UNAPATAJE VIZA YA KUTEMBELEA MAREKANI (TOURIST/VISITING VISA TO USA)
Пікірлер: 127
@mahmoudmohamed3219 Жыл бұрын
Kazi nzuri sana , je ikiwa upo europe unaweza kuomba visitor visa ukiwa huko huko europe au n lazima urudi nyumbani ndo uombe?
@luckysichone67052 жыл бұрын
Kaka shikamo nakupatia vizuri sana Mungu akubaliki sana.
@shilipacelestin78682 жыл бұрын
Asante kaka yangu kwaushauri wako
@isakakiza92042 жыл бұрын
Asante sana kwa kazi yako unayo fanya mungu awe pamoja nawe kaka
@flossiephilemoni5669 Жыл бұрын
9⁰
@carolynemajenga95597 ай бұрын
Hongera kwa kazi nzuri,naomba kuuliza ninapohitaji kusafiri kwenda Marekani na watoto wa kaka yangu kwa lengo la kutembea natakiwa niwe na viambatanisho gani ili kupata visa? Ikiwa wazazi wao hawaendi?
@alfredaloyce68352 жыл бұрын
Thank you brother nimekusoma sana
@ChoroTesla2 жыл бұрын
Daaah kikwete itsa big father daah yaaani kenya wanakimbiza Fursa tu mwendazake sijui alikuaje kwenye Diplomasia aiseee eti mabeberu.
@FaustineTz2 жыл бұрын
Unafanya vizuri sana Ebm
@joelinko66323 жыл бұрын
Kati ya clip zote nilizo angalia wew ndonimekuelewa
@agnessichilya3 ай бұрын
Hello nimejaza form yote na kumaliza kila kitu but sijapewa control number ili nilipie
@MathiasCosmas-r5k3 ай бұрын
natamani kutembelea marekani.
@olemonah Жыл бұрын
Asante sana kaka
@mohammedrashid2906 Жыл бұрын
Bomba sana
@isakakiza92042 жыл бұрын
kwa majina itwa isaka kuza kwanza nashukuri sana kwa mafundiosho yako kuhusu sisi tunatafuta visa ya marekani swali langu ni hivi naomba uniheleweshe vitambulisho gani vina itjika zaidi sana ukihenda kuomba visa ya marekani unitajiye vyote kisha unihandikie hapo moja pahada ya nyingine ju mimi wa zazi wanahishi arizona naninahenda interwiew mwezi watatu tarehe 7
@isakakiza92042 жыл бұрын
hii document pia hinahitajika hinaitwa ds 160 pia ni muhimu
@BukuruLeonce4 ай бұрын
Nikihenda embassy naweza henda nava ring kweny mukono wakati nimefanya hakusi ama inakataza
@salehabdulla55443 жыл бұрын
Kwaio kijana wa miaka 20 naa ni ngumu kupata Visa ya USA kwasababu wengi wanaweza kukosa uthibisho wa maandishi Kuwait watarudi, kama ulivo sema uoneshe kazi au mali au familia na Kama ni vigumu (Kama ngamia kupenya katika tundu la shindano,) he tufanye ili kuwe na wepesi apo wa kupata visa?
@nascmpiri3492 Жыл бұрын
Hello bro Niko Kenya na Niko na Mae son amejaribu mara mbili kutafta visa hajafanikiwa kupata,mara ya kwanza aliambiwa ajaribu next time na mara ya pili ilikua date 16 may 2023 akaambiwa aridi baada ya 60 days ndio karibu sinaisha naomba plzzz nisaidie anakuja kwa nyanyake Washington naomba nisaidie plzz
@mariosulley4669 Жыл бұрын
Mi nimekuelewa kabisa kaka Sasa endapo visa yako imekwisha,ukiomba overstay na ukiomba kuongeza muda inakuaje?
@vivacaciouslilyvlogs93664 жыл бұрын
Hujambo! Ernest .Nilijaribu Nairobi kwa mara ya kwanza na nikakufa moyo
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Pole saana
@riungumuthomi6452 Жыл бұрын
Vinzuri sana
@paulbruce26683 жыл бұрын
Imeeleweka Sana mkuu
@khajushomeappliancecompany4359 Жыл бұрын
Naomba kuuliza mtu ambaye amegimbea UBUNGE na sifa zote alikizi lakini akushida awezi tumia Docmets izo kupata Visa ki laisi.
