Mimi hua nakaa kimya ikifika usiku saa tatu natuma mesg '"usikumwema aaawe hakubali anapenda kuongea na mimi usiku saana je ni sahihi?
@mbekitv693Ай бұрын
@@NoeliaErnesti sijaelewa tatizo lako ni lipi hapo ni kutuma text au kuongea na simu🤔
@nahlahassan-fd6le10 ай бұрын
Mimi mwanaume alinambia pia siwez kuishi bila ya yeye, kwakua nampapatikia, namnyenyekea kla siku, ila sahiv nimeacha mwez wa pil huu sahiv sjamtafta na yeye hajantafta mpaka Leo.
@bnztechnologies267610 ай бұрын
mpotezee nyumbu huyo
@HappyChona10 ай бұрын
@@bnztechnologies2676nyoko
@HappyHockey-rx1fq7 ай бұрын
Jaman nitafanya ivyo kwanzia sasa
@HalimaSeifu6 ай бұрын
By
@witnessmahenge6 ай бұрын
😅😅
@BLESSSTEPHEN2 ай бұрын
Jamani acheni utoto hauwezi kukaa kimya kwa mwanaume au mwanamke unempenda na hakuna mahusiano mazuri bila mawasiliano 😮
@mbekitv6932 ай бұрын
@@BLESSSTEPHEN hili ni kwa wote but wanaume wengi wanatabia yakutegea wengine
Wongo mtupu kutowasiliana vizuri n madharau hata boss unashika simu haraka ju unamheshimu
@Salome-qv8nk2 ай бұрын
😂😂😂😂
@spreadlove5300Ай бұрын
Yote haya hutegemea ntu na ntu 😢😢 ili mradi chunga isiwe one sided mapenzi
@salmamimmay169813 күн бұрын
Mie mwanaume wangu usipopiga siku moja to mahusiano yanaisha
@nataliaananias56136 ай бұрын
Mm nilijaribu kufanyaivyo,miez3 sasa hajanitafuta,naona ndio tumeachana kiivyo
@grice20756 ай бұрын
😂😂😂😂
@mbekitv6935 ай бұрын
Vizuri umepata majibu mapema
@tiffahdevivah5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@tiffahdevivah5 ай бұрын
Hata me imenikuta mweee😂😂😂😂
@NaimaKhamiss5 ай бұрын
😅😅😅😅
@tatuathumani3822Ай бұрын
Ila sio msg ya pesa yaan aniambie nikutumie ktk namba ipi nisijibu hapana
@ummibabysalim95228 күн бұрын
Asante kwa ushauri kaka nimejifunza kitu 🎉❤
@marrypeter74887 ай бұрын
This is very true ata wangu nikimnuniaa baadae ananitftaa kwa hili nimevuka kwakwel😊😊
@mbekitv6937 ай бұрын
Good
@StevenEdison-eq5nd4 ай бұрын
Mi pia
@mbekitv6933 ай бұрын
@@StevenEdison-eq5nd Karibu katika darasa langu la WhatsApp tuendelee kujifunza mengi pamoja, na kushauriana mambo mbali mbali. 0659152333.
