hii ni dua ya majina 99 ya allah baada ya kusikiliza dua hii ndugu yangu omba unachotaka kwa sharti kiwe cha kheri
Пікірлер: 842
@tatumbaraka26587 ай бұрын
Nataman niandike mengi kuhus hii Dua😭 nilipitia matatizo nimeisikiliz San hii Dua bi idhin llah naamin imeniondoshea matatizo yang alhamdulillah😭🤲 allahu akbar 😭
@gloriaeliys75896 ай бұрын
Hapan iyo dua itakua n insababu t ila Allaah ndio alio kuondoshea .
@tatumbaraka26585 ай бұрын
@@gloriaeliys7589 Kwa kwel ni Allah🤲
@HalimaismailySaid2 ай бұрын
Kwa kweli hii dua imedanya mambo yangu mengi. Yakafunguka sana
@FIRDAUSAWADH2 ай бұрын
Allahu Akbarr
@ummuasmahan51932 ай бұрын
Allah nifungue kutokana na madeni, nifungue milango yangu ya rzk, nikifungua nipate pesa za kulipa madeni na kurudi Hali yangu ya kawaida😭🤲
@ZawadyKilume2 ай бұрын
Allah Ww Ni Mwingi Wa Rehema Naomba Unisamehe Makosa yng Mola Wng Usinifichie nuru Ya Uso Wako Allah Najua Mm ni Mkosaji Mbele zako Nisamehe Mola Wng Ww Ndo Mwingi Wa Huruma Allah Nihurumie Mja Wako Niokoe Ktk Mitihani Hii ninayopitia Allah Wng Niponye Maradhi Ya Ganzii Ktk Mwili Wng Nipone Kbs Nijaze Imani Juu yako Allah Wng Mm Ni Mkosaji mbele Zako niponye Kupitia Dua Hii niponye Kwa Dua iliyomponya Ayubu Allah Nifanye Vile Ikupendezavyo Ww Mungu Wng Allah Nisaidie mja Wako
@zeynabawadh21857 күн бұрын
Ya rabby tuponye na utusamehe kwa kupitia duwa hii na utukunjulie riski zetu amina ya rabby😊
@habibabarker16448 ай бұрын
Ya Allah Ya Allah naomba unisamehe ninayoyajua na nisoyoyajua makosa yangu niondolee maradhi nijalie uhai mrefu afya amani nikuabudu nipe rizki ya halali na mwisho mwema
@jamilakimaro99932 ай бұрын
Yaarab nakuomba kupitia dua hii unisamehe makosa yangu yote imma kwa kukusudia au kwa kutokukusudia naomba utuepushie maradhi naomba uwape tahfif marehemu wetu waliotutanguli na uzidi kunipa wepesi ktk kufanya ibada zako yaarab. Aaamin
@mpondamedia24162 ай бұрын
Aaamin
@HalimaismailySaid2 ай бұрын
Hakika hii dua ni dua mjarad sana Allah atukubalie na atufungulie na kutuongoza kwa kile tunachokikusudia nilienda nikatia udhu nikanuia nikasikiliz zaid ya mara 7 wallah majb niliyapata siku hiyo hiyo mpk nililia kwa furah
@user-on7cq7cz5t9 ай бұрын
Aamiiin🤲🤲🤲🤲yaarabilialamina mwenyezimungu niondolee matatizo yangu ya ALLAH we ndio mtoaji ya rabb takabali dua🤲🤲🤲
@ShaniRadjabАй бұрын
Ya Allah nipokeleye swalha dhangu n'a dua zangu ya Allah unisamehe dhambi dhangu unijalie mwisho mwema Ya Allah uniweke katika kundi ambalo litakalo ingia katika jannatu fidrau yaAllah warehemu wazazi wangu😢uwasamehe dhambi Zao kupitia dua hiyo ya Allah utunusuri Sisi viumbe vyako dhahifu ya Allah🙏🙏
@user-dh7zv8ke8o9 ай бұрын
Ya Allah unifanyie wepes kwenye mamb yangu na ridhik yang uniepushie na mabaraa,vijicho,husna,uchawi na mashetwani maisha yangu yanakutegemea ww Allah 😢😢Amin 🙏
@user-ng4ko6pz9s8 ай бұрын
Amin yarab nisameh makosa yangu Na uniondoshe matatizo YA nyumba yangu
