia
@beatricemariki7529
@beatricemariki7529 2 жыл бұрын
@@ChrisMauki1 Nimesikiza Dk.lkn naomba msaada wa kibinafsi kama itawezekana..jamani ili roho yangu ipone
@hashilalkharusi5926
@hashilalkharusi5926 2 жыл бұрын
Asante dr duuuu ninae wallah hizi sifa zooote anazo i swear to Allah Alhamdulillah to have him in my life 😘😘😘😘😘
@priscerjohn5788
@priscerjohn5788 2 жыл бұрын
Mwenye sifa izi amasharudi kwa baba, Ebu tuangalie huyu🙄🙄
@franciscapaulo1677
@franciscapaulo1677 2 жыл бұрын
My Dady... Ciscatz! ❤️❤️❤️ Thank you so much...!
@saumuathman901
@saumuathman901 2 жыл бұрын
Nimejifunza, Asante sana Dkt kwa somo hili zuri.. Ama kwa kweli asilimia 💯 ni ukweli mtupu.
@lucyezekiel3755
@lucyezekiel3755 3 жыл бұрын
Barikiwa sana Dk Chris kwa mafunzo yako mazuri sana unawafungua wengi
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@lianim3370
@lianim3370 Жыл бұрын
The Guy am dating has all of this but we are in long distance relationship ,One thing I love about him He corrects me whenever am wrong ,He's a guy who listens more than talk.
@davidlaidoson4038
@davidlaidoson4038 Жыл бұрын
He is can not have all these characters at the same time no no
@rehemaibrahim8758
@rehemaibrahim8758 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana dr. Kwakwel simuachi mume wangu na mungu azidi kumbariki sana🙏
@user-eh3rf9jl8y
@user-eh3rf9jl8y Жыл бұрын
Asante sana naona pia wangu anazo kama zote mungu ajalie maisha mema❤❤❤❤
@agnessmathias8546
@agnessmathias8546 3 жыл бұрын
Umeiimarisha sana Ndoa yangu Dr., kunawakati nilipitia mambo magumu sana kupitia post zako Hakika nikaelevuka,nikajifunza mambo Mengi ambayo siwez kuorodhesha yote MUNGU Akutunze uwe mwenye Afya njema,.
@mecktridasebastianijamanip9139
@mecktridasebastianijamanip9139 3 жыл бұрын
Mungu amenipa mume sahihi
@winnieombaire1918
@winnieombaire1918 3 жыл бұрын
Thanks again and again,, am also grateful as well juu hvo ndivyo my husband yuko🙏🙏🙏🙏
@bskumekuchahamza9865
@bskumekuchahamza9865 2 жыл бұрын
BabaB wangu Mungu akuweke rehemani sifa zote ulikua nazo Mungu amekupenda zaidi
@rehemaibrahim8758
@rehemaibrahim8758 2 жыл бұрын
Pole dada yangu mungu atamrehemu🙏
@dorothyxavery6178
@dorothyxavery6178 2 жыл бұрын
We are real enjoying your class of cancelling, 3rd year 2022, UDSM..🙏🙏
@leahhyera4836
@leahhyera4836 2 жыл бұрын
Kwakwel Ni ngumu Sana kupata mtu mwenye qualities za kipekee namna hiyo..Mungu aingilie Kati tu😥
@MS.independent8934
@MS.independent8934 2 жыл бұрын
Thank you Dr. My boyfriend anazo zote tabia7 MUNGU ni mwemaa sn🙏🏽❤️
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@franciscanamaemba4798
@franciscanamaemba4798 Жыл бұрын
Nice teachings l have learnt something important
@asiamustapha4888
@asiamustapha4888 2 жыл бұрын
Namshukuru mungu Dr Yan nmepata mwanaume anakaribia tabia zote nampenda Sana
@naumiwilliam6270
@naumiwilliam6270 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Chris coz umetufungua wengi akil🙏🙏👍👍
@khadijatynoorshahajat479
@khadijatynoorshahajat479 2 жыл бұрын
Great i like it sir thnks so much
@omansaham6362
@omansaham6362 2 жыл бұрын
Mimi mupenzi wangu ananiumizaga sana
@rahelmhezi
@rahelmhezi Ай бұрын
Nashukuru sana Dr mimi nashukuru Mungu kwakweli sifa zote mume wangu ananzo ❤🙏🙏🙏
@happymasesa1192
@happymasesa1192 3 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri bro ashukuriwe Mungu simuachi huyu kijana nilienae kwakwel anazo zote ulizosema..nabarikiwa sana kwa mafunzo yako
@theresiamartin3008
@theresiamartin3008 3 жыл бұрын
Nashukuru Sana Dr Kati ya saba anazo tano na yupo makini sana
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@estermiseyeki3722
@estermiseyeki3722 3 жыл бұрын
Thanks Dr. For your lesson its so good
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@annamushi1057
@annamushi1057 Жыл бұрын
Woooiii
@faithmsungu3272
@faithmsungu3272 2 жыл бұрын
Asante Dr Mauki,Kupitia somo hili nazidisha Upendo kwa mchumba wangu jaman,Anasifa zoooote hizo.
