Sababu kwanini watu wananyimwa viza Ubalozini

  Рет қаралды 20,425

EBM SWAHILI

EBM SWAHILI

Күн бұрын

Watu wengi hunyimwa viza wanapoenda ubalozini. Wengi hawajui sababu za wao kunyimwa huku wakiwa na documents zote zinazohitajika.
Hizi hapa ni sababu za msingi ambazo hufanya watu wengi wanapoenda ubalozini kuomba viza kukosa

Пікірлер: 58
@yohanamaugila743
@yohanamaugila743 2 жыл бұрын
EBM asante sana kwa hili darasa nimefatilia video zako nyingi kiukweli umenifumbua sana macho na ufahamu wa akili,nina imani ndoto yangu itatimia kupitia mafunzo yako na mwongozo unaoutoa!!!barikiwa sana
@OmariTube
@OmariTube 2 жыл бұрын
Channel number moja kwa madini makali/matata Tanzania, East Africa.
@MAASAIWITHPASSPORT
@MAASAIWITHPASSPORT 2 жыл бұрын
Thanks for sharing
@petermichaelmshana8600
@petermichaelmshana8600 2 жыл бұрын
Kaka unafanya kazi nzuri sana ,wewe pamoja huyo rafiki yako uliyekuwa unamhoji ,(truck owner)
@MAGDALENAJOSEPHRUSIMBI-ye5yg
@MAGDALENAJOSEPHRUSIMBI-ye5yg Жыл бұрын
Uko vizuri mwanangu. Nitakuja huko mapema mwakani, nitakuafuta.
@madjidfine4295
@madjidfine4295 2 жыл бұрын
Daaaaah mungu akulinde kiongozi wetu mzuri
@catherinekazinja661
@catherinekazinja661 2 жыл бұрын
asante kwa ujumbe huu, pia elezea namna ya interview wakati wa viza unavyokua, maana pale kwenye interview unakua na vielelezo vyote hakupi nafasi ya kuonesha documents zote, hii inaleta ukakasi fulani, kama ulivyosema anakuwa na majibu yake kichwani. utaratibu wa interview sijaupenda kabisa maana hakupi hata nafasi ya kuzionesha documents zote hata kama unazo.
@hamzamafita4025
@hamzamafita4025 2 жыл бұрын
Hi EBM sisi tupo kanda ya kati dodoma.nafahamu mtaendesha semina dar tar 02june 2022.tunaomba semina hiyo ije na dodoma isiishie dar tu.tafadhali tunaomba semina ije UDOM.halafu muitangaze jamani tunahitaji sana.dar ni mbali.kwa sisi wa kanda ya kati.nadhani uongozi utaifanyia kazi.
@ngoynzoagermain
@ngoynzoagermain 10 ай бұрын
Pamoja sana mkuu 5/5 🇨🇩🇨🇩
@juliusmatalu6173
@juliusmatalu6173 2 жыл бұрын
Ninafurhia sana kwa jitiada sako kuelimisha watu. Nimekuja Denmark kwa miezi 3. Waafrika tubadilike muda wa kuwalaumu hautatusaidi tutimize vigezo
@isaacsinkalas8366
@isaacsinkalas8366 2 жыл бұрын
Nashukuru sana mama yangu kaomba viza ya marekani zaidi ya mara 3 nakosa naamini hii video imetupa mwanga asante sana kwa elimu hii
@aminijuma9627
@aminijuma9627 2 жыл бұрын
Ebm nakuelewa Sana kaka
@keywordresearch7362
@keywordresearch7362 2 жыл бұрын
Kwann mnakimbilia nchi za watu jmn mm Nina mjomba wangu aliendaga 2002 ajawahi kurudi bongo tena amekuja kurudishwa 2019 amekufa yaan kwetu haina maana kabisa mtu ukizamia nchi za watu sababu ya pesa ukasahau kwenu ni kama umekufa tu huna tofauti na mtu aliyekufa maana ndugu zako hawakuoni tena hata kama huko nchi nyingine unaishi. Please mkienda nchi za ugenini mkumbuke kurejea kwenu mapema sio mnarudishwa mmekufa