@user-wt5di4hl2o8 ай бұрын
Amiin 🙏🏼🙏🏼🙏🏼ewe mwenyezimungu naomba unifunglie mwanganz katik maisha yangu Unifungulie rizk zngu kila zito allah unifamyie wpesi kila ninapoingia nuru inimwilik unajalie mwisho mwem 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼😭😭😭
Amini yarab Al Amin niondolee maradh husda za waja uwape afya njema family yangu watoto wangu wazazi wangu yarab nifungulie nakuongezea rizk nifanyie wepes Kaz yangu yarab Kika nifanyalo liwe jepesi Amin Amin
@alphoncymatara51087 ай бұрын
Ya Allah nakuomba uwapunguzie adhabu ya kaburi wazazi wote wawili , ya Allah nakugemea kwa kila Jambo liwe kubwa liwe dogo ya Allah ukanifanyie wepesi na kuniondolea mabalaa na chuki juu ya kazi yangu na familia yangu Amin🤲🏽😔
@alphoncymatara51085 ай бұрын
❤
@SaumuAli-pk8xp17 күн бұрын
Amiin
@user-su6vt8ev8d2 ай бұрын
Ya Allah tujaalie kheri za Dunia na kesho Akhera .
@user-fd1vw9fc9r8 ай бұрын
Ya Allah unifanyie wepesi katika mambo yangu, unikinge Na hasad, husda Na wabaya wote walonizunguka pamoja Na familiar yangu amiin
Yarab nifungulie ‘ nifungue funguko vyote vilivyokuwepo ,mwilini Kwangu viwe vya binadamu au majini au wachawi Naomba Allha nifungulie ridhiki yangu nipe umri mlefu na mama angu,muondolee,malazi na umpe umri mlefu inshallah. 👏👏👏
@mpondamedia2416Ай бұрын
Aamin
@Joharibakari-cv3oq4 ай бұрын
Ya -Allah Kila zitoo Naomba liwe jepesiii ya Allah Nipe umri mrefu mimi pamoja familia yangu naomba umuondolee mitihan H kila zito kwake liwe jepesi akika Allah wew ndio tumaini letu la mwishoo🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@khadijaZuberi-wo4eg Жыл бұрын
Amiina yaarab nisamehe makosa yangu pia naomba unipe mwisho mwema na naomba nifanye yale yenye kukupendeza, niepushe na maasi ya dunia niwe mja mwema, naomba uniepushe na watu wabaya na wale wasopenda kuona mafanikio yangu wasiwe na nafasi kwangu, nakuomba ya Allah niondoshe na nuksi, mikosi, mapepo, na maradhi sababishi yasinikute, nifungue kila nilipogungwa kwa nguvu za giza, mfanyie wepesi bosi wangu asahau yote yalotokea anirudishe kazini kwa nguvu zako Allah. Naiombea familia yangu, wadogo zangu na wazazi wangu waepushwe na kila Shari na kila baya lisiwakute kila atuombeae ubaya kwetu ugeuke na kuwa uzuri, ❤️🙏
@mpondamedia2416 Жыл бұрын
😭😭😭🤲
@zozosabra217610 ай бұрын
mwenyezi mungu nakuomba uniepushe na mitihani mm na familia yangu niongezee watoto wangu na uniepushe na maradhi makubwa na madogo nakuomba ewe mwenyezi mungu nifungulie milango ya ridhiki mm na kizazi changu . na uwasamehe wazazi wangu makosa ya kaburi Amina
@nooralhadidi64204 ай бұрын
[@@zozosabra2176
@user-dc1zn9ry5s4 ай бұрын
Mungu atufungulie riziki za halal yarabi atupe wepesi wake
@user-dc1zn9ry5s4 ай бұрын
Yarabi ndoa iwe ya kheri kwangu
@MtumwaHamza29 күн бұрын
Amin ewe mwenyezimungu niondolee chuki,husda, choyo, hasada, shari na mambo mengine yote mabaya
