Naomba sana Lissu akishinda arudishe Kodi ya Kichwa, Ada mashuleni watoto wanasomaje Bure aisee, Ushuru wa Baiskeli, Ushuru wa wafanya Biashara ndogondogo na makusanyo mengi ili serikali ipate fedha nyingi kwaajili ya Ujenzi wa Ofisi za Chama kwenye Wilaya zote Tanzania na Mikoa yote. Tulipe ili tuweze kujenga nchi yetu, #Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu. Lissu💪
@evansmlalo40494 жыл бұрын
Watanzania fanyeni mabadiliko tuko nyuma yenu tutawalinda. Acheni kutishwa na hawa CCM hawana msaada wowote nchi hii. Wananunua Ndege hazina pa kwenda wanaacha kufufua viwanda vyenye kutoa ajira kwa vijana. Boda boda zikichakaa mtafanya kazi gani sasa ndugu zangu. Kura zenu ni za siri mchagueni mtu atakaebadili nchi. Toka Magufuli aingie madarakani afya za Watanzania wasio wa CCM mbaya sana. CCM wananenepa tu lakini Watanzania wenye kuzalisha na kulipa kodi wanakondeana tu. Wakati CCM wanataka kuongeza ndege CHADEMA fufueni viwanda na kuwajengea Watanzania huduma muhimu.
@kivuyomollel53374 жыл бұрын
good good good good good good good good good good good good good.
@Ben-kc1om3 жыл бұрын
Watu wote Hawa wanahudhuria mikutano ya chadema kuona Kama mgombea anafananaje, aliponaje, basi. Ila uraisi chadema hampati.
@farajibaswaten75074 жыл бұрын
Hakuna kitu humpati mtu hapo
@ommyd55174 жыл бұрын
Kwani hawa waliopo hapa ni panya au
@vicentsanga30464 жыл бұрын
Ukweli
@user-cs3mk3ob5k6 ай бұрын
Atakuwa Rais wa kwanza kuondoka "madarakani" Mmmmm! Unabii au??
@BMGOnlineTV6 ай бұрын
Siasa tu
@googlegoogleac94754 жыл бұрын
Pamoja
@rukiaiddyyahaya95064 жыл бұрын
Umetumwa na bill gates
@bashirmohammedi75244 жыл бұрын
Wanakudanganya bado sana hatutaki machafuko
@zabronkalulu93883 жыл бұрын
Wew mwehuuu
@yonamhumba20803 жыл бұрын
Mamako
@johnjuma33454 жыл бұрын
E jamani
@agnesezekielezekiel54333 жыл бұрын
P1
@johnjuma33454 жыл бұрын
Hahaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@festochimulimuli82294 жыл бұрын
Tazama lussu Akinukisha Leo makambako Leo kzbin.info/www/bejne/g5vFmZuce9-LeJI