UNAPATAJE VIZA YA KUTEMBELEA MAREKANI (TOURIST/VISITING VISA TO USA)

  Рет қаралды 14,418

EBM SWAHILI

EBM SWAHILI

Күн бұрын

UNAPATAJE VIZA YA KUTEMBELEA MAREKANI (TOURIST/VISITING VISA TO USA)

Пікірлер: 127
@mahmoudmohamed3219
@mahmoudmohamed3219 Жыл бұрын
Kazi nzuri sana , je ikiwa upo europe unaweza kuomba visitor visa ukiwa huko huko europe au n lazima urudi nyumbani ndo uombe?
@luckysichone6705
@luckysichone6705 2 жыл бұрын
Kaka shikamo nakupatia vizuri sana Mungu akubaliki sana.
@shilipacelestin7868
@shilipacelestin7868 2 жыл бұрын
Asante kaka yangu kwaushauri wako
@isakakiza9204
@isakakiza9204 2 жыл бұрын
Asante sana kwa kazi yako unayo fanya mungu awe pamoja nawe kaka
@flossiephilemoni5669
@flossiephilemoni5669 Жыл бұрын
9⁰
@carolynemajenga9559
@carolynemajenga9559 7 ай бұрын
Hongera kwa kazi nzuri,naomba kuuliza ninapohitaji kusafiri kwenda Marekani na watoto wa kaka yangu kwa lengo la kutembea natakiwa niwe na viambatanisho gani ili kupata visa? Ikiwa wazazi wao hawaendi?
@alfredaloyce6835
@alfredaloyce6835 2 жыл бұрын
Thank you brother nimekusoma sana
@ChoroTesla
@ChoroTesla 2 жыл бұрын
Daaah kikwete itsa big father daah yaaani kenya wanakimbiza Fursa tu mwendazake sijui alikuaje kwenye Diplomasia aiseee eti mabeberu.
@FaustineTz
@FaustineTz 2 жыл бұрын
Unafanya vizuri sana Ebm
@joelinko6632
@joelinko6632 3 жыл бұрын
Kati ya clip zote nilizo angalia wew ndonimekuelewa
@agnessichilya
@agnessichilya 3 ай бұрын
Hello nimejaza form yote na kumaliza kila kitu but sijapewa control number ili nilipie
@MathiasCosmas-r5k
@MathiasCosmas-r5k 3 ай бұрын
natamani kutembelea marekani.
@olemonah
@olemonah Жыл бұрын
Asante sana kaka
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 Жыл бұрын
Bomba sana
@isakakiza9204
@isakakiza9204 2 жыл бұрын
kwa majina itwa isaka kuza kwanza nashukuri sana kwa mafundiosho yako kuhusu sisi tunatafuta visa ya marekani swali langu ni hivi naomba uniheleweshe vitambulisho gani vina itjika zaidi sana ukihenda kuomba visa ya marekani unitajiye vyote kisha unihandikie hapo moja pahada ya nyingine ju mimi wa zazi wanahishi arizona naninahenda interwiew mwezi watatu tarehe 7
@isakakiza9204
@isakakiza9204 2 жыл бұрын
hii document pia hinahitajika hinaitwa ds 160 pia ni muhimu
@BukuruLeonce
@BukuruLeonce 4 ай бұрын
Nikihenda embassy naweza henda nava ring kweny mukono wakati nimefanya hakusi ama inakataza
@salehabdulla5544
@salehabdulla5544 3 жыл бұрын
Kwaio kijana wa miaka 20 naa ni ngumu kupata Visa ya USA kwasababu wengi wanaweza kukosa uthibisho wa maandishi Kuwait watarudi, kama ulivo sema uoneshe kazi au mali au familia na Kama ni vigumu (Kama ngamia kupenya katika tundu la shindano,) he tufanye ili kuwe na wepesi apo wa kupata visa?
@nascmpiri3492
@nascmpiri3492 Жыл бұрын
Hello bro Niko Kenya na Niko na Mae son amejaribu mara mbili kutafta visa hajafanikiwa kupata,mara ya kwanza aliambiwa ajaribu next time na mara ya pili ilikua date 16 may 2023 akaambiwa aridi baada ya 60 days ndio karibu sinaisha naomba plzzz nisaidie anakuja kwa nyanyake Washington naomba nisaidie plzz
@mariosulley4669
@mariosulley4669 Жыл бұрын
Mi nimekuelewa kabisa kaka Sasa endapo visa yako imekwisha,ukiomba overstay na ukiomba kuongeza muda inakuaje?
