Ni umri gani wa kwenda Ulaya, Marekani au Canada? Unaona umechelewa?

  Рет қаралды 35,716

EBM SWAHILI

EBM SWAHILI

Күн бұрын

#Marekani #Ulaya #Canada #Visa #Maishaughaibuni
Kuna watu wana ndoto au mipango ya kwenda kutembea na wengine kusoma na wengine kwenda kufanya maisha nchi zingine. Kipindi kingine wanaanza kuwaza umri wao na kudhania wamechelewa kukamilisha malengo yao.
Sasa ni umri gani sahihi wa mtu kwenda ughaibuni?

Пікірлер: 140
@amazingadventures.8019
@amazingadventures.8019 2 жыл бұрын
Kenya 🇰🇪 (+254) in the house. This is one of the best educative channels for those aspiring to start life abroad. Thumbs up for the good job.
@thobythoga7836
@thobythoga7836 2 жыл бұрын
Hongera sana Bro kwa kutupenda watanzania na kutusaidia free. Fursa nyingi ambazo unazungumzia ni kwa kundi la waliosoma angalau chuo kikuu, kwa mtu ambae ameishia form four na labda anajua tu English hii ya kitanzania, anawezaje kufanikiwa kufika na kufanya maisha Ugaibuni. Pili ni fursa gani anaweza kuzipata....Zamani watu walizamia meli na wakaishi huko ila kwa sasa ni ngumu. HEBU TUSAIDIE KWA HILI. Naitwa Makunga nipo Zambia.
@Kobe_254
@Kobe_254 2 жыл бұрын
Huyu jamaa kaongea kweli kabisa..🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇺🇸🇺🇸🇺🇸
@lucymakendi2728
@lucymakendi2728 Ай бұрын
Naweza kuuliza swali?
@seffsamwel5649
@seffsamwel5649 3 жыл бұрын
Nipatie management wa mziki bac kaka mimi niko kipaji kikubwa sana ya mziki naomba unifadhili, ♥️🇹🇿🇹🇿❤️🙏🙏 nitakushukuru sana kaka angu,
@mawazoaliselemani8909
@mawazoaliselemani8909 2 жыл бұрын
e bwana jamaa uko vizuri sana!yaani nina muda wa maisha yangu sijaburudika kumsikiliza mtu akanifurahisha kama leo,,,HONGERA
@bochelachikoti
@bochelachikoti 2 жыл бұрын
Unanifurahisha unaongea kiswahili bila kuchanganya na kiingereza safi sana.ila Angel Bernard anachanganya siyo powa sana
@hermanlupogo5485
@hermanlupogo5485 2 жыл бұрын
Your are very clear!Got right with you.
@lizngigiofficial7162
@lizngigiofficial7162 3 жыл бұрын
Nimetoka kwa Joyce nurse Canada hongera kwa kazi nzuri
@pembemussa2804
@pembemussa2804 2 жыл бұрын
We mdada utakua baharia, yaan mpambanaji
@upendolema9809
@upendolema9809 2 жыл бұрын
@@lizngigiofficial7162 kusema wee mpambanaji ni kosa?why God adeal nae??
@johntemba5439
@johntemba5439 2 жыл бұрын
Joyce yupi tena?
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا 2 жыл бұрын
​@@lizngigiofficial7162 unafanya kazi gani huko jqmqni natamani unitafutie hata kazi ya kuosha vyombo jamani
@simbaasad5811
@simbaasad5811 2 жыл бұрын
@@lizngigiofficial7162 mbona unakataa dua kubwa hii. Au hukuelewa. Amekusifu mno
@Abduli23
@Abduli23 Жыл бұрын
Brother, you have really spoken, give them education, others do not understand.
@Lizzyktd
@Lizzyktd 3 ай бұрын
Ahsante sana brother
@seffsamwel5649
@seffsamwel5649 3 жыл бұрын
Kweli kaka yangu mimi nchi niaeipenda hapa duniani ni marekani tu hata zingine nazipenda ila marekani ni zaidi na nitaemdaga2 mungu naomba uzima 👏🙏❤️🇹🇿🌹♥️
@machaggechacha3422
@machaggechacha3422 2 жыл бұрын
Wewe Seff umechanganyikiwa kama unatamani kuishi america. Hujui nini kinatokea kwa watu weusi.