@Maurinemenza8 ай бұрын
Kama mimi hapa nikiona text hvi pap ndio hyo mmi nareply 😢kwanzia sahi siezi rudia tena thnks bro umenisave sana❤❤❤❤❤
@mbekitv6938 ай бұрын
Karibu sn mpendwa
@GaudeGaude-wl5un2 ай бұрын
Yan mm mpenz wangu huwanaanza kumtafta lkn nlijalbu hyo n mwez wa 2 sas cjaona ata sms yake
@mbekitv6932 ай бұрын
@@GaudeGaude-wl5un then hilo ni jibu tosha kwamba wewe sio kitu muhimu kwake
@HabidaAhmadiАй бұрын
Na kweny mitandao huko tume unfollow kila mmoja wetu😂😂 hatar sana
@mbekitv693Ай бұрын
@@HabidaAhmadi doh😀
@Nnietechnology5 ай бұрын
Lkn mbona nyie ni kama mnatuchanganya jamani😢wanaume wenyewe hawana huruma hawa, unampenda unamjali lkn na wao wanatafta wa kumjali na kumpenda😢, nilijaribu kufanya yote hayo lkn aliishia kucheat tu kunidanganya😮
@mbekitv6935 ай бұрын
Karibu katika darasa langu la whatsapp tujifunze pamoja🤝 0659152333
@MarthaHitra4 ай бұрын
Kaka Asante Yani me ndo pigo zangu hz ata wiki mbili namalza hasipo nitafta fresh akinitafta pia fresh Sina papara
@mbekitv6934 ай бұрын
Mmh
@LucyMusenya-h1w2 күн бұрын
True thanks
@jenifasoka90312 ай бұрын
Za kuambiwa changanya na za kwako
@MalaikaMsomali2 ай бұрын
😂😂kweli kabca
@NeemaPaschal-y2gАй бұрын
Dah asante saaan nashukuru kwa ushauri wako nimejifunzaa kitu
@mbekitv693Ай бұрын
@@NeemaPaschal-y2g good👏
@monallyliay83644 ай бұрын
Wangu toka ameenda njee ajanitafuta ana kaz kumwambia mdg wake anisalimie kwel mapez hayoo jamannn
@mbekitv6934 ай бұрын
Mambo yako wazi
@MerlinaKubadesha2 ай бұрын
Kweli kabisa😢😮😮
@nayfatsalim78284 ай бұрын
Nitaendlea kumtafta kla asbh mchna n jion kuhs hali yke n vengn as long hjawai knjbu vbya n nd anafurahia aswa hhh huu ushaur kwngu nahc nikudharauliana t huez amka asbh bla kumjlia hali mwenzio hjui kaptw n nn km mfn juz alichomw n samak alivmba mkon mm naon kimny t kumb maskn amevmba mpk kapta homa
@mbekitv6934 ай бұрын
Sawa mpendwa usijali nakuelewa🙏
@LenathaCholobi2 ай бұрын
Sna neno zaid ty ya kukushukuru nme2mia hzo mbinu sahv napetaaaa tyy
@mbekitv693Ай бұрын
@@LenathaCholobi 😀👏
@DianaAgonza5 ай бұрын
Akili za kuambiwa,,changanya na za kwako
@mbekitv6935 ай бұрын
Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝
@ByuriDotla4 ай бұрын
HAhaaa
@aishadady54396 ай бұрын
Umenipa dawa,maana nilikuwa sina raha huyu mwanaume kila nikiamka naanza kumtumia msg,usiku namtumia mm maana yuko mkoa mwingine,ss najiuliza mambo haya mpaka lini....juzi juzi nimekula bati siku2 naona msg oooh mbona unanitenga,..umenisusa,kumbe ndo dawa hiyo
@mbekitv6936 ай бұрын
Ahahah😀
@KihenguKihengu-jp6ef5 ай бұрын
Huyo anakupenda ila kama hakupend ndio unakua umempa tiket
@mbekitv6935 ай бұрын
@@KihenguKihengu-jp6ef nakukaribisha katika darasa letu la WhatsApp tuzidi kujifunza pamoja.
@JanetNalianya4 ай бұрын
Thanks bro ndo mimi sasa imagine naona msg yake bt siwesi jibu mpaka anashusha kwa nini huwesi jibu msg yangu
@mbekitv6934 ай бұрын
No usiendekeze hiyo tabia bali fanya hivyo kama ukiona hana muda na wewe, ila kama yupo vizuri na wewe basi usimfanyie hivyo
@SallyYusuph3 ай бұрын
Hyo ni kwel kbc nxhawah fany then matokeo nliyapat
@LightnessMnyanga-uj4yx3 ай бұрын
Yaan mi nisipoongea nae nahic naumwa 😂ngoja nijaribu kama nitaweza mpaka yeye anitafute , kiukweli ninashobo sana
@mbekitv6933 ай бұрын
Pole
@VERONICAJOSEPH-y9k2 ай бұрын
Mwingine ukifanya hayo anakufikilia kuwa umeanz kumcheat
@mbekitv6932 ай бұрын
@@VERONICAJOSEPH-y9k yeye akifanya hivyo?
@shamyramaa6 ай бұрын
Ivi mashoga wanaexperience hii kitu kweli😢
@mbekitv6936 ай бұрын
Mashona ukiwa na maana gani, marafiki au wanaume wanawake?
