No video

Usimpeleke mtoto wako kusoma nje ya nchi baada ya Form Four (Hakuna Full Scholarships)

  Рет қаралды 29,293

EBM SWAHILI

EBM SWAHILI

Күн бұрын

Kama mwanao kamaliza Form Four, usianze mambo ya kumpeleka nje ya nchi kusoma degree, na hasa kwa nchi za mataifa ya kimagharibi, na hususani wale wanaotafuta udhamini wa elimu wa juu ughaibuni
#masomoughaibuni #udhamini #scholarships

Пікірлер: 96
@afyatele3637
@afyatele3637 Жыл бұрын
Umeongea ukweli mtupu Kaka yangu Mungu akubariki sana
@africonexion
@africonexion 2 жыл бұрын
Mimi ninafundisha katika chuo hapa Marekani, tangu mwaka 1991. Vile vile ni mtoa ushauri na mwelimishaji kwa waMarekani na waAfrika kuhusu tofauti za tamaduni ambazo wanapaswa wazijue waMarekani wanaokuja Afrika na waAfrika wanaokuja Marekani. Kwa hiyo, ndugu Makulilo, haya uliyosema hapa mwishoni kuhusu hatari za kumleta mtoto huku Marekani bila maandalizi ya kujua maisha ya Marekani yakoje, ni sahihi kabisa. Kuna kitu kiitwacho "culture shock" ambacho kinaweza kumwathiri kisaikolojia na kitabia mtoto au mtu yeyote ugenini. Wewe ndugu Makulilo unafahamu hata vitabu vyangu, kwani nimekusikia ukivitaja, lakini elimu hiyo waTanzania kwa ujumla hawaiwazii. Wao wameng'ang'ana tu kuleta watoto wao ughaibuni.
@babyshinetv8107
@babyshinetv8107 2 жыл бұрын
Wasome hukuhuku Tanzania au niaje?
@yohanaomary1154
@yohanaomary1154 2 жыл бұрын
Kweli mkoo sahihi lkini mme deal Sana kwenye shule vipi kusu SSI wenye fani mfano driver,, operator vip kusu sisi Amna vyuo kutusu SSI
@laurentkamuli7945
@laurentkamuli7945 3 ай бұрын
Nilisikikiza speech yako kuhusu utandawazi nikikuwa naandika fictional story juu ya ATHARI ZA UTANDAWAZI. hongera sana
@esterpeter8295
@esterpeter8295 Жыл бұрын
Umeongea vitu vigumu na vyenye mariifa makubwa big up 👍👍👍
@mteimanway9035
@mteimanway9035 2 ай бұрын
Good advice EBM tumekupata mwamba kabisa
@joshuajoseph7433
@joshuajoseph7433 Жыл бұрын
Je naweza kumaliza form four alafu nkaenda kusomea high school nje ya nchi
@ivankadaudi8161
@ivankadaudi8161 2 жыл бұрын
Eee Mungu wanguu kwahyo sisi wenye cheti tu ambacho vyuo vya huku tu havitupokei labda college binafsi,unatushauli nini mana tunatamani tuje huko kutafuta maisha huku kama tumefeli na familia zetu uku mbeya ni maskin tumezaliwa hata baba hatuwajui tufanyaje kuja huko kupambana na umaskini huu jamani,tusaidie ata deki na kubeba hayo mabox tutabeba tu Mambo magumu tytajiongezaga tukifika tukijua lugha yahuko
@VitusChaniko
@VitusChaniko 2 жыл бұрын
Hapo umetufumbua macho.....! Hata mimi nilikuwa nimeshaanza kuwaza kijana aanze kutafuta scholarship. Sasa basi, apige kitabu hadi University akiwa anaendelea na masomo.Hongera kwa kutuimisha watanzania. Endelea kutafuta na mengine.
@Veni584
@Veni584 2 жыл бұрын
Ernest Boniphace Makulilo
@robertmussa620
@robertmussa620 2 жыл бұрын
Yes lakini content yako ina saidia nini sisi hii mitaara atuitaki aisaidiii kabisa katika kuleta mabadiliko ya uchumi wetu
@eliadaniel216
@eliadaniel216 2 жыл бұрын
Mafunzo yako ni mazuri sana kaka hongera
@mariandamu7379
@mariandamu7379 Жыл бұрын
Asante kaka Mungu akubariki binafsi nmekuelewa.