@mwanzomwisho1217
@mwanzomwisho1217 2 жыл бұрын
hujitambui, mara unataka usaidiwe ufanye mziki mara unataka kwenda marekani.
@upendokweka6845
@upendokweka6845 Жыл бұрын
Hello Ernest, good presentation
@jafarinhomtepa9669
@jafarinhomtepa9669 3 ай бұрын
Safi brother
@charlesnyamu3753
@charlesnyamu3753 2 жыл бұрын
Unaeleza mambo kwa ufasaha uliokidhiri na lugha elekevu. Nimejifunza mengi amboyo yalikuwa yanitatiza kuhusu scholarship, jinsi ya kujaza Greencard Lottery na mengine mengi. Mola akuzidishie neema. Umesema ukweli, kunaye Mkenya anaishi Marekani lakini udaku wa siasa kibao, anatusi hata Raisi kwenye mitandao.
@lutufyojason2598
@lutufyojason2598 Жыл бұрын
Ufasaha uliokithiri . Lugha elekezi
@rhiophiri6857
@rhiophiri6857 2 жыл бұрын
this is very helpful and educative and truth
@bonamaxnicholauskopatu1188
@bonamaxnicholauskopatu1188 2 жыл бұрын
Poin thanks for advising .and providing ideas .Great
@charlesstone3956
@charlesstone3956 2 жыл бұрын
I am truck driver in Kenya with more than 10 years experience. Can I get a chance in America as a truck driver?.
@Kobe_254
@Kobe_254 2 жыл бұрын
They don’t bring in truck drivers from overseas
@harriethkalindili7980
@harriethkalindili7980 Жыл бұрын
Asante sana ubarikiwe
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Safi sana umezungumza vitu vizuri sana aisee
@wilsonm.7376
@wilsonm.7376 3 жыл бұрын
Somo la leo zuri sana EBM, kumbe bado sijachelewa at 4..😁💪🇹🇿✈️
@twalibushabani3610
@twalibushabani3610 2 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii... Congratulation sn kwko
@kahejashukuru4797
@kahejashukuru4797 2 жыл бұрын
Asante sana
@alfredaloyce6835
@alfredaloyce6835 2 жыл бұрын
Thank you brother
@alleyhemedy6994
@alleyhemedy6994 3 жыл бұрын
Bro samahani naona kwenye maelezo yako yote umetalenda sana watu waliosoma hadi kufikia chuo na vipi watu wanaotoka kuja kama 🇨🇦 au 🇺🇸 ambao wameishia darasa la saba na wanandoto za kujatoka???
@joramtz9633
@joramtz9633 2 жыл бұрын
Swali muhimu sana hili
@buteratomath
@buteratomath 2 жыл бұрын
Inabidi atupe maelekezo hapa
@collinskiplimo1135
@collinskiplimo1135 2 жыл бұрын
Asante sana kaka kwa mafunzo hayo
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 2 жыл бұрын
Kwenda kuishi au kwenda kufanya kazi na kurudi
@jotradingx3541
@jotradingx3541 2 жыл бұрын
Nataman sana niende marekani mtu wa kunisaidia tafadhali
@adkajisi4536
@adkajisi4536 2 жыл бұрын
Unataka ukafanye nini ndugu?
