Msanii mzur ni yule anaefikirisha zaid kwenye uandishi wake na hii kaka dulla umetisha sana tuliza akil zaidi...big up kaka✍🏻
@NeemaGodfrey-yz2xc10 ай бұрын
Huu ni ubunifu wa kiwango Cha reli, excellent!!!!
@BarakaElia-rp6gr6 ай бұрын
Dulla ndo mond wa singeli❤
@shabanshabani845310 ай бұрын
Mzee baba umetishaaaa sasa singeli hii imetoka kwenye uhuni mpaka burudani na elimu ndani yake 🙏🏾🔥🔥 Mungu akusimamie bro 💪🏼🙏🏾
@NaifaMustapha10 ай бұрын
Wangapi hii ngoma wameiludia zaidi ya mala 2🎉🎉🎉nyimbo ya mwaka❤
@OFFICIALSEMAH10 ай бұрын
Wa Kwanzaa toka Kenya 🇰🇪🇰🇪 Tanzania 🇹🇿 wapi like za dulla nije ama nisije weka like hapa zote ❤❤❤
@SalhaLutalo-on8th7 ай бұрын
Mungu akuzidishie kipaji na akuongoze na madili mema
@visanasimulizi9 ай бұрын
Hapana, hapana na hapana tena, Dulla Baba umetisha sana, bonge la wazo. Kitu kikubwa sana.
@GervasUtouh10 ай бұрын
Ni nouuma 🎉🎉🎉 jaman tudondoshe mauwa kwa like zenu wadau kama mnamkubali dulla
@susanlazaro895610 ай бұрын
Mie hata hainichoshi kuiangalia nakuisiliza hii nyimbo 🥰🥰🥰🥰🥰tuaompenda dullah king of Singeli gongeni like zenu hapaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@mwajumambonechi49810 ай бұрын
Nimeirudia hii nyimbo mpaka machozi yamenitoka, hongera sana dullah kwa UJUMBE huu
@JullieManga10 ай бұрын
Haki ya mungu mm sio mpenzi wa singeli lkn kwa dullah kaz zake nazipenda saana mwamba ana ubunifu wa hali ya juuu dullah atabaki kuwa king tumpe maua yake 💐💐💐💐💐💐💐💐💐
@rogetichuo46879 ай бұрын
Dulla Makabila we ni fundi hizi ndo tungo sasa
@EricaBizuru-jp9by10 ай бұрын
Huyu mdada anajua sana kuigiza we dula muongeze hela❤❤❤
@hamissmatata878010 ай бұрын
Tuchangeni tu
@رقيهالخصيبي10 ай бұрын
Tena namkubali
@chiburashid835910 ай бұрын
Sijawah kutoa saport ya nyimbo ila hiii imeenda dula mungu akuweke sana n uzid kufunuwa vichwa vya wapungufu wa fikra huuu ndo usanii🎉
@ZachariaEmanuel6 ай бұрын
Dullah mbona lawama hebu punguza kulia mwana 🎉🎉🎉
@FredyLupatika10 ай бұрын
Kilichobora tukipe heshima yake, dullah hana tofauti na 20 per cent, anajua japo ukweli mchungu💥💥💥💥
@giggaflo9 ай бұрын
Dullah umewazidi wengi kwenye eneo la ubunifu. Wewe ni singeli Icon
@godluvmtegajr.615410 ай бұрын
Jamaa kafkria nje ya box sana,ngoma n hit sana..... ujumbe pia ✅✅
@joshualaizer170710 ай бұрын
Kwa maneno mepesi dulla Hana mpinzani kwenye singeli🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@KareemBahati-lf1iw10 ай бұрын
Wakwanza mimi hapa wanangu wa dar es salaam naombeni like zangu
@godfreychacha797010 ай бұрын
Unakula like
@ArafaAlly-gs3yi10 ай бұрын
@@godfreychacha7970😂😂😂😂😂 jmn mpe
@mumyomary181210 ай бұрын
Na umekimbilia nn wakati mi ndo nafika nimekuta coment mia 400 na 😅😅😅😅😅😅😅
@isayajames687410 ай бұрын
Iv wanao omba like wanazipelekaga wapi
@djmseventz10 ай бұрын
Wa kwanza wa nyoko
@GiftyMswaja10 ай бұрын
Daah nyieee naombeni like Huyu jamaaaa noma na watu wake wako vizuri yaaan hiii lazimaaaa hiiii ifikishe iwe one so muda au Kesho asbh 🔥🔥🔥🔥📌📌📌
@ExseviaSamwel10 ай бұрын
Ubunifu wahali ya juu pia dullah ni mmbunifu wa hali ya juu,,nakubali bro 👍👍
@ngalongalo647510 ай бұрын
Yaani huyu #dullamakabila ni zaidi ya msanii, anaelimisha na kuburudisha haswaaa, embu waza hili goma anavyokemea mambo mengi anaonya juu ya MAADILI mabaya katika jamii, na ni juzijuzi katoka kutupitisha huku wema na wabaya.MUNGU AKUFIKISHE MBALI BROTHER UNAJUA SANA KUELIMISHA NA KUBURUDISHA JAMII.