@alsamir7860
@alsamir7860 2 жыл бұрын
Hi I agree with your view I live in calgary When my son when to study in Vancouver I had to go and settle him I come from Makao makuu (Dodoma) I have been in Canada 30 years Mimi nime Toka Dodoma Nakubali Kabisa ulichosema Muhindi mwema
@minzaikekashololo5862
@minzaikekashololo5862 Жыл бұрын
Hello
@user-by3pv7cj5y
@user-by3pv7cj5y 4 ай бұрын
Iko powa sana
@christopherkiswaga9270
@christopherkiswaga9270 3 ай бұрын
Be blessed
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 2 жыл бұрын
Kumbe kuna EBM swahili? ? Safi sana, nakubali sana kazi zako Ernest Makulilo.
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 жыл бұрын
Mashallah ALLAH barik
@danielchacha2973
@danielchacha2973 2 жыл бұрын
Asante sana kwa hilo nami nilitaka kufanya hivyo kwa mwanangu kumbe angepotea
@danielchacha2973
@danielchacha2973 2 жыл бұрын
Kazi yako nzuri sana.
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 Жыл бұрын
Ahsante brother
@esterjaphet6949
@esterjaphet6949 Жыл бұрын
Unawavunja moyo watu kaka!
@negwakomwaipopo1289
@negwakomwaipopo1289 2 жыл бұрын
Asante sana ,Kaka. Umeongea vizuri sana kaka.
@yohanaomary1154
@yohanaomary1154 2 жыл бұрын
Kweli Unaongea vitu sahihi sana kaka lkini vipi kusu vyuo vya fani mfano driver, operator vip kusu Ivo kka naona ujagusia kabixa
@adkajisi4536
@adkajisi4536 2 жыл бұрын
Unaweza jifunza hata hapa kwetu
@samuelopati7916
@samuelopati7916 2 жыл бұрын
My brother from another mother good job
@andersonchongoma1723
@andersonchongoma1723 2 жыл бұрын
EBM ahsante sana kwa ukweli .... msaaadakubwa umetupa ..stay cool...
@avitusiodiro5022
@avitusiodiro5022 2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa je tunaotaka kuja USA tofauti na masomo unatusaidiaje
@yusuph8618
@yusuph8618 8 ай бұрын
thanks
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
Waelimishe wapone, ninajua kadhaa waliwatuma watoto wao wa form four nje, wakafeli big time. Ingawa nilijaribu kuwaeleza wakaona kama nawazimia nyota.
@samuelopati7916
@samuelopati7916 2 жыл бұрын
Mimi mgeni hapana lakini content yako Safi sana 👏👏👏👏👏👏👏
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 2 жыл бұрын
Asante kwa kutuelimisha.
@chev6115
@chev6115 2 жыл бұрын
Very true brother Bony👌👌
@reginalewiston72
@reginalewiston72 Жыл бұрын
Kweli kabisa kaka makulilo , inakuwaje Kwa wale wa certificate
@goodlucktemba6388
@goodlucktemba6388 2 жыл бұрын
Habari kaka ebm naomba kuuliza course zipi zinapewa kipaumbele kwenye kuomba kujitolea UN
@peterrulagora7403
@peterrulagora7403 2 жыл бұрын
Kaka nimepata kitu kikubwa sn,mungu akubariki sn
@gracemahugi2260
@gracemahugi2260 2 жыл бұрын
Mwanangu amemaliza kenya je anaweza kupata scorashp nje au nayo itakuwa ngumu
@joywambui9330
@joywambui9330 2 жыл бұрын
100.01% EBM
@kundiseleman6670
@kundiseleman6670 2 жыл бұрын
Asante Sana mpendwa umenifumbua akili
@fatumahengo6849
@fatumahengo6849 2 жыл бұрын
It's true brother maneno yako
@ndewerio1
@ndewerio1 2 жыл бұрын
POINTS
@robertmwakingili4255
@robertmwakingili4255 2 жыл бұрын
Thanks for these remarks!!
@Q2nahumofficial
@Q2nahumofficial 2 жыл бұрын
