No video

FULL VIDEO: Tundu Lissu alivyomwashia moto Rais Magufuli kwa mara nyingine

  Рет қаралды 96,577

MwanaHALISI TV

MwanaHALISI TV

7 жыл бұрын

Angalia video nzima ya Tundu Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chadema alivyomvaa kwa mara ya pili Rais John Magufuli ikiwa muda mchache tu kutoka mahakamani aliposhtakiwa kwa kesi ya uchochezi na kutoa kauli za kuudhi dhidi ya rais. Kwa Habari zaidi tembelea www.mwanahalisionline.com

Пікірлер: 149
@thadeipeter2592
@thadeipeter2592 7 жыл бұрын
Lissu tunakupenda ,tunakuamini na Mungu hakika yuko upande wetu.
@vendrinelema4291
@vendrinelema4291 7 жыл бұрын
upo sahihi Sana lisu
@violetbruno9268
@violetbruno9268 6 жыл бұрын
Vendrine Lema
@ibrahimmbirias1732
@ibrahimmbirias1732 7 жыл бұрын
iko perfect kazi njeema mungu awe nasi hawanajipa wasio tutakia mwema wanadamu ni majungu tu usitafute sifaa kwao utakufaa mapema uwe na bora uwe sifaa.kwa njia ya kutengeneza taifa lako ila sii kwa watu
@emmyleonard5939
@emmyleonard5939 7 жыл бұрын
safii lisu
@kiparandyanabo1168
@kiparandyanabo1168 7 жыл бұрын
Safi kamanda tumekuelewa
@boniphasmvungi9807
@boniphasmvungi9807 7 жыл бұрын
tunakusoma lisu
@emmanuelmaloda186
@emmanuelmaloda186 7 жыл бұрын
lisu mlixhasema sana lkn mangapi yamexhatekelezwa.
@ChrispiniBuruchard
@ChrispiniBuruchard 2 ай бұрын
Kumbe yuda unaweza kumjua mapema ukiwa naroho yandani angalia huyo wapembeni anavyo muangalia lisu nalisu alisema woga magufuli atawakimbiza ndio huyo waitala
@laupetpet7779
@laupetpet7779 Жыл бұрын
huyu jamaa ni mwamba
@josephhaule6309
@josephhaule6309 7 жыл бұрын
kweli lissu! we are together. peace!!
@rajabukulandea827
@rajabukulandea827 7 жыл бұрын
big up Mr President of TLS
@frankmichael6696
@frankmichael6696 7 жыл бұрын
Rajabu Kulandea raha sana' lisu jembe
@cristanleyyusuphjuma3759
@cristanleyyusuphjuma3759 7 жыл бұрын
Asante lisu jembe la chadema tupo pamja nanyi
@hilalisaidseif8483
@hilalisaidseif8483 7 жыл бұрын
Babaa tatizo Watu elimu zero haki zinapotezwa Tu.nakuelewa sana
@anamtweve7851
@anamtweve7851 7 жыл бұрын
shida ya wa Tanzania wengi nimabashite hawajui wako wapi? hawajitambui Mungu atupe macho ya kuona maana tumekuwa vipofu kabisa tumejaa ushabiki tu hatujielewi Mungu akulinde Lisu sema ukweli Mungu atakulinda usiogope Mti wenye matunda siku zote hupigwa mawe piga kazi hatuachi kukuombea wewe ni jembe Mungu kakuweka ktk hiyo nafasi itumie Kwa haki barikiwa.
@chikuluchidodokochiitingan340
@chikuluchidodokochiitingan340 7 жыл бұрын
wakikuwa wapi??siku zotee wameonaa wamenyimwa milungulaa waliokuwa wanakula ndio wanalopoka tu
@mwezanephta1107
@mwezanephta1107 7 жыл бұрын
Hongera Lissu endelea kuiweka sawa nchi
@dadileonard2392
@dadileonard2392 7 жыл бұрын
Mpumbavu ww na watu Wako hapo pembeni Tumekuchoka na Kiki Zako Mdomomdomo kila siku Umemsaidia nn xaxa mwananchi wa Ikungi km cyo upuuzi tu Umeshakuwa Mtafuta Masifa but Mafali wawili mxhndi lazima mmoja aumie endelea na Unoko wako mwisho utafka ajulkane Sonko!Umekalia upuuzi Wananchi wanamjua anaetatua xhda na c umburura ufanyao!