@RankBiznes
@RankBiznes 8 ай бұрын
Umeongea vitu muhimu sana 🙏
@bossnfashingabo7131
@bossnfashingabo7131 3 жыл бұрын
Niaje kaka mimi naitwa Joshua naishi Ohio but natamani kujiunga na jeshi naitaji maaada wako asante
@mrembowakisukuma1447
@mrembowakisukuma1447 2 жыл бұрын
Tupeni njia mlifikaje uko Afrika kugumu
@noelimlinga9694
@noelimlinga9694 2 жыл бұрын
Hr. Napenda kusema watu kama nyie hapewi kipaumbele ila unasema ukweli sana na nipende kusema tu umetumwa mahususi lazima watu wajue ukweli umetoka kimaisha lakini hauna hila
@neemaemmanuel5116
@neemaemmanuel5116 Жыл бұрын
Kaka tumeelewa naomba hiyo fursa, kweli Kaka Una Moyo kwani ni wachache wenye Moyo kama wako, wewe sio mchoyo fursa
@lucymakendi2728
@lucymakendi2728 Ай бұрын
Niko Spain nina miezi9 tu lakin siruhusiwi kufanya kazi yeyote ile hata kufagia tu.je nikae kwa mda gani ili niweze kufanya kazi? Natarajia remew kipande cha huku miezi3 ijayo Sasa unaweza nisaidia nipataje kipande cha kufanya kazi? Nchi yangu ni Tz🇹🇿
@sharifachacha6682
@sharifachacha6682 2 жыл бұрын
Sawa kabisa
@Hancymtembo
@Hancymtembo Жыл бұрын
Ebm safi dana
@rehemadaudi4390
@rehemadaudi4390 6 ай бұрын
Mi nataka kuja. Aiisee natumia nguvu nyingine kipo kidogo ,sifikii malengo
@zinabal-dubae3551
@zinabal-dubae3551 2 жыл бұрын
Nimeingia America nikiwa na miaka 46
@gilbaleticia
@gilbaleticia 2 жыл бұрын
Hongera. Je unadhani ulifanya maamuzi sahihi? Natamani kufahamu uzoefu wako
@teamallyracing1780
@teamallyracing1780 2 жыл бұрын
Ummeleza vizuri sana kaka
@franckswedi5664
@franckswedi5664 6 ай бұрын
Tuna shukuru sana atakama atujapata bahati yakuingiya uko
@EWillyzeDiplomat
@EWillyzeDiplomat 2 жыл бұрын
asante mkuu
@manilakiza5077
@manilakiza5077 3 жыл бұрын
Kweli brother ni malengo ya mtu
@jadidlepeta8137
@jadidlepeta8137 2 жыл бұрын
Niko na pesa lakin sijui nitaenda vipi,🤣🤣 sio rahisi
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 2 жыл бұрын
Mkuu. Upo. Sawa
@FAVI23
@FAVI23 3 жыл бұрын
Inakuaje Sasa Kama mtu maybe umeishia form four then una dream kuja kufanya music USA,,,,hii inakuajeee
@seffsamwel5649
@seffsamwel5649 3 жыл бұрын
Alafu we mzee nimeshakusanukia we ni kama vile unataka kutukatusha tamaa kuja huko marekani lakini haiwezekani lazima tuje hasa mimi naweza kuja chapu 😂😂😂😁😁🤣🤣
@vicentsilikwa4024
@vicentsilikwa4024 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mmasipeter4157
@mmasipeter4157 2 жыл бұрын
Brow niko na elimu ya VETA
@mandomediasolutions7045
@mandomediasolutions7045 2 жыл бұрын
Ok
@MichaelJohn-pf3ug
@MichaelJohn-pf3ug Жыл бұрын
Mimi nimtaalam wamambo ya laundrysarvice je naweza pata kazi nanini nifanye niweze kufika huko nakufanya kazi?
@aishamtwana1323
@aishamtwana1323 Жыл бұрын
Kufuatana na mabadiliko ya dunia ya sasa ni vigumu kutafakali kuishi nje ya nchi yako hii pia itategemea na mafanikio yanayopatikana katika nchi yako kutokana na uongozi na asili mali ya nchi na nini kitakachokusaidia maendeleo yako katika maisha yako na familia yako katika nchi yako katika future ya siasa na maendeleo ya nchi na mabadiliko kasi ya dunia kwa ujumla
@abdullahhamedal-toqi9006
@abdullahhamedal-toqi9006 2 жыл бұрын
Aslm alkm, tafadhali nitumiye Web side ya kuomba Green Card ya USA
@lawrencegwerino1656
@lawrencegwerino1656 2 жыл бұрын
Hi Vera sana kwa elimu uitoayo
@EliezaRichard
@EliezaRichard 7 ай бұрын
Je waweza kuja bila kuwa na elimu ya sekondali ?
