Nimejifunza, kazi yangu inapaswa imwabudu Mungu yaani iwe sehem ya watu kumwona Mungu na kuachilia sifa zao kwa Mungu....eeeh Mungu nisaidie niwafundishe hawa watoto kwa upendo km ulivyojitoa kwangu
@sweetbartcloud27872 күн бұрын
Unanibariki sana mtumishi wa MUNGU naskia raha naneno litokalo katika makazi ya sauti yako mzee MUNGU akubariki sana mtumishi wa MUNGU ubarikiwe mnooo aisee
I miss That Place 😢 I attend Service nilipokuwa Chuo Mbeya University Waooh!! Mungu awabariki watumishi na watenda kazi wa Madhabahu hii...Daah! Asante Mungu kwa neema ya kumpenda na kwa watumishi wako wote...heri kumjua Yesu Bwana ❤❤ That a Grace.
@IloveJesus-nd7sw5 ай бұрын
Nakupenda saaaaaana, what a lesson . Ulikuwa unamsifu Mungu si yeye kukupa chochote no. Ukijisikia kumpenda. Nimebarikiwa sana.Utukufu kwa Mungu
@JanethZefania5 ай бұрын
Sifa na utukufu kwa Bwana Yesu roho wa Bwana amenifundisha kitu. Ubarikiwe sana Bwana aendelee kukutumia kwa viwango vya juu mno
@janethshungu2 күн бұрын
Amen nimebarikiwe sana na somo hili🙏🙏🙏🙏
@annmutongu36674 ай бұрын
A true worshipper God bless you and keep you am in the medical profession and God really reveals Himself through medics who fear God.Your worship is so encouraging
@paschaltimotheo54415 ай бұрын
Nimebarikiwa mno, ubarikiwe sana man of God Dr. Ipyana kwa ujumbe mzuri
@thomaskiponda60795 ай бұрын
WANAOJIFUNZA SOMO HILI LIVE WANAFAIDI SANA MAANA NI SOMO UMUHIMU SANA JAPO KUWA UPATIKANAJI WAKE NI HADIMU❤❤❤❤❤❤❤❤
@janethshungu2 күн бұрын
Mungu nisaidie nami nikuabudu
@maryfredy30065 күн бұрын
Umenivusha kaka. Mungu akuweke sn ndg ktk kristo.
@veronicamahenge72565 күн бұрын
Nimekupenda dr Ipyana❤
@magrethmkemwa92872 ай бұрын
Mungu akubariki,somo adimu Sana Kwa kizazi hiki
@marykibali75685 ай бұрын
MUNGU akubariki sana mtumishi leo nimejifunza kitu hallelujah
@user-xk7vt1ic4m3 ай бұрын
Asante Bwana Yesu
@mwl.peternjau11015 ай бұрын
From Nairobi kenya
@taupenisanshimirimana4755 ай бұрын
Wakwazaa ebu nipeni like hata moja 😭
@janethshungu2 күн бұрын
Amen amen
@rebeccabrown51355 ай бұрын
Asanti Mungu naomba na mimi unipee kibali changu
@angelmsuya74234 ай бұрын
Mungu akubariki Sana Mtumishi wa Mungu
@puritymamumaina824419 күн бұрын
Amen Amen
@MSM3745 ай бұрын
Amina from USA
@joyceallan27585 ай бұрын
Asante Mwana Wa MUNGU YESU KRISTO , KWA SOMO HILO DEAR LORD HELP ME TO HAVE IT, TO WORSHIP YOU EVERY DAY, EVERY HOUR, EVEN MY JOY MAY ALSO WORSHIP YOU
@magrethwillson20215 ай бұрын
Sito mkatia tamaa Mtakatifu wa Israeli kwenye maisha yangu na watoto wangu Najua unani imarisha Mungu wangu 😭😭 🙏🙏.
@StephenNdegwa-mb7qw3 ай бұрын
❤ hii ibada ni ya maana nguvu 😂na 🎉nyingi sana za mungu
@BenadethDagharo5 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi nyimbo zako zina niponya nakunipa hatua fulani kiroho kabla hata sijawahi kukuona nikiwa na sikiliza nyimbo tu naponwya Mungu akupe hatua
@JoyceNdossa3 ай бұрын
Yesu nisaidie
@queenessiekenya6869Ай бұрын
Woow this is so deep 😢😢🙏🙏🙏
@marthandenuka79033 ай бұрын
Nilikuwa nahitaji ujumbe huu asubuhi hii, asante sana Mtumishi wa Mungu kwa neno lenye nguvu na faraja.