@valencemakingo9730
@valencemakingo9730 7 жыл бұрын
sheria gani wao walikiuka shelia ya chadema kupata uongozi hadi uwe mwanachama ndani ya miezi mitatu sasa lowasa mbona alijiunga wiki mbili tu
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 5 жыл бұрын
Leonard akili huna mbunge makini hiyo ndo kazi yake!! Serikaki ndio inayokusanya kodi ni kazi yake kupeleka maendeleo ikungi!!!! Jielewe majitu kama nyie ndo mnatuletea maviongozi mawe!!!
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 6 ай бұрын
✌️👊👍。
@alihijiiddi8977
@alihijiiddi8977 7 жыл бұрын
HUYU ANAMUIGA RAISI WA MAREKANI ANAITWA TRAMP HUYU NDIO MAANA AKATUKANA NA ALIKUWA HAJUI WA KUWATUKANA RAISI ALIKUWA ANAHISI YUKO SOKONI AU WACHUKUZI KWENYE MATUSI MATUSI
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 5 жыл бұрын
Niko tayari kwa lolote!!!! Kiongozi lazima awe na kitu anachosimamia!!! Lissu anastahili kuwa mkuu wa nchi!! Sifa zote anazo!!!
@freddokuckelmann8502
@freddokuckelmann8502 7 жыл бұрын
Huyu Tundu Nusu naona ana matatizo. Mara anasema JPM amechuchukua mchanga wa wa Wazungu atafungwa.Tundu Lissu pumbavu mkubwa. Huo ni mchanga wa Watanzania. Kajaribu kuchukua mchanga China utakiona cha mtemakuni. [1] "Tanzania isusiwe" Bahau mkubwa, tatizo JPM kazuia njia mlizokuwa manaibia Taifa. [2] Lissu Anatukana kusudi ili awekwe ndani watetezi wake walio nje waendelee kumpigia kelele. [3] Safari hii Tundu Lissu akitukana tena ili awekwe ndani, mkamtahiri huko mahabusu. hajatahiriwa ndiyo maana anazidi kuleta upuuzi.
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 5 жыл бұрын
Lissu kama nabii!! Waoga watakimbia huku akimwamgalia Waitara!! Petro!!
@mohamedshaban3148
@mohamedshaban3148 6 жыл бұрын
hivi Abel umoja unapataji akili ya kumwambia MTU mpumbavu paspo kujielewa kibaya nn hapo hayo nimaoni ya MTU hombu toa yakwako tusikiye yalivyo ushauri wg kwako achana kabisa na ujinga uliyo nawo kaka (badilika).
@edgarnazar1312
@edgarnazar1312 7 жыл бұрын
its gud
@hamismindika7513
@hamismindika7513 7 жыл бұрын
Nice king
@neemakilomoni4258
@neemakilomoni4258 7 жыл бұрын
😏😏😏
@elvunielvuni6637
@elvunielvuni6637 7 жыл бұрын
ludisha pesa za uyooo fisadiii hats waandishi wahabari wapuuzi tuuu
@kevinjeremiah6972
@kevinjeremiah6972 7 жыл бұрын
uyo ndie lisu kamuwa baba
@leoniadaniel9843
@leoniadaniel9843 7 жыл бұрын
Kevin Jeremiah bio
@deusjames6959
@deusjames6959 7 жыл бұрын
Mna shida nyie sikiliza kwanza Pima kile kinachosemwa alafu tumia akili sikio kutukana, ukiona unatukana jiulize umeishia darasa la ngapi? Je kwa uelewa wangu napaswa kukosa au kuunga mkono ,usitumie hisia zake hii siyo hisia.try to contemplate first.