@IDDY_MHANDO
@IDDY_MHANDO 2 жыл бұрын
Kaka mimi nina elimu ya kidato cha nne tu...je naweza kupata nafasi huko...lengo langu ni kuja huko kufanya kazi kwa bidii ili nijisomeshe huko huko...nitafanikiwa kweli?
@roseraulent
@roseraulent Жыл бұрын
Kaka nisaidie na mimi natamani sana kuishi uko na kufanya kazi ila sija soma
@fatumafatuma1459
@fatumafatuma1459 2 жыл бұрын
Inshallah Allah tk pamoja 😁👌👌👌
@thumnathumna5946
@thumnathumna5946 2 жыл бұрын
Cjui nifanyeje ili nije uko.mkoba mya wa kietronik wa buluu upo tuuu unaniruhusu kutoka njie ya tz.
@howardbillionaire
@howardbillionaire 7 ай бұрын
niko hapa hadi siku nimefika hapo
@maabadburhan9385
@maabadburhan9385 Жыл бұрын
Kwa uwezo wa mungu tutafika tu uko 🇺🇸 na tuna malengo mengi
@josephnyamhanga4432
@josephnyamhanga4432 3 жыл бұрын
Yeah nahitaj na Mimi kweda Canada so ipo Nita fanikisha
@mrambamasha7727
@mrambamasha7727 2 жыл бұрын
Naomba nipate kazi ja kufagia super market huko USA bro
@RizikiMpallateongoogle
@RizikiMpallateongoogle 2 жыл бұрын
Kuna robot 🤖 zinafagia tayari hazilipwi mshahara🤣
@rinamich4423
@rinamich4423 2 жыл бұрын
Lie ican go any where with any age
@msafirikihiyo8818
@msafirikihiyo8818 2 жыл бұрын
Hata mimi nilikua najiuliza hilo swali.
@deusmorris1030
@deusmorris1030 2 жыл бұрын
swali kwanini watu wa ulaya wanatabasamu kila wakati yaani wanaraha
@wilsonwagyson48
@wilsonwagyson48 2 жыл бұрын
SAMAHANI JE!NI VP KWA MTU AMBAYE AMESTAHAFU TZ, HALAFU AKAAMUA KUJA KUISHI USA AU CANADA, MTU HUYO UNAMUELEZEAJE?
@pmt79
@pmt79 3 жыл бұрын
Umefafanuwa vyema umri wowote unaenda ILA ujuwe kwa nini unaenda, malengo na mipango yako. Kuna mghana namfahamu anamiaka 65 ndio kaenda US. Hujachelewa kilakitu kinawezekanika
@saidmega1527
@saidmega1527 3 жыл бұрын
daaah I m so happy kuskia hvyo
@msemasungura5651
@msemasungura5651 3 жыл бұрын
Kigoma nyumbani mjomba mimi elimyangu niyadini .kwasasa nipo mtaani .ila ni mpambanaji.unawzaje kunisaidia kuja USA
@msemasungura5651
@msemasungura5651 3 жыл бұрын
Kaziyoyote nafanya ilimradi iwe yahalali ambayo haina madhara
@Kobe_254
@Kobe_254 2 жыл бұрын
Aahh hapana… kama ako na watoto hapa basi poa, kama hustla…. Nimekatataa hilo 👍
@this_is_chriss4296
@this_is_chriss4296 3 жыл бұрын
Uncle naomva unisaidie niweze kuingia us mm ni mwanachuo mwaka wa kwanza
@AdelaidaNyota-lz5ty
@AdelaidaNyota-lz5ty 2 ай бұрын
Kaka mimi nataka kazi ya ndani nisaifie nipate kazi na unipe namba yako mimi ninayo passport nisaidie kigrenza na jua kiasi nisaidie kaka
@takito_africa
@takito_africa 2 жыл бұрын
Soon ntakuwa huko
@anwarsaid2008
@anwarsaid2008 Жыл бұрын
NIMECHEKA KWAMBA MTU AKIKOSA UGALI WA MUHOGO NA MGEBUKA ANAUMWA THIS IS SO FUNNY
@kadunawewe7248
@kadunawewe7248 2 жыл бұрын
Nataka kuja huko.kufanya kazi nina umri wa miaka 30
@titobernard383
@titobernard383 2 жыл бұрын
Hujachelewa Bado !
