Dunia Imani Imekwisha Marijan Rajabu

  Рет қаралды 762,811

Balantanda

Balantanda

Күн бұрын

Пікірлер
@janetwanjiru1491
@janetwanjiru1491 4 жыл бұрын
2020 kama una sikiliza marijani rajabu salute kwenu wote ,nasikiliza huku nikimwomba mungu Covid 19 aka Corona iishie mbali.
@fadhlaouifathi6026
@fadhlaouifathi6026 4 жыл бұрын
Km l
@SUNDAYMGOLA
@SUNDAYMGOLA Жыл бұрын
Huyu mzee ni fundi
@julithamuhale7271
@julithamuhale7271 Жыл бұрын
Ohh!kumbe fadhila ya binadamu ni ya muda!
@lucashakili2719
@lucashakili2719 11 жыл бұрын
nyimbo za zamani kama hizi zina ujumbe ndani kila rika wanasikiliza
@kudramasoud2694
@kudramasoud2694 7 жыл бұрын
Salute kwako jabali la music rajab shabhani marijan bonge la ujumbe Allah akusamehe madhambi yako
@josephabel7654
@josephabel7654 4 жыл бұрын
Hii ardhi imemeza watu muhimu sana,Mwenyezi Mungu awarehemu marehemu wote...Mziki mzuri utaishi milele 30/12/2020❤️❤️
@ogetoj6245
@ogetoj6245 3 жыл бұрын
Marijan Rajab and Mbarak Mwishehe top the class of the best composers and singers of the yester days, in Tanzania. By coincidence, the two come from Morogoro. We miss your wisdom! Dr. Ogeto International
@pascalilikecharles278
@pascalilikecharles278 9 жыл бұрын
gwiji la music Tanzania na Africa mashariki nzima mungu akulaze mahali pema peponi.
@wamupepe120
@wamupepe120 5 жыл бұрын
Nyimbo nzuri can help someone who's disturbing about vitu vya dunia . Money, money , money utapoteza Mapendo , nikweli . Utauzisha nduguuuu ,utakosa adabu, utatukana watu wote ,utaji amini kwa jia ya UGONJWA mu Mutwe . Nisafi nyimbo oyo.
@magrethmkumbo6708
@magrethmkumbo6708 7 жыл бұрын
Napenda sana nyimbo za zamani hasa za marijani Rajab na mbaraka mwishee!! Nyimbo zazamani ni nzuri sana kwanza unapozisikiliza zinamahusia ya maisha yetu yakila cku! Mwenyezi MUNGU awalaze mahala pema peponi ameen
@allykillenga6146
@allykillenga6146 6 жыл бұрын
nice
@shevshenko3614
@shevshenko3614 2 жыл бұрын
Dah kweli nimeamini ya kale ni dhahabu yaan usia mwanzo mwisho🙏🙏🙏🙏🙏
@HabibuThabiti
@HabibuThabiti 3 ай бұрын
Fatilia na za madiu sistemo utanambia Kuna Pini noma
@phillippetershayo9016
@phillippetershayo9016 8 жыл бұрын
Marijani Rajabu..Mungu akulaze mahali pema,Tutaendelea kukuenzi, Umetuachia mafundisho mengi kupitia nyimbo zako.
@dadawemkaliwakataewakubali4098
@dadawemkaliwakataewakubali4098 8 жыл бұрын
Phillip Peter Shayo mungu ilaze roho yamarijani rajabu mahali pema amina
@Imanikkk
@Imanikkk 3 жыл бұрын
👍 👍 👍 👍 👍
@charlesmaina5413
@charlesmaina5413 27 күн бұрын
Halo, halo ndugu wa Tanzania, natoka Kenya na napenda sana nyimbo za watanzania wa enzi hizo haswa maalim gurumo. Kuna wimbo wa huyu jamaa unaitwa jumbe. Naweza upataje?