@SofiaMwakipiti19 сағат бұрын
Ewe mwenyezi mungu unajua udhaifu wangu naomba uniongeze nipe furaha na amani mtu ulie mtuma kwangu naomba tu anisaidie
@mishysaidy9802Ай бұрын
Yarabih naomba uniongoze katika njia iliyo nyooka naomba uwape afya njema watoto wangu uwape ufahamu Mungu wangu wewe ndie kila kitu binadamu si chochote mbele yako nakuomba Mungu wangu huyu binti yangu apate usingizi mzuri na kama kuna mtu ana7babisha vimludie mwenyewe 😢😢🙏🏼🙏🏼🙏🙏 Amina🙏
@zuwenasalim2794 Жыл бұрын
Eee Mola wangu naomba ninapocniliza Dua hii maradhi yamgongo yanayonisumbua nipone kwa rehma zako,Mwanangu masikio yake umfanyie wepesi ya Allah apate kusikia Amiin
@malak-lz6kx Жыл бұрын
Hta mm mgongo vle pia kunyonyesha allah atupe afya njema inshaallah
@SubiraMussa-ik2mh11 ай бұрын
Ya rabi nakuomba niondoshee kila lililofungwa unifungulie
@malak-lz6kx11 ай бұрын
@@SubiraMussa-ik2mh allahumma amiin.
@fadhirajuma1240 Жыл бұрын
Eeeee Mwenyezi Mungu nifanyie wepesi niweze jifungua salama inshahalah🙏🙏
@mpondamedia2416 Жыл бұрын
🙏🏽
@ZainabuMsangi-gx1feАй бұрын
Yalaah naomba ninapoisikiliza dua hii uniepushe na maradhi pia unijaalie mwisho mwema na uyape nuru maisha yangu na familia yangu...inshaalah utukubalie dua zenu
@MwanaMoneАй бұрын
Ya allah naomba unisamee mabaya yangu yote na uniondole matatizo nlio nayo.unilinde na hasad za waja ya rabina halameen🙏🙏
@mpondamedia2416Ай бұрын
Aamina yaa rabbi kwa sote Aamin
@hanifaahmad50184 ай бұрын
Ameena yarabi niondeleeee hasada na husda na matatizo yaliombele yangu ninayoyajua na sisiyojua tupe iman ya kukuabudu ww na kuyafata mamrisho yako uwarehemu wote walotangulia mbele ya hakiiiii ameena ya rabbi
@user-fd7wj6wd1f4 ай бұрын
Yaa allaah nakuomba kupitia dua hii unisamehe dhambi zangu unifungulie milango ya rizki hakika wewe ndo muweza wa kila jambo allha mimi nikiumbe chako mnyonge kwako yaa allaah yaa allaah naomba msaada wako ee mwenyeezi mungu nisaidie
@FatumaMwalikoАй бұрын
Amina mungu anifanyie wepesi katika kazi zangu inshallah
@user-qv4oz2sq4fАй бұрын
Yarabi naomba uniondoshee matatizo na huu wakat mgumu nnaopitia atakukataliwa na kukosakazi Amiin 🤲🙏
@Lulu-wt9dd2 ай бұрын
Ya Allah naomba nitoe malaz niepushe na mabalaa ya kidunia nijaalie lizki nawombea wazazi wangu uwa jaalie her na lizki uwatoe malazi yalabi wajaalie watoto wangu tabia njema na wenye Imani amina 🤲🤲
@rosewangui831629 күн бұрын
Ya Allah unayajua vyema matatizo yangu nikumbuke nibarike nisamehee dhambi zangu ....Muepushe mpenzi wangu Na adhabu kubwa ya kaburi🤲📿
@husnakoku289922 күн бұрын
Yah Allah niepushe na magonjwa, mpe mfahamu mwanangu katika masomo yake inshallah, niepushe na kila baya, nifanyie wepesi katika kutafuta rizki inshallah
@tatusaidy9661Ай бұрын
Ya ALLAH wewe ndie mtoaji wa yote basi nakuomba ya rabby niponye katika kila matatizo ninayo ya pitia nipe nuru ndan ya paji langu lauso naniokoe katika kila zito ninalo pitia mimi pamoja na familya yangu ya rabby😭😭