@farajimgunya646810 ай бұрын
Unajua kuandika na kushoot hizi kazi. big up dulla makabila
@brunoh_bx10 ай бұрын
Makabila ndo wasanii wanaojua maana ya sanaa, hongera sana kaka👏👏👏🔥🔥🔥🔥
@rashidamohamed992710 ай бұрын
Wewe kiboko huna bayaa kubwa rama duii wa singeli hantariii kibokoyaooo 🔥🔥🔥🔥🙏💪💪💪💪💪
@JohnKepha-t3v10 ай бұрын
Mwamba niseme moja Tu hakuna king of singeli zaidi yako big up nyamazisha mji hakuna nasema hakuna
@BabaYaga-io9fo10 ай бұрын
Nimeona vijana wengi wakiimba singeli hila dulla anajua sana❤❤ Kijana kabarikiwa singeli zinaujumbe kama hizi ni next level
@layantizzy837610 ай бұрын
Dulla unafikiriaga sana big up...na director hajaikosea idea yako mmeua sana wakuuuu
@PetetIgnas10 ай бұрын
Sijawahi kumkataa Dalla linapokuja swala la Ubunifu kwenye ngoma zake
@NgwasaMbega-bz1on10 ай бұрын
Kila kwenye kufunga mwaka Dulla amekua mtu hatar naona kama inakuwa zawad Kwa watu tuliozaliwa December Keep Up Bro Kila hatua Dua
@omaryshomari789210 ай бұрын
Makabila uuuje...utupe burudani...mana kwa ubunifu bongo hauna mpinzani...nakushauri njoo..wala usiogope..
@KassimMbwana-m6i10 ай бұрын
Ubunifu wako ni wa hali ya juu sana na ndio Mana upo tofaut sana na artist wengne bnafs nakubali uwezo wako na namna unavyotuletea vitu vya kipekee big up bro Dulla Makabila Mola akusimamie katk Kazi zako 🙏👊❤
@mwljuliuskiwovele10 ай бұрын
Best ever ,huyu jamaa huwa anawaza mbali kuliko tunavyodhani ,kuanzia pita huku,nije nisije na ile aliyoshirikishwa ya peleka gari kituoni ni idea zake ,yaani nyimbo inaelimisha mpaka inaboa na amezungumzia saikolojia ya makuzi ya mtoto akiwa bado yuko tumboni.🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@digitalafrica110 ай бұрын
The true meaning of creativity❤, no abuse language, no X videos, nothing bad but full of creativity ❤❤ , If you like it as me please like this comment for our artist Makabila
@ifferallen80518 ай бұрын
Dulla unawezaaa 🎉🎉❤❤❤
@OfficialBabazaheer10 ай бұрын
Dulla achan nae kabisaa Lazim ashushe trending zote
@BONGOKUMENOGATV10 ай бұрын
Hakuna mpinzani katika hili dude la kufungia mwaka oya nasemaje nasemaje ikae one otrendng miezi Saba isitoke♥️💥💥💥💥💥💥
@HUZZAMSUZNAKISIMBA10 ай бұрын
HUYU MTU MKALI... 1) JINI GANI? 2) WAONGO HAOO 3) PITA KULE 4) NIME GHAILI KUFA 5) NIJE AMA NISIJE? MAONI: by bin simba sultan LET'S GO 🎉
@peterdaviddba10 ай бұрын
@@HUZZAMSUZNAKISIMBA❤ or
@dee6150910 ай бұрын
Hii nyimbo inafikirisha sana,,,hongera Dulla kwa masterpiece 🎉
@fatumamustapher536110 ай бұрын
Dullah mungu azidi kukujalia nyimbo nzur sanaa yenye uhalisia ktk maisha
@machichaally10 ай бұрын
Aisee dulla we ni king wa hiyo kitu full creativity nani kaangalia mara kumi kama mimi tujuane hapa.
@dvjachichi698810 ай бұрын
Hiii ngoma bro umeua sikutegeme big up brooo hujawai kuniangusha unastaili jina la king of singeli
@KudrackAbubakar10 ай бұрын
Dullah makabila ndo mwanasingeli wangu bora wa muda wote❤❤❤
@mrishomaneno654610 ай бұрын
Kuna waimbaji wengu wazuri wa singeli ila dullah amewazidi sana .anaubunifu sana wa mziki wake safi sana kaka Mimi shabiki wako.unatoa jiwe unaweka jiwe
@hamissmatata878010 ай бұрын
A king himself. Singeli ipo mikono salama kabisa
@minah_nyange10 ай бұрын
Katika wasanii wote wa singeli jaman dulla ndo mbunifu haswa 🙌
@edgarmandai10 ай бұрын
Kwenye suala la ubunifu we ni bora sana kwa sasa❤❤❤
@SuleymaniallyAbdallah10 ай бұрын
Safi sana dullah nakubali kazi zako singeli wewe ndio the most artist bongo ila njoo bro tuu yote uamepita msamehe mama ❤🎉
@masheyn10 ай бұрын
Ila jamani huyu jamaa anatumia akili nyingi saaana dah hongera saaana kaka umezaliwa kwaajili ya mzk 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mkili like mje na kwangu masheyn 🎶
@farajamelchior457810 ай бұрын
Kaka nakubali kazi zako yani una ubunifu wakipekea nakilasiku unakuja nakitu kipya.