@MafegiPesambili
@MafegiPesambili 6 ай бұрын
Namkumbuka baba yangu alikua anaimba sana huu wimbo 1993 mungu awapuzishe maana wote mko mbele yahaki
@aggreyoriema8914
@aggreyoriema8914 Жыл бұрын
Good vibes 🔥🔥🔥🥀🥀🌹🌹🌄🌄🌄💯💞💞💞
@omarkipotwile9052
@omarkipotwile9052 Ай бұрын
2024 still rocking
@steveargwings8133
@steveargwings8133 Ай бұрын
Marijani Rajabu alizaliwa Machi 3, 1955, Kariakoo, Dar es Salaam, Tanzania, na alikufa Machi 23, 1995, Dar es Salaam, Tanzania.
@williamuphilipo7447
@williamuphilipo7447 2 жыл бұрын
Marijani Rajabu aliishi katika Mawazo yaliyo hai, ndio maana ingawa hatupo naye kimwili lkn mawazo yake yanaishi mpaka leo hii. Viva our Legendary.
@amosjuliusrioba1064
@amosjuliusrioba1064 3 жыл бұрын
Ni 2021, nakupata vizur na nafurahia Kaz yako Marijan Rajab. Rest in peace Comrade. Your legacy is living, your sound is living, your message is living.
@nickayub5987
@nickayub5987 3 жыл бұрын
Advice for all ages! Thank you Marijan! Listening in Nairobi,April 2021 nikishangilia Rais Mama Suluhu.
@tomsticky3124
@tomsticky3124 3 жыл бұрын
Y
@issamangapi5486
@issamangapi5486 3 ай бұрын
Hivi mbona sijasikia wakipewa tuzo huyu ma mbaraka mweshehe
@ogetoj6245
@ogetoj6245 4 жыл бұрын
Uduni wa imani, uzalendo na wingi wa ubinafusi umeongezeka duniani. Maulana twaomba utulehemu.
@jamesmwasambili381
@jamesmwasambili381 9 жыл бұрын
Kweli dunia sasa imani imekwisha,bora ukutane na mnyama porini lakini sio binadamu,utu hakuna Ee Mwenyezi tutee waja wako
@jimmymusti165
@jimmymusti165 7 жыл бұрын
ujumbe mubashara...!!! dunia hii ya sasa dah rest in peace mtaalam Marijan....,M/Mungu akurehemu
@robertlusingo4861
@robertlusingo4861 4 ай бұрын
Alinihamasisha kipindi nikatengeneza gita Debe okay na mishipi ya samaki Kama nyuzi za gita na I niwe mwamuziki
@SharifaMkwangia-vc6tw
@SharifaMkwangia-vc6tw 8 ай бұрын
Shalifa yani zamani muziki ulikuwamoto san
@bigmzazee2961
@bigmzazee2961 3 жыл бұрын
Niko hapa 2021 mungu mkubwa tunaendelea kuona mambo ya dunia eeh mola tujalie mwsho mwema
@mjombayai6888
@mjombayai6888 7 жыл бұрын
Hizi ngoma nazikubali mpaka nahisi kuumwa yaan ni tamu kupita maelezo yake, Naziombea zizidi kuwepo hapa Duniani.
@hajimbarouk2960
@hajimbarouk2960 4 жыл бұрын
Bado pengo lako halijazibwa Mzee baba
@alfredmarti3131
@alfredmarti3131 Жыл бұрын
Angelikuwepo sasa hivi ndio angeshangaa zaidi. Dah!
@omarymakungu1520
@omarymakungu1520 Ай бұрын
😂
@bigmzazee2961
@bigmzazee2961 2 жыл бұрын
2022 December Niko apa utu umekwisha umebakia unyama
@MROMMAH
@MROMMAH 3 жыл бұрын
Dah naisklza hii goma mwak 2021/05/18......dah asee zaman wamefaidi sana looooooooh........😁😁👏👏👏👏saiv kwetu zmebak kam historia unaicklza una ifeel yan
@husseinomary4466
@husseinomary4466 5 жыл бұрын
Huyu jamaa sijui kavaa nguo ngapi gonga like yako Kama nawewe kwenye picha hiyo
@anthonykisogole3950
@anthonykisogole3950 5 жыл бұрын
Inategemea mazingira kama yupo Russia au Scandinavia unavaa zaidi ya hizo
@amourmtungo623
@amourmtungo623 8 жыл бұрын
Mungu amrehemu Marijani Rajabu. Alikuwa na upeo wa pekee kimuziki nchini Tanzania. Nyimbo zake kamwe hazishuki hadhi.👍❤️.