@fatumakyengya45Ай бұрын
YA Allah Nijalie Yaliyo Mema Na Uniepushe Na Mitihan ,,,Unijalie Afya Njema Na Umri Mrefu ,,,Unijalie Watoto Walio Wema Na Uwajalie Wazazi Wangu Afya Njema ,,Aman Katika Nyoyo Zayo Amiiin
@saadahassan14374 ай бұрын
Yarabi naomba niondolee mitihani kazini na unifanye nidumu kazini naomba unioe ridhki ya halal na yenye kheri naomba umpe pepo ya firdaus baba angu alotangulia mbele za khaki na umat MUHAMMAD s.w.s
@asnatabdallah20 күн бұрын
Ya Allah nakuomba unisamehe makosa yangu ninayo yajua na nisio yajua nakuomba unipe afya njema na mwisho mwema 🤲
@mpondamedia241620 күн бұрын
Aamin
@zainabuhassan66033 ай бұрын
Ameeeen. Eeeh M/Mungu niondolee matatizo kkt familia nijalie hekma ktk moyo wng uwalinde watoto dhid ya husda na maradhi. Unifanyie wepc ktk biashara yangu nipate rizk ya halali. Waajalie wazazi wng Afya njema.
@MariaGoreth-es9iiАй бұрын
Ee mungu nilinde uniepeshe Na maovu unikinge mm nagamilia yangu jutukinge na madui unipatie ridhiki Amin unitimizie ndot zang kupitia Dua hii Amin
@allthingdranabeauty10 ай бұрын
Mwenyezi MUNGU Naomba uniondoshee mauchawi majini walionitumia 😢
Amiin ya Raabii kupitiya iyi Dhua nakuwomba unisameh mazhambi yangu ya Allah na unikubaliy Dua yangu
@shumatagirl2767Ай бұрын
eeeeh mwenyezi Mungu, mwingi wa Rehema ambaye hufananishi na kitu chochote, naomba nisamehe makosa yangu naomba nimurike katika nuru yako na uyapokee maombi yangu na kuyajibu mollah wangu sina pa kukimbilia zaidi ya kwako. Amina🙏
@rehemamisele-jt1xj8 ай бұрын
Ya Allah naomba uniepushe na kila lililo baya mjn uchw husd za watu mahsd ulinde familia yng uzd kutup uzma na pumz kila kukicha
@christinejohn72942 ай бұрын
Ya Allah nisamehe makosa yangu ninayoyajua na nisioyajua. Nifungue mimi na uzao wa tumbo langu. Kutokana na vifungo vyote vya hasad, vya majini, vya laana za ukoo na iwapo kuna sihri pia utufungue yarabbi
@mpondamedia24162 ай бұрын
Aamina yaa rabbi
@JasminKibula20 күн бұрын
Ya Allah naomba unisamehe makosa yangu yale niliyo yafanya kwa kuelewa na kwa nisiyo yaelewa Allaha naomb unipe mwisho mwema Ya Allah
@ambelekhan65484 ай бұрын
Ya ALLAH niongoze yaliyo mema 🤲Nipe mwisho mwema nope rizki🤲 ya halali nakuomba mola wangu pekeyangu siwezi 😭🤲 Nakuomba Mola wangu niongoze nipe rizki niondolee hofu niondolee maradhi mimi na watoto wangu Ya ALLAH ya ALLAH nakuomba🤲🤲
@aishaothman1235Ай бұрын
Ya allah nakuomba unisafisha niwe safi kwa kila mja niwe mwenyekupendwa n kila mtu nifungulie milango ya rizk niweze kuisaidia familia yangu naomba nipate na kazi ninayoiitaji Amin Inshaalah
@elizabethgitau-xl3mx2 ай бұрын
Naomba YaAllah aniepushe na haya machungu nimepitia sana mangumu
@alphoncymatara51087 ай бұрын
Amiin Yarab al-amin nakuomba rehema zako na afya na kutimiza malengo yangu Yarab al-amin,hekima juu yako Allah pia nakuomba utulivu juu ya familia na Maisha yangu kwa ujumla.