@AneciaProjestus4 ай бұрын
Jamani kaka mtu mwingine ukifanya uwezi kumpokea onetime utaulizwa maswali kaa upokituo chapolic
@mbekitv6934 ай бұрын
Na yeye akifanya hivyo unafanyaje?
@harrietajiambo2295 күн бұрын
Naomba no yako kaka
@AlphoncinaKamala4 ай бұрын
Wengine ndo zao ukichuna ndo hakutafuti milele..sasa huyo utafanyaje wakati wapenda kaka
@hawamzuri4 ай бұрын
Sema wewe
@asiashabanishimba76074 ай бұрын
Akufai huyo
@NaomyKembo-t6y9 ай бұрын
Kwangu iko tofauti mi nikiona mtu yuko hivi anajifanya yuko bze kama hataki kuongea na mimi kumbe anataka basi namuacha kabisa koz huwa naamini mtu ukimpenda utatamani kumuona au kumsika mara kwa mara ikitokea ananikwepa kwepa baas napiga chini nisije nikawa najipotezea muda
@mbekitv6937 ай бұрын
Usiwe unakimbia tengeneza mahusiano yako
@EDITHAJOSPH6 ай бұрын
Mie kunasiku alinipigia cm sikupokea wala sms sikujibu akanitumia text shida nn mbona upokei cm walaujib sms
@mbekitv6936 ай бұрын
Sasa why ukupokea ama kujibu text? Mimi nimesema usipopokea then umpigie baada ya muda au text chelewe kujibu na sio mara zote fanya hivyo kama yeye ameonyesha tabia za kukutegea wewe ndio uwe unamtafuta. Lakini kama hana tabia hiyo basi kuweni sawa tu
@HassanHaji-q3w6 күн бұрын
Asante kaka
@LakiaAlly2 ай бұрын
Acha kupotosha wenzio
@HabidaAhmadiАй бұрын
Mi tynakaa hata miez mi3 hatutaftani ila fresh tu
@mbekitv693Ай бұрын
@@HabidaAhmadi hiyo sio sifa nzuri ni kama mnajipotezea muda tu
@rachelsimbeye96374 ай бұрын
Ngoja nijaribu
@mbekitv6932 ай бұрын
@@rachelsimbeye9637 fanya kama ukiona yeye hajali kuhusu wewe Ila kama anakujali na kukukumbuka usifanye.
@LightnesJamess7 ай бұрын
😂 kwakweli mimi hapo kama unaniambia mimi kabsa, kwenye kumpigia sm kujibu sms onhoo!hadi huwa analalamika. Sana,, kumbe nafanya vizuri eee!😂
@mbekitv6937 ай бұрын
No mimi namaanisha balance sio ufanye makusudi bali kuwe na balance ya kutafutana sio kila siku mtu mmoja tu ndio anamtafuta mwenzake.
@graciousmtei25716 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@nicehonesty9126 ай бұрын
Nimechekaa
@aishaabdahh19576 ай бұрын
Shukran kaka kwa ushauri mzuri mnoo wallah nimejifunza
@mbekitv6936 ай бұрын
Karibu saana, na usiache ku subscribe🙂
@salmakiti15176 ай бұрын
Yote uliyo sema mm ndio niko hivyo jamani anipenda kumbe asante mkaka😂❤
@mbekitv6935 ай бұрын
Karibu sn
@JoyceMichael-e7zАй бұрын
Ahsante kaka kwa ushauru mzuri nimejifunza kitu
@mbekitv693Ай бұрын
@@JoyceMichael-e7z good nafurahi kusikia hivyo
@neliajosey8666Ай бұрын
Wewe ngoja nifanye hivo nikiachwa nahamia kwako,
@mbekitv693Ай бұрын
@@neliajosey8666 karibu😊
@peresdismas79305 ай бұрын
Mimi ananipigia kila mara paka sipokei sanyingine au nikipokea hukowapi naomba nikuone only raini paka naisi haniamini
@mbekitv6935 ай бұрын
nakukaribisha katika darasa letu la WhatsApp tuzidi kujifunza pamoja.