@merryjoseph8300
@merryjoseph8300 6 жыл бұрын
Amour Mtungo kabisa
@gosogoso5287
@gosogoso5287 6 жыл бұрын
jabali LA muziki mungu amrehemu nyimbo zake ni kielelezo kwa jamii
@allykillenga6146
@allykillenga6146 6 жыл бұрын
inapendeza sana
@charlesnyamu3753
@charlesnyamu3753 9 жыл бұрын
Bila shaka, huyu ni jabali, jana, leo, kesho.......Mola akulaze weeema!
@bupemwagomile6948
@bupemwagomile6948 4 жыл бұрын
Mbaraka mwishehe
@aggreyoriema8914
@aggreyoriema8914 3 жыл бұрын
Nani kweli dunia imeshakiwisha si uongo na penda Sana nyimbo zako
@aggreyoriema8914
@aggreyoriema8914 3 жыл бұрын
Mbinadamu wamengeuka wakakua wanyama
@pendopendo6600
@pendopendo6600 8 жыл бұрын
mi Nkijan mdog san ila nyimbo naipenda san mungu hakureemu uko uliko Amina
@jumanneshabani993
@jumanneshabani993 6 жыл бұрын
Tutaenderea kukumbuka nyimbo zako mungu akulrehemu mirere
@SeifHassan-e3t
@SeifHassan-e3t 7 ай бұрын
Dah nakumbuka mbaliiiiiiiii sana Leo dah maisha ni kitabu
@tunumbungiro3884
@tunumbungiro3884 9 жыл бұрын
huu wimbo unagusa maisha ya kila siku haupitwi na wakat
@omaryamad364
@omaryamad364 8 жыл бұрын
aisee nyimbo za marijani Rajabu darasa sio nyimbo za sasa matusi wenyewe mavazi uchi mtupu
@venancejohn7866
@venancejohn7866 8 жыл бұрын
Ningefurahi sana kama zingepewa kipaumbele.
@rashidothuman9923
@rashidothuman9923 6 жыл бұрын
Rip Jabari la music🎤🎼🎹🎶🎶🎶
@KakumbaKakumba
@KakumbaKakumba 9 ай бұрын
Yukon Sawa hata umbo alipewa mungu wa kweli ashukuliwe
@hesseinpengo8286
@hesseinpengo8286 2 жыл бұрын
Jabal la music ayati marijan rajabu dahhhh mungu akulekhem
@paschalkedmoni7484
@paschalkedmoni7484 8 жыл бұрын
I 👍 him coz z some1 special in ma life.he made me to passed easily in hard challenge until to arrived here Jah bless u every whr u passing ther.
