kuazia Leo nitakuwa shabiki wa harmonize what a song🔥🔥🔥
@JøzJosvas6 ай бұрын
Ili dude kweli.
@AnthonyDenice6 ай бұрын
wa kwanza kutoka unganda nipeni like zanguuu🙌🙌🙌
@edwinemoit3905 ай бұрын
Aaaaaaah kumamake uvumilivu umenishinda huu wimbo mkali mtani
@wandoabenjamen70034 ай бұрын
Sawa ila punguza ukaliwa maneno
@mashabikiwaharmonize6 ай бұрын
Kama unamkubali HARMONIZE weka like na kama wewe ni YANGA weka like pia
@A-BEN-19986 ай бұрын
Harmonaze wewe ni bingwa kweri❤❤❤
@JloveOfficial6 ай бұрын
Namkubali harmonize lakin siikubali yanga hata kufa leo nipo tilear kuliko kuwa shabiki wa yanga
@bonifacehaule53706 ай бұрын
🐘 jeshiiiiiii
@kinthermedia3 ай бұрын
@@JloveOfficialpp
@mtwaziruta39032 ай бұрын
@@mashabikiwaharmonize mtashenyentwa mpaka kieleweke
@PASCHALPETER-gp8ek6 ай бұрын
Wametoa nyimbo nyingi ila zote zimezimwa na ngoma 1 jeshi🔥🔥🔥🔥🔥
@ReginaLubaja2 ай бұрын
Yaani kila tukishenyetwa😢nakuja kuangalia hii nyimbo Dah 😫 yanga yangu nakupenda hivyo hivyo 💛💛💛💛💛💛
@IlhankhatibuАй бұрын
@@ReginaLubaja 😂😂😂😂
@ReginaLubajaАй бұрын
@Ilhankhatibu haichekeshi😒🥹
@dgochuibra5886 ай бұрын
mi simba ila uongo dhambi jamaaa kaimba vizur ,🔥🔥🔥🔥🔥
@_Wayiva_mukuta_jean3 ай бұрын
Mimi apa ni mkongo 🇨🇩 nime geuka kuwa yanga kupia harmonize.
@STEVENM.G6 ай бұрын
Mueshimiwa konde we noma kabisa wakuache tu umeshakamaliza yaani talent yako sijuwi niseme nini, ila wimbo wako mzuri Sana Steven from south Africa 🇿🇦🇿🇦
@hajidakalembo71383 ай бұрын
Leo tr3.11.2024 tujuane tulioangalia
@WhiteMediaKenya6 ай бұрын
Kenya tunekubali Yanga yote sote 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Lyricskenya0016 ай бұрын
wa kwanza kutoka kenya nipeni likes banaa❤❤ tukisonga #harmonize
@matridaboniphace65576 ай бұрын
Tuliorudià mara mbili kusikiliza gonga likeeeeee yangaaaa 💛💛💛💛💛💛💛
@ElastoElia-nb4xo6 ай бұрын
Umeua Mzee me nimnyama lakin hii ngoma ninoma 🙌
@aishabakari80406 ай бұрын
Tunao rudia jamni tujuwaneee 😂😂 🤸🏻♀️🤸🏻♀️🤸🏻♀️🔥
@sharomkalimani66906 ай бұрын
Kaaliiiiiiiiiii sana!!!...Yaani me Kutoka Kenya Lakn Naskia Kuishabikia Yanga Tayari🎉🎉
@IbrahimJuma-zs5jz6 ай бұрын
From Malawi I love yanga and I love harmonize following
@hassanaliamin11046 ай бұрын
Mimi ni Simba official lakini nimeipenda hii nyimbo,,,tujuane wanasimba tulikuja TU hapa kwaajili ya hili goma
@bravogidi36665 ай бұрын
Lot's of love from Kenya for Miamba wa Soka Young Africans .. mungu aibariki Yanga
@nsengiyumvajules26376 ай бұрын
Team ninayo ipenda ni Young Africa na Harmonize kanikubalisha zaidi. From +257
@israclassic57776 ай бұрын
Huyu mwamba anajua kuimba sio mchezo. Wimbo ni mkali balaa halafu hajatukana mtu wala kutaja timu nyingine kwa kejeli. Konde boy Harmonize nini umemeeee. Like za Konde boy hapa wanangu.