@wazaibrahim34592 жыл бұрын
Je kama hujui English utawezaje kufanyiwa Interview Ubalozi wa Marekani?.Naomba jibu Kaka.
@For_the_gram2 жыл бұрын
Ubalozi unaongea lugha yako unayoweza kuongea sio lazima kingereza
@wazaibrahim34592 жыл бұрын
@@For_the_gram Ahsante sana Kaka
@paulbruce26683 жыл бұрын
Haaah 🤣 😄😂😂😂 ulaya na marekani tutapasikiaga tu 🤣🤣😁
@muttaperfect Жыл бұрын
😂😂😂😂 yaaan nimeangalia video hadi nimeogopa nina25 yrs na nilikuwa na plan za kwenda uko ila hayo mashart duh😂😂😂
@Caasiyo505 ай бұрын
Haparayaco veza maksla
@NduguEzekiel2 жыл бұрын
Tutakutana kiyama wote tukiwa uchi (wazungu vs waafrika
@AliHassan-rg8lk4 жыл бұрын
Kazi nzuri sana
@isakakiza92042 жыл бұрын
na pia kabla ujaenda interwiew unafaa kwanza kulipia tiketi ya ndege ndio uwende nayo uko embassy ama unalipa ukisha maliza interwiew naombba pia nihelewe apo
@negwamwaipopo6467 Жыл бұрын
Kaka nakutafuta sana
@derricksonmasitsa14842 жыл бұрын
Nimependa maelezo Yako ,,,nashukuru sana,,Mimi naitaji kuja huko lakini Sina kazi nimemaliza shule kidato Cha nne 2020 na Nina shangazi zangu huko ,what's the right procedure
@samsondenis89052 жыл бұрын
Umefanikiwa kupata nafasi ya kwenda ulaya
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Waambie wakuarike kama rafiki
@margaretwangui2556 Жыл бұрын
Je kwa mtu anayetaka kwenda kutembelea ndugu yake UK lakini ni mwanafunzi aliyepostphone studies until next year, akamwone ndugu yake ambaye amepata mtoto na hawajaonana kwa karibu miaka mitano na wamekuwa pamoja wakiwa wiwili tu anategemea wazazi atatumia nini kuwaconvince
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Wale ndugu wamuarike ni Rahisi
@abedimoraes8537 Жыл бұрын
Je kma nakuja kutafta maisha mimi kama mm na nataka nifate sheria zote
@suzanaibrahim23972 жыл бұрын
❤❤❤
@DevedMakelemo4 ай бұрын
samahan father kama hujui english
@Elimishatv5 ай бұрын
🇹🇿
@enockanord29 Жыл бұрын
Kaka shikamoo
@matabalobalanzila88913 жыл бұрын
Kaka makulilo je ni rahisi mimi nikija kutembea huko ninaweza kupata kibali cha kufanya kazi kabla ya kurudi Tz?
@frednjau80362 жыл бұрын
Nauli ni shilingi ngapi
@muhammedjuma8966 Жыл бұрын
Hey mi nataka kuja marekani unanisaidiaje brother
@musajonh8559 Жыл бұрын
Tusaidie
@isakakiza92042 жыл бұрын
na pia kuna hela inahitajika kwenda nayo kwenye interwiew ju ya kulipo visa
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Ndiyo
@tinayonafoundertinayonafou19273 жыл бұрын
Nices broo
@Paula-zo2ev Жыл бұрын
Kama auna ela kati account Yako Mimi nilie alikwa itakuwaje na Sina viwanja ila Nina mtoto wa miaka 7 je itasaidia
@himidjuma4217 Жыл бұрын
Kaka visa ya USA mwisho huwa inakuruhusu kukaa kW mda gn
@lucasmfaume66732 жыл бұрын
Asant kaka kwa maelekezo mazuri.sasa naomba mimi unitumie mwaliko nije kutembea.lakini sitozamia ntarudi nyumbani Tanzania
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Hahaha
@roncemnoma50777 ай бұрын
Mfano mm ni mwana funzi nime alikwa na mama united state kumtembelea nita prove asset gn zaku nifanya ni rudi kwenye nchi yngu
@janethirenge4635 Жыл бұрын
Me natakutaka uniasaidie
@bensonrambo3067 Жыл бұрын
Mi nataka kujua ni vp naweza kupata viza kw embassy wakati nimetumiwa working permit papers yangu ya miaka 2
@salumtlanka2230 Жыл бұрын
MIMI NI MTZ NINA 40 MIAKA NI TRUCK DRIVER NAITAJI MWONGOZO WA KUFANYA KAZI AMERICA
@crownnoblemj39892 жыл бұрын
Brother mimi mke wangu anahishi umarekani sasa nitafanyaje ili nipate visa ya USA 🇺🇸
@ignasiissaya1718 Жыл бұрын
Yani mke wako anaishi marekani, harafu hawezi kukusaidia,😂 had uje kuomba huku msaada , Ongea na mkeo vizuri kaka kuna kitu hakipo sawa hapo.