@d.abigail.j4127
@d.abigail.j4127 Жыл бұрын
I thank God for this 🙏 my man 👞 keep going 🙏 I pray for you 🙏 Oh God maintain my man ,asije akabadilika Yaani hizo tabia zote anayo❤❤❤
@miriammuthoka
@miriammuthoka 3 жыл бұрын
So educative
@mercyadangahi1991
@mercyadangahi1991 2 жыл бұрын
Truly speaking . This is the kind of a man am looking for in my life
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@magrethjoachim4371
@magrethjoachim4371 2 жыл бұрын
Natamani unirushie
@favouragripa3977
@favouragripa3977 2 жыл бұрын
Naomba namba YAKO Dr mauki 🙏
@favouragripa3977
@favouragripa3977 2 жыл бұрын
@@ChrisMauki1 naomba namba YAKO naomba
@favouragripa3977
@favouragripa3977 2 жыл бұрын
@@ChrisMauki1 naomba nipate namba YAKO 🙏
@yuliahenry3383
@yuliahenry3383 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu
@barackmusic6105
@barackmusic6105 2 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mazur,,
@nurumosha9216
@nurumosha9216 3 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@dorothyxavery6178
@dorothyxavery6178 2 жыл бұрын
Thank you so much teacher, for the first time kukujua, umekuja kutufindisha counselling mwaka huu, today I was just passing through KZbin I saw your video, mefurahi na nimesubscribe na kulike..keep it up My teacher 👏👏👏👏✍️👊.
@ReginaAtilio
@ReginaAtilio Жыл бұрын
Asante
@mwashiuyayoshuatv9829
@mwashiuyayoshuatv9829 Жыл бұрын
Thank you very much Daktari. Mungu wa Mbinguni akubariki Sana
@joyceuhinga6050
@joyceuhinga6050 Жыл бұрын
Ahsantee sana Dkt. Kwa somo zuri ubarikiwe
@marysola5302
@marysola5302 3 жыл бұрын
I am very happy you have address this. I just found one with these manners thanks simuachi🥰
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
Usimuache katu, natumaini umesubscribe
@sarahmsangi7243
@sarahmsangi7243 3 жыл бұрын
Namba za Chris mauki zinapatikanaje
@sarahmsangi7243
@sarahmsangi7243 3 жыл бұрын
@@ChrisMauki1 Dr namba zako
@jonathannkruzehi
@jonathannkruzehi Жыл бұрын
Naipenda hii channel
@agnesmwizarubi7479
@agnesmwizarubi7479 2 жыл бұрын
That is exactly what God has given me. I thank God.🙏
@nisejuma7087
@nisejuma7087 2 жыл бұрын
Nashukuru kwa kunielimisha vizuri umeongea mambo ya muhimu kwa sisi wanawake mungu azd kukubark mtumishi
@violetpaulsen1741
@violetpaulsen1741 3 жыл бұрын
Wabarikiwe sana wazazi waliokuzaa dokta Chris
@Truly_Afrikan
@Truly_Afrikan Жыл бұрын
He promised to be a father figure after he knew i lost a father , he talks and then asks me babe what do u think give me yo opinion,he knows when am angry and pretend am ok🤣, he says sorry when he knows kakosea , faithful beyond. heee he has a Sharp mind,very creative. Wee Dr am grateful he has all those . I am grateful for having such a husband
@florencengaruiya8724
@florencengaruiya8724 2 жыл бұрын
My boyfriend has the 7characteristics while my xhusband has only one. Now am convinced that I made the right decision to separate with him. Thank you Jesus for giving me such a wonderful boyfriend. I pray that our marriage plans come true.
@sarahnyanda4307
@sarahnyanda4307 2 жыл бұрын
Asante
@teresiahkiarie8440
@teresiahkiarie8440 2 жыл бұрын
Amen
@jemaebeneza6516
@jemaebeneza6516 2 жыл бұрын
Due wangu hana hats moja
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 2 жыл бұрын
Amwachaye mumewe na kuolewa na mwingine azini. Better change.
