jmn mdada mweupe ni mxtaarabu ,mtulivu ,mrembo lastly anaongea kistaarabu na mme wake jmn me nimependaaa💓💓
@RahmaMchomeАй бұрын
Wanaume jamani
@user-iw8ns4ml4m5 ай бұрын
huyo kaka atajuta akimuacha hyo dada mweupe coz mweus hana mapenz ya dhat she looks like khb
@emmanuelcuthbert26663 ай бұрын
Mweusi ni Malaya NDIO
@RasuliSamiji-cn3tf2 ай бұрын
Amini kwamba ka lamaya ivi si anaonekana tuh
@ouweydalton77322 ай бұрын
tatizo wife material hatuwapigi kama michepuko asee
@miriamcastor57132 ай бұрын
Sana anazingua huyu jamaa
@user-lg9sx7fk1bАй бұрын
Kabisa kwanza amesema hana mpenzi mmoja 😢 utaletwa maradhi dada achana nahuyo mwanaume ww mzuri mbona
@lovenessmagige65174 ай бұрын
Nimependa huyo mdada mweupe anajitambua,,mtulivu❤
@RasuliSamiji-cn3tf2 ай бұрын
Kabisa
@eggysulle79882 ай бұрын
@@RasuliSamiji-cn3tfpart 2 wap jmn
@user-dw4ve4xp3x5 ай бұрын
Uyu dada mweupe ana hekima sana… na anaonekana very smart na ana mapenzi ya kweli kabsa❤
@Tamtam-wd1dy2 ай бұрын
Sema kapata wrong person anampa kila kitu mwanaume ona alivotendwa. Mwanaume hahudumiwi... Ila atajifunza bora akae atapata real man wa ku show true love na respect. Aachane nae jamaa kamdhalilisha sana
@user-fc6qc8np5n5 ай бұрын
Huyu dada mweusi linavyojishaua Sasa bayaaa pole dada mweupe we mzuriii utapata wako Tu na utainjoy
@peninanelson1380Ай бұрын
Yan kama paka😂😂😂
@user-fc6qc8np5nАй бұрын
@@peninanelson1380 😂😂
@user-fc6qc8np5nАй бұрын
Angel
@camillamdeda68705 ай бұрын
Ww dada mweupe huyo kaka hakupendi my dear achana nae tu mana anakupotezea muda!.🙌
@user-qo8eu1br6f4 ай бұрын
Yaani siyo mwaminifu kabisa huyo kaka kashikika kwa danga inaonyesha cheusi Mabwana km woteee 😂
@carolinemunishi12862 ай бұрын
Jaman huyu dada mweupe Mungu akuheshimishe mumy hakika Una busara na heshima sana Mwenzio yupo kazini uwiii
@user-dr9hl3ng7j5 ай бұрын
Next plz pole dada cheupe mungu akujalie akija akuchague wewe ilo jitu jeusi litayari
@user-xc4or2vp6l22 күн бұрын
My dear achana na huyo mwanaume, Mungu amekuonesha mapema. Utapata wako kipenzi❤, amazing man. Huyo anaweza sema nimeachana naye kumbe wanaendelea. Mpka kaka wa watu anaona huruma yeye 😮. Mnaona vile wanaume wakiingia kwenye ndoa wanatoka nje, wengi wao wanakuwa ni ex wao wa zamani. Focus my dear, live your life.... atakurudisha nyuma kimaendeleo
@ramlanaisula16772 ай бұрын
Wooishe...❤..we ni karembo sana...you will get a man who love you Mammah..HUGs kipenzi...
