CHANGAMOTO NINAZOPITIA .... SORRY EVERYONE.... I WILL BE BACK

  Рет қаралды 4,404

EBM SWAHILI

EBM SWAHILI

Күн бұрын

Пікірлер: 88
@Hadithi01
@Hadithi01 7 ай бұрын
Watu kama wewe ni wachache sana.... Una moyo mzuri Mungu akubariki familia yako itakuwa na afya njema Amen.
@eliasbiya9367
@eliasbiya9367 7 ай бұрын
Pole sana kaka. Mungu atakusimamia utarudi tena strong. Recently I got the US visa and am about to come to America with my family because of you, I will forever be grateful for you kaka. May God heal your child and give you peace of mind.
@priscusgodwin
@priscusgodwin 7 ай бұрын
Through dv?
@obinakakuba2384
@obinakakuba2384 7 ай бұрын
Naomba unisaidie no ya kaka EBM
@danielemil-gu4wn
@danielemil-gu4wn 7 ай бұрын
Pole sana EBM, MUNGU ni mwaminifu atamponya BENEDICT na mamaBENEDICT in JESUS NAME
@Salumchiwili2023
@Salumchiwili2023 6 ай бұрын
Pole sana kaka mwenyezi mungu akuvushe kwenye mtihani ulionao Kiukweli mimi kwa upande wangu umenisaidia sana tena sana hadi nilipofikia una mchango mkubwa sana kwangu naamini utakua sawa inshaalah 🙏🏽
@calvinjudica1989
@calvinjudica1989 2 ай бұрын
Pole sana kaka,Mungu amponye mtoto na mama nawe urudi ukiwa strong.
@aloycemabula8649
@aloycemabula8649 7 ай бұрын
Aiseee ni kweli.. kazi yako unahitaji uwe sawa kiakili... Pole bro
@luluchisanga1764
@luluchisanga1764 7 ай бұрын
Wishing you all the best!Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema amponye mtoto, Umechukua uwamuzi mzuri kutake break, afya yako ni kitu muhimu sana.
@christiangideon8663
@christiangideon8663 7 ай бұрын
Bro pole na hongera kwa yote wewe ni shujaa wetu nadhani watu wawe na subira kipindi hiki na wewe ni mtu mzuri sana EBM, tafuta vitunguu vya kawaida tafuna kila siku viwili, utaanza kupata usingizi mpaka ushangae, mengine kuhusu Benedict naomba tuwasiliane kwa simu apate remedies ambazo zinapatikana huku na huko pia na atapona kabisa, uwe na amani
@upendogreutert199
@upendogreutert199 7 ай бұрын
Pole Sanaa ndugu yetu Mungu amponye kijana wako na roho ya ugonjwa imuachie uishi na afanikiwe katika Masomo yake in Jesus Christ
@kaupigwe
@kaupigwe 7 ай бұрын
Pole kamanda. Chukua vacation/time-off, well deserved. Get good sleep, quality time with family, reflection on your well being and go ahead with EBM.
@DrMwanyika
@DrMwanyika 7 ай бұрын
Pole sana mkuu yani inatakiwa upate muda wa kupumzika jitahidi na kujipenda mwenyewe mkuu unaweza kufanya kazi zaidi hizi ukaishia kuwa na magonjwa ya Depression & Hypertension kwa sababu hapo naona una changamoto za usingizi (Insomnia) na mwishowe unaweza kuleta madhara makubwa zaidi hata performance yako itashuka sana 😢😢
@sasmgeituff9586
@sasmgeituff9586 7 ай бұрын
Ni kweli kabisa Ebm hayo unayosema chukua off na change ili uwe active na uwe na energy zaidi. Hilo la kuwa uko na stress kaka ni very badly bora sasa mapema umejua hilo na kuweza kuchukua hatua.
@mighandampinguhi7584
@mighandampinguhi7584 7 ай бұрын
Poleee sana uncle EBM hakuna biashara rahisi hapa duniani
@davidanselmo4041
@davidanselmo4041 7 ай бұрын
I feel you EBM we will never give up on you next year am gonna catch up with you again I will make sure ndugu zangu wanastuka nimefika Ughaibuni 😊Matatizo ni part ya maisha angalia kwanza familia fanya mazoezi saizi unaweza kuwa unatoa video za mazoezi tu kama burudani usijipe mzigo mingi sana kaka you deserve better 😊
@HassanMohd-sw2xn
@HassanMohd-sw2xn 6 ай бұрын
You will be back strong EBM 😢
@violetcyrillo1945
@violetcyrillo1945 6 ай бұрын
Pole sana brother. Mungu amponye kijana. Elimu unayotupa ni kubwa na nzuri sana. Ubarikiwe
@matunzojr4862
@matunzojr4862 6 ай бұрын
Very sad story. God blessings will be with you
@-vj7os
@-vj7os 6 ай бұрын
Burundi tunakupenda sana Kaka Be strong EBM
@azamakulwa4604
@azamakulwa4604 7 ай бұрын
Pole sana kaka mungu amjalie mtoto apate nafuu na ww akutie nguvu ktk maisha yako
@LeahVlogstoday
@LeahVlogstoday 7 ай бұрын
First thing first is your family and you, were next we know you have a good heart
@godwinmsomba6909
@godwinmsomba6909 6 ай бұрын
pole sana brother, utakuwa sawa kabisa hope kila mtu amekuelewa vizuri sana
@nevistours
@nevistours 7 ай бұрын
Pole sana brother wewe ni wa pekee sana . Mungu atakusimamia.