@fatimahants15266 ай бұрын
@@israclassic5777 bila kupinga song imepikwa
@BrayanKayanda-up1ym6 ай бұрын
Nimerudia zaidi ya mara kumi kuangalia hii ngoma kali sana aisee Konde Boy una kipaji kikubwa sana aisee
@FrancisMakome-zq7oh6 ай бұрын
mimi nimerudia 239
@FEiSAL_Tech6 ай бұрын
KENYA'S Let's Gather Here 👇
@robertchazya23516 ай бұрын
wimbo una motovate kupambana, big up
@imaculathamhagama74246 ай бұрын
Tulioamka na kuja kuutazama goma le2 ❤
@ndiiyolazaro11256 ай бұрын
Wanaomkubali konde boy na Yanga ngonga like hap tujuane 💚💚💚💛💛💛
@fatimahants15266 ай бұрын
@@ndiiyolazaro1125 bonge la song
@nyamwalyaigembya72306 ай бұрын
Mimi ni simba damu damu, Ila hili goma mwanangu Tembo ameua sana
@isackhabel15596 ай бұрын
Huu wimbo ukiimbwa unasikia mwili unasisimka ni hatariii sanaaa ❤❤❤❤❤
@RayNittu6 ай бұрын
Ngoma imetulia kinoma kinoma.Harmonize umetisha.
@MnasyBoy6 ай бұрын
Hii ngoma ni ya Moto konde unajua sio Siri bombo claaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@AirtelZnzbr-ur1ff2 ай бұрын
Kama umeangalia izi game mbili za yanga alafu umekuja kusikiliza aka ka song gonga like hapa
@daudijumarajabu24586 ай бұрын
Konde unajua sana mimi ni Simba lakini kwa hili chupa acha nimwage makopa tu❤
@Dogophinoofficial_988k6 ай бұрын
Nimefika mkongo wa Congo like zangu ajili ya harmonize tz❤😮🎉
@allug92063 ай бұрын
Leo hii nyimbo ndo imeleta maana ngoma kali sana😂😂
@RosePetro-ck8pt6 ай бұрын
Konde boy,umetisha sana,utulivu mkubwa sana ktk hii ngoma nzur iyoooo
Tulio ludi badala ya yanga kufungwa na azam tujuane kwa like ❤❤❤
@hindusullu39002 ай бұрын
Syo na azam tu mpk na tabora hahahaa😂😂😂😂
@JumaMigezo6 ай бұрын
Alie irudiaa kuiyangalia hii nyimbo zaidi ya mala moja kama mim aweke LIKE 💥
@churchillramsey29216 ай бұрын
From Kenya here🎉..Mucch love Konde Music..Yangaa!!
@peterchabaja27396 ай бұрын
Ivi jamaa ang izi nyimbo huwa ukila mibangi ndyo unatunga au mana dah...your a very pure talent Tena blessed from heaven...keep it up harmonize,,jeshiii
@gloshyjm23756 ай бұрын
Mimi sio Yanga wala Simba ila bonge la wimbo🔥🔥🔥ka melody na lyrics sasa👌
@janetymatola66396 ай бұрын
Wewe uogopi jeshiiii Yanga oyeee ukatae 7kubali tupo juu
@Nuru95682 ай бұрын
Tulokuja hapa baada ya vipigo viwili mfulullulizo😂😂😂tujuane
@MirajiMshami2 ай бұрын
Mnyama kama Mnyama
@simonbanda996 ай бұрын
Zambians 🇿🇲let's show Triple C (chama) some love
@lindiboy28126 ай бұрын
Bado wadau mpaka ipande no 1
@_Wayiva_mukuta_jean3 ай бұрын
Uhu wimbo kwangu ni kama dosi la dawa ❤❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@twicedone2546 ай бұрын
Not a football fun but now am here because of Konde boy....wapi likes za yanga💯💯🥳🥳🥳
@brianxenga22496 ай бұрын
kali sana jeshiiii 🔥 watching live from Nairobi Kenya 🇰🇪
@_Wayiva_mukuta_jean3 ай бұрын
