Рет қаралды 4,535
DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Julai09, 2024 | Jioni| Swahili Habari leo | Ripoti na Uchambuzi | Taarifa ya Habari | Matangazo ya DW | Dunia yetu.
Rais wa Misri Abdel Fattah al Sisi na mkurugenzi wa shirika la ujasusi la Marekani CIA William Burns wamejadili kuhusu juhudi za kufikia usitishaji mapigano Ukanda wa Gaza.
#dwkiswahili #HabarizaUlimwengu #dwkiswahili #DWSwahili #HabariLeo #RipotiNaUchambuzi #TaarifaYaHabari Ukitaka kukupata habari zetu kila siku, bonyeza 'subscribe' kwenye chaneli yetu ya DW Kiswahili.