@zuwenasalim27945 ай бұрын
Wangu leo cjamtafuta ,mwenyewe kaanza mbn uko kimiya my
@mbekitv6935 ай бұрын
Good😀. Haya karibu kutazama somo jipya nimepost tayari.
@ElidaMwandupe3 ай бұрын
Ushauli mzuli sana nimeufata naona kabisa ndoa inaniusu❤
@mbekitv6932 ай бұрын
@@ElidaMwandupe 😀
@pendolema60384 ай бұрын
Asante ,mwaka huu naolewa jmn😂😂💃💃🧖♀️
@mbekitv6934 ай бұрын
Good😀
@Muna-h8b3 ай бұрын
Nimecheka
@MariamAbuubakar-e5o10 ай бұрын
Asante kaka kwa kunifunguwa kichwa
@mbekitv6937 ай бұрын
Karibu sn
@Jackline-je4lj5 ай бұрын
Nmekuelewa naitaji kujaribu
@mbekitv6935 ай бұрын
Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333
@EvoladaItosi6 ай бұрын
Basi me nimejiongeza nimeamua kukaa kmy nawe yup kmy wiki y pili sasa 😢 nais ndo tumeachn.
@graciamzumbwe44056 ай бұрын
😂😂😂
@mbekitv6935 ай бұрын
Sikiliza ujumbe ulioupata
@RachelLaizer5 ай бұрын
😂😂
@EvelinJovianАй бұрын
Nimejifunzaa kitu apa kwakweli
@mbekitv693Ай бұрын
@@EvelinJovian eti eh?
@EstherLekerde4 ай бұрын
Acha nijaribu nitakupa feedback
@mbekitv6934 ай бұрын
Good luck 😊
@RegloveElias7 ай бұрын
Jamn mm huwa naanza kumtafuta bwana angu kila xiku ila xiku nixipo mtafuta analalamika mbona hujanitafta leo unajixikiaje kutoongea na mm, hapo nifanyeje kaka angu
@mbekitv6937 ай бұрын
Nadhani unepata majibu usipoanza kumtafuta? Anakutafuta yeye good. Hiyo ndio maana yangu so kikubwa Mwambie sio mbaya ata na yeye akiwa anaanza kukutafuta kwa maana nyie ni binadamu siku hazifanani pengine siku unaamka hauna vocha ama uko busy ama ni Mgonjwa ata kushika simu uwezi ama marehemu kabisa hivyo ni vyema wote mkiwa mnatafutana ndio vizuri kuliko mmoja tu ndio awe mtafutaji
@Maurinemenza8 ай бұрын
Thnks alot kaka umenisaidia sana bro 🤜🤜🤜🤜
@mbekitv6938 ай бұрын
Karibu sn
@mayahgomez23 күн бұрын
Asante baba ,kwa mafunzo nimekuwa mjinga sana ila sai mmmh Pembe zimetokana
@Mimy_keys6 ай бұрын
Asante Kaka , Duh Wanaume bana ukiacha kumtafuta anajuwa uko busy na Mwengine 😂😅 Ila hilo la Kumuaga wa 1 kwenye Maongezi aisee ndo komesha 😅😂😂 Utaskia mm ndo nimekupigia , ooh unataka kuongea na nani , mara ao maongezi yng hayana mana sieti ? 😂🤣🤣🤣
@mbekitv6936 ай бұрын
Kinachofanya mtu ajali sn ni hofu na mashaka mtu akishindwa kuwa na hofu hawezi kukujali, wanaume wengi ndio wako hivyo akiwa hana hofu na wewe basi utaona anakupuuzia cos anajua hakuna utakachoweza kufanya wala utakapoweza kwenda. So ukimtengenezea hofu bali mara zote atajitahidi kufanya the best hili kuhakikisha unakuwa mwenye furaha hili asijiharibie
@RehemMaige3 ай бұрын
Nmekuelewa sana sana
@ScholaMalale5 ай бұрын
Yani ww kaka nimekupenda sana Axante kwa ushauri
@mbekitv6935 ай бұрын
Karibu sn mpedwa😊. Na nimepost video mpya karibu utazame.