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 2 жыл бұрын
@@laurentraphael5470 Mhmm shida kwenye ukiristo huwezi kuachwa ukishaolewa inabidi uzini tu tena maisha yako yote
@bandolatztrump2470
@bandolatztrump2470 3 жыл бұрын
Habari yako dr. Chris Mauki Naomba unielekeze Namna ya kukupata moja kwa moja
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks 0713407182
@josephinafredson2085
@josephinafredson2085 3 жыл бұрын
@@ChrisMauki1 kama anana mke mingene
@nillahmbuya9519
@nillahmbuya9519 2 жыл бұрын
Mungu nitunzie yule Mwanaume🥰🙏
@ruthjuma8302
@ruthjuma8302 2 жыл бұрын
Aah,, bwanangu alikua nazo zote, sifa hizo zilinifanya nimpende kweli, ila mungu kampenda zaidi, endelea kupumzika kwa amani mme wangu.
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Pole Sana
@thozyceethemama6052
@thozyceethemama6052 2 жыл бұрын
I thank God for my fiancee Brian, he has all this characters,,,,i juc love him sooo much ❤❤❤❤🥰Brian you deserve love hunie,,
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@geraldanthonchuwa3068
@geraldanthonchuwa3068 2 жыл бұрын
Gerald Chuwa ninazo sifa zote nahivi sasa Nina miaka 35 yenye amani
@veronicapaul7865
@veronicapaul7865 3 жыл бұрын
Mungu ni mwema na muaminifu. Tabia nne Kati ya ulizozitaja ubavu wangu anazo. Asante kwa SoMo zuri Dr.
@lightnesselirehema1464
@lightnesselirehema1464 3 жыл бұрын
Wewe ndio ubavu!
@witenessmathoyo2861
@witenessmathoyo2861 2 жыл бұрын
Wangu amazon anapitoliz asante mungu
@SalomeMtafya-zu8yq
@SalomeMtafya-zu8yq Жыл бұрын
Asantee kwa good message dr mauki
@momonyange6513
@momonyange6513 Жыл бұрын
I wish i knew this earlier😣, nilkua na mwanaume wa namna hii lakin nilidanganywa na urembo nikidhan ntampata mwanaume yeyote muda wowote coz at that time nlikua napata marriage proposal nying na mm sikua tayari now naona ningum sana namkumbuka nataman nisingemuachia aoe now nawish ingekua ni mimi 28yrs na sina ndoa hata wa kuzungumza nae akaniskiliza kama yey na kunielewa kama yeye sina. Sina wa kumlaum tho and am still praying to the Almighty God i beleive one day ntampata mwingne atae nifaa.
@wisesteven5256
@wisesteven5256 Жыл бұрын
Uzuri ulikudanganyaa
@tynnahpaul620
@tynnahpaul620 11 ай бұрын
Polee😢
@Rosemary_Obadiah
@Rosemary_Obadiah 2 жыл бұрын
I don't regret meeting him😊💞♥️he is such good man. Hajawahi change..
@rahmarajab3688
@rahmarajab3688 2 жыл бұрын
Congratulation,, You're so lucky!!!! Love him, fight for him!!
@hopetalu4395
@hopetalu4395 2 жыл бұрын
for how long have you been with him?
@christophoraadriano8243
@christophoraadriano8243 5 ай бұрын
Muombee
@restutamfoi7325
@restutamfoi7325 Жыл бұрын
Asante sana dr ninejifunza kitu kupitia somo lako
@koigathungu6770
@koigathungu6770 3 жыл бұрын
Asante sana kwa mafunzo mazuti wow
@josephinajosephu6859
@josephinajosephu6859 3 жыл бұрын
Yaan ww ni lulu kwa kweli♥️🙏🙏🙏
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@monicaadam5283
@monicaadam5283 3 жыл бұрын
Daaah Asante Sana
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@mariammangunga7695
@mariammangunga7695 3 жыл бұрын
Ubarikiwe siwezi kumuacha.
@irinenanciebarasa5566
@irinenanciebarasa5566 3 жыл бұрын
Ooh mm sina nikipata mungu amsaidie awe na hiso sifa 7 saa nitahasa kumwombea sana mahali alipo mungu asikie maombi yangu asante sana baba kwa mafundisho mazuri mungu akubariki........ .sana.............you have good advice...
