DALILI HATARISHI KWENYE UPENDO - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 147,128

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

Пікірлер: 431
@luiceadam385
@luiceadam385 9 ай бұрын
Mm napitia kipindi hikii sasa na usiku wangu wa leo cjui kama itafika salama asubuii mungu anisaidie sana aliyekuwepo hapa anambie kitu chochote uwenda nikaona kitu tarehe 12 april leo 2024 mungu nivushe salama hapa
@hopingtrust1284
@hopingtrust1284 8 ай бұрын
My situation Now ila mimi nimeshaachilia Aende tu😢
@marthadaniel4904
@marthadaniel4904 5 ай бұрын
Omba MUNGU akupe amani ya moyo,
@ziddyziddy2524
@ziddyziddy2524 2 ай бұрын
Hicho ndio cha muhimu​@@marthadaniel4904
@StevenGiven
@StevenGiven 6 ай бұрын
Tulioko hapa 2024🎉 tujuane
@frankmsangi
@frankmsangi Жыл бұрын
Unajua sana broo duuuuuuh 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣💯💯💯💯💯💯💯💯
@medyalfayo2076
@medyalfayo2076 2 жыл бұрын
Yanii brother big up sana maana hiyo halii inatokea sana kwa vijana wengi..lakni kila kitu huwa naamini Ni mapito na mipango ya Mungu..🙏🙏
@frankmsangi
@frankmsangi Жыл бұрын
Unagusa mule mule Broo yan kitu unachokisema kina uhalisia kabsa yan daah kusudi yako linagusa sana maisha yetu Broo🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏
@sekeladuncan329
@sekeladuncan329 Жыл бұрын
Najifunza mengi kupitia wewe Joel kiukweli Mungu akuweke mana watu wengi tunaishi ilimradi hatuna furaha
@giftamulike8650
@giftamulike8650 2 жыл бұрын
Iyo me nahifahamu iyo ishara ya mawasiliano ni mbaya mno ahsanteee sana bro
@frankmsangi
@frankmsangi Жыл бұрын
Daaah Aisee broo hii point ya kwanza nimeipenda sana umeielezea vizuri sana Aisee Asante san. 🔥🔥🔥🔥💯💯💓💓🙏🙏🙏
@IbrahimIdrisa-tl6wm
@IbrahimIdrisa-tl6wm Жыл бұрын
Asante kwa somo zuri la kutufunza na kuongeza wigo wa kufahamu zaidi
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤nikigundua naanza kuboresha hakuna kuachana
@huss668
@huss668 2 жыл бұрын
Mausiano Sahi yamekuwa na changa moto unakuta unaye mpenda nae Ana mpenda mwengine yani Duniani tume kuwa tuna fukuzana subhanallah lakini cha msingi ukiona mtu anaka mbali na wewe nawe kaa mbali nae usilazimishe kuforce kitu ukajitafutia maradhi muache aenda Mungu atakupa kilicho bora zaidi ❤️
@imranmohamed5170
@imranmohamed5170 2 жыл бұрын
Hi
@Swaliha-p5f
@Swaliha-p5f Жыл бұрын
True
@numohd
@numohd Жыл бұрын
Kweli kabisaa
@beatricemwaiwishi6833
@beatricemwaiwishi6833 5 ай бұрын
Kweli kabisa
@givenmlelwa841
@givenmlelwa841 2 ай бұрын
Kweli kabisa
@annahngwila
@annahngwila Жыл бұрын
Haya nimateso makubwa, sana massage fupi yaani umegusa maisha yangu kabisa
@nassoromussa2423
@nassoromussa2423 2 жыл бұрын
Hii mbaya sana unaachwa na mtu unaempenda kitaratibu....vinauma sana kwakweli.