@Kipepeocheusi2 ай бұрын
Nyieeeeee🤣🤣🤣🙌🙌 Naachana na mapenz
@rayvanny29762 ай бұрын
😂😂😂😂😂🙈🙈🙈
@fatmampunga44973 күн бұрын
The same to me 🙌🏻🙌🏻🙌🏻Sitaki tena
@lucyannastacia63853 ай бұрын
Aki kiswahili is such a romantic language.ila mdada mweupe namkubali sana
@user-qz7ti9zr6e4 ай бұрын
Ila dada mweupe ni mzuri na nimpole
@user-km5fr7co1w5 ай бұрын
Ww mweusii rohoo mbayaa kama chunguu Cha vitumbuaa
@estermwakatundu302811 күн бұрын
Kafanyaje sasa jmn asichangamke 😅😅😅
@officialijang5 ай бұрын
Nikipata mdada kama huyu mweupe ntamficha mbali sana wasimuone kabisa ❤❤😢😢😢
@halimaomary7895 ай бұрын
😂😂
@officialijang5 ай бұрын
@@halimaomary789 acha kbisa ana amesikia aje tuyajenge
@magrethjacob11914 ай бұрын
😂😂
@FAUSTAMBAGA2 ай бұрын
kisa umeskia anahudumia.......kwendraaaa
@rachelmuhehe77892 ай бұрын
😂😂😂@@FAUSTAMBAGA
@agriparose39425 ай бұрын
Huyu dada mweupe mpole na ni wife material huyu mwingine ni changudoa la mjini tu
@user-ko5co3bk9f5 ай бұрын
Uhakika 🥱
@arafajuma41285 ай бұрын
Tena anaonekana nimgomv na hana mapenz uyu malkia mweusi 😢
@miriamjagadi73035 ай бұрын
Yaaani acha tu linajifanya alaf libaya
@omegadamian5295 ай бұрын
Amin kwamba
@user-sy9qk6ei9o5 ай бұрын
Kabisa yaan she is totally a wife material
@user-cy9bl3eu9g3 ай бұрын
Jman wanao amin uyo boy ampend mdada mweupe tujuane😅
@user-yw1fp2kw2z2 ай бұрын
me
@CHARITYINVOCAVITY2 ай бұрын
Angempnda hasinge hairisha ku meet nae maana angemuona muhimu
@SaumuSalum-bq1wv12 күн бұрын
Hampendi asingemuhairish
@user-wh5zz5dk2g5 ай бұрын
😂😂😂 naomba huyu cheusi avue miwani tumthaminishe kwanza
@mwinjemwinje10164 ай бұрын
Na wigi
@user-fc9cx8qg4d4 күн бұрын
😂😂😂😂😂🎉@@mwinjemwinje1016
@user-fc9cx8qg4d4 күн бұрын
Ila watu 🙌😂😂😂😂😂
@edisonbenard2262 ай бұрын
Wanaume sisi washenzi sana cjui tuna mapepo gani eeem mungu nisaidie mimi na kizazi changu inasikitisha sana
@user-tk5yy6vj3bАй бұрын
Kwakweli
@MaryBeauty-ck8ne2 күн бұрын
Wanawake weusi tuna shida sana nimekuchukia sana uyo dada mweusi yani
@HamiduMlula6 күн бұрын
Uyoooo mweusiiii 😂😂😂 ayaja mkutaaaaaaa unchuuuuuuuuu ata mpiga tukio uchuuuu ni mchina😂😂😂
@happycarloss67262 ай бұрын
UTI haiwezi kuisha
@solomondanny-15072 ай бұрын
Haiishi kwa kweli bi. Happy
@user-jd9ur7po9q5 ай бұрын
Daaah😭 wanaumee nyinyi tuna date na nyinyi bt mnatumiza sana aisee ila uyo dada black ampendi uyo boy anaonekana ana mmb mengi sana yaani daah wanaume aya niiteni ikija iyo part 2😢
@AggyMkumbo5 ай бұрын
Ana mambo mengi,,,hana hata chembe ya huruma,,,tizama hata kucha zake anaonekana kasagaji hako kadada sio bure😢
@user-do1rt9ej2u5 ай бұрын
Pendo naomba focus na maisha yako
@RACHELFESTO-pt6fv5 ай бұрын
Mwanamke wakwanza mweusi mwenyeroho mbaya Africa 🌍 apatikana hyu hapa jaman
@FridaLauwa2 ай бұрын
Nmependa confidence ya huyo black🎉🎉
@khadidjaabdi-hd8py5 ай бұрын
Looh imeniumaa mpaka nimejikuta 😢😢wallah huyu cheus analoho mbaya
@bravomwakibango64855 ай бұрын
Mweusi sio mtu daaa
@ChristinaChumi-or9bb4 ай бұрын
Sana
@mellencmujuni64023 ай бұрын
Kama rangi ya ngozi yake😂😂😂
@JacklineJosia-qs5hb5 ай бұрын
Mdada mweupe n wife material ♥️😅 ila mapenz dah 😅😅😅
@PaulinaSemindu-ob3de4 ай бұрын
We cheusi mwenzio akinyolewa tia maji nywele zako
@daydaypapaa77094 ай бұрын
😢😢staki mapenzi jamani k yangu nauhakika haiozi. Nimelia sana huyo dada mweupe anamapenzi yadhati kabisaa
@miriamcastor57132 ай бұрын
Umeandika kwa uchungu mno😂😂
@user-fr7xp9re9vАй бұрын
😂😂😂
@zainabusabas74214 ай бұрын
Maokoto huyu kaka anafata kwa huyu dada dada mweupe nakushaury huyo sio mwanaume achananae asikupotezee mda alafu maswala yakuhudumia mwanaume my dear utaumia sana
@gichekgroup657412 күн бұрын
Black mamba huwa wanajiamini sana
@fatmaali67805 ай бұрын
Jamnii this white lady she's very intelligent part 2 pliz
@dorcusmollel17485 ай бұрын
khee yan uyo mweupe n mpole san mim kingeshaumana mda saanaa sio sababu ya mwanaume... hpn sabab n dharau anadharau sanaa cheusi inabidi akandwe kdg
@khadijashabani61675 ай бұрын
Yaan ww unawaza km me
@najmasalim-rg6ow5 ай бұрын
Yan hili dada jeusi mmh han ubinadam kabisaa
@fabykim77715 ай бұрын
Limekaa kikahaba hat roho y huruma halina
@esterpaul31464 ай бұрын
Mdangaj uyo
@HamiduMlula6 күн бұрын
😂😂😂 aiseee dad pendooo why.....