@alexndabatinya7953
@alexndabatinya7953 7 ай бұрын
Pole sana kwa changamoto mkuu. Unafanya kazi kubwa nzuri na Mungu anajua. Take time to rest bro so as to regain your Energy. Naamini ntaonana nawewe uso kwa uso September 26 Austin Texas. Stay strong kamanda
@gidesbalunguza7152
@gidesbalunguza7152 7 ай бұрын
Pole sana kaka, Mungu akutie nguvu kwenye mattzo unayopitia
@danfordgabriel8304
@danfordgabriel8304 7 ай бұрын
Pole sana Mr EBM kwa kazi kubwa unayoifanya na pia kwa kuuguliwa mtoto na mrs
@KenyaUSATimesTV
@KenyaUSATimesTV 7 ай бұрын
May GOD give you strength. Psalm 46:1 God is our refuge and strength, a very present help in trouble.
@Maee2704
@Maee2704 6 ай бұрын
Pole sana bro, hope u will recover, prayers pia kwa Benedikt, hopeful he will get healed fully.
@charlesmajuto4664
@charlesmajuto4664 7 ай бұрын
Pole saana EBM kwa unachopitia Mungu akupe nguvu Mpya na Mungu amponye Benedict na urudi na Hali Mpya na Nguvu Mpya.
@mohamedabdallah6118
@mohamedabdallah6118 7 ай бұрын
Kiongozi Mr Ernest utakuwa sawa tu biidhnillah kwa uwezo wa Allah just take brake,iyo issue ya pesa hata mm nafanya biashara napokea pesa all over the world washaniletea shida sana
@Witnessvlog
@Witnessvlog 7 ай бұрын
It is well kaka. Thank you for everything that you have done to us. Esp Mimi. Take care of yourself and your family first. Sisi tupo tu. Nitakuombea Hakika. Mungu awatendee miujiza
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 7 ай бұрын
Pole sana Makulilo
@Deedah4
@Deedah4 7 ай бұрын
You are one in a million kaka EBM may God bless you abaduntly......May your daughter have a quick recovery kaka.
@bethngethe9806
@bethngethe9806 7 ай бұрын
Pole EBM for challenge s you are going through. We pray for your son's recovery. Pole.sana
@elsaMo-b5r
@elsaMo-b5r 7 ай бұрын
Pôle Sana brother EBM kwa unayopitia tunakuombea Mungu Sana mrecover soon. Nakuja inbox.
@neemahappyeverafter6181
@neemahappyeverafter6181 7 ай бұрын
Pole kaka EBM, Mungu akutie nguvu na akamponye mtoto mzuri Benedict
@reginas1832
@reginas1832 7 ай бұрын
Stay strong my brother. God bless you and your family
@avelinamgasa
@avelinamgasa 7 ай бұрын
Pole sana kaka. Umefanya uamuzi mzuri wa kutake break. Nashauri utakapo resumu uanze taratibu na paying customers ukikaa sawa ndiyo uanze na kutoa free service
@bilombelekilozodieudonne123
@bilombelekilozodieudonne123 7 ай бұрын
*Pole sana brother wangu ❤❤❤😮 Mungu atiye nguvu*
@huludaemmanuel8803
@huludaemmanuel8803 7 ай бұрын
POLE SANA MR EBM MWENYEZI MUNGU AKUSHINDIE KATIKA CHANGAMOTO HIZO AMINA🤲🏾🤲🏾🙏🏾
@christophersimon6379
@christophersimon6379 7 ай бұрын
Pole Sana Kaka kwa Changamoto Ya kijana Mungu wetu ni mwema Utavuka tu na mtoto atakua sawa
@SmilingBubbleTea-vm3nz
@SmilingBubbleTea-vm3nz 7 ай бұрын
Pole sana Mungu akulinde akusimamie amponye mtoto Amina
@angelinamoses458
@angelinamoses458 7 ай бұрын
Pole sana EBM please take care of your health and your family
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 7 ай бұрын
Kaka pole sana kwa mitihani unayopitia,Kwa sisi tulianza kutazama video zako tangu mwanzo tulihisi kuna kitu kina kufanya kuwa busy (Kwa sababu tuliona ile power yako ya ku post video imepungua) kumbe unapitia magumu, Mungu akufanyie wepesi
@jumawaziri8501
@jumawaziri8501 7 ай бұрын
pole sana sana kweli inabidi upumzike saana haya mambo ya social media yapo tuu usiyaendkeze sana kifupi quit kidogo ujenge afya yako
@homeandaway2811
@homeandaway2811 7 ай бұрын
Take a break kaka, pumzika mitandao mwezi 1, focus na familia na kumsupport Benedict, pia you need to take care of yourself. Mungu atakutetea, mtakuwa sawa WOTE. In the name of Jesus, mtegemeeni Mungu.