@SaraMsawila5 ай бұрын
Thanks brother kwa ujumbe wako mzur xana umenifungua ki2 flani ambacho siku najua ❤❤❤
@mbekitv6935 ай бұрын
Karibu katika darasa langu la whatsapp tujifunze pamoja🤝 0659152333
@VailethNzowa5 ай бұрын
❤
@mbekitv6935 ай бұрын
@@VailethNzowa Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333
@zaitunimustapha9718 Жыл бұрын
Swadakta ni kweli kabisa
@mbekitv69310 ай бұрын
Hakika
@ChristinaGomisi3 ай бұрын
Hiii ni tabia Anguu kabisa na inasaidiaa sana
@mbekitv6932 ай бұрын
@@ChristinaGomisi but usiizoee😀
@happinesssupila5 ай бұрын
Asante sana naanza leo kutekeleza
@mbekitv6935 ай бұрын
Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝
@WitnesWit4 ай бұрын
Jaman uxhauli mzuli axant xana jaman
@mbekitv6934 ай бұрын
Karibu sn
@TausiMfaume-ge5esАй бұрын
Nimekuekewa kaka na huko sahihi
@mbekitv693Ай бұрын
@@TausiMfaume-ge5es asante sn
@GraceJames-q1i6 ай бұрын
Hiz ndo pigo zake kwangu sasa namgeuzia yeye 😢
@mbekitv6936 ай бұрын
But be humble pia usifanye kama kisasi
@JoshuaAtupele-oy5op6 ай бұрын
Me mpenzi wangu anataka nitoke chuo niende kwak na napitwa Ma masom nifanyaj
@mbekitv6936 ай бұрын
Somo
@Yonagracedaniel6 ай бұрын
Soma
@sein.2084 ай бұрын
Wangu ukinyamaza na yeye ananyamaza kabisa...
@mbekitv6934 ай бұрын
Ilo ni jibu pia
@vffvff63178 ай бұрын
wgu ata ni piga kma si pokeya simu yke😅😅😅Wye
@mbekitv6938 ай бұрын
Pole
@hilariakayanda58694 ай бұрын
Kweli ww ni mwombeki (mjenzi)
@mbekitv6934 ай бұрын
HAHAHAH
@shaniterloveran83426 ай бұрын
Kwakweli hapo kwenye kumtafuta kwenye cm,ama kweli nakuaga single maana simpigiag wala situmi sms
@gmamy-zo2lb4 ай бұрын
Asant sas mkak Kwa ushauri wak mzr
@mbekitv6934 ай бұрын
karibu sn
@FatmaMohamedy-n4r4 ай бұрын
Wng nkmpotezea anajrud
@mbekitv6934 ай бұрын
Ilo ni jibu
@bernadethachristopher8 ай бұрын
Mubaba huwa nakuelewa sana.. Huwa hukosei kabisa kwenye ishu za ushauri..mi nimejinza na nitaendelea kujifunza kwa maana kwa sasa naishi kwenye njia zote.. ubarikiwe sana
@mbekitv6938 ай бұрын
Asante sna mpemdwa🙏
@shabanikitula6455 ай бұрын
Hii yakwanza naipenda ilimfanya mtu akajitambulishe bila kupenda
@mbekitv6935 ай бұрын
Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝
@mbekitv6935 ай бұрын
Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝
@gracekasongo91815 ай бұрын
Courage vraiment mon père🙏🙏🙏
@mbekitv6935 ай бұрын
Thanks
@MariamAbuubakar-e5o10 ай бұрын
Asante kaka kwa kunifunguwa kichwa maana mm hiyo zangu
@mbekitv69310 ай бұрын
Hongera sn mpendwa 😀👍
@Hadija-i8zАй бұрын
Ahxant kwa ushaur🎉🎉🎉🎉
@mbekitv693Ай бұрын
@@Hadija-i8z karibu sn
@anethiyeliudy11193 ай бұрын
Ukosawa kiogozi wetu
@mbekitv6932 ай бұрын
@@anethiyeliudy1119 fanya kama ukiona yeye hajali kuhusu wewe Ila kama anakujali na kukukumbuka usifanye.