@user-qc8pu2kz2l Жыл бұрын
😮eemungu wangu usie shindwa na jambo lolote naomba mungu wangu uniodoleshe maradhi katoka mwili wangu nipate mumeo mwenye hekima napia wape wazazi wangu mwisho mwema amin
@ChineduIdedia2 ай бұрын
Mimi nipo
@user-qr6wq9kk6c17 күн бұрын
Ya Allah nakuomba uniondolee matatizo yanngu unifungulie baraka zangu inshaallah😢😢😢😢😢😢😢
@Coco-nu4of4 ай бұрын
Amin yaa rabbi 😭😭😭😭👏
@iradukundamimi421220 күн бұрын
Yarabi niondoleye matatizokatika maisha mwangu yarabi napia mengi muno unipe moyo yasubra
@habibaramadhani-xv2ed8 ай бұрын
Alhamndulillah ALHAMNDULILLAH Shukrani Kwa Duaa.
@user-ob2hk3jx7i3 ай бұрын
Ya Allah naomba shifaa.nagonjwa sana ya Rabbi🤲kishwa kinaniuma na ninasikia kizunguzungu Kila siku.nakuomba ya Rabiii🤲
@mpondamedia24162 ай бұрын
Aamina yaa rabbi 😭😭
@habibaamiri9786 Жыл бұрын
Amiin yaarab ewe mola wangu nijaalie kila lenye kheri na Mimi niepushie kila lenye mitihani na Mimi nifungulie riziki zahalali kila kilicho fungwa kifungulie mollah wangu niondoshee kila penye ugumu kiwe kimefungwa namajini au wachawi Allah wewe ndio kinga yangu yaaraby takabar dua
@user-sn7ex7qr8z25 күн бұрын
Amin yarabi
@rukiamohammad97732 ай бұрын
Amiin thumma Amiin Yaarab tuondoshee matatizo utufanyie wepesi hapa duniani na kesho Akhera . Amiin
@MariamuOmary-m5p28 күн бұрын
Amin 🤲
@halimamuddy9607 Жыл бұрын
Amiini 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@gracekalama6935 Жыл бұрын
Amiin thumma Amiin yarabbi ninusuru na husda za waja nipe riziq za halal kila nifanyalo liwe la kheir🤲🤲
@mpondamedia2416 Жыл бұрын
Aamina yaa Allah
@rizikisalim4212 Жыл бұрын
Yaa ALLAH tusamehe dhambi zetu n utuwanye wapesi wenye kufanya swalah
@FauziahNambaka-bn2lnАй бұрын
Mwenyezi mungu anitakabalie dua zangu,swala zangu,funga zangu na anisamehe madhambi zangu zote na waislamu wote duniani
@mpondamedia2416Ай бұрын
Aamin
@user-wo5nx9mq6b7 ай бұрын
Emola wangu niondole mitihan yenye inanikabili pamoja na maradhi nilyo nayo wewe ndie tengemeo letu sinamwengine wa kumtengemea isipokua wewe Mola 🤲🤲
@jasminmsafiri3053 Жыл бұрын
Amin yarab niondoshee maradh Katika mwili na niepushe husda za waja na unifungulie milango y liziki yarab
@nzitogondwe99764 ай бұрын
Yarab naomba niondolee madeni yote nibaki huru
@HassanVicent14 күн бұрын
Aamii mwenyezi mungu naombasa unibaliki kupitia hii dua
@user-py8hm7jr7l Жыл бұрын
Amin nifunulie njia zangu emwenyezi mungu kila lenye shari niepushe nalo yarabbi
@MayasaOmar4 ай бұрын
Ya allah nakuomba uniondoshe husda chuki fitna za waja unifungulie milango y riski unifungulie mlango wangu wa ndoa inshallaah uniondoshe maradhi mabaya ynayotawala mwili nnayoyajua n ni siyoo yajua inshallaah ni ww t tunaekuomba n kukutegemea n kuitaji msaada kwako allahumma amina
@mpondamedia24162 ай бұрын
Aamina 😂
@FashionHekima-wq9flАй бұрын
Nikihitajiduaa nakupataje shekhewangu
@mpondamedia2416Ай бұрын
@@FashionHekima-wq9fl nipigie kwa 0652286323
@mwamvuaathumani4182 Жыл бұрын
Ya Allah taqabari Duaa ya Rabi nipe subira Kwa kila jambo mola wangu nipe kizazi chema nifanye niwe mwenye kusimamisha swala mie na kizazi changu nipe Mme Bora na mwenye hofu juu yako ya Allah😢😢 niepushie maradhi husda na kila baya litakalo nijia ya ALLAH😢😢🤲
@bintifikirini-wy3kc Жыл бұрын
Eeeh mola wangu naomba unifungulie mwangaza katika maisha yangu, uniepushe na kila shari lolote baya lisinifikie unifungulie kizazi changu, ee mola wangu naomba ulinde familia yangu popote pale uwaepushe na kila shari eeeh mola wangu, amiin ya rabby.