@fulgencecasian1054
@fulgencecasian1054 7 ай бұрын
Pole sana kaka nakuombea kwa mungu amponye mtoto wako
@lightnessanthony8527
@lightnessanthony8527 6 ай бұрын
Mungu yupo na wewe wakati wote
@JohnMsenga-t7o
@JohnMsenga-t7o 7 ай бұрын
Asant sana kaka kwa elim Yako mungu akubalik
@Mapishinatibatv
@Mapishinatibatv 7 ай бұрын
Pole sana bro Mungu akutunze na familia yako ,pole kwa changamoto .
@mukhtarally5819
@mukhtarally5819 7 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ we still love you brother and almighty make easy for you and binketii mungu ampoonyeeee ❤🙏🙏🙏🙏
@JohnMsenga-t7o
@JohnMsenga-t7o 7 ай бұрын
Asant sana kaka kwa elim Yako mungu akubaliki
@samsonfredricktv
@samsonfredricktv 7 ай бұрын
Pole sana brother I hope you will be well soon
@francekazoba3212
@francekazoba3212 7 ай бұрын
Pole sana brother
@neemakenge1153
@neemakenge1153 7 ай бұрын
Pole baba Mungu akufanyie wepesi
@FaustineTz
@FaustineTz 7 ай бұрын
Pole sana kaka, kazi yako ni ngumu mno
@crispasmwase9188
@crispasmwase9188 7 ай бұрын
Sorry brother, EBM tunakuelewa sana your so loyalty to us
@esthermachangu4970
@esthermachangu4970 7 ай бұрын
Pole sana bro nakuelewa
@sokamubashara
@sokamubashara 7 ай бұрын
Pole sana EBM mambo yatakaa sawa
@willylema6994
@willylema6994 7 ай бұрын
Utakuwa kaka yangu milele daima wewe ni MSHINDI hata kama mazingira hayaoneshi USHINDI✅
@nelsonpaul4618
@nelsonpaul4618 7 ай бұрын
Tunakuelewa sana kaka.Pata mapumziko kwanza,wewe ni msaada mkubwa sana.
@juliaskayanda3578
@juliaskayanda3578 7 ай бұрын
Mungu akupe nguvu na moyo wakuzidi kutupa masomo, kaka elimu unayotupa hatuna chakukulipa
@EBMSWAHILI
@EBMSWAHILI 7 ай бұрын
Asante sana
@ednaJF1028
@ednaJF1028 7 ай бұрын
​@EBMSWAHILI Please I need help with something I'm trying to make appointment with phone please please Niko HOUSTON TX
@ednaJF1028
@ednaJF1028 7 ай бұрын
​@@EBMSWAHILIhi please I need help with something but I need call appointment I'm here in Houston tx
@riavlogstz
@riavlogstz 7 ай бұрын
So sorry sir afya yako kwanza na familia take a break we love you
@dicksonenock-pd1sq
@dicksonenock-pd1sq 2 ай бұрын
Pia mwka huu nimecheza bahati nasibu ya kupata greencardi.
@winfridamdaki5699
@winfridamdaki5699 7 ай бұрын
Pole sana kaka
@OmariEtetembaWilondja
@OmariEtetembaWilondja 7 ай бұрын
Thumbnail na title imenishutua sana mkuu, pole sana kwa kila kitu.
@DramaDiveApp
@DramaDiveApp 7 ай бұрын
Sio rahisi kaka yangu pole watu ni wavivu unawapa intro wanataka uwajazie , uwafowaidie documents , uwapigie simu wakachukue visa😢 Tena Mimi nafanya bure tu ila watz Wengi wavivu wakenya ukimpa intro tu anazama chimbo Yaani anakupigia au kukutafuta ashafika eneo la tukio alafu bado support ya sisi watz ni ndogo sana pole nakuelewa unachopitia Mungu akusaidie upate njia ya kudeal nao Tena wala usituchoke
@DorcasLoy
@DorcasLoy 7 ай бұрын
Poleni sana wi
@DaghauMsule-e3u
@DaghauMsule-e3u 15 сағат бұрын
OK kk
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 7 ай бұрын
Na mimi nameza Benadryl, pole Makulilo, stress😢 mambo ni mengi, toka nimekuwa USA. Pole mdogo wangu.