@HappynessJoseАй бұрын
Huyo dada mweupe anamapenz ya kwel anahekima sana mungu akupe mme mwenye kuliheshimisha mama angu
@NashonSamwely4 ай бұрын
daaaaaah sisi wanaume mbinguni atufiki cheupe wawatu jaman
@bengallettv65683 ай бұрын
Hunchuuiiiiiiiiiiiiuuuuuuuuuu takataka kabisaaaa pendo njooo kwangu nikurejesheee kila kituuu
@CathyGodfrey-db5qm2 ай бұрын
Uyo mweup very smart Yan tumpend bule mmwaaah
@user-ez4wp7bg8z4 ай бұрын
😢😢 wanaume syo kabc waongo san pole kipenz utapata wako lshallah
ukimwi, UTI sugu , gono zitauwa watu cycle ni kubwa sanaaa 😢
@felisterjoseph4312Ай бұрын
😅😅😂😂
@isaacnkya21 күн бұрын
Mwanetu hunchu😂😂😂 umetisha
@user-jo6qn9sb6zАй бұрын
Mdada mweupe mstarabu sana
@ladsonmshana992011 күн бұрын
Sisi wanaume bhana sema huyo dada mweupe ni mtu poa sana sema ndo hivyo wanaume tunakoroga
@user-oq9bi7cl8m5 ай бұрын
Dada cheup mungu akutue nguv
@user-hg1ge7cf9p5 ай бұрын
Kinachotokea hapo huyo mweusi ni penzi jipyaa huyo mweupe ndio anapendwaa na mwanaume coz mvumiliee ila tu kinachotokea huyo mweusi Bado ajachokwa ni miezi mitatu tu 😂😂
@FadhilaSalim-uy6jqАй бұрын
Wanawake tuwe na akili please na hawa wanaume wanaumiza sana walah tutafute pesa tu 😥😥😥wanawake tunagombana wenyewe kwa wenyewe 😥😥😥 walah nimeumia sana 😥😥 huyo ochu endelea na huyo mweusi kitakukuta jambo walah daah nimeumia sana cheupe nakupenda babe ❤❤
@mariamukirema6523Ай бұрын
Cheup na mpenda mpole msrabu anaongea kwa poz Kam hatk ❤❤❤❤
@ashabady96165 ай бұрын
Wanaume jmni 😢😢😢😢we dadangu nakuomba move on 2 maana atakuja kukupa maumivu makubwa zaid ya haya 😢😢😢hali huyo dem mweusi hana huruma hta chembe mungu wngu 😢😢😢
@mollayunes2 ай бұрын
Mtu mwenyewe anaitwa unchu sijui bunju yaaani 😂😂😂
@YustoMlay-cv4zbАй бұрын
😂😂😂😂😂 bunju
@hameezhami7795Ай бұрын
Yani wewe
@hameezhami7795Ай бұрын
😅😅😅
@orekumtukunyi88882 ай бұрын
Cheupe ww ni mwanamke haswaa popote ulipo ❤
@rejinafosta80025 ай бұрын
Dada mweupe pole sana aisee.... Fear Men.