@mpondamedia241611 ай бұрын
Aamin
@mudybashiry17516 ай бұрын
Naomba riziki ya mali zangu familia yanu
@user-iq5dc3bj3w3 ай бұрын
Ya Allahi niondeshee mitihani na unipe Kila hitaji la moyo wangu, niondeshee maradhi na unipe furaha kwenye maisha yangu
@aminachilindima-cr6fv Жыл бұрын
Yarabbi nakuomba nijarie upendo ndani ya familia yangu ,nijarie ridhiki na mjalie mwanangu apate ridhiki kwenye maangaiko yake wajalie mama na Baba yangu afya njema ,yarabbi ww ndo unajua mapito yangu amiin
@shakirajuma-ro9fh Жыл бұрын
Yarabiy nakuomba unifanyie wepesi Kwa kila ninalo pitia yarabiy 🤲 nakuomba uwasamehe wazazi wangu zambi zao yarabiy 🤲 nakuomba unifanyie wepesi kwakila jambo 🙏 Amiin 🤲🙏
@subiraasadi65363 ай бұрын
Yaa Allah niondolee maradh ninayoyajua nanisiyoyajua wakinge wanangu na familiar yangu nakila mabalaa nahusda na Mambo yote mabaya
@manenosakulo7076 Жыл бұрын
We mwenyezi mungu niondolee matatizo,chuki, husda kazini kwangu nyumbani kwangu yarabi niongezee kipato Cha kheri na Halal niwe huru,kwenye biashara zangu nifanikiwe,unijalie mwisho mwema,nitafutie sehemu nzuri ya biashara,niachane nayo mambo yenye kukuuzi, Nina pikpik nauza bc niuze kwa faida na kazini kwangu niwe na Nuru, kauli na niwe na nyota kwa Kila ninachokifanya
@zubedamohamedi75311 ай бұрын
Yaa Allah niondoshee mitihan, chuki, majini, husda na unipe mwisho mwema Yarabb. Unipe moyo wa uvumilivu na moyo ya kushukuru
@mpondamedia241611 ай бұрын
Allahumma Aamin
@solaboss179511 ай бұрын
Amiiin ya rabbal Allamiin Naomba kupitia Dua hii Allah Aniweke wepeesi kweny safari yangu Itimie kwa uwezo wake
@rehema5110 Жыл бұрын
amin yarab nipe wepesi kwenye maradhi yangu niweze kupona 🙏
@nuruddin5074 Жыл бұрын
NA UMSAMEHE MZAZI WANGU MAKOSA YAKE NA UMJAALIE KATIKA WAJA WA PEPON INSHALLAH NA MAMA YANGU UMJAALIE MWISHO MWEMA NA KIZAZI CHANGU KIWE NI CHENYE HOFU YA ALLAH NA FAMIRIAY YANGU NA UWASAMEHE MALEHEMU WOTE UWAJAALIE KATIKA WAJA WEMA UWAEPUSHE NA ADHABU YA MOTO NA ADHABU YA KABR
@mpondamedia2416 Жыл бұрын
Allahumma Aamin
@ismailkuyugu3070 Жыл бұрын
Amen 🤲🤲 yallabi nakuomba nifanikiwe katika hili ninalosubilia ww ndo muweza wa kilakitu
@mwalisuleih116410 ай бұрын
❤❤❤❤❤Masha'Allah Alhamdulillah Rabbil aalamin allahumma amiin ya Rabbi amiin
@user-vj6ne9sk2j9 ай бұрын
amina ewmola wang niondoshe namitihani yakiduniya na aherra uwape wanang ufaham mzur uwajalie wafaulu mitihan yao nasis wengne utupe ustahamilvu nawabaya wasituone utupe kz yarabb zenye her nass nautupe husni lhatima njema
@monarm9363 Жыл бұрын
EEE yarrabbi tuepushie na kila la Shari na utupe kheri njema inshalla🙏🙏🙏🙏
@user-dz4pi6np8i Жыл бұрын
Ameen🤲🤲🤲ya alla nijalie Kila laheri ,Kwa kazi,Kwa familia yangu ,na bos wangu anijali,na mambo yangu nifaie wepesi.