Siku zote nipo kwajili ya harmonize, sauti ya harmonize ni tamu kama asali❤❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@MarkoSilwamba-k6t3 ай бұрын
❤❤❤❤❤🎉😂😮Kabisa😊😅😮😢🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@mandelatitus85946 ай бұрын
Mimi mkenya lakini napenda huyu jamaa vile alieezea vile Yanga inasakata kambumbu... napendezwa... i love you guys Harmonize on fire🔥🔥🔥🔥
@xboxgamer-easleygaming-ke6 ай бұрын
Ile creativity konde ametumia kuutoa huu wimbo iko on a very different level ❤❤❤
@DennisRonoh-s6l6 ай бұрын
Imeenda shule ❤.❤... Nairobi Kenya twakupenda
@mathiasbosire79276 ай бұрын
Mimi ni mkenya but napenda yanga. Wapi likes zangu watu wa yanga😊😊❤
@AgnessEdmund-nn8of6 ай бұрын
Aweeeeeee🎉 chama la wana🌟🏆💚🔥
@sahraabdallah72422 ай бұрын
Hii nyimbo naipenda sana ata tufungwe kila siku me bado naipenda sana
Konde gang ambao sio yanga ila tumekuja hapa tujuane jaman
@majariwabarasokoroza97016 ай бұрын
Mashabiki wa Yanga Australia waliyo piga dude hili siku nzima bila songs nyingine gonga likes hapa ❤😂
@clintonmabuka8925 ай бұрын
Tukubali tukatae harmo kwa uandishi melodies ameua ....this guy is a genius tanzania you have a gem
@JoynerReyson-cy6yd6 ай бұрын
Kwa hapa konde kaimba jamani Yanga ni timu kubwa na pia wasanii wake ni wa kubwa pia ukiona hivyo lazima UOGOPE Big up my brother Yanga Raha sana Mimi sihami Kwa kweli ❤❤❤❤
@fatimahants15266 ай бұрын
@@JoynerReyson-cy6yd good 👍 song ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@AliNyae-k4m4 ай бұрын
Mkali wao kondeboy
@STOPPA_BOY_RAPPER.6 ай бұрын
MUCH LOVE FROM KENYA🥰🥰💯💯 LIKES ZA KONDE ZIKAM
@johnkay53772 ай бұрын
I love how harmonize is paraphrasing the line up so easy musically, this guy is very talented
@boazmwaitenya55036 ай бұрын
Daaah,! Yan konde kaua Kwa nyimbo💛💛💚💚🖤🫶
@nellyephraim38326 ай бұрын
Ngoma kalii na usimba wangu nimeielewaa
@rajabually53726 ай бұрын
🎉🎉umetish mm ni yangaaaa
@amisibilly50846 ай бұрын
Umeupiga mwingi saana hamo yani ndo nyimbo yangu ya party kwa sasa❤❤❤❤
@hezrajotieno6806 ай бұрын
Yanga Wananchiii🔥
@ShottojumaNdakama6 ай бұрын
Shabiki wa Simba lakini kwa wasaniiii konde nakubari bosi wangu ❤️💕🥀🌹🌷🐘🔥🔥
@fatimahants15266 ай бұрын
Umetisha yanga Africans bingwa
@JumanneMayoka6 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤very nice broo
@johnmathew40516 ай бұрын
Umeshindikana 🙌🙌🙌 🎉🎉🎉
@_Wayiva_mukuta_jean4 ай бұрын
Mimi hapa Congo 🇨🇩 shabiki wa yanga kupia harmonize.❤❤❤❤2024 jusqu’au bout de ce monde 🌍 nitakuepo.🇹🇿🇹🇿🇹🇿😍🥰🥰
@ChrismasKivunje6 ай бұрын
Mimi nisimba🦁🦁🦁 ila kwahili goma harmo sarut hakika umejuaaaaaa
@lazarojoseph75416 ай бұрын
Ww ni shabiki real sio shabiki maandazi
@JoelKahuya6 ай бұрын
Mm ni Simba ila harmonize jmn dah! Hongera kwa radha kali
@EliezerLyimo2 ай бұрын
Kumbe bado ni trending😂😂
@issaali13216 ай бұрын
Mie ni Simba Wala simkubali monde boy lkn hapa nimekupa hongera yako broo.