@akbaslismh987411 ай бұрын
@@ignasiissaya1718😅😅😅
@munguatoshalyimo5497 Жыл бұрын
unyama mwingi chief, tunashukuru kwa madini yako. hope tutafanikiwa kuvuka mpaka wa visa
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Pole saana
@EmmanuelIsrael-gm4mc Жыл бұрын
❤❤❤😂poooooooooo😢
@jamesmakim Жыл бұрын
Je kwa Mimi nitafanya nini ili nifike marekani
@TRUEHACK1XBET-c7v4 жыл бұрын
Bro ningeomba uzumzie kuhusu mahusiano kuhusu kuhowa marekani faida zake na hasara zake
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Utampata nani Kirahisi??
@yahyamerey46373 жыл бұрын
Oya ernest nitumie invitational letter, nataka nije marekani kutembea kwa mwezi mmoja
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Mfuate in box
@jenipherjenya40492 жыл бұрын
Mimi naitaji namba zako ili niwe kuuliza maswali na kufahamu mengi zaidi Naomba kaka angu Nina shida kuna mtu Ana taka nitoe dollar 1000 ili nipate visa
@hajrakimolo72942 жыл бұрын
Muongo
@anitakidola3820 Жыл бұрын
Hata mimi wameniambia ni maagent wanaoshuhulikia visa
@Caasiyo505 ай бұрын
Cowpia visa kaks
@enockanord29 Жыл бұрын
Bei ya visa
@kelvinchidabwa25383 жыл бұрын
SAFI BRATH
@MasolaFarm Жыл бұрын
Kaka nifanyie Mipango nije uko
@nyangejr3817 Жыл бұрын
Kaka mimi naitaji unidhamini nataka kuja kutembea
@alimakamesimai71642 жыл бұрын
Tutumie link ya gren card lottery
@MiMi-pj2mz2 жыл бұрын
Apa sasa ume nichaniwa kichwa mana nna mpango wakuja marekani kutafuta kazi ila nataka nije kwa njia ya matembezi nikifika nitafute kazi mana viza ya kazi ina tabu sana kama huna ofa job
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Wazo zuri
@isakakiza92042 жыл бұрын
sasa nikiomba kwamba unitumie mwaliko ila garama zote nita fanya pia nikifika tutakulipa juu niko na pesa za kutosha kweny akaunti yangu ya banki ila mimi kwa sasa niko naishi nairobi na mimi ni mkongomani wazazi wako hapo phoenix arizona
@tigergets94283 жыл бұрын
Kaka Kama Hujuwi Kingereza inawezekana Kuomba visa ??
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Inawezekana kama una ndugu anakuarika
@severinaseverinanyoni707 Жыл бұрын
Sasa kaka kama nataka kuja kutembea mwenyewe na kuja kumtembelea mtu je galama zake inakuwaje
@mtainembo26153 жыл бұрын
Nauli shilingi ngap ticket ya ndege
@ClaudineNizigama-mm9xo4 ай бұрын
Naomba namba zako plz Daddy nataka kuja marekani
@amidaamidha38584 жыл бұрын
Jamani kwani hiyo invitation later mimpaka serekali yaulaya ikubali ao mnatumiana nyie kwa nyie ao VIP,?