@revocatusi8064
@revocatusi8064 7 жыл бұрын
shadema. sawa. kabisa. lisu
@eliajimmy5128
@eliajimmy5128 7 жыл бұрын
ahsate lisu
@barakanzika1283
@barakanzika1283 7 жыл бұрын
kwani zimbabwe hatuoni wananchi wake wanavyo teseka baada ya nchi yao kususiwa kwa wito wa mogani changirae alipo omba zimbambe isusiwe na jumuia ya kimataifa! nibora haya ya magufuli kuliko haya anayotaka lisu! kwa hili lisu sikuungi mkono ng'oo wewe unapokea mshahara mnono wa bunge sisi wananchi tunapata nini? na hata nchi yetu ikisusiwa wewe mshahara wako uko palepale !
@papafikiri
@papafikiri 7 жыл бұрын
Innuendo
@hamidumohamed2637
@hamidumohamed2637 7 жыл бұрын
bado kidogo atanyamaza tu,waliongea wengi lakini wamepungua amebaki tundu lisu nae atakaa kimya! siasa inawenyewe sio akina tundu! wamekaa ki biashara tu!
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 7 жыл бұрын
Hivi mnaomwona huyu jamaa mjinga swali analoliuliza kwa Rais hpo hamwoni kuwa lina logic!!!! wahusika wakuu wa kutoa hela za Escrow wapo ,kwa mfano washirika wengine wa IPTL wapo wapi ni nani, Sasa hivi ndio vitu vya msingi,tusishangilie tuu,lazima tuhoji km watanzania,
@ndebilemathias3101
@ndebilemathias3101 7 жыл бұрын
huna Jipya
@chikuluchidodokochiitingan340
@chikuluchidodokochiitingan340 7 жыл бұрын
Ndebile Mathias Sana'a hanajipya
@ramadhanirashidy3643
@ramadhanirashidy3643 7 жыл бұрын
Mijityu mingine haijielewagi kabisa
@behindsuccessachievements1901
@behindsuccessachievements1901 7 жыл бұрын
Lisu mwenyezi Mungu wa mbinguni akujalie Miaka elfu hapa duniani, upate kuendelea kuitetea haki ya wanyonge kote nchini.
@alisonngaila9827
@alisonngaila9827 7 жыл бұрын
Jaribu bas
@cyprianmwela8302
@cyprianmwela8302 7 жыл бұрын
Alipochukua form ya kugombea urais,mwanasheria huyu alisema.ccm wanampitisha fisadi kugombea urais.alipotoka na kwenda upande wao,mwanasheria huyu akampitisha agombee urais.huyu anatetea watanzania au njaa Yake?
@donlee2553
@donlee2553 7 жыл бұрын
cyprian mwela angalau wewe cyprian umewaza kwa sauti
@ibrahimmaduhu3655
@ibrahimmaduhu3655 7 жыл бұрын
Lissu umeishiwa sera
@abuubadru2403
@abuubadru2403 7 жыл бұрын
nafikinafiki
@yusuphsafisanajpmjuma4576
@yusuphsafisanajpmjuma4576 7 жыл бұрын
lisu mmeishiwa Hamna Sera bulabulaa tu
@mohamedmwamajuja7186
@mohamedmwamajuja7186 7 жыл бұрын
we sema siunajua kongea ni ham! kwan ulimchagua wewe ? we si ulimchagua Lowasa? si mlimkana km co raisi wenu? tuachieni tulio na IMAN nae ,chakushauri badirisheni katiba ya chama chenu Hiyo Sera ya kuwa na mwenyekiti WA kudumu jmn ndo democracy ht vikoba vinawashinda? nakumbuka hata mamonita shule ya msingi tunabadirisha VP chama hiki? mm naomba kisusiwe na Raisi magufuli chama hakina dira
@mudhousekikoletv3865
@mudhousekikoletv3865 7 жыл бұрын
asante lisuu
@hirarymziray9509
@hirarymziray9509 7 жыл бұрын
Anaheshimiwa baba was mbinguni sio binadamu.