@bongorecaps3558
@bongorecaps3558 2 жыл бұрын
Ukiona ameanza kukuacha taratibu we muache fasta
@tinahwilliam1918
@tinahwilliam1918 2 жыл бұрын
Kabisa
@mawiamusai1362
@mawiamusai1362 2 жыл бұрын
@@bongorecaps3558 si raisi
@bongorecaps3558
@bongorecaps3558 2 жыл бұрын
@@mawiamusai1362 Ni rahisi endapo ukiitambua thamani yako, wakati mwingine unapompenda mtu kupitiliza unampandisha hadhi kiasi kwamba inafikia hatua anaweza kujiona yeye sio level zako, Acha kufanya mambo ambayo hayapewi thamani mbele ya mwenzi wako na usifanye kile ambayo yeye pia hayuko tayari kukifanya kwaajili yako ishi kama kioo chake tu
@gracesilayo7670
@gracesilayo7670 2 жыл бұрын
@@bongorecaps3558 nmeipenda io ila sasa kama mimi cwez najikuta nshafanya nabakia kuumia tyu yan 😭💔
@nanjingasaidi1257
@nanjingasaidi1257 2 жыл бұрын
Yani brother kama yote unaniongelea Mimi an nayoptia dah bless sn 🙏
@ezekielyohana5454
@ezekielyohana5454 2 жыл бұрын
Big up sana broo ,unatoa madin adim sana
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 жыл бұрын
Pole Sana hayo yamekuwa sehemu ya wanandoa wengi,usikate tamaa endelea kumsikiliza Joel utakuwa sawa,
@immajuzo2440
@immajuzo2440 2 жыл бұрын
Pola sana ndugu
@zakayooranga2894
@zakayooranga2894 2 жыл бұрын
Yah
@latifaanuary4911
@latifaanuary4911 2 жыл бұрын
Mungu ni mwema sote tunapitoa lkn tujifunze kuwaachilia waende
@LucyMwikola-vc1lc
@LucyMwikola-vc1lc Жыл бұрын
Daaah nimejifunza kaka 🙏
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 2 жыл бұрын
Zipo umesemaukweli sana mafunzoyAko nimazuri sana asante
@annahngwila
@annahngwila Жыл бұрын
Aisee, nimelia sana hata kujali , nimependa haya mafundisho
@violethurassa7362
@violethurassa7362 2 жыл бұрын
Tumeumizwa wengi tunapojaribu kukemea mabaya lakini Mungu yupo anatupigania,
@magrary2455
@magrary2455 2 жыл бұрын
Hali pia mimi iliwahi kunikuta na mpenzi wangu aliniambi niko busy muda wote sikuamini kuhusu kauli hiyo niliamua kufatilia kujua kama kweli alimaanisha nikajua kweli alikuwa akimaanisha na alikuwa anaonekana kama haniitaji katika maisha yake na hatimaye niliamua kukaa mbali na yeye pale nilipoona dalili ya kushindwa hata kufanya mambo yangu kwa kuzidi kwa maumivu. Ahsantee kwa kutupa na suluhisho kwa wakati mwingine tuweze kuitumia.
@geraldlaurent6750
@geraldlaurent6750 2 жыл бұрын
Hata Mimi yamenikuta mtu ananiambia Yuko busy mda wote aise inauma Sana
@AngelMassawe-nz9sk
@AngelMassawe-nz9sk 11 ай бұрын
Napenda sana kufatilia mafunzo yako ubarikiwe kama Ibrahimu na uzao wake
@irenebosco7411
@irenebosco7411 2 жыл бұрын
Hali niliyonayo kwa sasa😭😭.moyo unauma na kosa lang mim ni kua mwaminifu
@gracesilayo7670
@gracesilayo7670 2 жыл бұрын
Najikuta naumia acha tyu nina maumivu hadi natetemeka moyo wangu unable majeraha acha tyu unakua mwaminifu mtyu hajali yeye ni kupita na mambo yake tyu hajali kuhusu wewe
@gracesilayo7670
@gracesilayo7670 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭💔💔💔💔
@luiceadam385
@luiceadam385 9 ай бұрын
Mm napitia leo hiii hapa 12 April 2024 cjui kama kesho itafika Salama Hali yangu mbaya sana mungu anisaidie
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 жыл бұрын
Asante Sana Joel,niliumia Sana nilipofanyiwa hayo yote,nilisikiliza clik yako ya kuondoa msongo wa mawazo,inayosema furaha yako iko mikononi mwako na niambie ninaweza bila Fulani!
