Msomi mkubwa namna hii anaamini Yesu na anaongea mambo kwa upeo mkubwa, Mungu wangu niondolee huu moyo wa jiwe, nipe kukuamini wewe na kufuata mapenzi yako Amen!
@catherinemzurikwao32653 ай бұрын
Bado Mungu ana vijana anaojivunia kama kina Yusufu.I love Joel Arthur Nanauka and Dr.Ipyana! Mmebarikiwa ❤
@peterkungu433125 минут бұрын
Damu ya Yesu, inakupa provision
@nancydenis.92313 ай бұрын
Hallelujah yani n madini madini madini ❤❤ooh Yesu mwema awatunze n kwel tunaiundermine damu ya Yesu ,Mungu atusamehe sana.Mungu awatunze pst Nanauka na Dr Ipyana
@mahambagislain96183 ай бұрын
Leo nime elewa maana ya Damu ya yesu kristo Mungu aku bariki sana mpendwa 🎉🎉🎉🎉🇨🇩
@faudhiasalum72799 сағат бұрын
Hallelujah 😢😢uwi
@ElizabethFerdnand-se7qp2 ай бұрын
Joel Nanauka wew ni zaidi ya Pastor, Kwa Hakika Leo ninatoka katika kila aina ya utumwa kwa haya mahubiri na mafundisho Yako kupitia DAMU YA YESU,Ubarikiwe sana, Leo kwa mara ya kwanza ninacomment
@cornerbrezz1207-lc6rg14 күн бұрын
🥲🥲 nimefrahi sana jamani MUNGU awabaliki sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@esthersimbeye54802 ай бұрын
Glory to God, ni wakati wetu wa kutawala ulimwengu kupitia Damu ya Yesu
@deboramakala30442 ай бұрын
Damu ya Yesu inene mema juu ya maisha yangu.Napokea jina jipya katika jina la Yesu. Ameen
@AnnastaziaJeremiah-ch3vx2 ай бұрын
Joel & doctor mbarikiwe Yesu amewaleta vijana wenywe hakili ya kiungu wenywe Roho wa Mungu ndani Yao ohhh nimeunuliwa Sana
@mussathomas36612 ай бұрын
Nimebarikiwa sana Mungu awabariki sana Watumishi wa Bwana
@johngeorge51962 ай бұрын
MUNGU awabariki watumishi wa MUNGU kwa kutufunulia maandiko yenye kutujenga kwa viwango vya juu kabisa.... Asanteni, Again MUNGU awabariki sana, musichoke kutuhubiria .... #DAMU YA YESU..... #BabaParoko .... God is alive, God is super
@gracekimath79643 ай бұрын
Nimesikiliza, nilikuwa napita pagumu mno, nikafanyia kazi Damu ya Yesu nimevuka kwa kishindo na kuanzia niliposikia sitamani kuacha kuomba kupitia damu ya Yesu na nategemea mambo makubwa mna
@happysadallah45902 ай бұрын
Aiseeeeeee, Asante Mungu, Damu ya Yesu imeniponya…
@rehemamwangoka2 ай бұрын
damu y yesu inene mema kwenye maisha yangu katika jina la yesu kristo Amen
@margaretgilbertdantes11672 ай бұрын
Mhh powerful powerful wow what a revelation man of God ufunuo 5:12
@michaelmwedimage55152 ай бұрын
Amen Ubarikiwe, Sana Mungu ni Mwema Sana.
@Adam-ct6rv2 ай бұрын
My God My Lord, Nanauka umenifunza mambo ya ajabu mno.