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Sasa si mjomba wako na akili yake mbovu wewe unafikiri watu wote wana akili kama ya mjomba wako
@jovovichmedia9424
@jovovichmedia9424 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@kulwarichard4849
@kulwarichard4849 2 жыл бұрын
@@Mpakauseme 🤣🤣🤣
@hamzamafita4025
@hamzamafita4025 2 жыл бұрын
The great makulilo katika kitu ulichonifurahisha ni kutusaidia kwa malipo kidogo ya kutujazia DV lottery 2022 october.endelea kutuelimisha.
@NduguEzekiel
@NduguEzekiel 2 жыл бұрын
We bado mdogo tulia
@NcabukorokaMsafir
@NcabukorokaMsafir Жыл бұрын
Ebm naomba kuliza je kama hauna mashamba wala nyumba itakuaje kwenye mahojiano ubarozin
@bonifacejames2431
@bonifacejames2431 2 жыл бұрын
Brother ahsant sna kwa kazi yako nafuatilia sana kazi yako Ila nilikuwa na swal kwamba unaweza kupita immigrants visa Bila green card lottery
@emmanuelndoshi8099
@emmanuelndoshi8099 2 жыл бұрын
Asante sana umenifumbua akili Mungu akubariki.
@ramadhanmasiku4105
@ramadhanmasiku4105 2 жыл бұрын
Kwa hiyo huko wanaenda wanaojiweza tu Mbona wao hawafanyiwi hivyo
@fatumahengo6849
@fatumahengo6849 2 жыл бұрын
Tunashukuru sana kwa maelekezo yako hata mimi nilikuwa nalaum sana baloz zao kwa nini wanakuwa wagumu kutoa visa
@alibin7760
@alibin7760 2 жыл бұрын
Mungu akuweke
@akilimalikapuru6351
@akilimalikapuru6351 2 жыл бұрын
Help brother mimi ni mkimbizi myaka 28 Zambia naomba ushauri kwakuwa nifike uko na jamaa langu.asante nasubiri jibu lako kwa hamu na ubarikiwe.
@bizimanasaid895
@bizimanasaid895 2 жыл бұрын
Mimi nikazi waRwanda ila naomba ufafanuzi Nina kijana amesoma kamaliza should sasahivi Ni driver waroli he anapitia njiagani
@irenemichael
@irenemichael 16 күн бұрын
Waelezaj wooooooooooooooooooote Leo nimepata jibu
@ZainaMAlly
@ZainaMAlly 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@HassanHassan-si2rt
@HassanHassan-si2rt 2 жыл бұрын
Naomba namba zako kaka tafadhali
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 жыл бұрын
Ahsante sana home boy
@abrahammlangwa5038
@abrahammlangwa5038 2 жыл бұрын
KAKA MUNGU AKUTUNZE🙏
@jonathanofficial7350
@jonathanofficial7350 Жыл бұрын
Nivizuli saaan
@JohnMwakulima
@JohnMwakulima 8 ай бұрын
kiongozi habari ya uzima mimi naitwa john mwakulima mkazi wa dar es salaam nilikuwa nomba namba unayopatikana nikutafute ili unieleweshe vizuri kunakazi nataka sasa hiyo nataka tuongee in box samahani lakini
@petermichaelmshana8600
@petermichaelmshana8600 2 жыл бұрын
Endeleeni kuelimisha watu na ikiwezeka mtuunganishe na sisi kwenye hizo nafasi
@hassanabdallah3533
@hassanabdallah3533 2 жыл бұрын
kaka je namna ya kujukuwa ulaiya wa mnchi nyingine ukoje kama kuchukuwa ulaiya wa malekani
@safijeanne6223