@petermkare27904 ай бұрын
God bless u man of God
@pendojosephmagadula48282 ай бұрын
Amen
@SuzanaNghelembi5 ай бұрын
Sifa na utukufu kwa Bwana mafundisho yako ni mazuri sana
@talentshow20244 ай бұрын
Be blessed a man of God I got spirit healing now
@JUDITHAMONDI5 ай бұрын
Shukran sana kwa hii mafundisho, nimehisi kunyenyekea zaidi na zaidi. Ubarikiwe mno.
@Eng.MillyG.5 ай бұрын
I am truly blessed. This teaching is deep.
@marcelastephen42474 ай бұрын
Yesu chukua madhaifu yangu yote in Jesus name
@EllyMasam5 ай бұрын
Mungu aendelee kutunza huduma aliyoweka ndani yako
@marystephen11835 ай бұрын
Mungu akubariki sana we baba yaani sijui niseme nini ila asifiwe sana Yesu kwaajili yako
@annamagawa39953 ай бұрын
Sifa na utukufu tunakurudishia Bwana
@user-zq3xt3ib3n5 ай бұрын
Nabarikiwa Sana mtumishi sichoki kukusikiliza kabisa una upako sana
@hopemaish985 ай бұрын
Waabuduo wawe nauwezo wa kumpeleka Yesu wao mtaani...may God help me 😮😢
@gift_of_worship_mada_madulu5 ай бұрын
AMEEEEN. THANK YOU FOR REVELATION. GLORY TO GOD
@JustineMlambie4 ай бұрын
Mungu akutumie sawa na mapenzi yake
@elizabethmgina9455 ай бұрын
Barikiwa sana dr ip
@lebeccachalamila69565 ай бұрын
Amena hakika kunakitu cha kujifunza
@rosejemima35525 ай бұрын
Hallelujah 🙌
@REBECCAMOLLEL-ex7zu5 ай бұрын
Amenii utukufu Kwa Mungu
@felistervenance88635 ай бұрын
God help me to preach you through my attitude,action whether it's home or working area,,,
@BabyConstble5 ай бұрын
Mtumishi wa MUNGU, ubarikiwe na uzidi kuinuliwe maana unafungua wengi
@vickymoshi60385 ай бұрын
Sifa na Utukufu ni zako Jehova
@rosejemima35525 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏
@Jujan12355 ай бұрын
😊najifunganisha na neema hiyo
@EggysDiary5 ай бұрын
Amina
@user-om3jd6kq4p3 ай бұрын
MAY 2024 #TUKO_PAMOJA ! ASANTE SANA !
@enockmusyoka15 ай бұрын
Nimebarikiwa sana 😢
@nicetoknow275 ай бұрын
Nimefunuliwa kitu kupitia mahubiri haya
@felistervenance88635 ай бұрын
Regardless the situation is ,,the circumstances around me is::Those doesnot remove your divinity God .....
@Apostlepetermusungu5 ай бұрын
Nakufwatilia sana . Kila hatua unayofanya nipo...sitachoka
@wamagata20235 ай бұрын
Watching from kenya
@shedrackrukwetu49085 ай бұрын
Ubalikiwe saana kuna sehemu umenivusha kupitia mafundisho yako ❤❤❤❤❤❤
@devothaalfredlwinga69325 ай бұрын
🙌🏽
@rispercharo8105 ай бұрын
Sante mtumishi wa Mungu.
@jameskuguru62665 ай бұрын
This time sound system not tht clear Abit noisy
@doreenmueke4 ай бұрын
Teaching is about worship and the congregation can't stand to worship 😂or they're standing in the spirit 😂😂😂
@shaddybmc83425 ай бұрын
Pastor maboko👏👏
@anethfredy9865 ай бұрын
Hawa watu mbona nimabosi sana KwA huo uwepo wa Mungu wamekaza kwenye viti no kusimama wala hawashughuliki Bwana tusaidie
@ImanMwakyeja-cw3ty5 ай бұрын
Upo sahihi nami nimewaona 😂😂😂😂 Dr ana abudisha hata hawajitikisi. Naona mmoja wawili flani ivi ndo angalau wanatikisika. Khaaa!
@jobwikismedia5 ай бұрын
No, something mafundisho yanaweza kuugusa moyo wako ukabaki umeduwaa.
@doreenmueke4 ай бұрын
Aki hata nashangaa, nikama wamechoka😂😂😂😂
@DinahKasemire3 ай бұрын
Amen
@user-zq3xt3ib3n5 ай бұрын
Nabarikiwa Sana mtumishi sichoki kukusikiliza kabisa una upako sana
@SuzanaNghelembi5 ай бұрын
Sifa na utukufu kwa Bwana mafundisho yako ni mazuri sana