@mshangaemmanuel8964
@mshangaemmanuel8964 2 жыл бұрын
Je kazi ambazo sio za usomi vp zinapatikana kama vle housekeeper n.k ?
@jumong-gameplayer
@jumong-gameplayer 7 ай бұрын
Zipo nyingi sana
@lilianphilemon907
@lilianphilemon907 3 жыл бұрын
Tuko pamoja
@mybabyarchive2104
@mybabyarchive2104 3 жыл бұрын
Kaka channel yako nzuri sana usiache kutoelimisha
@mathayomwashambwa1238
@mathayomwashambwa1238 2 жыл бұрын
KWANI DUNIA YA KWANZA NDO KULIANZA KUUMBWA AU SIFA NI NINI? UCHUMI UNAWEZA KUFANYA NCHI MOJA IWE YA KWANZA NA YA MWISHO KUUMBWA??? ....
@yhtvonline9079
@yhtvonline9079 2 жыл бұрын
7
@ChikoMathias
@ChikoMathias Жыл бұрын
Nina miaka 62 nitsweza kuja
@pembemussa2804
@pembemussa2804 2 жыл бұрын
I'm 40_yrs old Kumbe sijachelewa.
@emmanuelmkonda5010
@emmanuelmkonda5010 2 жыл бұрын
Kijana sana wewe
@aldofuchanda7644
@aldofuchanda7644 3 жыл бұрын
Kaka mm ninatamani sana siku moja nifike ulaya hata niwe house girl tu sawa ili niweze kuokoa jahaz la maisha duni ya familia yangu nina miaka 25 kama waweza nisaidie
@ahmuhally4430
@ahmuhally4430 3 жыл бұрын
Nitafute mzee
@aldofuchanda7644
@aldofuchanda7644 3 жыл бұрын
@@ahmuhally4430 nipe habar
@seffsamwel5649
@seffsamwel5649 3 жыл бұрын
Utaenda tu kuwa na subra tu kilocho chako hata ikichelewa kiasi gani lazima itakufikia, ila pambana
@rahelifredrick8460
@rahelifredrick8460 2 жыл бұрын
@@ahmuhally4430 unapatika vipi ?
@madetetv6576
@madetetv6576 2 жыл бұрын
@@ahmuhally4430 na Mimi mkuu
@praygodnanyaro8510
@praygodnanyaro8510 2 жыл бұрын
Namba tuwacliane kiongoz
@danlordnyimbi2355
@danlordnyimbi2355 2 жыл бұрын
Content moja makini sana yani
@augustinecassian1242
@augustinecassian1242 2 жыл бұрын
Kaka naomba connection mimi ni excavator operator from kigoma
@mcback4384
@mcback4384 2 жыл бұрын
Nenda kanyani Uvinza mvugwe zccc sino huko
@sharifachacha6682
@sharifachacha6682 2 жыл бұрын
Kaka samahani naomba nikutumie namba yangu kuna kitu nikuulize
@marthamuthoni8348
@marthamuthoni8348 2 жыл бұрын
Niko na swali ? Nahitaji number yako
@HassanMohamed-hd3eg
@HassanMohamed-hd3eg 2 жыл бұрын
Kaka unachosema in swala muhimu sana. Kila kitu inaanza na wewe binafsi.
