Sasa unaimba albam nzima unamsifia kiongozi wa siasa wakati sifa unazotoa hazina ukweli wowote nani atakuelewa? Na hiyo albam itatoka nje ya nchi? Ndio maana wakiwa nje ya nchi wanapiga kwenye mabaa.
@SaraSara-i1l2 ай бұрын
Big point kwelli kabisa bongo flevo ya zamani nzuri kuliko hizi amapiano
@Direct-00003 ай бұрын
UKO SAHIHI DUDU
@AndrewMajingwa-ln7oi2 ай бұрын
😂😂 ila konkii hapa umepuyanga wenzio hawataki mziki wa kuishi wanataka mziki New model na wanapiga pesa hatariiiiiii,,, angalia ni ENJOY hapo inachanja mbuga
@ilynpayne74912 ай бұрын
Anasema ukweli top 10 hazina maana 😂😂 watu wana Bluetooth hawana mda wa kwenda club😂
@ilynpayne74912 ай бұрын
7:36 kweli kabisa mimi siwez tofautisha luludiva na mimi Mars ama fina sjui madem wana igana sana
@jumayusuph57332 ай бұрын
ukweri ndio huo endelea kuwachana hao madogo
@AishaYahaya-ld5lb2 ай бұрын
Msema ukweli ❤❤
@Wamoyothenumberone2 ай бұрын
❤
@saifsawafi277322 күн бұрын
Huyu Jamaa, au ndugu Dudu Baya kazumgumza ukweli kabisa kuhusu mziki wa Tanzania na mtindo wake wa kuiga.. Naomba pia msikilizeni Fresh Jumbe na Masoud Masoud kuhusu mziki wa Tanzania kukosa uzito kwenye platform ya kimataifa. Hivi leo tafuta wapiga viombo via mziki Tanzania nadhani wamebaki wachache sana, na sababu miziki za computer zimetawala mno. Tanzania sasa hivi wamebaki entertainers tu lakini sio wana mziki.
@RodaMwakatundu3 ай бұрын
Trueee konk3masta
@JohndMbila3 ай бұрын
Wewe mzee mtafute Mika mwamba mbafu sana
@alibinali_2 ай бұрын
DUDU BAYA NOMA SANA 😂😂😂😂😂😂😂
@AckriniSikulumbwe20003 ай бұрын
HHaahahhahahaah hii nchi
@frankngoloka54163 ай бұрын
Wewe umefanyanini enzi zako?
@Legends_Interviews3 ай бұрын
Huyu jamaa kapotea yeye .. kila kitu kwake sicho anachukia wasanii bila sababu ovyoooo
@barakarobert10293 ай бұрын
Kwa kwel ww enz zako hela ulipeleka wap mbona unatia huruma uwez fikia level za mmakonde
@Legends_Interviews3 ай бұрын
Nashangaa kazi yake kuwasema wasanii tu
@redockbracard94553 ай бұрын
Wewe ni mzee mda wako umeukula vibaya una wivu na Harmonize kijana mdogo ana kuzidi pesa na umaarufu aumuwezi
@evansobewa77413 ай бұрын
Jamaa anaongea maneno mengi ila hana lolote,tafuta pesa wacha mdomo
@IssaBacar-i2i3 ай бұрын
Wewe ndo hujitambui unapenda kiingereza kuliko kiswahili chako halafu unajigamba umeitawara nchi yako muda huo huo unasema kiingereza, cha mtu mavi hebu acha kuiga cha mtu watanzania muudumishe utamaduni wenu hebu rudini kwenye bongo flava.
@Wamoyothenumberone2 ай бұрын
Loloote analoo
@evansobewa77412 ай бұрын
@@IssaBacar-i2i biashara jomba fanya kile kinakupa faida sio maneno mengi
@johnmike60593 ай бұрын
We nimuongo
@DelightfulFish-ps8ny3 ай бұрын
Huyu kaka hampendi konde boi
@AckriniSikulumbwe20003 ай бұрын
Hapan ukwel anaseama
@MohamedMangongo-n9t2 ай бұрын
Umeferi huu wakati wa konde ata upondevipi wwnzio washakuacha mbali mmechezea mziki kazi makelele kuwaongelea wenye mziki wao
@albertkadyanji97222 ай бұрын
Wakati wa konde hahahahahaha mmakonde kwa kipi hana jipya ameshafeli
@RomanMwinyi3 ай бұрын
We kaka msanii au mchambuziii atukuelewii au ume ACHA kuimba toa ww nyimbo kumawee