@babarukaiyababarukaiay8295
@babarukaiyababarukaiay8295 5 жыл бұрын
I wish ungekuepo zama Izi @2019 RIP Jabali
@rahabujohn2691
@rahabujohn2691 5 жыл бұрын
Nyimbo za zamani zilikuwa na mafundisho za leo ni mapenzi tu halafu mzuri jamani pumzika kwa Amani Baba
@mwanaidinakenya8364
@mwanaidinakenya8364 9 жыл бұрын
nyimbo zake zote zinaviwango
@aymankhadija619
@aymankhadija619 3 жыл бұрын
Kweli kabisa my
@mussapukey1104
@mussapukey1104 4 жыл бұрын
Hawa mzee wamekufa ila nyimbo zao zinaishi wakina diamond wanaishi nyimbo zao zimekufa hazina dili kabisa
@othmanalsherem7313
@othmanalsherem7313 4 жыл бұрын
Mistari imesimama,Kama kipindi hicho dunia imekwisha je sasa hivi
@Imanikkk
@Imanikkk 3 жыл бұрын
Mungu ampe kauli sabit good 👍
@josisaidi4419
@josisaidi4419 5 жыл бұрын
Tunaosikilz hi nyimbo 2020 tujuane hp
@happykulanga6696
@happykulanga6696 4 жыл бұрын
2021
@sangasam4163
@sangasam4163 3 жыл бұрын
Hapa ndipo
@saidmpondomoko4854
@saidmpondomoko4854 3 жыл бұрын
Tupo na bando LA kutosha vijana Wa as wajifunze kwa away magwiji nyimbo zinaishi sio zao mwezi zimesahaulika
@shevshenko5509
@shevshenko5509 2 жыл бұрын
Shev shenko
@juliusotucho4436
@juliusotucho4436 11 ай бұрын
2038
@martinmwombeki776
@martinmwombeki776 5 жыл бұрын
Hizi ndizo nyimbo , mwenyezi mungu akuweke Mahalia pema
@sangomamourice3539
@sangomamourice3539 Жыл бұрын
Mwishoni kabisa wa 2023 bado nasikiliza yaliyo dhahabu mbele ya masikio yangu
@ashacarzola6893
@ashacarzola6893 Жыл бұрын
2023 nasikiliza hapa ,nimekumbuka home sana jmn
@Georgemzuzuri-jz2ry
@Georgemzuzuri-jz2ry Жыл бұрын
Nakumbuka tip top bar manzese b dsm
@husseinramadhan3515
@husseinramadhan3515 2 жыл бұрын
Mziki mzuri haufi unaishi milele
@jumajuma1518
@jumajuma1518 4 жыл бұрын
Namkubali sana huyu gwiji was music ukweli ujumbe wako unatufundisha sana
@maganyarobert7008
@maganyarobert7008 2 жыл бұрын
nakumbuka Enzi hizo kweli ya kale dhahabu
@kanjegenilongo1004
@kanjegenilongo1004 8 жыл бұрын
mungu weka busara za maneno haya katika akili za binadamu wa leo; ulikuwa jembe babu
@charlesally6028
@charlesally6028 5 жыл бұрын
Kweli kabisa duniani imani imekwisha
@MOHAMEDBALOZI-o9d
@MOHAMEDBALOZI-o9d Ай бұрын
Ki ukweli Marijani ni kiboko wa kuelimisha na nasaha za uhakika. Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema
@monicapaulmarwa4546
@monicapaulmarwa4546 8 жыл бұрын
Ujumbe mzuri Sana;unaelezea kabisa maisha tunayoishi sasa;Upumzike kwa Amani.
@merryjoseph8300
@merryjoseph8300 6 жыл бұрын
Monica Paul Marwa rip
@bezarelchilewa9336
@bezarelchilewa9336 5 жыл бұрын
Wataendelea kukumbukwa daima.
@iddaraymond7396
@iddaraymond7396 3 жыл бұрын
Kweli kabisa dunia imani imekwisha Mungu baba tunusuru.pumnzika kwa amani marjani rajabu
@charlesbonifacekamotha3171
@charlesbonifacekamotha3171 2 жыл бұрын
Natamani laiti ingekuwa inawezekana dunia tuiludishe nyuma japo kwa nusu Saa tu!
@shabanibumbolikassike20
@shabanibumbolikassike20 7 жыл бұрын
We acha tu sina la kusema juu ya huyu Jabali la muziki ila ni kumuombea dua tu. Kwani nyinbo zake zote alizotunga na kuimba zina msfundisho makubwa katika jamii yetu. Mm sisikilizi bongo fleva hata kidogo.
@leahestony2723
@leahestony2723 2 жыл бұрын
2022 tupo pamoja😍😍😍
@henrychaula1174
@henrychaula1174 Жыл бұрын
Marijani Rajabu hakuwa tu mtunzi na mwimbaji baali JIALIMU LA MAISHA kwa wanajamii
@husnamohamed9448
@husnamohamed9448 6 жыл бұрын
Nilikukubali na nazidi kukukubali jabali.Wasione wivu kuiga kutoka kwako
@salehemauza9724
@salehemauza9724 2 жыл бұрын
Huyu aliishi mbele ya muda sana
@frbm1729
@frbm1729 7 жыл бұрын
Nakumbuka kifo cha baba yangu mzazi mzee Bulabo.
