Mm naishauri serikali yetu kuwa wawape hawa watu wao hawatafanya masndamano ukiona serikali haioneshi walipo ujue wameua tayari hao sasa wataonesha nini damu zao zitawadhalikisha mwaka huu naipenda sana tanzania ila kwa kuwa mnatenda dhuluma acha mola awahukumu
@AyubuChacha-u6u4 күн бұрын
Mmmmm hawa watu ni vijana wa ccm wamefalishwa yunifom za polisi.
@Magufuli.4 күн бұрын
😭🇹🇿😭
@veronicanabina33804 күн бұрын
Mmmmmmmm kazi tunayo
@rebekakulwa61593 күн бұрын
Kama wamewaua watuonyeshe mifupa yao tukazike
@HanifaOman-oo4pl2 күн бұрын
Huyu yupo kama mumewe wanapenda kufatilia.selikali nyie fanyeni mambo yenu yakanisa usifatilie serikali mitihani ilikukuta .umeiyona achana na hayo mambo
@JuventusBeller4 күн бұрын
Du tumefikambalikwer
@SubiranTimo4 күн бұрын
Mayoooooolllloo tutoleeen wale wale mayoooooo
@DorisFrank-h1p2 күн бұрын
Ww baada ya kupiga goti uombe toba na Rehema mwa Mungu, unaonyesha picha, unamwonyesha nani, ww km mkristo Mtanzania mama mchungaji unashabikia ili iweje, baada kuingia sirini usimame mahali palipobomoka unafanya usanii, yani ww umeshakuwa msanii mwandishi siku hizi wakuripoti matukio, umeiacha njia ya Bwana, kaa kwy nafasi yako, langoni km mtanzania kuomba toba na rehema sio kufanya show off kwy mitandao ili kutaka umaarufu, km umeishiwa jukumu lako kwa Mungu juu YA TZ FUMBA KINYWA CHAKO, KBU MIONGONI MWA WANAOINUIA HASIRA YA MUNGU JUU YA TZ NA WW UMO, KBU HUWAJIBIKI KWA MUNGU JUU YA NCHI YAKO.