@mageurio9242
@mageurio9242 2 жыл бұрын
Mimi hayo yote nayapitia
@yeyaboy8045
@yeyaboy8045 Жыл бұрын
Yananitokea bro lakn nikimuliza 7bu hanipi
@nox_nation255
@nox_nation255 Жыл бұрын
Daaaah brother unayo ongea yamenikuta
@FlolaKalan-kg1dp
@FlolaKalan-kg1dp Жыл бұрын
Amen mtumishi ahsantee kwa mafundisho mazur nimejifunza kit kikubwa sana
@shorashora2003
@shorashora2003 2 жыл бұрын
Nakukubali sanaa kaka nakuombea ukuze kiwango cha kutuelimishe mimi nimeteseja sana kwakutokewa nahayo mambo❤❤❤
@lukandaguillaume4175
@lukandaguillaume4175 2 жыл бұрын
Sina lengo la kukupamba mtumishi Wa Mungu. Hii,ndo nafasi yako, unatunafundisha mambo muhimu ambayo hata shuleni ,tulilipa Ada lakini hatukuyapata haya! kwa bei kama yabure, tunapata mambo muhimu sana sana. Najengeka upya kila siku!
@hellendeus7809
@hellendeus7809 2 жыл бұрын
Mara nyingi tunaowapenda kwa dhati ndio wanaokuja kutuumiza saana ....dah!
@issaathumani7610
@issaathumani7610 2 жыл бұрын
Kabla hujaamua kumkabidhi mtu moyo wako unapaswa kwanza umjue kuwa ni mtu sahihi ktk maisha yako na ana upendo wa dhati kwako na kujali hisia zako na kutambua thamani yako.Kwa UPENDO ni maisha yako ukikosea kupenda utakosea maisha yako utapoteza furaha yako utajikuta unakuwa mtumwa kwa unayempenda,hivyo ni lazima umshirikishe Muumba wako kwasababu yeye ndiye anayetujua undani wetu kuliko tunavyojijua ametuumba yeye na akatuumbia upendo,kupenda na kupendwa ni ibada sio dhambi bali wale wenye kuwatenda wenzao wakati nyoyoni mwao kumbe wana yao hawa Mungu naye atawadhalilisha pia ikiwa hawatatubia,Mtake msaada Mwenyezimungu Mtukufu na umshirikishe ktk safari yako ya UPENDO yeye peke yake anawajua waja wake wema na wabaya.
@hellendeus7809
@hellendeus7809 2 жыл бұрын
@@issaathumani7610 thank you.