@OmariEtetembaWilondja
@OmariEtetembaWilondja 7 ай бұрын
Mkuu, kama kuna social worker, human service, au mtaalamu katika huduma zakibinadamu wewe ni number moja. Naamini mimi na wengine wengi tunakuombea kaka yangu!!
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 7 ай бұрын
Pole sana sana kwa mtoto wetu Benedict. Migreines ni ugonjwa mbaya sana. Mungu amponye na awatie nguvu familia yote kwa mapito hayo. Hope utaondokana na tatizo la kukosa usingizi. Mungu akuepushe usizoeane na dawa za usingizi.
@IbrahimHemedi-j8e
@IbrahimHemedi-j8e 6 ай бұрын
Mi nauliza ulishawahi kusema kwamba unaweza kufika huko ukaamua kusoma, je kama mtu anataka kusoma huko may be alifel huku au hakusoma au amesoma lakin elimu yake huko haitambuliki ke anaweza kuanza vipi kusoma hukoo
@upendogreutert199
@upendogreutert199 7 ай бұрын
Thousands of messages is too much for you Brother punguza Vitu vingine
@siasia5469
@siasia5469 7 ай бұрын
MUNGU AKUFANYIE WEPESI KAKA
@ONEGOTECHLTD
@ONEGOTECHLTD 7 ай бұрын
MKUU EBM, Tunakushukuru kwa Jitihada zako za kuendelea kutupigania kwa hali na mali katika kuhakikisha tunapata fursa mbalimbali kutoka ughaibuni, naamini hichi unachokifanya kimeendelea kugusa jamii ya afrika hasa kwa ss wa Mashariki, nakuombea uzima mwingi ww na familia yako vile vile na hao wote wanatimu wote na kwa wanaosapoti hizi platforms na productions kwa ujumla kwa njia moja ama nyingine, naomba kwa wanaofanikiwa kufika huko tafadhali kuweni na Moyo kama wa huyu ndugu yetu EBM pazeni sauti katika masuala na fursa mbalimbali, vilevile na ss wana afrika mashariki tujifunze kupokea kwa moyo wa shukrani kile kinapotolewa na hawa ndugu na kama ikiwezekana basi tuwasapoti kwa hali na mali na kusambaza jumbe hizi kwa walio gizani, JAMANI UMOJA NI NGUVU, TUNAKUTAKIA LIKIZO NJEMA NA YENYE MAFANIKIO HADI WAKATI MWINGINE.
@dicksonenock-pd1sq
@dicksonenock-pd1sq 2 ай бұрын
Naitwa dickson moris nahitaji kuongea na wewe video call nipe utaratibu
@AlexisCongera-so4mi
@AlexisCongera-so4mi 7 ай бұрын
Kaka najua Mungu atakusaidia kaka na kingine ninaomba urete office nchini Burundi utakuwa umesaidia sana Kaka tunataka na nchi yetu utusaidie kaka niombi kaka
@lightnessanthony8527
@lightnessanthony8527 6 ай бұрын
Mungu yupo na wewe wakati wote
@lightnessanthony8527
@lightnessanthony8527 6 ай бұрын
Mungu yupo na wewe wakati wote
@lightnessanthony8527
@lightnessanthony8527 6 ай бұрын
Mungu yupo na wewe wakati wote
Maswali na Majibu - Maisha ya Ughaibuni
1:45:13
EBM SWAHILI
Рет қаралды 1,6 М.
Maswali na Majibu kuhusu Uhamiaji na Maisha ya Marekani - LIVE TIKTOK
1:27:16
Chain Game Strong ⛓️
00:21
Anwar Jibawi
Рет қаралды 41 МЛН
Quando A Diferença De Altura É Muito Grande 😲😂
00:12
Mari Maria
Рет қаралды 45 МЛН
Njia za kwenda nje ya nchi USA, ULAYA, CANADA ni hizi hapa
13:21
BARIDI KALI SANA NEGATIVE 9 NA SNOW
13:36
EBM SWAHILI
Рет қаралды 5 М.
HAKUNA TRAVEL BAN YOYOTE ILE KWA TANZANIA NA HAITOKUWEPO
27:36
EBM SWAHILI
Рет қаралды 6 М.
Mazungumzo nilipokuwa Instagram Live
2:20:05
EBM SWAHILI
Рет қаралды 1,1 М.