@chugablacks8063
@chugablacks8063 7 жыл бұрын
haya hamna kitu
@franklazaro7660
@franklazaro7660 7 жыл бұрын
lisu kalale. huna jipya. Magufuli mbele, 2020 hurudi mjengoni. hatukutaki
@husseinally9146
@husseinally9146 6 жыл бұрын
Frank Lazaro IPO cku uta mwelewa
@frankmichael6696
@frankmichael6696 7 жыл бұрын
sema nao baba, mm binafs nakuunga mkono mh lisue
@denicekato2583
@denicekato2583 7 жыл бұрын
kweli Watanzania bado tuna safari ndefu sana, hata anayoyaongea Lisu hamuyaelewi? Mmelogwa nyie!!
@greensky9607
@greensky9607 7 жыл бұрын
Denice Kato ipo siku atakuambia suluhisho LA matatizo yako ni kumbaka aliyekuleta duniani Nawe utafanya kwa sababu hutaki kujipa muda wa kufikiri
@janusqm12
@janusqm12 7 жыл бұрын
BB huyu LISU siyo mganga wa kienyeji, anatoa reference anapoongea, kama unajua kuchambua hoja utajua ipi ni Pumba na ipi chakula/mchele. Ukishindwa kumuelewa Lisu, basi ufahamu wa sheria utakuwa mbali sana na wewe ama la utakua unamjibu DK kishabiki bila kujipa muda wa kufikiri
@teresiaasenga5142
@teresiaasenga5142 7 жыл бұрын
Denice Kato wewe hujui dunia hiko wapi kunakichaa hanaweza kuongoza nchi
@dr.erickjmazyala8905
@dr.erickjmazyala8905 7 жыл бұрын
Wananchi ndio sisi, na tumesema Magufuli oyee! Kaza buti, Magufuli usigeuke nyuma usije geuka jiwe! Umuhamasishe nani amuondoe Magu, hebu amka kutoka usingizini! Nenda mwenyewe kumuondoe mwenyewe, tuliomchagua bado tunampenda Magu!
@stelasasala5972
@stelasasala5972 7 жыл бұрын
Anayekudisi hajitambui na km ni kijana nampa pole maana hajielewi.
@MOJAZAIDI.
@MOJAZAIDI. 7 жыл бұрын
TUNU
@simbadume3126
@simbadume3126 7 жыл бұрын
Ahaaaaaa, sijapata kuona mtu anayejidai amesoma lakini anajifanya haelewi vitu kama huyu jamaa, duh! kweli upinzani ni ubangaizaji!
@slivathomas4583
@slivathomas4583 7 жыл бұрын
Hata mjinga hakosagi wafuasi lisu usitufanye watanzania hatuna akili ww tunakujua ni mropokaji na magufuli kakufanya ukose cha kuongelea umebuni mbinu ya kumuongelea magu kwa sasa mi sikushangaii
@abdalahmnyawi7156
@abdalahmnyawi7156 7 жыл бұрын
Huna jipya we.
@alihijiiddi8977
@alihijiiddi8977 7 жыл бұрын
NI UJINGA TU WA CCM HUWO WANADHANIA SHERIA ZIKO VICHWANI MWAO SI VYAKUFUATA KANUNI ZA PALAMENTI WANAFANYA MAMBO NINA KIWETE MAKUFULI MKAPA NA WENZAO ATA BABAYAO WATAIFA NYERERE LANATULLAHI HAKUYAFANYA AIBU AIBU AIBU
@sideniuskatula6616
@sideniuskatula6616 7 жыл бұрын
kweli lisu nilikuwa siku zote sikuelewi ila sasa nimekuelewa,twambie ukweli tunakuelewa?