@husnamohammed8199
@husnamohammed8199 Жыл бұрын
​@@issaathumani7610 ndio kaka kuna watu wabaya wanafich makuch yao mtu hujifany mwema anakupend vizur kumbe huwa muongo na mtu mbaya utamjuwa mwisho akishakukupotezea mda hivi binaadam ndivyo tilivyo hatupendan kwa ajili ya allah halafu yy mtu anachukulia pow tu wala hajali km anakudanganya na mwish wa siku mtu km huyo hukuach njiani na maumivu yy anaendelea na maisha yke mtihan kwa kweli allah atusitiri
@husnamohammed8199
@husnamohammed8199 Жыл бұрын
​@@issaathumani7610 lkn mungu huwa analipa utakalo mfanyia mwenzio na ww unakuj kufanyiwa ni malipo hayo mungu huwalipa maana mtu hujitafutia deni la makusud mtu unasema uongo wa makusud uongo sio mzuri
@MwanaShesha
@MwanaShesha 3 ай бұрын
Pole tuko weng
@naimamohamedi868
@naimamohamedi868 Жыл бұрын
Ila kusema kweli mimi najuta kuolewa na huyu mwanaume Yani najutaaaaaaaaaa kiru chandesa 😭😭😭
@abunationclassic4117
@abunationclassic4117 Жыл бұрын
Pole Naima
@ivomhagama9796
@ivomhagama9796 8 ай бұрын
Daaaa unauma pole, wanaume wengi wanachanganyikiwa na wasichana wa 2000
@elishadeulitv2711
@elishadeulitv2711 8 ай бұрын
Usijute huyo ndiye chaguo la moyo wako, mwombee MUNGU amponye
@amosmafuru8847
@amosmafuru8847 3 ай бұрын
Hi
@noeljames7960
@noeljames7960 Жыл бұрын
Ansante mtumishi lakin binafsi kuna mdada nampenda sana lakin yote unayosema yapo Ansanteeee sanaaaa
@HappyPaul-xn3ei
@HappyPaul-xn3ei Жыл бұрын
Kwelii brooh umeongea kweli
@johnjackson4363
@johnjackson4363 2 жыл бұрын
Haya yote yamenitokea nashukuru kwa elimu hiii. Imenitesa sana hii Hali na mbaya zaidi imetokea baada ya mm kukosa KAZI
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا 2 жыл бұрын
Niliteseka mimi. 😭Hivyohivyo chuki hasira Ila hivi sasa nipo single
@KigeWegero-vf6cx
@KigeWegero-vf6cx 25 күн бұрын
Daah umetugusa sana Joel mungu akulinde
@timothykengere2535
@timothykengere2535 2 жыл бұрын
Ukweli mtupu Ndugu Nan 📚📚📚 🎙️ shukran.
@yvesniyongabo9437
@yvesniyongabo9437 Жыл бұрын
Mafundisho mazuri sanaa Joel, asante sanaa
@catherinejackson5614
@catherinejackson5614 Жыл бұрын
Joe I like u beyond all the stars aise..upo na madini nakufatilia sana unanifumbua kwa mengi Joe..much love😍🌹🌹
@mapoluchalya280
@mapoluchalya280 2 жыл бұрын
Kwel kaka yani unatusaidia sana ambao tunafanyiwa haya yote,inauma sana sana mim napitia haya,yote kw yote mungu akubariki kaka
@merinamsofe5798
@merinamsofe5798 2 жыл бұрын
Bro kama unaniongelea mm jamn daaaaanh inaumaa sana
@amanimakury9686
@amanimakury9686 2 жыл бұрын
Ni kwli
@zuwenaally6403
@zuwenaally6403 2 жыл бұрын
Brother hiyo nikwelii kabisaa nimelia sana mie😭😭😭😭😭imaum sana wallahi???
@nimenyajoseph8959
@nimenyajoseph8959 2 жыл бұрын
Thank you,nimejifunza jambo SKU yakinikuta nitajua namna ya kukabiliananalo,
@georgiaruhinda1704
@georgiaruhinda1704 2 жыл бұрын
Napenda mafundisho yako,kweli hayo yanatokea na unakuwa huelewi jinsi ya kuyatatua,nafurahi .
@seraphineniyonzima962
@seraphineniyonzima962 Жыл бұрын
Aah unaingeya kweli kabisa
@gracekazi5492
@gracekazi5492 Жыл бұрын
Daaaaa! Asante sana bro maisha hayo ndo nayaishi sasa😭😭
@nuruanaelisha8731
@nuruanaelisha8731 2 жыл бұрын
Kaka,Mungu akutangulie ktk maisha Yako,akufungulie njia zako zote unazotaka kufanikisha ktk Jina la Yesu, umeongea ,yote yamenigusa Sana.
@mikeroh489
@mikeroh489 2 жыл бұрын
Hongera Mr, unasaidia Sana Jamii yetu.