@vivacaciouslilyvlogs9366
@vivacaciouslilyvlogs9366 4 жыл бұрын
Hujambo! Ernest .Nilijaribu Nairobi kwa mara ya kwanza na nikakufa moyo
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Pole saana
@riungumuthomi6452
@riungumuthomi6452 Жыл бұрын
Vinzuri sana
@paulbruce2668
@paulbruce2668 3 жыл бұрын
Imeeleweka Sana mkuu
@khajushomeappliancecompany4359
@khajushomeappliancecompany4359 Жыл бұрын
Naomba kuuliza mtu ambaye amegimbea UBUNGE na sifa zote alikizi lakini akushida awezi tumia Docmets izo kupata Visa ki laisi.
@wazaibrahim3459
@wazaibrahim3459 2 жыл бұрын
Je kama hujui English utawezaje kufanyiwa Interview Ubalozi wa Marekani?.Naomba jibu Kaka.
@For_the_gram
@For_the_gram 2 жыл бұрын
Ubalozi unaongea lugha yako unayoweza kuongea sio lazima kingereza
@wazaibrahim3459
@wazaibrahim3459 2 жыл бұрын
@@For_the_gram Ahsante sana Kaka
@paulbruce2668
@paulbruce2668 3 жыл бұрын
Haaah 🤣 😄😂😂😂 ulaya na marekani tutapasikiaga tu 🤣🤣😁
@muttaperfect
@muttaperfect Жыл бұрын
😂😂😂😂 yaaan nimeangalia video hadi nimeogopa nina25 yrs na nilikuwa na plan za kwenda uko ila hayo mashart duh😂😂😂
@Caasiyo50
@Caasiyo50 5 ай бұрын
Haparayaco veza maksla
@NduguEzekiel
@NduguEzekiel 2 жыл бұрын
Tutakutana kiyama wote tukiwa uchi (wazungu vs waafrika
@AliHassan-rg8lk
@AliHassan-rg8lk 4 жыл бұрын
Kazi nzuri sana
@isakakiza9204
@isakakiza9204 2 жыл бұрын
na pia kabla ujaenda interwiew unafaa kwanza kulipia tiketi ya ndege ndio uwende nayo uko embassy ama unalipa ukisha maliza interwiew naombba pia nihelewe apo
@negwamwaipopo6467
@negwamwaipopo6467 Жыл бұрын
Kaka nakutafuta sana
@derricksonmasitsa1484
@derricksonmasitsa1484 2 жыл бұрын
Nimependa maelezo Yako ,,,nashukuru sana,,Mimi naitaji kuja huko lakini Sina kazi nimemaliza shule kidato Cha nne 2020 na Nina shangazi zangu huko ,what's the right procedure
@samsondenis8905
@samsondenis8905 2 жыл бұрын
Umefanikiwa kupata nafasi ya kwenda ulaya
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Waambie wakuarike kama rafiki
@margaretwangui2556
@margaretwangui2556 Жыл бұрын
Je kwa mtu anayetaka kwenda kutembelea ndugu yake UK lakini ni mwanafunzi aliyepostphone studies until next year, akamwone ndugu yake ambaye amepata mtoto na hawajaonana kwa karibu miaka mitano na wamekuwa pamoja wakiwa wiwili tu anategemea wazazi atatumia nini kuwaconvince
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Wale ndugu wamuarike ni Rahisi
@abedimoraes8537
@abedimoraes8537 Жыл бұрын
Je kma nakuja kutafta maisha mimi kama mm na nataka nifate sheria zote
@suzanaibrahim2397
@suzanaibrahim2397 2 жыл бұрын
❤❤❤
@DevedMakelemo
@DevedMakelemo 4 ай бұрын
samahan father kama hujui english
@Elimishatv
@Elimishatv 5 ай бұрын
🇹🇿
@enockanord29
@enockanord29 Жыл бұрын
Kaka shikamoo
@matabalobalanzila8891
@matabalobalanzila8891 3 жыл бұрын
Kaka makulilo je ni rahisi mimi nikija kutembea huko ninaweza kupata kibali cha kufanya kazi kabla ya kurudi Tz?