@princessa3060
@princessa3060 2 жыл бұрын
Waaaaau doc,,,I got 1 in my life 😀😀😀 may our Almighty God bless him sanaaaa n keep him in Jesus name...🙏🙏🙏 Danke shun doc
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@julianajacksoni4275
@julianajacksoni4275 3 жыл бұрын
Wachache Sana.. Mungu akubariki Dr
@mwalisuleih1164
@mwalisuleih1164 2 жыл бұрын
Shukrani xn kw maelezo ak nampenda xan mme wang maan sifa zote saba anazo xan na ya muimu zaidi ni mcha Mungu xan ak nimefurai ushauri wako
@queenlisapherooz7321
@queenlisapherooz7321 Жыл бұрын
Moja kat ya zawadi bora muhimu nilio wahi kuipata Ni kua na ♥️ na mume bora ❤️ Asantee mungu kwaa zawadi hii
@salmaseif8755
@salmaseif8755 2 жыл бұрын
Mume wangu anatabia zote izo alhamdulilah🙏
@fainajaffary4070
@fainajaffary4070 3 жыл бұрын
Asante 😍😍
@k.swamachozi1359
@k.swamachozi1359 2 жыл бұрын
My
@jojojojo8896
@jojojojo8896 2 жыл бұрын
Asante kwa ujumbe wko nimejifunza mengi kupitia huu ujumbe ubarikiwe sana
@GlitterAlee-fs4cn
@GlitterAlee-fs4cn 11 ай бұрын
naamini Mungu amenionyesha huu ujumbe ,ili aongee na mimi zaidi 🙏
@saumumlingi1116
@saumumlingi1116 3 жыл бұрын
Asante saana kaka najifunza vingi kupitia wewe. Mungu akutunze
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@anessabinery5654
@anessabinery5654 3 жыл бұрын
Doct mimi niko na mpenzi hakika Kati ya hizi nyingi anazo, shida ni moja tuu nimemzidi umri, naa wazazi wake hawakubaliani na Hilo la mimi kumzidi,,, nimesikiza haya umesema nimesikia machozi kama maji yananitoka,,,, nisaidie nisimpoteze mtu muhimu maishani mwangu
@shakilashak3337
@shakilashak3337 3 жыл бұрын
Jaman mm nimempata anazo zot asant san nitamganda mno ❤❤❤❤
@JehovanessDarabe-hm6tv
@JehovanessDarabe-hm6tv 2 ай бұрын
Dear Lord... Protect my man this is more than my prayers ❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏
@julianakutto6247
@julianakutto6247 2 жыл бұрын
Thanx doc,niliyenaye mm ni Mungu aonekane🙏
@happykavavila8683
@happykavavila8683 3 жыл бұрын
Zote anazo na enjoy sana Hadi nahis dunia yote yangu
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@rhodahleopord2581
@rhodahleopord2581 3 жыл бұрын
@@ChrisMauki1 dr asante nimejifunza kitu tabia zote hizo 7 anazo kabsa mme wangu Mungu azidi kumlinda🙏🏾🙏🏾
@jasiminjasimin7694
@jasiminjasimin7694 Жыл бұрын
Mimi kiukweli moyo wangu 💔💔💔mungu ndiye mwamunzi nimechoka
@obabizyonly9264
@obabizyonly9264 Жыл бұрын
Pole
@edwardisrael842
@edwardisrael842 Жыл бұрын
Pole sana
@dahabogalgalo
@dahabogalgalo Жыл бұрын
Ata mimi😢😢
@godlivepastpry9939
@godlivepastpry9939 Жыл бұрын
0
@godlivepastpry9939
@godlivepastpry9939 Жыл бұрын
0
@shamilakatumba1701
@shamilakatumba1701 8 ай бұрын
Alhamdulillah asante mung baba watot wang amejaaliwa sifa zot nimebalikiwa mno asante mungu mikon kwa mikon had pepon nakupenda san baba jay wangu akuna kam weh ❤❤❤:
@bayoubsmart6854
@bayoubsmart6854 3 жыл бұрын
Asante kwakweli kupitia illi somo nimejifuza kitu na nimegundua nipo na mwanaume imara
Dr. Chris Mauki:  Mambo 5 ya wanawake yanayo waudhi wanaume
10:15
Chris Mauki
Рет қаралды 236 М.
Dr. Chris Mauki: Ukiyaona haya, hata kama unampenda, mwache aende
10:14
Неприятная Встреча На Мосту - Полярная звезда #shorts
00:59
Полярная звезда - Kuzey Yıldızı
Рет қаралды 7 МЛН
World’s Deadliest Obstacle Course!
28:25
MrBeast
Рет қаралды 159 МЛН
I wish I could change THIS fast! 🤣
00:33
America's Got Talent
Рет қаралды 113 МЛН
DALILI HATARISHI KWENYE UPENDO - JOEL NANAUKA
8:33
Joel Nanauka
Рет қаралды 125 М.
Dr. Chris Mauki: Epuka maneno haya 8 wakati wa tendo la ndoa
8:16
Chris Mauki
Рет қаралды 575 М.
Chris Mauki: Kwa dalili hizi hafai kuwa mume
7:15
Chris Mauki
Рет қаралды 62 М.
Неприятная Встреча На Мосту - Полярная звезда #shorts
00:59
Полярная звезда - Kuzey Yıldızı
Рет қаралды 7 МЛН