@Im_claire_ray6 ай бұрын
I'm Element Eleéeh From 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼 Konde boy keep up ❤❤❤❤ i love you 😮
@_Wayiva_mukuta_jean4 ай бұрын
Mimi sio mtanzania lakini kupitia uyu wimbo wa tembo harmonize nimekua shabiki number one wa yanga, mimi ni mkongo 🇨🇩🇨🇩 yanga bingwa 🔥🔥🔥🔥🇹🇿
@clemencemarick32434 ай бұрын
Kma kuna mtu anaangalia hii ngoma baada ya Yanga kumfunga CBE 6-1 naomba like
@abdulhamidmachano4044 ай бұрын
6-0 Mzee
@azariadegiant51872 ай бұрын
Tuliokuja kuchungulia baada ya vipigo vya mbwa koko kwa yanga like hapa😂
@richardmaxwell39914 ай бұрын
Nimerudi tena ku comment, huyu jamaa ana andika bana, hii melody ni Priceless
@krrishlex2 ай бұрын
Hv yanga unaifungaje😀😀😀
@a.nasongo31526 ай бұрын
Kenyan premier league clubs could learn something from our TZ brothers. Absolutely beautiful.
@RoyKabaisa6 ай бұрын
Yanga bingwa love from Burundi
@hansonjosephat83446 ай бұрын
Semaaaaaaa Huyu Harmonize ni Motooooooo
@brunobruntix51772 ай бұрын
Tuliorudi baada ya yanga kufungwa mabao matatu na Tabora gonga like
@JumanneAlly-i2i2 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😂😂😂
@JumanneAlly-i2i2 ай бұрын
Yaaan sjawaigi kuangalia huu wimbo Ila ilipofungwa nimeirudia
@AminaNjau2 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@ARONPaul-bz3ws2 ай бұрын
nikooo apaaaa nasikilizaaaa kafungwajeeee🤣🤣🤣🤣
@janethagatha81556 ай бұрын
Harmonize asie yumbayumbaa na team 😊❤
@juliusmsote14426 ай бұрын
Hii Chuma ni ya moto sana…unaweza kuwa wimbo wa Taifa aisee
@braverboytz06 ай бұрын
kauuuuuuuuuuuuuuiiiwaaaaaaaaaàa Breva huyo Breva huyo kaitupa tena kwa dube
@dickMassawe6 ай бұрын
Oy Wanayanga tuishushe komasava ikae hii Ngoma 1 on trend
@yedwinjj2 ай бұрын
Hii nyimbo Harmonize alijua kuiimba vizuri bana🎉🎉🎉🎉
@peterlujuo16406 ай бұрын
Ngoma imeenda hii 🔥🔥
@kellyyobaibe40275 ай бұрын
Nimeuskiza mara 10000000000000 na bado sitoshekiiiiiii.... Huu wimbo nikama laana ... 🥳🥳🥳🥳🎉🎉
@richardmaxwell39915 ай бұрын
Hii ngoma imeandikwa bana, imagine wachezaji 30+ na benchi la ufundi wote wametajwa...one of the best.. top melody
@MonicaEmmanuel-x5f2 ай бұрын
Shida ilianzia hapa kazi kucheza tu mziki apira haa mshika mawili Moja umponyoka
@TozDa-gk9ej6 ай бұрын
Kazi nzuri kaka kwenye uwandishi tu wakupetuzo yako hakika we ni talented jeshiiii
@_Wayiva_mukuta_jean3 ай бұрын
Harmonize naomba haki yangu, kwanini nakupenda kiasicho?❤❤❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@HamadiMalanda6 ай бұрын
Haki ya mungu nimerudia mara 15 😅😅😅🎉
@victorernest77026 ай бұрын
Mimi mpk saiv sielewi ni mara ya ngap ila repeat ndio inajua 😂🎉🎉🎉