@safijeanne6223 Жыл бұрын
mimi niko marekani nataka kum Katie mume wangu viza nifa nyeje
@officialzex2515
@officialzex2515 2 жыл бұрын
Keep going bro
@Laila-ke9bw
@Laila-ke9bw 4 ай бұрын
❤❤❤
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Wazungu watawapaje waafrika visa kilahisi kama vile wao wanavyo kwenda africa kama wanakwenda kariakoo 🤣 Hawawezi kukupa visa kilahisi kazi yake ni kubwa pia na ni bahati sana kupata, labda upate ndoa lakini si kwamitindo mingine yakutubu
@husseinpacha3462
@husseinpacha3462 2 жыл бұрын
Kaka nikiwa nimeowa mwanamke wa marekan yeye yupo uko marekacan nachukuwa viza gani nikaish uko
@bizimanasaid895
@bizimanasaid895 2 жыл бұрын
Nilifatilia wewe nimwanaume nakazi unazizifanya zakusaiidia watu mungu atakulipa
@kingkendrickk
@kingkendrickk 2 жыл бұрын
Umewapa points za msingi
@rahmamaulid6472
@rahmamaulid6472 2 жыл бұрын
Kaka naomba unisaidiye namba yako kunakitu unisaidiye
@godfrey6884
@godfrey6884 2 жыл бұрын
Kaka mfano unataka kuomba visa kuja kwenye mkutano wa dini inakua na nguvu kwenye kuomba?
@Nutritio-z8v
@Nutritio-z8v 2 жыл бұрын
Birthday 🎉😃😃😃
@MS.independent8934
@MS.independent8934 2 жыл бұрын
Kwelii kigoma tunatoka watu wenye akilii haswaa ahsate my kaka 🙏🏼🙏🏼
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 2 жыл бұрын
Sioni chochote cha msingi hapa
@davidkihiga3531
@davidkihiga3531 2 жыл бұрын
@@stanslausmteme8455 mpe analostahili na umtie moyo . Wengine tulikuwa hatujui . That's great pal keep it up
@sharonshioni7737
@sharonshioni7737 2 жыл бұрын
Nauliza ukishinda green card ya kuja marekani,je,sehemu utakayo kaa na air ticket watafuta mwenyewe?
@farikkaqueen2367
@farikkaqueen2367 2 жыл бұрын
nope you got pay it!
@farikkaqueen2367
@farikkaqueen2367 2 жыл бұрын
mommy paid me and the of my families.
@BarakMoo
@BarakMoo Жыл бұрын
Mr Ebm wee umekaa km Baloz mwenyw ,Hongera san Mr Mudi From Zanzbr
@farajalaizer4707
@farajalaizer4707 2 жыл бұрын
BIRTHDAY 😳😳😳 😂😂😂😂😂
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 2 жыл бұрын
Hahaha
@ngoynzoagermain
@ngoynzoagermain 10 ай бұрын
Pamoja sana mkuu 5/5 🇨🇩🇨🇩
@Laila-ke9bw
@Laila-ke9bw 4 ай бұрын
❤❤❤
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12
Un coup venu de l’espace 😂😂😂
00:19
Nicocapone
Рет қаралды 4,9 МЛН
She's very CREATIVE💡💦 #camping #survival #bushcraft #outdoors #lifehack
00:26
Diamond Platnumz - Kamwambie (Official Video)
3:47
Diamond Platnumz
Рет қаралды 12 МЛН
USA Tourist Visa Interview 2024- B1/B2 Visa Interview Questions and Answers 🇺🇸🇺🇸
8:44
Beyond Education & Immigration Services
Рет қаралды 171 М.
Barua ya Mwaliko Kupata Viza (visa) Ubalozini
14:18
EBM SWAHILI
Рет қаралды 6 М.
SABABU ZA KUNYIMWA VIZA YA MATEMEBEZI YA USA NI HIZI HAPA
27:09
EBM SWAHILI
Рет қаралды 7 М.
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12