@marryjames-wl7be3 ай бұрын
Duuuuu huyu mchungaji ni moto mwingne aiseee YESU akutunze mchungaji na Dr.pia mbarikiwe na YESU🙏🙏❤❤
@lucymsigwa4433 ай бұрын
Hii DAMU ya YESU ni halisi jamani nimeongeza kitu coz nimetumia sana hii damu nimepata utajiri kwa muda mfupi sana adi watu wanaiita freemaso ila ni DAMU sasa naitumia niweze kuolewa 🎉
@jbclassic10093 ай бұрын
Am here
@stevenjoakimu283 ай бұрын
😂
@WaRoboh3 ай бұрын
😂Amina
@user-kt9qg1mo6l3 ай бұрын
Nipo Hapa
@lucymsigwa4433 ай бұрын
Mbona bado sijaanza kutumia damu sio wewe@@user-kt9qg1mo6l
@ABELSyprian11 күн бұрын
Joel ww n genius
@Cianadvd12 ай бұрын
This is another level kweli Mungu ana watu wake mbarikiwe sana
@AustineAustine-dv9ot3 ай бұрын
Sijawahi comment maisha yangu yote ila leo wacha ni comment ❤❤
@tonytyson10192 ай бұрын
Godbless pastor joel Nanauka
@LilianJulius-px9qh3 ай бұрын
Daaaaah huu ufunuo jaman umenipa ufaham mwngne Mungu awabark sana watumish
@zitashio79202 ай бұрын
Halleluya
@zitashio79202 ай бұрын
Jina langu halitanuka Bali litanukia na kung'aa kwa damu ya Yesu
@generoseemmanuel42222 ай бұрын
Mungu ni mwema nitafanyia kazi kuanzia leo
@NeemaKiria-wz5gh2 ай бұрын
Ni kweli kabisa Damu ya Yesu inanguvu Sana
@SaraphinaPiason-ws3if2 ай бұрын
Yesu ni mzuri mno
@magrethwilliam143613 күн бұрын
Damu ya Yesu ni halisi na kweli,Amen and Amen,Mungu awabariki sana,ninapokea🙏
@DINAABEL-wx1ry2 ай бұрын
Mungu awabàriki Santa nimejifunza kitu
@julianalaly20952 ай бұрын
Vizuri tunafurahia uwepo wako kaka Joel
@moryn0413 ай бұрын
I am loving this!
@godfreypeter46303 ай бұрын
Nilimsikiliza vizuri kabsa Pastor Joel,hakika MUNGU atanipa umiliki wa viwanja majumba magari 🙌💪.
@flaviasudi3873 ай бұрын
Unapokea Kwa DAMU YA YESU
@LukeMusandile2 ай бұрын
Damu yaYesu initakase kila history yangu yote mbaya. Damu ya Yesu inene mema kwenye maisha yangu
@godfreycheyo33963 ай бұрын
Nimebarikiwa sana na ujumbe huu kutoka kwa mwl na pastor joel
@asifiwemndolwa81293 ай бұрын
Kipindi bora kabisa. Watanzania tumebarikiwa.
@dorisn91113 ай бұрын
Oooh God this is powerful , hallelujah . Praise the living God
@enocklazaro81752 ай бұрын
I am blessed
@AndreaMwinuka3 ай бұрын
Amen joel nanauka vs dk ipyana
@magrethalphonce-yb1xw2 ай бұрын
Amina MUNGU awainue wengi kama wewe dunia itambue damu ya YESU inanguvu kuliko kitu chochote dunia barikiwa sana.
@StephenMwaitebele3 ай бұрын
Duh hivi vitu ndivyo tunavitaka kwenye kizazi chetu
@DanielMkandama3 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu Ipyana .......... Tusaidie kumuita mwalimu Mgisa Mtebe .......anaujumbe wa kiMungu juu yetu vijana
@fadhillwitiko3 ай бұрын
Muda ulikua mchache, Dr naomba umelete tena nanauka, ajamalizia pale ambapo Damu inakua inagusa, kasema Ardhi, Anga, bado kimoja, please aje 🙏🙏
@annendiangui71343 ай бұрын
This is so deep.Thanks and God bless.
@user-nr9em4ph8r12 күн бұрын
Hallelujah 🙌 🙌🙌🙌🙌
@luganomwakyusa76973 ай бұрын
Hii ni Injili halisi yenye kupenya
@lydiapeter8783 ай бұрын
Nimebarikiwa mno mno Asante sana Pastor nimepokea
@gladysnjeri2823 ай бұрын
Asante sana kwa mafundisho yako imefanya ni amke kiroho more grace
@gladnesssanga16013 ай бұрын
Amen watumishi mbarikiwe sana, damu ya Yesu iendelee kunena mema
@sibitasoinda79082 ай бұрын
Yaan hapa shetani kafilisika Moja kwa Moja Mungu awatunze
@cstephano3 ай бұрын
Damu ya yesu inene mema juu ya masomo yangu na maisha yangu Kwa ujmla🙏🙏🙏🙏
@georgengadada24292 ай бұрын
The real enlightened.