@frednjau8036
@frednjau8036 2 жыл бұрын
Nauli ni shilingi ngapi
@muhammedjuma8966
@muhammedjuma8966 Жыл бұрын
Hey mi nataka kuja marekani unanisaidiaje brother
@musajonh8559
@musajonh8559 Жыл бұрын
Tusaidie
@isakakiza9204
@isakakiza9204 2 жыл бұрын
na pia kuna hela inahitajika kwenda nayo kwenye interwiew ju ya kulipo visa
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Ndiyo
@tinayonafoundertinayonafou1927
@tinayonafoundertinayonafou1927 3 жыл бұрын
Nices broo
@Paula-zo2ev
@Paula-zo2ev Жыл бұрын
Kama auna ela kati account Yako Mimi nilie alikwa itakuwaje na Sina viwanja ila Nina mtoto wa miaka 7 je itasaidia
@himidjuma4217
@himidjuma4217 Жыл бұрын
Kaka visa ya USA mwisho huwa inakuruhusu kukaa kW mda gn
@lucasmfaume6673
@lucasmfaume6673 2 жыл бұрын
Asant kaka kwa maelekezo mazuri.sasa naomba mimi unitumie mwaliko nije kutembea.lakini sitozamia ntarudi nyumbani Tanzania
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Hahaha
@roncemnoma5077
@roncemnoma5077 7 ай бұрын
Mfano mm ni mwana funzi nime alikwa na mama united state kumtembelea nita prove asset gn zaku nifanya ni rudi kwenye nchi yngu
@janethirenge4635
@janethirenge4635 Жыл бұрын
Me natakutaka uniasaidie
@bensonrambo3067
@bensonrambo3067 Жыл бұрын
Mi nataka kujua ni vp naweza kupata viza kw embassy wakati nimetumiwa working permit papers yangu ya miaka 2
@salumtlanka2230
@salumtlanka2230 Жыл бұрын
MIMI NI MTZ NINA 40 MIAKA NI TRUCK DRIVER NAITAJI MWONGOZO WA KUFANYA KAZI AMERICA
@crownnoblemj3989
@crownnoblemj3989 2 жыл бұрын
Brother mimi mke wangu anahishi umarekani sasa nitafanyaje ili nipate visa ya USA 🇺🇸
@ignasiissaya1718
@ignasiissaya1718 Жыл бұрын
Yani mke wako anaishi marekani, harafu hawezi kukusaidia,😂 had uje kuomba huku msaada , Ongea na mkeo vizuri kaka kuna kitu hakipo sawa hapo.
@akbaslismh9874
@akbaslismh9874 11 ай бұрын
@@ignasiissaya1718😅😅😅
@munguatoshalyimo5497
@munguatoshalyimo5497 Жыл бұрын
unyama mwingi chief, tunashukuru kwa madini yako. hope tutafanikiwa kuvuka mpaka wa visa
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Pole saana
@EmmanuelIsrael-gm4mc
@EmmanuelIsrael-gm4mc Жыл бұрын
❤❤❤😂poooooooooo😢
@jamesmakim
@jamesmakim Жыл бұрын
Je kwa Mimi nitafanya nini ili nifike marekani
@TRUEHACK1XBET-c7v
@TRUEHACK1XBET-c7v 4 жыл бұрын
Bro ningeomba uzumzie kuhusu mahusiano kuhusu kuhowa marekani faida zake na hasara zake
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Utampata nani Kirahisi??