Nikweli kaka angu, lakini lazima tutapambana mpka kieleweke
@maparo1313
@maparo1313 2 жыл бұрын
I wish were had more Tanzanians like this !!!! talk about victim of the environment!!! i really like that they kept kiswahili as the language but everything else is downhill!!!!!
@hildaeliapenda3938
@hildaeliapenda3938 2 жыл бұрын
Yaani umetufungua Akili ubarikiwe
@reganmartin5485
@reganmartin5485 2 жыл бұрын
Hapo kwenye kupoteza muda wa kurudia masomo kwa kidato Cha Kwanza na pili vipi kwa Uganda wanakosoma kingereza tangu la Kwanza Mbona nao wana kidato Cha nne na sita hiyo imekaaje?
@adkajisi4536
@adkajisi4536 2 жыл бұрын
Hawasomi kiganda Kwelii?
@valenakomba9218
@valenakomba9218 2 жыл бұрын
Form four yetu Haina maana ulaya. Imenisumbua Sana. Unahesabiwa kama hujamaliza secondary school ukienda ñchi za nnje. Ñchi . Kwa Hilo ndugu yangu nimefurahi Sana kwa kuwaelekeza. Elimu ya Tanzan I a ni hovyo Sanaa.
@marklawmarklaw1069
@marklawmarklaw1069 2 жыл бұрын
Ndio mahana wazazi wengi wanavukisha watoto wao Kenya
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 Жыл бұрын
Upo ok
@anaselimtui1188
@anaselimtui1188 2 жыл бұрын
Upo vizur
@EBMSWAHILI
@EBMSWAHILI 2 жыл бұрын
Asante
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 2 жыл бұрын
Nikweli form 4yetu kwao kam primary darasa la sita ukija na form yko utasoma tena cheti akuna nguvu sana ulaya kidogo ukiwa high school Nikweli kabisa 💯
@deogratiasshija5897
@deogratiasshija5897 2 жыл бұрын
Utumwa sana kuwaza scholarships...
@erasto2863
@erasto2863 2 жыл бұрын
Sijapenda, kuna kale karoho ukisha fanikisha kuona kama wenzio awapambani, watu wanapambana kaka mazingira tu yanawafeilisha, kwan scholarships inautumwa gani.!?
@mwlrobinson
@mwlrobinson 2 жыл бұрын
Nmeahaaanxa KZbin baada ya kuni influence
@robertmwakingili4255
@robertmwakingili4255 2 жыл бұрын
Kwa bahati kuna chuo kikuu Kama Brigham Young University ambacho kina angalia uwezo wako wa kiingeleza na kukusaidia kusoma mpaka unapata degree
@abuuirfan9523
@abuuirfan9523 2 жыл бұрын
Habari yako.Naomba number yako ya whatsapp ili unipe maelezo vizuri
@anethmushi5671
@anethmushi5671 2 жыл бұрын
Hello! Kipo nchi gan?
@robertmwakingili4255
@robertmwakingili4255 2 жыл бұрын
@@anethmushi5671 Kipo Marekani
@swifatsukimtuliaswifatsuki3730
@swifatsukimtuliaswifatsuki3730 2 жыл бұрын
Nimekuelewa vzr kaka
@samweljames8947
@samweljames8947 2 жыл бұрын
Asante kaka
@SamwelBaharia-xc4vx
@SamwelBaharia-xc4vx Жыл бұрын
Bro umenyoa ushauri mzr sana
@SamwelBaharia-xc4vx
@SamwelBaharia-xc4vx Жыл бұрын
Ushauri mzr sana Bro.
@annamsigwa5756
@annamsigwa5756 2 жыл бұрын
Asante saaana
@mamaalimamaali86
@mamaalimamaali86 Жыл бұрын
Mm mm mm
@jumayusuphu322
@jumayusuphu322 10 ай бұрын
Diploma nao wanaweza kupata
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 жыл бұрын
Unasema ukweli kabisa ndugu
@tusiimeroy3157
@tusiimeroy3157 2 жыл бұрын
Ahsante, mimi ni mzazi naomba number yako ili niweze kuwasiliana wewe.
@kalengashoppingcenter1108
@kalengashoppingcenter1108 2 жыл бұрын
Mzee umepanic, waambie hao Maisha bata
@hamzamafita4025
@hamzamafita4025 2 жыл бұрын