@graceoisso32382 ай бұрын
Amen, Asante Yesu kwaajili ya watumishi wako hawa, kaka Joel nilikuwa nakufahamu upande mmoja tu, upande huu wa kiroho nilikuwa sijakujua kaka upo vizuri, huo upako najingamanisha nao kwa jina la Yesu na Damu ya Yesu Kristo. Waooo ❤
@tumainijoshua50903 ай бұрын
Huyu ndugu Joel amepewa upeo wa ajabu sana
@deborachaula51343 ай бұрын
Jaman mnafanyia wapi hiki kipindi nihudhurie
@theresiamwanamkejasiri65102 ай бұрын
Namuinua Yesu sijaona mtu akipinga....Damu ya Yesu oooh ni zaidi ya ya tunavyoelewa wala tunavyoweka kuelezea,Mungu akubariki Joel
@JosephButoyi-qv8pmАй бұрын
Ninawashukulu saana kwamufunzo munao tufunza
@lucasmwambene82663 ай бұрын
Amen mubarikiwe sanaa watumishi
@enocklazaro81752 ай бұрын
You people are smart and annointed!
@WaRoboh3 ай бұрын
Oh my God I've learnt alot....😢
@Ledawemsafari2 ай бұрын
Amen Damu ya yesu inene mema kwa maisha yangu ktk ji na la yesu
@elidywanja45593 ай бұрын
Oh the blood of Jesus come through for me and my family.
@user-pv2en9um6t2 ай бұрын
Sauti hatusikii chochote. From Kenya
@floreswanyt54443 ай бұрын
Mmmmh so powerful,thank you for this
@faudhiasalum72799 сағат бұрын
Mithali 8:12 ❤️
@g.wisdom59263 ай бұрын
Praise the Almighty GOD, this is powerful lesson we need to understand,to live within , to dominate and to be champions over everything. BLESSED THE JESUS CHRIST. 🙏
@obedimusiba5822 ай бұрын
Hakika Mungu ni mkuu Huu ni ufunuo wa kiungu
@lebahatikeiya86663 ай бұрын
God bless you, servants of God
@injiliministries26652 ай бұрын
Amen, Glory to God ... Mungu awabariki sana Dr na Joel
@elishadeulitv2711Ай бұрын
Huu ni ufunuo wathamani saana tuu!!❤
@asifiwefungo1633 ай бұрын
Nimebarikiwa sana,Mungu azidi kuwatunzaaa
@SimonNdilalihaАй бұрын
asante sana brother kwa neno la uzima
@njungedennis82273 ай бұрын
Two giants, appreciate you two
@immamwangasi29343 ай бұрын
Tunaitaji hii serious iendelee dr
@vickysteven11723 ай бұрын
Ameeen Ameen Ameen
@omuze12902 ай бұрын
Glory to God. This revelation is so powerful. Thank you Dr. Ipyana & Joel Nanauka!
@user-sr4rn1uj2n3 ай бұрын
My God my God,😢 i received it ❤️🎉
@isaacgara35283 ай бұрын
Ila uyu jamaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@ibadaworship51033 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki
@emausmedia12153 ай бұрын
More bless sana Watumishi WA MUNGU KAZI yenu ni nzuri sana
@joeychris55553 ай бұрын
Nimejifunza mengi Jesus
@franksimon43133 ай бұрын
Ameeen Ameeen , Yesu Nakupendaa.
@jeremiahmwangi90283 ай бұрын
A blessing,
@tedyjoseph13943 ай бұрын
Kwani hii anafanyaga wap Dr Ipyana maana naitaman kweli 😢
@Bwenge-minecraft2 ай бұрын
ubarikiwe sana amen
@DanielMkandama3 ай бұрын
Nimebarikiwa na hili somo kabisq
@urbanpoultryfarming56913 ай бұрын
Doctor ubalikiwe sana
@ericknathanael72013 ай бұрын
Asante sana kwa hii video kaka Ipyana, Mungu akubariki sana
@elishadeulitv2711Ай бұрын
❤
@samuelkelempu63812 ай бұрын
Ubarikiwe Joel nanauka
@nyongezasyl78022 ай бұрын
damu ya Yesu ! damu Yesu ! damu Yesu !
@MWL_LUPIMO3 ай бұрын
Barikiweni sana ninyi watu🤝🤝
@kulwamvembezi58413 ай бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa sana leo
@WilsonEmmanuel-bs6opАй бұрын
NGOJA NAKAE NA MUNGU VIZURI MM KUSUDI NIPATA KUITUMIA DAMU YA YESU VIZURI MAANA ZAMBI INATUKOSESA KUMILIKI DAMU YA YESU