@yahyamerey4637
@yahyamerey4637 3 жыл бұрын
Oya ernest nitumie invitational letter, nataka nije marekani kutembea kwa mwezi mmoja
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Mfuate in box
@jenipherjenya4049
@jenipherjenya4049 2 жыл бұрын
Mimi naitaji namba zako ili niwe kuuliza maswali na kufahamu mengi zaidi Naomba kaka angu Nina shida kuna mtu Ana taka nitoe dollar 1000 ili nipate visa
@hajrakimolo7294
@hajrakimolo7294 2 жыл бұрын
Muongo
@anitakidola3820
@anitakidola3820 Жыл бұрын
Hata mimi wameniambia ni maagent wanaoshuhulikia visa
@Caasiyo50
@Caasiyo50 5 ай бұрын
Cowpia visa kaks
@enockanord29
@enockanord29 Жыл бұрын
Bei ya visa
@kelvinchidabwa2538
@kelvinchidabwa2538 3 жыл бұрын
SAFI BRATH
@MasolaFarm
@MasolaFarm Жыл бұрын
Kaka nifanyie Mipango nije uko
@nyangejr3817
@nyangejr3817 Жыл бұрын
Kaka mimi naitaji unidhamini nataka kuja kutembea
@alimakamesimai7164
@alimakamesimai7164 2 жыл бұрын
Tutumie link ya gren card lottery
@MiMi-pj2mz
@MiMi-pj2mz 2 жыл бұрын
Apa sasa ume nichaniwa kichwa mana nna mpango wakuja marekani kutafuta kazi ila nataka nije kwa njia ya matembezi nikifika nitafute kazi mana viza ya kazi ina tabu sana kama huna ofa job
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Wazo zuri
@isakakiza9204
@isakakiza9204 2 жыл бұрын
sasa nikiomba kwamba unitumie mwaliko ila garama zote nita fanya pia nikifika tutakulipa juu niko na pesa za kutosha kweny akaunti yangu ya banki ila mimi kwa sasa niko naishi nairobi na mimi ni mkongomani wazazi wako hapo phoenix arizona
@tigergets9428
@tigergets9428 3 жыл бұрын
Kaka Kama Hujuwi Kingereza inawezekana Kuomba visa ??
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Inawezekana kama una ndugu anakuarika
@severinaseverinanyoni707
@severinaseverinanyoni707 Жыл бұрын
Sasa kaka kama nataka kuja kutembea mwenyewe na kuja kumtembelea mtu je galama zake inakuwaje
@mtainembo2615
@mtainembo2615 3 жыл бұрын
Nauli shilingi ngap ticket ya ndege
@ClaudineNizigama-mm9xo
@ClaudineNizigama-mm9xo 4 ай бұрын
Naomba namba zako plz Daddy nataka kuja marekani
@amidaamidha3858
@amidaamidha3858 4 жыл бұрын
Jamani kwani hiyo invitation later mimpaka serekali yaulaya ikubali ao mnatumiana nyie kwa nyie ao VIP,?
@fabianmaganga9369
@fabianmaganga9369 2 жыл бұрын
Uwe na kiasi gani bank
@winnywink
@winnywink 3 жыл бұрын
niko ndani kutoka Kenya-Nairobi
@glorysepeku9672
@glorysepeku9672 2 жыл бұрын
Me nataka jaman niliomba nikakosa
@safijeanne6223
@safijeanne6223 Жыл бұрын
nipe namba ya kwako
@sayyidaseif6309
@sayyidaseif6309 4 жыл бұрын
Je kama unataka kuja kutafuta maisha huko inakuaje prosesi zake
@angelpelkoneni2624
@angelpelkoneni2624 3 жыл бұрын
Kama unaenda kumtembelea mpemzi wako kutakuwa na vizuizi gani
@tumbonkutigwa1185
@tumbonkutigwa1185 2 жыл бұрын
vipi maswali kama hujui kiingeleza inakuaje
@ronnylovemoo220
@ronnylovemoo220 2 жыл бұрын
Makulilo vipi kuhusu visa ya masomo
@ukweri2ebiyati661
@ukweri2ebiyati661 2 жыл бұрын
Kaka garama shingapi kufka marekani
@stevenabel1532
@stevenabel1532 3 жыл бұрын
Jekwamtu ambae hajasoma kuja marekana
@ferezabron3234
@ferezabron3234 2 жыл бұрын
Unaweza kuomba viza ya miazi miwili
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Ndiyo hata wiki 1
@winnywink
@winnywink 3 жыл бұрын
mimi naomba unipee invitation letter ya matembezi
@mujunichristian
@mujunichristian 3 жыл бұрын
Sasa naomba kujua kwasasa wanatoa visa? Nategemea kuja may to Juni Lkn application visa na Anza Sasa hivi
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Kwa sasa labda uende Calfonia summer time Dysney Land
@Elimishatv
@Elimishatv 5 ай бұрын
.