@emmanuelmbati2273
@emmanuelmbati2273 7 жыл бұрын
My school mate at Tambaza secondary school. He remains the best ever.
@rastokapunji7191
@rastokapunji7191 5 жыл бұрын
Ulimshuhudia vipi Marijani bwana Emmanuel.Nimejaribu kupata historia yake bila mafanikio huyu nyota wa Afrika mashariki na kati
@pascalmayalla6869
@pascalmayalla6869 4 жыл бұрын
Mkuu @balantanda, thanks for this
@thomasathanas3957
@thomasathanas3957 3 жыл бұрын
Tupe uzoefu wako nyakati hizi ilikuwaje?
@davidzacharia2373
@davidzacharia2373 7 жыл бұрын
uwa sichoki kusikiliza hizi nyimbo,marijani rajabu na mbaraka mwinshehe
@mohamednamnuma4074
@mohamednamnuma4074 7 жыл бұрын
Kiukweli zamani kulikuwa Na mziki hivi sasa kuna biashara tu
@gomberaathumani8891
@gomberaathumani8891 9 жыл бұрын
Nyimbo safi sana
@MOVIEMAX265
@MOVIEMAX265 3 жыл бұрын
2022 narudia kusikiliza ujumbe wa maisha utakaodumu vizazi na vizazi
@RamadhaniKondo-n5c
@RamadhaniKondo-n5c Жыл бұрын
Mwenyez mungu akulaze mahalo pena
@paulmacheque6507
@paulmacheque6507 7 жыл бұрын
Kwa kweli huu ndio mziki.Unaweza kuusikiliza mahali popote na ukiwa na adhira yoyote maana ujumbe unapenya kote. R.I.P Jabali, nguli na mkongwe wa muziki Marijani bin Raajab.
@eliandelemani8465
@eliandelemani8465 7 жыл бұрын
Niko na miaka 24 rakin nazikubari sana
@merryjoseph8300
@merryjoseph8300 6 жыл бұрын
Paul Macheque rip kipenz cha watanzania
@beatriceshadrack9995
@beatriceshadrack9995 8 жыл бұрын
Nakumbuka nyuma sana, miaka hiyo iliyopita
@sangomamourice9425
@sangomamourice9425 5 жыл бұрын
Hakika
@swalhinajuma4149
@swalhinajuma4149 Жыл бұрын
Jamani hii nyimbo boomplay siipati
@ibrahimabdallah5371
@ibrahimabdallah5371 5 жыл бұрын
jabal wa muziki mungu amlaze mahala pema
@gabmtenga3009
@gabmtenga3009 6 жыл бұрын
Nadhani tusiseme zilipendwa tuseme zinazopendwa tutakua sahihi.
@hajimbarouk2960
@hajimbarouk2960 9 жыл бұрын
Ilikuwa saafi sana, vijana wetu wa sasa inatakiwa wajifunze kupitia nyimbo za hawa wenzetu japo hawapo lakini hazina zao zipo.
@hajichungu9413
@hajichungu9413 5 жыл бұрын
Haji Mbarouk kweri kaka ujumbe murwa kabisa
@rashidmshindo1527
@rashidmshindo1527 3 жыл бұрын
Pamoja
@ernestmodest3192
@ernestmodest3192 7 жыл бұрын
Huu mziki utafikili umetoka Jana R.I.P Rajabu Marijan
@ifakaraenvironmentcdoorg2559
@ifakaraenvironmentcdoorg2559 5 жыл бұрын
niko shule hao tena darasa la tatu nakubuka walimu wangu du asante sana walimu na wazazi wangu hadi leo
@mutalemwa-woerle
@mutalemwa-woerle 3 жыл бұрын
Daah imenikumbusha mbali sana...
@fredsengo4122
@fredsengo4122 3 жыл бұрын
nani yuko apa anasikiza 2022.01.01??
