Embu mpeni ajira Vunja bei awasadie anaakili kubwa sana
@ibrahimpilla2731 Жыл бұрын
Nmesoma na vunjabei advance alipiga ONE,huyu jamaa ana akili sana
@CHRISTINAMAGASI7 ай бұрын
😂ww ulipata nn jmn
@SoudShuraim3 ай бұрын
Yeye alipata zero
@adamnguvu10203 ай бұрын
Kupiga one sio tatzo unaweza kupga one naukashindwa concept
@JumaMarwa-hc9te2 ай бұрын
𝐾𝑎𝑘𝑎 𝑢𝑙𝑖𝑜𝑛𝑔𝑒𝑎 𝑘𝑎𝑚𝑎 ℎ𝑎𝑢𝑘𝑢𝑒𝑙𝑒𝑤𝑒𝑘𝑎 😂😂😂
@vicenttarimo22033 ай бұрын
Sikujua kama Kuna wafanyabiara wenye akili hivi kumbe baadhi wanawashinda hata walioko madarakani.
@hamisimsosi62379 ай бұрын
Wewe sasa tunakupandisha cheo wewe ni rais wa wafanya biashara 😅😅😅😅😅😅😅😅
@Voxmediatz2 ай бұрын
Aliyesoma kasoma
@annabadru2352 Жыл бұрын
Vunjabei uko vzr sana mno Yani weweee kichwa honey
@kianda973 Жыл бұрын
Huyu jamaa ni mwamba
@willisonTheonest3 ай бұрын
Safi sana nchi ikiwa na vijana kama awa kitaeleweka
@nasibukajenga84432 ай бұрын
Namjua huuuu mwambaa kapigaga one pale chuo
@hamisimsosi62379 ай бұрын
Yaani wewe fred ni mwamba yaani unafunguka vitu vya maana havina hata vairas ya kisiasa hongera fred😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@IssaPagali Жыл бұрын
Kama unaakili timamu na umekamilika Kila idara utaona tunakoelekea mm naonea huruma vijana na watoto ambao bado Wana umri mwingi wa kuishi kazi ipo ili kusafisha haya yote ni ngumu mizizi hii kuitoa inaitaji lawama na cdhani kama atakaeitoa hiyo mizizi atakaa wapi kwa usalama wake kazi ipo
@brianlaroya8185 Жыл бұрын
Eti vunja bei kamwaga machozi, andika habari ya kweli watu wataangalia tu
@Fefetubes Жыл бұрын
Jamaa anaakili hadi anaakili tena
@happymasha4318Ай бұрын
elimu ya kodi iwekwe kwenye silabasi za shule ili kila mtoto aweze kusoma na kuelewa kuliko kusoma mambo ya watu yakikoloni
@roberttarimo39573 ай бұрын
Uko vizuri bro unaweza kutetea wanyonge safi sana
@suzanamwangingo2995 Жыл бұрын
Vunja bei unaongea pointi sana .hongela kaka.wazili mkuu wafanyabiashala wako wanateseka sana.tla hapana
@sabrinayahaya952 Жыл бұрын
Bado utasikia watu kidumu chama cha mapinduzi😂😂😂
@yohanasimoniАй бұрын
Waziri anapata madini toka kwa vunja bei
@SebastianJohnkontable2 ай бұрын
Wasomi wamechili kinoma
@hurumalunda24903 ай бұрын
Safii,,na umachinga wa wawekezaji wa kigeni kuharibu mzunguko
@mwarikimwariki2653 Жыл бұрын
Safi sana vunja bei,. Concepts nzuri sana
@Luganoamos-jv5in3 ай бұрын
Nilikuwa naye pale chuo hyo jamaa,anafaa kuwa mwenyekiti wa wafanyabiashara safi vunja bei
@tatoorashedi1787 Жыл бұрын
C .TRA tu idara zote zimeoza hakuna hata sehem yenyenafuu viongozi tembeleeni kwenye vitengo mjionee wenyewe
@emanuelsamson-hq2jv Жыл бұрын
Vunja beiukosawa nduguyetuu
@jedidahbintidaudi82413 ай бұрын
mamalamikoa kila siku na serikali haiskii..jmni kwa kweli sio haki kabisa
@JosephHewan-qb1uq3 ай бұрын
binamu humeongea vizurisana 🎉❤
@yohanasimoniАй бұрын
Vunja bei awe mbunge
@JacksonMwinga3 ай бұрын
Saf sana
@bajagihaji8923 Жыл бұрын
Kweli elimu ya kulipa kodi ni muhimu kila upande ujitetee kisheria
@TeamKRX Жыл бұрын
Wa Tanzania hongereni wakenya munatuona sasa mumetuelimisha sasa watakoma sasa wanaotunyanyasa
@BetresChambo-uv4qb2 ай бұрын
TRA MCHUKUENI VUNJA BEI AWAPE MAARIFA YA ULIPAJI WA KODI NA KUTOFAUTISHA WAFANYABISHARA WAKUBWA NA WADOGO NA MACHINGA WENYE MTAJI WA CHINI YA M.3
@akberyuda5950 Жыл бұрын
VUNJA BEI KICHWA SANA
@joisejimmy750 Жыл бұрын
Mwiguru aende burundi
@leahmgunda4154 Жыл бұрын
Mwanzo wa ngoma ni --- - -
@sskondopoleani9616 Жыл бұрын
Alama ya Kengerre
@BoniphasLukas3 ай бұрын
Chalamila lipo tu linasikiliza naujinga wake
@RoseKaiza-g2j3 ай бұрын
Hadi nimecheka tena lipo tu limetumbua mimacho hapo haelewi chochote!