@annahngwila
@annahngwila Жыл бұрын
Yaani mapenzi
@aishadulla7364
@aishadulla7364 Жыл бұрын
Mm nliogee nae mwaka mzima paka juz ndonabiwa nakupenda ukweli nyuma sikuwa nakupenda moyo ulisimama apo🥺🥺
@eddysonmboya1651
@eddysonmboya1651 Жыл бұрын
Nashukuru sana mentor nimejifunza vitu vya kutosha, pia kuna dalili umezitaja zinarelate kabisa na anavyofanya mpenzi wangu
@shavakhantz7960
@shavakhantz7960 2 жыл бұрын
We n bora zaidi napenda sana kitu unachokifanya
@ElishaDonald
@ElishaDonald 11 ай бұрын
Dahhhhh....nimejifunza kitu
@sarazephania7669
@sarazephania7669 26 күн бұрын
Daaaah mungu atutetee tu
@rephamalamba8614
@rephamalamba8614 6 ай бұрын
Na leo hii sipo nae, alianza usiri wa mambo mengi, kujenga na mengi kisiri, mawasiliano haba na majibu robo na nusu! Hasira kupitiliza Acha aende, barikiwa mtu wa Mungu nimepata amani kwa fundisho lako
@monicakauky8914
@monicakauky8914 8 ай бұрын
Ndiyo nimeshawahi kupenda nikafanyiwa kama ulivyosema.Naomba Mungu anisaidie niweze kupenda Tena.
@kizazijeur7518
@kizazijeur7518 2 жыл бұрын
Somo zur dr umegusa sehem muhim San. Hongera
@mkramazani2759
@mkramazani2759 2 жыл бұрын
I always follow your teaching man love u. Mungu akubariki👌
@upendomracha8763
@upendomracha8763 5 ай бұрын
Asante kwa mafundisho ya kutufungua macho mimi nimeachwa na mume wangu wa ndoa mika 3 sasa hakuna mawasiliano ya kutosha. Hataki kunipa taraka ila manyanyaso .
@joycejacob6263
@joycejacob6263 Жыл бұрын
Habari za kwako mwalimu
@bizimunguadolphe1973
@bizimunguadolphe1973 2 жыл бұрын
Good job brother 💪
@isacknguvumali3445
@isacknguvumali3445 2 жыл бұрын
Brother ume gusa maisha yangu kwa asilimia 100% Mungu akubaliki iseee yani kama umeyaona ninayo yapitia daaa
@josephineleandri152
@josephineleandri152 2 жыл бұрын
Pole sana
@تةامممن
@تةامممن 2 жыл бұрын
Nikwer kabisa hata mm napitia magumu kabisa
@mazwichannel2120
@mazwichannel2120 11 ай бұрын
Thanks Kaka joel .That my situation now kila ulichoongea ndo nakipitia now binafsi nimeamua kukaa kimya nakuendelea na maisha mengine.Mbaya zaidi nipo ndani ya ndoa kaka @joelnanauka
@frida-oi6kw
@frida-oi6kw 5 ай бұрын
Pole sana 😢😢
@leaahzablon4154
@leaahzablon4154 2 жыл бұрын
🙆Hee...🙌🙌🙏🙏🙏 Hakika n ya kweli hayo...ubarikiwe sana Mr. Joel
@mwanarusiropia8363
@mwanarusiropia8363 2 жыл бұрын
Shukran sana nime jifunza kitu ubarikiwe bro😢😢😢
@williamloserian5999
@williamloserian5999 2 жыл бұрын
##Thanks you my brother Joel Nanauka kwa SoMo zur....
@adamsanga062
@adamsanga062 Жыл бұрын
Yaaani wangu mie nitatizo
@lilianamukoya7156
@lilianamukoya7156 Жыл бұрын
Mm.nmefikia hapo n I'm happy ,,
@catherinejohnsilvester6516
@catherinejohnsilvester6516 Жыл бұрын
Asante bro sasa nikijua hivyo nifanyaje
@ChristinaNgimba
@ChristinaNgimba 2 ай бұрын
Asnte mwalimu unatupa elimu vijana ,mungu akubariki.