@greenscreenvidoeprodutions3179
@greenscreenvidoeprodutions3179 6 жыл бұрын
katika maisha marijani alifunza mengi kupitia usanii - mungu amrehemu
@rastokapunji7191
@rastokapunji7191 6 жыл бұрын
Jabali na sauti yenye tani 7 katika ubora wake.
@omaryngaro5421
@omaryngaro5421 8 жыл бұрын
asee watu wa zamani mmekula raha asee duuu?
@jaksonsafiel7967
@jaksonsafiel7967 5 жыл бұрын
sautissa jaman ulale maalipema peponi
@juntwantuli5404
@juntwantuli5404 9 жыл бұрын
ujumbe mzuri
@selemanishomari1131
@selemanishomari1131 4 жыл бұрын
Mimi mars ft mwanafa
@AllyMsita
@AllyMsita 7 ай бұрын
Hakika miziki ilikuwepo watu wa zaman mliinjoy sio sasa miziki ni kutamka matusi tup
@omaryhussein1394
@omaryhussein1394 7 жыл бұрын
nyimbo zenye mafundisho
@shabanibumbo2515
@shabanibumbo2515 8 жыл бұрын
yani huyu mungu amlaze mahali pema peponi maana hizi nyimbo zake zinalenga jamii tu na jinsi ya kuishi kwali mm nimsikilizaji mzuri sana na hizi zilipendwa ingawaje co mtu mzima kivile lkn hua nakumbuka mengi sana.
@danielmwakamisa1985
@danielmwakamisa1985 4 жыл бұрын
Kweli zamani tulifaidi sana
@nurumvungi2210
@nurumvungi2210 2 жыл бұрын
Hizi jumbe kizazi kipya hawana kabisa... Sijajua ni watunzi wa simulizi kama hizi hakuna ama shida iko wapi sijajua.
@khajiabdallah6489
@khajiabdallah6489 7 жыл бұрын
huu ndiyo muziki wa kusiliza
@mohammedomar4758
@mohammedomar4758 5 жыл бұрын
Zilipendwa ni nyimbo za makini sana
@wamupepe120
@wamupepe120 5 жыл бұрын
Umaskini ni mambo . Inabalula vichwa mbele ya FEZA .
@leylazcommunication617
@leylazcommunication617 6 жыл бұрын
vya kale dhahabu....👂 2018
NDOA YA MATESO (cover) Lejendari MARIJANI RAJABU
6:39
babloom kisauji
Рет қаралды 134 М.
Marijani Rajabu - Masudi
7:46
Power Nguzo
Рет қаралды 430 М.
We Attempted The Impossible 😱
00:54
Topper Guild
Рет қаралды 56 МЛН
REAL or FAKE? #beatbox #tiktok
01:03
BeatboxJCOP
Рет қаралды 18 МЛН
When you have a very capricious child 😂😘👍
00:16
Like Asiya
Рет қаралды 18 МЛН
Orchestra Maquis Original - Niweve Pekee
7:00
dinkotom
Рет қаралды 427 М.
Zuwena - Marijani Rajabu
10:06
Zilipendwa TZ
Рет қаралды 119 М.
Tanzania - Marijani Raajab - Namsaka Mbaya Wangu
8:26
Tizedboy Channel
Рет қаралды 590 М.
SAMBA MAPANGALA      Dunia tunapita       OFFICIAL audio
5:29
Eniath mtewa
Рет қаралды 1,7 МЛН
Zilipendwa RTD - Salaam Baba na Mama
4:53
ZILIPENDWA TANZANIA
Рет қаралды 393 М.
Usia Wa Baba
7:06
Bongo Records
Рет қаралды 50 М.
DDC Mlimani Park - Barua Toka Kwa Mama
7:49
Tizedboy Channel
Рет қаралды 938 М.
DUNIA UWANJA WA FUJO  MARIJANI new)
7:43
ZILIPENDWAMUSIC
Рет қаралды 171 М.
mwajuma- MARIJANI RAJAB
6:29
IskaJoJo Studios
Рет қаралды 460 М.