@gabrieladam491
@gabrieladam491 7 жыл бұрын
ISAYA 45:20-22
@hilalisaidseif8483
@hilalisaidseif8483 7 жыл бұрын
Hii Ni tunu ya taifa
@mwebraniaonline7001
@mwebraniaonline7001 7 жыл бұрын
hifadhi ya taifa,
@robertmshana8730
@robertmshana8730 7 жыл бұрын
ww unaesema lisu mpumbavu, mpumbavu ni ww.
@timothkivamba9122
@timothkivamba9122 7 жыл бұрын
Ipo ck yako ww Abel
@jumapeter3353
@jumapeter3353 7 жыл бұрын
mmechoka nyie watu wawili munao ongea ujinga mtapiga kula ngapi
@moziidavchonchi3338
@moziidavchonchi3338 7 жыл бұрын
mimi kama kijana nayejitambua naona uyu mzee anaongea upuuzi tuuu kwa wapuuzi wanaomsikiliza
@husseinally9146
@husseinally9146 6 жыл бұрын
Mousa D, planjin we ndo huelew sio wrote lieu jembe
@user-wn7nr9bh5m
@user-wn7nr9bh5m 5 ай бұрын
Nyie ndo pumbavu kabisa mi ni CCm lakin huyu jamaaaa namkubali haijalishi yupo upinzani hiiiki kichwa ni cha uhakika we unaongea ujinga tuu
@eliasabel1099
@eliasabel1099 7 жыл бұрын
hujiongez hata ulionao wanakucheka?!
@abdallahmkumbi7859
@abdallahmkumbi7859 6 жыл бұрын
Kwao watampa kura? Miaka mitano ni matatizo tu
@keffajacob524
@keffajacob524 7 жыл бұрын
matako we
@atukuzwemungudaimaariseand6156
@atukuzwemungudaimaariseand6156 7 жыл бұрын
Asiyemuelewa Lisu ni mpumbavu ajitambui wanachokifanya maana wapinzani wanaonewa sana
@egfridmkoba4767
@egfridmkoba4767 7 жыл бұрын
Chadema wafanye uchaguzi huyu jamaa awe mwenyekiti!
@danielsamir9787
@danielsamir9787 7 жыл бұрын
maneno meng kam mtot mdogo
@mohamedmwamajuja7186
@mohamedmwamajuja7186 7 жыл бұрын
hatumii WA naumia wezi wako gerezan na bado wengine ,jisemee wewe na chama chako tu na mataifa never kumtenga weweeee ,kweli umepotea
@omarymbalala6224
@omarymbalala6224 7 жыл бұрын
Lisu wewe ni wasayari nyingine
@mathayomkumbuchile1569
@mathayomkumbuchile1569 7 жыл бұрын
Asiyemuelewa Lissu aende akaolewe maana anachoweza kufanya ni kuolewa tu. Nchi inatawaliwa kwa sheria haitakiwi kufanya mambo anayoyataka mtu bila kufuata sheria
@jamesbalele3522
@jamesbalele3522 7 жыл бұрын
wajinga wenzio wataendelea kukusapoti! unaongea pumba tu
@wilsonmikate1887
@wilsonmikate1887 7 жыл бұрын
Vp! atakuja kutokea zaidi ya Lisu?
@yussuphkhamis1014
@yussuphkhamis1014 7 жыл бұрын
Wape makavu lisu.
@queenaward5170
@queenaward5170 7 жыл бұрын
wewe pumbafu tu huna jipya
@janekisyombe5795
@janekisyombe5795 7 жыл бұрын
safii lissu
@mfaumemiraji9299
@mfaumemiraji9299 7 жыл бұрын
Komaa hivyo hivyo kiongozi nakuelewa sana mkuu
@lameckbalekele2901
@lameckbalekele2901 7 жыл бұрын
Tundulisu waliokuchagua hawataludia ujinga huo hawajakutuma kusimamia kesi zawatu unaongea mpaka mashavu yameludi nyuma kamamagali yamekutana usokwauso
@evancemosha7862
@evancemosha7862 7 жыл бұрын
Lameck Balekele Hujui unachoongea wewe ! Unawajua waliomchagua wewe? Ulienda kuwauliza waliomchagua wakakwambia kuwa hawatarudia tena kumchagua?? Acha chuki za kipuuzi za kushabikia chama na kuwachukia wasio wa chama chako ! Huu ni uhalisia anaousema Lisu! Humjui hata Mungu wewe !