@nadiamanirakiza39086 ай бұрын
Ni kweli jamani nime test 😊 imenisaidia
@mbekitv6936 ай бұрын
Wow dat iz good👏
@clarampaki5 ай бұрын
😅😅😅😅daaah
@mbekitv6935 ай бұрын
Karibu katika darasa letu la WhatsApp 😊🤝
@AyishaAyisha-k9r3 ай бұрын
Asante kaka
@mbekitv6933 ай бұрын
Karibu
@MARIAMABDUL-zb8yu4 ай бұрын
Natamani nipate ushaur
@mbekitv6934 ай бұрын
Karibu whatsapp mpendwa
@suzanbegas41397 ай бұрын
ASANTE SN 🙏🏼 Hi Nikweli kabisa 💯🎯✔️ Jana nimefanya yote hayo
@mbekitv6937 ай бұрын
Good 👍🙂
@RestutaFesto3 ай бұрын
@@mbekitv693 Aiseeeeeeee Baraaaaaaatup
@فاطمةفايز-غ1غ3 ай бұрын
You have saud it all.thanks.
@mbekitv6932 ай бұрын
@@فاطمةفايز-غ1غ thanks 🙏 😊
@MaryGabriel-e8x4 ай бұрын
Hasante sana kwa ushauli nzuli sana
@mbekitv6934 ай бұрын
Karibu kwenye darasa la whatsapp group.
@shamsaramadhan52835 ай бұрын
dah yaniiii😢😢😢 hadi najiona najipendekeza jaman laaaaaa
@mbekitv6935 ай бұрын
Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝
@AngelShedrack-q4u5 ай бұрын
Kumbe mm nakuwaga na karo kihere here eeee nmejifunzaaa brooo shukran dr brother
@mbekitv6935 ай бұрын
Karibu sna😊👏. Nimeweka video mpya karibu kutazama
@KaviraMbimbe4 ай бұрын
Kaka mungu a ku bariki
@mbekitv6934 ай бұрын
Amen
@myTanzanianplate6 ай бұрын
Knomaa....nimekuelewa sana
@mbekitv6936 ай бұрын
Good
@gracekasongo91815 ай бұрын
Courage vraiment mon père🙏🙏🙏
@mbekitv6935 ай бұрын
Karibu katika darasa letu la whatsapp tuzidi kujifunza pamoja na kushauriana zaidi.. 0659152333😊🤝
@MayasaJuma-kk1zi2 ай бұрын
Xaxa km mume wa mtu😅😅😅😅lzm utulize komwe utaftw
@mbekitv6932 ай бұрын
@@MayasaJuma-kk1zi why utoke na mume wa mtu sasa huyo si ameshawahiwa sasa hapo inabidi utafute wako tu😀
@mbekitv6932 ай бұрын
@@MayasaJuma-kk1zi Ila umesema vizuri maana wengine wako na Waume za watu ndiomana itakuwa ngumu
@DelilaKazamaso-bq4hy Жыл бұрын
Asante sana Kaka 🙏🙏🥰
@mbekitv6937 ай бұрын
Karibu
@gracekasongo91815 ай бұрын
Jambo papa asante kwamashauri zako❤
@mbekitv6935 ай бұрын
Asante na karibu sn
@AquilinahSamuely2 ай бұрын
Asante kwa ushauri mzury
@mbekitv6932 ай бұрын
@@AquilinahSamuely fanya kama ukiona yeye hajali kuhusu wewe Ila kama anakujali na kukukumbuka usifanye.
@NsabimanaAnge-lj4qp4 ай бұрын
Dah asnt sana walai 😢
@mbekitv6934 ай бұрын
Karibu sn😊🙏
@KuvunaGonda-l4f7 ай бұрын
Nikweli KK. Hapo umesemakweli kweliii
@mbekitv6937 ай бұрын
Yah
@Hashim-p4d3 ай бұрын
This is true ❤
@mbekitv6932 ай бұрын
@@Hashim-p4d hakika
@winilucasАй бұрын
Asantee❤
@mbekitv693Ай бұрын
@@winilucas Karibu sn
@ElaineAkimana9 ай бұрын
Asante saana kama ukikuta nayey izombinu anazijua simtakuta mahusiano yana vunjika??
@mbekitv6937 ай бұрын
Swala sio mbinu bali ni muhimu kuishi bila kutegeena cos kama hayo ndio yakiwa maisha yenu amuwezi kufika popote ata kama sio swala la kutafutana Ila lipo eneo lingine mtakoseana na kutokana na kutegeana mtaachana tu