@bornmwambemba8497
@bornmwambemba8497 2 жыл бұрын
Nimekusoma j! Nimejifnza kitu.
@JedyIsack-ec1kx
@JedyIsack-ec1kx 3 ай бұрын
Mhhhhh asante mpendwa nimejifunza, iliwahi kutokea kwenye maisha yangu niliona dalili zote hizo ila nilijipa moyo kwamba labda ni hali ya kawaida lakini mwisho. Kulitokea kila mmja kuwa na maisha yake😢
@kheriramadhan4603
@kheriramadhan4603 Жыл бұрын
Duh 😢Yani Hapo Dalili Zote Naziona Subir Nichukue Maamuzi Mapema
@devothangovano9729
@devothangovano9729 Жыл бұрын
Yaan
@sharmilarashid6270
@sharmilarashid6270 2 жыл бұрын
Dah nilipita haya ty miaka 9 nyuma. Lkn alhamdulilah Sasa imebaki story, Asante kwasomo
@scollalema4674
@scollalema4674 2 жыл бұрын
Ahsante kwa somo zuri.. MUNGU akubariki 🙏
@mwinjumakombo958
@mwinjumakombo958 Жыл бұрын
hayo unayoongea brather ndomaisha nnayoish kwenye ndoa kwasasa
@mussakhamis2377
@mussakhamis2377 2 жыл бұрын
My life coarch joel nanauka kwa hakika ww ndio faraja yng
@jacklinebazale5415
@jacklinebazale5415 Жыл бұрын
Asante sana Kaka
@vailethyona832
@vailethyona832 2 жыл бұрын
Asant wengine tunapenda San mpaka ujinga mwingine no ndug yako Ila inabid umovn
@jacklinedavid550
@jacklinedavid550 2 жыл бұрын
Ujumbe huu umenigusa sana. Bless you more
@hidayakisensi2747
@hidayakisensi2747 2 жыл бұрын
Channel inayonimalizia mb zangu barikiwa sana kaka joel🙏🏻
@lovenoor988
@lovenoor988 2 жыл бұрын
Ahsante kaka kwa somo zuri Mungu akubariki
@ruthmoses6565
@ruthmoses6565 2 жыл бұрын
My teacher,be blessed sana
@DionistaMsack
@DionistaMsack 10 ай бұрын
Najifunza mengi sana jamni hiyo imenitokea ila kwenye mahusiano Kuna changamoto
@janethkomba4485
@janethkomba4485 2 жыл бұрын
daaaaa wewe umeona safar yangu ninayopitiya🙏
@تةامممن
@تةامممن 2 жыл бұрын
Kwakwer kabisa hata mm njo ivo
@fungukamedia4545
@fungukamedia4545 2 жыл бұрын
Au unajua maisha yangu
@magejay4715
@magejay4715 2 жыл бұрын
Hahaha😄😄😄😄😄😄daah
@naimakegna6534
@naimakegna6534 Жыл бұрын
Pliz naomba no Yako
@neemashirima6121
@neemashirima6121 2 жыл бұрын
ubarikiwe hayo ndo mm napitia kwa Sasa.
@mawiamusai1362
@mawiamusai1362 2 жыл бұрын
Hiii video nairundia rundia sijui kwa nn mungu akubarikii kaka
@fathimamohamed684
@fathimamohamed684 2 жыл бұрын
Mafunzo mazuri👌
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib Жыл бұрын
Kwel Kaka nayajuwa hayo
@ismailramadhan1493
@ismailramadhan1493 2 жыл бұрын
Blessed sana brother
@AbdulKifundo-xp2jd
@AbdulKifundo-xp2jd Жыл бұрын
Dalili zote hizo ulizozitaja zimetokea kwa mke wangu
@ivomhagama9796
@ivomhagama9796 8 ай бұрын
Pole Kuna jitu nje linahusika hapo .