@keffajacob524
@keffajacob524 7 жыл бұрын
mashavu kama chuwi...matako ww Yakima huyu
@jacksononline391
@jacksononline391 7 жыл бұрын
lisu tumia mdomo vizuri
@hekimaabdalah3050
@hekimaabdalah3050 7 жыл бұрын
Ungeandaa mhadhara kwenye jimbo lako ili wananchi wajue haki zao, kwa kuwa mengine unayosema yana umuhimu katika maisha ya watu
@elliahelliah7240
@elliahelliah7240 7 жыл бұрын
Viva baba viva
@ayubumoha6313
@ayubumoha6313 7 жыл бұрын
kiongozi wa kuigwa
@fakijuma1782
@fakijuma1782 7 жыл бұрын
Tundu Lisu ni Kichwa, máana haongei kibubusa katiba imo kichwani
@kfastak
@kfastak 7 жыл бұрын
Lisu ni master. Kila ninapo msikiliza huwa najifunza mengi sana
@hassaniharoon6079
@hassaniharoon6079 7 жыл бұрын
Wewe Umechaguliwa mbona hukosolew Umepeleka Maendeleo Gani kwenye Jimbo lako Au Ndo Unawadanganya Wapumbavu wenzio
@abdulrahmankionga6638
@abdulrahmankionga6638 7 жыл бұрын
acha kelele ondoa fisadi chadema humo,
@josephmbeya5973
@josephmbeya5973 7 жыл бұрын
Abdulrahman Kionga .Si mna mahakama ya mafisadi? mchukuweni mkamshitaki maana mnapiga kelele sana bila kujielewa.
@marthasilas4304
@marthasilas4304 7 жыл бұрын
acha wehu wewe!!!
@zebedayomathayo4095
@zebedayomathayo4095 7 жыл бұрын
Wewe ndo mwanasheria mkuu wa Dunia, nitakupigia kura uwe mwanasheria mkuu wa Dunia, nakupenda lisuuuuu
@chikuluchidodokochiitingan340
@chikuluchidodokochiitingan340 7 жыл бұрын
Zebedayo Mathayo uwachee kuwapenda walikuzaa mnampenda wengee
@elvunielvuni6637
@elvunielvuni6637 7 жыл бұрын
unahaki ww haki mbinguni ungejua tushakuchoka lisu wewe ujitambui
@kadorvas2347
@kadorvas2347 7 жыл бұрын
joseph mgongolwa unaf.........?nalissu
@chikuluchidodokochiitingan340
@chikuluchidodokochiitingan340 7 жыл бұрын
utafanya kazi saa ngapi jimboni kwako.utasemaaa Sana'a kisa unajua sheria.hunaa lolotee muachee ,RAIS sfanyee kazi yake
@georgesway8692
@georgesway8692 7 жыл бұрын
chikulu chidodo kochiitinganaa Omary hahaha jua na ww usema maana hujui piga kmy
@hirarymziray9509
@hirarymziray9509 7 жыл бұрын
Usingekua hafanyi wangemchagu.Acheni unafiki wa kisiasa angalieni nchi inae NDA wapi.
@uzimatv2589
@uzimatv2589 7 жыл бұрын
Tangu tumeibiwa miaka yote ulikua husemi leo nchi inaenda pazuri unalalama nn?kuna mrija umekatwa au ni vp bro?