@Tamtam-wd1dy2 ай бұрын
MR URKY PART 2 PLEASE. Jamani mchumba hasomeshwi na mwanaume hahudumiwi! Mwanamke akifanya hivo kaonyesha udhaifu hapo mwanaume hawezi mrespect atavaa, atalala tu na pocket money ataenda mhonga mwanamke mwingine kesi ni nyingi sana ukimpenda ukamuhudumia ujue lazima akutende Hili Zoez halijamuacha mtu salama na mtaji akipewa na aka pata stability ujue mwanamke aliemlea akamfkisha hapo lazima aachwe mchana kweupee mana hawezi tuna mbele yake Na mwanaume a nakubali kuhudumiwa mpaka kunuliwa boxer ujue hajampenda huyo mwanamke mwanaume akipenda anaprovide yeye
@JaneMkumbaКүн бұрын
Weusi watramuuuuu gonga like hpaa
@user-ky5wu4gc9g2 ай бұрын
Wanaume wengi ndivyo walivyo hivyo bas wanawake inabidi inabidi tusipende kama mababu zetu huko nyuma tuwe na kiasi tukiendekeza mapenz kufika miaka 15 mbele wanawake wengi watakua na magonjwa sugu kama kisukar, presha, moyo kutanuka, moyo kuvimba,nk, tuwe bize kutafuta hela tule vizur tulale pazur watoto wetu wasome vizur na sio kumbeba mtoto wa mwenzio kifuani
Ynii mdada mweupe uko vzr thiz blac jmn duh kwnz mcharuko ynii n alivyo kabaya tu angejua angekuwa tu mstaarabu
@user-fe4iw7ti8u4 ай бұрын
Yaan huyo nyeusi sijuih kanajionaje
@Reenkingu5 ай бұрын
😢😢😢😢😢jmniii weww Dada mungu akupe uvimiilv jmn
@user-xr8qv9mw9vАй бұрын
❤❤uyo dada mweupe ni mstaraabu san jmn duuh
@SharifaAbdallah-wn5vh2 ай бұрын
Mdada mweupe kaniliza sana ata mm yashanikuta wanaume ni mashetani
@jalillahramadhani28264 ай бұрын
Dah tujue tu imeendeleaje ila uyo dada mweusi amenishangaza kwel anasema kwan ninamwanaume mmoja yaan so poa lakin uyo dada mweupe ni mpole na anabusara sana ❤❤lakin alichofanyiwa dah😢😢😢huyo mwanaume atajuta kama atampoteza huyo mdada mweupe yaan😢😢
Jmn uyo dada mweupe ni anapenz ya zati kwel yn adi huruma 😢😢
@brianosiemo86x45 ай бұрын
Daaah anybody kisss my comment 😢😢😢pendo to be a wife material 🥰🥰🥰
@user-fd4vj1ok8z4 ай бұрын
Huyo jamaa karogwa. Mtoto mzuri mweupee, jamaa kwanini haridhiki?
@Julie-bb6yt22 сағат бұрын
Mwendelezo ukwap 😂
@user-pl2xs1nl6r2 күн бұрын
Uyo dada mweusi anajishaua afu uyo mdada anajikubali anajikuta anapendwa kumbe wapi wanaume awapo ivo mwisho wa siku atamchezea afu ataludi kwa mpenzi wake wa mda mlefu
@MaulidNdunda-cl3gz4 ай бұрын
Huyu jamaa amekosa mke mzur sana anamkosa na anambadirisha mind set yake duuh pole kaka
@user-mr3qg9iq5k5 ай бұрын
Apo hakuna wakumsifia wote wanazini tu hakuna alieolewa hapo japo kuwa huyo Mweusi kisirani lakin kiiman zetu Wote niwazinifu
@SedddystewardАй бұрын
We mwenyewe mzinz tu
@PetronelaPanja11 күн бұрын
huyo dada mweupe anaonekaa yuko naupendo wa kweli kbs kwa huyo mwanaume jamani mbona
@Tyughcdrbdt5 ай бұрын
Wanaumeeee🙌🙌🙌🙌
@user-er3cb9mb9m2 ай бұрын
Much love from Kenya guys like back❤😂
@marialipunge63685 ай бұрын
Dahhh!! Dada Pendo huyo sio sahihi
@luckycost51595 ай бұрын
We dada mweupe kimbiaaa hapo hapana husiano
@user-bp1oi3bw1y5 ай бұрын
Ila uyu iptsam anavyo react hapo kua ndo kafiika kumbe na yy inaweza mkuta zaidi ya uyo dada…. Ila uyo dada nyie 😢
@user-nk7zo8fv4l5 ай бұрын
kwanza kabisa mdogo wngu acha kuhudumia Mwanaume
@dianerditto12 күн бұрын
Mweusi ni black mamba😂😂
@sesjohn8054Ай бұрын
Huyu unchu apana😂😂😂
@KashindiIlundu5 ай бұрын
Cheusi ni changundoa tu huyo.ila wanaume shikamo😂😂😂😂
@innocentcareen8185 ай бұрын
Huuyu mweusi anaroho mbaya
@Mariam-z5e22 күн бұрын
Woow i like mdada mweupe anavyoongea na mume wake jamani
@AsiamandutaAsiamanduta26 күн бұрын
Mwenzako akinyolewa we tiya maji uyo cheusi anavojitapa atakuja kulipa icho kitu
@AggyMkumbo5 ай бұрын
Jamam Part two sangap
@user-os8gt6hj6j4 ай бұрын
Ipsam ni motooo afu sio shida zake hajali Wala nn moto umeungua maji yameloana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@BigDrones5 ай бұрын
Ilo limevaa miwani kama masaani ya Bar
@user-ob5xy4qy3n3 ай бұрын
😂😂😂
@joharmrisho2 ай бұрын
Mnapata wap nguvu za kuwahudumia wanaume jamn 😅😅😅 mimi sna pesa😂