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا 2 жыл бұрын
Kwasasa nipo omani Ila naomab nipate kazi hqtq ya kuosha vyombo huko nikifaka nitajitahidi mpqkq namimi. Niishi huko
@annamakoye9945
@annamakoye9945 6 ай бұрын
Wewe mbinafsi
@hafsasaif2618
@hafsasaif2618 3 жыл бұрын
Nataman nije kufanya ata kazi za ndan bro
@rahmaabdulla4949
@rahmaabdulla4949 2 жыл бұрын
Marekani hawaruhusu mtu kuwa mfanyakazi wa ndani huo kwao nikama utumwa . Huku utafanya kazi yoyote ile ila isiwe yakuvunja sheria tu na pia sio housegirl. Hakuna kabisa kazi izo
@reginahmwanzia927
@reginahmwanzia927 2 жыл бұрын
@@rahmaabdulla4949 kaka naomba unisaidie ninje huko nipo Dubai miaka mitatu kwa sasa nipo na hela naweza ngaramia nilipe shule naomba connection tu hela za kila kitu niko nazo
@rahmaabdulla4949
@rahmaabdulla4949 2 жыл бұрын
@@reginahmwanzia927 mie sio kaka ni mwanamke dada. Mie nisikufiche sina chochote nijue how kuhusu mambo ya mtu kutaka kuja Marekani mie mwenyewe nimeletwa na mumewangu tu . Ila najua njia moja naiyo ndorahisi kuliko zote .nimchezo wa bahati nasib unaitwa lotarygreen card . Kwa kukusaidia tu nenda kwenye account za Uyo EBM swahili. Nazani Facebook uko ndomwenye kujua mambo yote ya mtu kutakakuja hu anaelezea kila kitu . Mpaka kuhusu uo mchezo wa lotary pia kaeka link zake na maelezo jinsi ya kucheza kila kitu
@reginahmwanzia927
@reginahmwanzia927 2 жыл бұрын
@@rahmaabdulla4949 basi naomba usaidishi wako
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 2 жыл бұрын
Kufanya kazi muda mwingi ni kujipotezea umri wako wa maisha ya kuyafurahia mana unafanya kazi mpaka miaka 50 ndio unarudi Afrika baadaye unaishi miaka kumi unafariki . Maisha mafupi
@saloomidd1084
@saloomidd1084 2 жыл бұрын
kwa hiyo unashauri nini,watu walale tu wasifanye kazi?
@vicentsilikwa4024
@vicentsilikwa4024 2 жыл бұрын
Sasa utafanyaje
@vicentsilikwa4024
@vicentsilikwa4024 2 жыл бұрын
Mimi nikienda naishi mwaka umojatu
@vicentsilikwa4024
@vicentsilikwa4024 2 жыл бұрын
Nikishapiga pesa najiludia zangu
@erasmusishengoma5175
@erasmusishengoma5175 2 жыл бұрын
Thanks brother.
@johngibson3089
@johngibson3089 2 жыл бұрын
Asante sana
@TabyWanjiru
@TabyWanjiru Жыл бұрын
Mimi taka nilipe unijasie
Inside Out 2: ENVY & DISGUST STOLE JOY's DRINKS!!
00:32
AnythingAlexia
Рет қаралды 15 МЛН
My Daughter's Dumplings Are Filled With Coins #funny #cute #comedy
00:18
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 19 МЛН
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,4 МЛН
Fursa nyingi zipo Canada, ila angalia MATAPELI kuwa makini
8:32
EBM SWAHILI
Рет қаралды 19 М.
Njia za kwenda ughaibuni 2024. Mahojiano na @SimuliziNaSauti
33:20
Barua ya Mwaliko Kupata Viza (visa) Ubalozini
14:18
EBM SWAHILI
Рет қаралды 6 М.
SABABU ZA KUNYIMWA VIZA YA MATEMEBEZI YA USA NI HIZI HAPA
27:09
EBM SWAHILI
Рет қаралды 7 М.
Inside Out 2: ENVY & DISGUST STOLE JOY's DRINKS!!
00:32
AnythingAlexia
Рет қаралды 15 МЛН