@frankmosses3658
@frankmosses3658 3 жыл бұрын
Kaka nauli naomba kujua
@EBMSWAHILI
@EBMSWAHILI 3 жыл бұрын
nauli hutegemeana na muda gani unanunua ticket, jimbo/mji unaoenda, msimu wa kusafiri nk...kwa USA kutokea East Africa inakuwa mara nyingi kati ya dola 1000 hadi 2000 kwenda na kurudi. Ila unaweza kupata deals hata za chini ya dola 1000
@hafsasaif2618
@hafsasaif2618 3 жыл бұрын
Nataman kujakutembea huko
@yahyamerey4637
@yahyamerey4637 3 жыл бұрын
Weka namba yako ya simu
@thedon8467
@thedon8467 8 ай бұрын
TUPE MAELEKEZO KUPATA VISA YA TOURIST YA CANADA
@mujunichristian
@mujunichristian 3 жыл бұрын
Naitajikuja uko USA Ni barua ya mwaliko tsyari
@azizaSalumu-rm3nm
@azizaSalumu-rm3nm 5 ай бұрын
Naomba namba yako kak yangu
@kikapuchetu3935
@kikapuchetu3935 3 жыл бұрын
Njia rahisi ya kupata ukaazi wa kudumu Canada. kzbin.info/www/bejne/e6HJkoWJft-snrM
@samsondenis8905
@samsondenis8905 2 жыл бұрын
Ndugu zangu naombeni mnisaidie niweze kupata nafasi ya kuja Canada help me please.
@uwezoamani2236
@uwezoamani2236 2 жыл бұрын
Sasa mkubwa wamalekani wanakuja huku hawajui kiswahili sisi bila kujuwa kingeleza tunapewa visa hapo nisaidie kwasababu mimi nafanya biashara dsm unamkuta jinana wakizungu anakuja dukan hata namna yakuuliza bei hajuwi hapo huwa wanaangaria kigezogan
@trophywilson7211
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Unaweza usihofu
@manenoyauzimaulimwenguni
@manenoyauzimaulimwenguni Жыл бұрын
Hahah degree alafu unabet kazi huna!
@jumamecha
@jumamecha 3 жыл бұрын
Nabaomba number ya WhatsApp prz tunagushukulu kwa ushawuli ambao munatupa kira sikuu
@nurupaje9041
@nurupaje9041 Жыл бұрын
Niomba number yako simu
@6elim12
@6elim12 3 жыл бұрын
nauli ya kuja marekani ni kama sh gapi
@evanzakaria4281
@evanzakaria4281 3 жыл бұрын
Million 2 na laki 2 TS shiling kwa dollar shiling ni 1000 apo kwenda
@mussampambichile8647
@mussampambichile8647 2 жыл бұрын
Kwaiyo kwenda na kuludi ni milioni 5 tuseme .kumbe ukiwa na milioni 20 unaenjoy marekani
@njikufatma5277
@njikufatma5277 4 жыл бұрын
Makin broo naomba unichek WhatsApp number hii 0754247878 na ishu ya private nataka nikuulize sory
@NS-ru1yf
@NS-ru1yf Жыл бұрын
Kuwa makin wasikutapeli watu kujiita ebm
@NduguEzekiel
@NduguEzekiel 2 жыл бұрын
Tutakutana kiyama wote tukiwa uchi (wazungu vs waafrika
Safari yangu kuja USA na kuishi miaka 15 (Njia niliyotumia)
15:34
Un coup venu de l’espace 😂😂😂
00:19
Nicocapone
Рет қаралды 11 МЛН
World‘s Strongest Man VS Apple
01:00
Browney
Рет қаралды 66 МЛН
How it feels when u walk through first class
00:52
Adam W
Рет қаралды 22 МЛН
JE UKIKOSA VIZA UNARUDISHIWA PESA ? ✈️✈️✈️
28:32
ArrivalTv
Рет қаралды 2,7 М.
Hapa Ndiyo Marekani Vijijini 🇺🇸
4:22
Jack Wa USA
Рет қаралды 46 М.
Un coup venu de l’espace 😂😂😂
00:19
Nicocapone
Рет қаралды 11 МЛН