Dulla noma hapo nasaport mziki km huu na sio ule wakumkufuru mungu
@lenniekim10 ай бұрын
Mfalme wa singeli🔥🔥Toka Kenya 🇰🇪🇰🇪 tunakutambua dulla
@wallaceexpert408110 ай бұрын
So creative, Jamaa nakuelewaga sana wewe ndio umenifanya nisikilize singeli napenda ubunifu wako wakipekee
@ngonde25510 ай бұрын
Kiukweli kabisa kaka Mimi skupingi wewe ni mwandishi mzuri kweli wewe King of singeli🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@hebeye10 ай бұрын
Hongera bro kazi nzuri sana nasubili basata wakuite Tena wakupongeze Kwa kufundisha jamaii
@mudimkagila525210 ай бұрын
noma sana tena sana aise dulla makanbila unajua yaani bonge la chuma
@issayopeali181610 ай бұрын
King of singeli from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@starjay305210 ай бұрын
uwakika hii imeenda na inachukua tena tunzo amini dulla ✅💫🙌🔥🔥🔥🦅✊
@rachemwapongo10 ай бұрын
KING OF SINGELI ,IGWEEEEEEEE unajua ,unajua ,unajua tenaa❤❤❤❤❤
@othmanshabani58569 ай бұрын
Ahhhkhhh dula ananikosha sana na singeli zake tulio rudia zaidi ya mara moja gonga like ❤
@shamisadiki526410 ай бұрын
Hongera sana Dulla kwa kaz nzur na inafundisha pia
@JumaSekuba10 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@walterkanje10 ай бұрын
This singeli hit from Dulla Makabila is on repeat mode! 🔄🎵 Unmatched energy and beats that hit different. Dulla, you've done it again! 🙌💥 #SingeliFever #dullaMagic" gonga like hapa.... love from MARS👽
@William_ngela10 ай бұрын
Safi sana ukweli umewaambia mama wa kizazi hiki cha sasa
@brothermams2810 ай бұрын
Song Kali sana Big up from 254🎉🎉🎉🎉🎉
@meshackkangwe341410 ай бұрын
Umeshindikana dulla asee we ni 👑 of singeri 🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@salamasaidi187610 ай бұрын
Not only king of singeli but also king of creativity 🙌
@CharlesSimon-bk6zy10 ай бұрын
Huyu jamaaa kwenye singeli yupo dunia nyingine hizi zake zimeanza kuacha matusi anafundisha ss big upo bro makabira
@jojigeorige105610 ай бұрын
Dah mamae Dula wa makabila... hapa umeua aisee. Wimbo wa kufungia mwaka na kufungulia mwaka. Wimbo huu unasajili mtoto shule hata kama ada imepelea😂😂
@saksenaStone10 ай бұрын
Makini Sana mwamba Yuko vizuri apewe maua yake ubunifu wa Hali yajuuu wenye ujumbe muhimu kwa dada zetu na mama zetu.safi Sana dulah dua nene
@evankya195510 ай бұрын
Pure creativity! Ingekuwa ndefu kidogo
@nashiruhassani515810 ай бұрын
Nakubali sana kaka dula big up sana kwako tuko pamoja🎉🎉❤
@happynkya977010 ай бұрын
huyu jamaa ni mbunifu sana aisee
@sulexhtechnician795010 ай бұрын
Ujuee dula ana ki2 cha kipekee sana kwenye mziki wake me ni msanii ilaa kk nakupa mauwa yako🎉🎉🎉
@issaadamu984710 ай бұрын
King Of singeli 👑 hongera makabila
@AlfredSenkondo-mi3wf10 ай бұрын
Oyaa kama unaamini Mwenyezimungu anabariki kila mmoja kupitia jitihada zake usipite bila like kwnye comment hii
@BAHATIKIBA-ul6wx10 ай бұрын
Kihukwel Funga Mwaka Hii
@manirambonajeanne387610 ай бұрын
Nikwer hatamalaa anabalikiwa 😂😂
@AlfredSenkondo-mi3wf10 ай бұрын
@@manirambonajeanne3876 Naye c anaomba Mungu apate Danga
@SicolagodrikMagomba-fz8qq10 ай бұрын
Duuh dulla Nini umefanya kaka
@FalidaAbdallah10 ай бұрын
Nic
@AloyceMathayo10 ай бұрын
Uuunyama ni mwingii mzee uuliouufanya humuu..hit song on fire 🔥🔥❤️