@tinakisonga795
@tinakisonga795 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@dr.bonye1
@dr.bonye1 2 жыл бұрын
Thank you my brother 🙏
@ranayuhase1405
@ranayuhase1405 Жыл бұрын
Ndioo vyote ndio napitiaa ila natokaje jamani daa 😭😭😭😭
@khadijajuma7142
@khadijajuma7142 2 жыл бұрын
Mm ndo napitia kipindi hiki aisee!!!! Hadi najishangaa, mtu niliekua nampenda, sitamani nimpoteze, akisema anaumwa naomba kila saa Mungu amsaidie apone haraka, nilikua nakosa furaha kabisaa hata nikihisi kuna kitu nimekosea. Imekuja kutokea kila mara anaongea maneno yakujirudia na yananiumiza vibaya sana, yeye anaona kawaida nikajikuta nimemchukia nakuomba tena Mungu aniweke mbali nae 😥😢 Yaani upendo niliokua nampenda umeyeyuka hadi anahisi labda nina mpenzi mwengine lakin sinaa. Dalili zote zinanihusu sasà miezi 2....
@reginaldipeter2272
@reginaldipeter2272 2 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa Huduma nzuri Mungu akulinde (Zekaria 2:5)
@AmanIbraah-s4q
@AmanIbraah-s4q 9 күн бұрын
Exactly brother 🙏
@mwanatz5980
@mwanatz5980 2 жыл бұрын
Nimecheka 😀saivi najichana kweli unamwambia kilakitu.
@heavenlight5084
@heavenlight5084 2 жыл бұрын
Mmh! MUNGU atusaidie wanawake na ndoa zetu
@ImpressiveFacts
@ImpressiveFacts 2 жыл бұрын
Ahsante kaka kwa somo zuri.
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 3 ай бұрын
Barikiwa zaidi kaka nazidi kuwa na uelewa mwingi toka nikifatilie
UNAMPENDA LAKINI YEYE HAKUPENDI - JOEL NANAUKA
9:15
Joel Nanauka
Рет қаралды 236 М.
ONDOA UCHUNGU NDANI YA MOYO - JOEL NANAUKA
7:04
Joel Nanauka
Рет қаралды 101 М.
Мен атып көрмегенмін ! | Qalam | 5 серия
25:41
小丑女COCO的审判。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:53
超人不会飞
Рет қаралды 16 МЛН
VIGEZO VYA KUJUA WATU SAHIHI - JOEL NANAUKA
7:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 52 М.
Chris Mauki: Dalili 5 ameshakutoa moyoni mwake
6:27
Chris Mauki
Рет қаралды 233 М.
Dalili Za Mtu Anaekuacha - Joel Nanauka
6:05
Joel Nanauka
Рет қаралды 118 М.
EPUKA MAMBO HAYA - JOEL NANAUKA
9:19
Joel Nanauka
Рет қаралды 114 М.
LIFE WISDOM: MAHUSIANO YANAYOPOTEZA MUDA WAKO - JOEL NANAUKA
13:40
Joel Nanauka
Рет қаралды 11 М.
DALILI 4 UNALAZIMISHA MAHUSIANO💔  #lizamedia #Lizbethsimon
10:22
Dr. Chris Mauki: Mambo 8 ya Kukusaidia Kuishinda Hofu
12:14
Chris Mauki
Рет қаралды 42 М.
MAMBO YA KUEPUKA ASUBUHI - JOEL NANAUKA
6:35
Joel Nanauka
Рет қаралды 123 М.
Vitu Vinavyowakera  Wanawake - Joel Nanauka
8:50
Joel Nanauka
Рет қаралды 191 М.
Tabia 10 Muhimu za Mafanikio
30:39
Success Path Network
Рет қаралды 397 М.