@inocentmasawe832
@inocentmasawe832 7 жыл бұрын
we unavyo xema kuna mrija umekatwa angekuepo yy asingexema
@mlaponievansi4619
@mlaponievansi4619 7 жыл бұрын
nyie mnayemtukana lisu evi hamjiulizi kuwa walimnyima dhamana kutokana na maneno aliyotamka wakayafanya kuwa makosa mazito nchi hii lakini walipofika mahakamani,mahakama ilitoa dhamana kiwepesi kbs tumieni akili ya kawaida kuelewa sheria za nchi yetu sio kwenda tu kisha biki
@sitymutalemwa9369
@sitymutalemwa9369 7 жыл бұрын
Mlaponi Evansi D D. 1q
@alisonngaila9827
@alisonngaila9827 7 жыл бұрын
Umempa mamlaka umempa kula ww,,,!!!
@yusuphathuman8596
@yusuphathuman8596 7 жыл бұрын
unaesema pumba hujitambui pia huna Akili kabisa
@elishambile8962
@elishambile8962 7 жыл бұрын
we ndo huna akili
@elishambile8962
@elishambile8962 7 жыл бұрын
we ndo huna akili
@mkuurditv4227
@mkuurditv4227 7 жыл бұрын
wewe ndio hauna akili
@charlzg3516
@charlzg3516 7 жыл бұрын
yusuphu huna akil unamatope
@noahmdeka9924
@noahmdeka9924 7 жыл бұрын
Yusuph Athuman tena huyo anaetukana du hujielewi nahic utakuwa ujatimia
@januarykebasa5885
@januarykebasa5885 7 жыл бұрын
Lisu danganya wajinga mbona Lowasa alivyohamia Chadema ulimpokea kwa Shangwe kati alivyokuwa CCM ulimwita fisadi we nae ndio wale2 wanyonyaji huna jipya tulia jembe afanye kazi ni Muda wake Sasa.
@sengasuletisia1474
@sengasuletisia1474 7 жыл бұрын
January Kebasa
@hamisyalagwila4824
@hamisyalagwila4824 7 жыл бұрын
pumba
@beberu29
@beberu29 7 жыл бұрын
Hamis Yalagwila ww ndio unakichwa cha panzi ujui ww ni mfu
@abelumoja8043
@abelumoja8043 7 жыл бұрын
Lisu wewe pumbafuuuy kupita wote kulko watu wote unakeliwa had wanakufata huna lolote tena wangekuminya na pumbu peoplez is now not power .power alipokuwepo zitto Leo hii n peoplez weaker stupid
@charlzg3516
@charlzg3516 7 жыл бұрын
+Yona Shaulin ndoakome mtukane
@adiliwasanga4521
@adiliwasanga4521 7 жыл бұрын
Lisuuuuuuuuu big aaaaaaaaaap , wambie baba nakusoma saana, wanaosema huna akili inaonekana waliowazaa hawana akili
@kulwakhalfan5455
@kulwakhalfan5455 7 жыл бұрын
ABEL UMOJA
@MarcoNM100
@MarcoNM100 7 жыл бұрын
mavi wwe pumbav zako
@ProphetMusaMeizon
@ProphetMusaMeizon 7 жыл бұрын
ABEL UMOJA akiri yako mbovu sana
@ezekielkiyeyeu1872
@ezekielkiyeyeu1872 7 жыл бұрын
Hauna sera wewe
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 50 МЛН
How I Did The SELF BENDING Spoon 😱🥄 #shorts
00:19
Wian
Рет қаралды 33 МЛН
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,8 МЛН
RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU
8:03
Millard Ayo
Рет қаралды 1,9 МЛН
Lissu alivyogoma kutoka Mahakamani ili asikamatwe na Polisi Dodoma
11:07
BAJETI KUU 2017/18:Tundu Lissu amgusa JK
7:49
Mwananchi Digital
Рет қаралды 118 М.
Tundu Lissu Aliamsha Dude Ndege ya Bombadier Kukamatwa Canada
5:46
Global TV Online
Рет қаралды 34 М.
Tundu Lissu Aliamsha Dude Sakata la Mikataba ya Madini, Bunge Lachafuka
6:46
BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU
12:23
Millard Ayo
Рет қаралды 303 М.