@fatmakassim6726 Жыл бұрын
Ya Allah naomba ujijalie mume mwenye hofu y’a mungu na anipende kwa dhat 📿🤲🏻
@user-rd2jj5fm9j Жыл бұрын
Amina yarabi niondole matatizo mm na familia yangu na mpeuzima mamangu muondolee maratha lnshaallah 🤲
@shanymgunda7502 Жыл бұрын
Yarab naomba unisimamie katika kila kitu changu naomba unisimamie katika kazi zangu.naomba unilinde na maradhi mm pamoja na kizazi changu pamoja na ndugu zangu naomba unisimamie kizazi changu katika masoma na umuondolee maradhi yote alionayo yanayoonekana na yasiyoonekana na utulinde na mabaya ya dunia
@malak-lz6kx Жыл бұрын
Allahumma amiin
@simonkatunzi1776Ай бұрын
Ewe mwenyenzi mungu niondole dhiki na fungulie riziki Mimi na watoto zangu niondole maradhi magumu
@MwajumaSalim-vj5os2 ай бұрын
Mwenyezi mungu niondolee mitihani unifungulie rizk
@MwanapiliAthumani-zp1bs2 ай бұрын
Yaraby nakuomba unifanyie wepesi kwa kila njia kupitia dua hii insha Allah
@habibaramadhani-xv2ed8 ай бұрын
Alhamndulillah Alhamndulillah Alhamndulillah
@rehemasalim6923Ай бұрын
Yaalah niwekee mama angu aje kuwaona watoto wngu inshallah 🙏🙏🙏ameen🤝
@mpondamedia2416Ай бұрын
Aamin
@SaumuAli-pk8xp17 күн бұрын
Amiin
@asiakibali1253 Жыл бұрын
Amiin 🙏🤲🤲nakuomba nipe kibali katika maisha yangu na Familia yangu
@rechomwamedimfamahrechom-ep8sh Жыл бұрын
Amina Allah atuepushe na asali za kidunia atupe ujasir Ahifunguwe Family yang yumba yang kazi yang mashamba yang watot wang mweny kuwalahan alaaniwe mwenye Amin
Ya Allah niondolee kila mitihani ninayo pitia kwa kupitia dua hii yarab
@ZainabuZaijath-tp1wj Жыл бұрын
Ya Allah 🤲nikizie haja zangu zote ,ya Allah naomba ulinzi katika maisha yang, ya Allah naomba mafanikio ya dunian na akhera, ya Allah nipandishe darja, ya Allah nifungulie milango ya ridhki ,barka ,neema na mafaniko
@mpondamedia2416 Жыл бұрын
Aamin yaa rabbal’aalamiin
@asiakibali1253 Жыл бұрын
Amiin Yaraab naomba kupitia dua hii binti yangu uponyeshe kukojoa kitandani 🙏😭
@mpondamedia241611 ай бұрын
Aamina yaa rabbanaa
@tatumahmud-ns1nb Жыл бұрын
Yallab nakuomba nitoe nuksi mabalaa mikosi yote nipate amn ya moyo yallab