@fabianmaganga93692 жыл бұрын
Uwe na kiasi gani bank
@winnywink3 жыл бұрын
niko ndani kutoka Kenya-Nairobi
@glorysepeku96722 жыл бұрын
Me nataka jaman niliomba nikakosa
@safijeanne6223 Жыл бұрын
nipe namba ya kwako
@sayyidaseif63094 жыл бұрын
Je kama unataka kuja kutafuta maisha huko inakuaje prosesi zake
@angelpelkoneni26243 жыл бұрын
Kama unaenda kumtembelea mpemzi wako kutakuwa na vizuizi gani
@tumbonkutigwa11852 жыл бұрын
vipi maswali kama hujui kiingeleza inakuaje
@ronnylovemoo2202 жыл бұрын
Makulilo vipi kuhusu visa ya masomo
@ukweri2ebiyati6612 жыл бұрын
Kaka garama shingapi kufka marekani
@stevenabel15323 жыл бұрын
Jekwamtu ambae hajasoma kuja marekana
@ferezabron32342 жыл бұрын
Unaweza kuomba viza ya miazi miwili
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Ndiyo hata wiki 1
@winnywink3 жыл бұрын
mimi naomba unipee invitation letter ya matembezi
@mujunichristian3 жыл бұрын
Sasa naomba kujua kwasasa wanatoa visa? Nategemea kuja may to Juni Lkn application visa na Anza Sasa hivi
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Kwa sasa labda uende Calfonia summer time Dysney Land
@Elimishatv5 ай бұрын
.
@frankmosses36583 жыл бұрын
Kaka nauli naomba kujua
@EBMSWAHILI3 жыл бұрын
nauli hutegemeana na muda gani unanunua ticket, jimbo/mji unaoenda, msimu wa kusafiri nk...kwa USA kutokea East Africa inakuwa mara nyingi kati ya dola 1000 hadi 2000 kwenda na kurudi. Ila unaweza kupata deals hata za chini ya dola 1000
@hafsasaif26183 жыл бұрын
Nataman kujakutembea huko
@yahyamerey46373 жыл бұрын
Weka namba yako ya simu
@thedon84678 ай бұрын
TUPE MAELEKEZO KUPATA VISA YA TOURIST YA CANADA
@mujunichristian3 жыл бұрын
Naitajikuja uko USA Ni barua ya mwaliko tsyari
@azizaSalumu-rm3nm5 ай бұрын
Naomba namba yako kak yangu
@kikapuchetu39353 жыл бұрын
Njia rahisi ya kupata ukaazi wa kudumu Canada. kzbin.info/www/bejne/e6HJkoWJft-snrM
@samsondenis89052 жыл бұрын
Ndugu zangu naombeni mnisaidie niweze kupata nafasi ya kuja Canada help me please.
@uwezoamani22362 жыл бұрын
Sasa mkubwa wamalekani wanakuja huku hawajui kiswahili sisi bila kujuwa kingeleza tunapewa visa hapo nisaidie kwasababu mimi nafanya biashara dsm unamkuta jinana wakizungu anakuja dukan hata namna yakuuliza bei hajuwi hapo huwa wanaangaria kigezogan
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Unaweza usihofu
@manenoyauzimaulimwenguni Жыл бұрын
Hahah degree alafu unabet kazi huna!
@jumamecha3 жыл бұрын
Nabaomba number ya WhatsApp prz tunagushukulu kwa ushawuli ambao munatupa kira sikuu
@nurupaje9041 Жыл бұрын
Niomba number yako simu
@6elim123 жыл бұрын
nauli ya kuja marekani ni kama sh gapi
@evanzakaria42813 жыл бұрын
Million 2 na laki 2 TS shiling kwa dollar shiling ni 1000 apo kwenda
@mussampambichile86472 жыл бұрын
Kwaiyo kwenda na kuludi ni milioni 5 tuseme .kumbe ukiwa na milioni 20 unaenjoy marekani
@njikufatma52774 жыл бұрын
Makin broo naomba unichek WhatsApp number hii 0754247878 na ishu ya private nataka nikuulize sory
@NS-ru1yf Жыл бұрын
Kuwa makin wasikutapeli watu kujiita ebm
@NduguEzekiel2 жыл бұрын
Tutakutana kiyama wote tukiwa uchi (wazungu vs waafrika