Mimi mtoto wangu alimaliza form 4 akaenda kuchukua certificate na akaenda diploma na kamaliza bachelor je huyo nae.
@leahenockmrina5381
@leahenockmrina5381 Жыл бұрын
Huyo anaenda si lazima akasome masters akasome degree yoyote masters ni gharama zaidi lskini hata ukienda kusoma degree wanakwambia uanzie associate degree ndiyo uendelee na degree we usijali mradi ameenda akadome huku akipiga kazi wangu kaenda hivyo na ana degree
@ramadhankisila452
@ramadhankisila452 2 жыл бұрын
Bro naomba utuandalie video clip ya kuhusu IB diploma
@Bongomastermind
@Bongomastermind Жыл бұрын
Kak kwaiy hakuna uwezo wa kusoma high school marekan
@jonathannyagwaswa1551
@jonathannyagwaswa1551 2 жыл бұрын
NAOMBA KUULIZA, ADVANCED DIPLOMA YA TANZANIA, KWA NCHI KAMA USA, INAJULIKANA KAMA DEGREE AU? JE, INA QUALIFY TO MASTERS AU NA SCHOLARSHIP ZA HUKO? YAANI UNAIONGELEA VIPI ADVANCED DIPLOMA KAMA ZILE ZILIZOKUWAGA IFM, CBE, NA KWINGINE
@abrahmanhajj3515
@abrahmanhajj3515 2 жыл бұрын
Naomba kukulza.vp kwa mwenye GPA ya lower second (3.0)anaweza kupata fursa ya kupata udhamin wa masomo ughaibuni?
@gracemahugi2260
@gracemahugi2260 2 жыл бұрын
Naomba no yk kaka wsp ninashida niongee naunipe elimu zaidi mimi nimzazi
@barakabrian4328
@barakabrian4328 Жыл бұрын
nina swali kwan diploma mtu wa form four sianawez kusoma
@beatricebenson9099
@beatricebenson9099 2 жыл бұрын
😅😅😅asante kwa kutuelimisha kaka
@felicxakwilini7509
@felicxakwilini7509 2 жыл бұрын
Nna swali kwako je huko ngarama za maisha kwa mtu anaeanza inakuaje?
@peterlaurent4046
@peterlaurent4046 2 жыл бұрын
😅🤣 asante kaka,,
@abuuirfan9523
@abuuirfan9523 2 жыл бұрын
Vp kuhusu college kwa aliemaliza form4 kwa mtu kujilipia mwenyewe kwa ngazi ya certificate au diploma
@frankkyando5539
@frankkyando5539 2 жыл бұрын
Naomba tusaidie hapa mkuu
@leahenockmrina5381
@leahenockmrina5381 Жыл бұрын
Naona nivizuri asome fomu six at least
@theuniversetv2870
@theuniversetv2870 2 жыл бұрын
Chief sorry kwa postgraduates ya doctor of medicine Kuna scholarship full funded?
@alicerutha5043
@alicerutha5043 2 жыл бұрын
Samahani Kaka, kwahiyo Kama umemaliza form six ni rahisi kupata scholarship?
@mmbswahili778
@mmbswahili778 2 жыл бұрын
Yes ni rahis kwasababu umehitimu highschool
@rosemayunga4021
@rosemayunga4021 Жыл бұрын
Vipi ushoga upo?
@benjaminmushi9994
@benjaminmushi9994 2 жыл бұрын
MBONA HAUJAONGELEA VYUO VYA UFUNDI NAFASI YA KUSOMA JE .ZIPO?
@reginaevance7175
@reginaevance7175 2 жыл бұрын
Naomba namba zako kaka
@aniyma-tz1100
@aniyma-tz1100 2 жыл бұрын
Samahan mbn wasap skupat
@alexeric6850
@alexeric6850 2 жыл бұрын
Naomba email address yako brother
@reginalewiston72
@reginalewiston72 Жыл бұрын
Kweli kabisa kaka makulilo , inakuwaje Kwa wale wa certificate
Sababu kwanini watu wananyimwa viza Ubalozini
13:24
EBM SWAHILI
Рет қаралды 20 М.
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 192 МЛН
PEDRO PEDRO INSIDEOUT
00:10
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 24 МЛН
这三姐弟太会藏了!#小丑#天使#路飞#家庭#搞笑
00:24
家庭搞笑日记
Рет қаралды 117 МЛН
Пройди игру и получи 5 чупа-чупсов (2024)
00:49
Екатерина Ковалева
Рет қаралды 4,7 МЛН
SNURA NA MUMEWE USO KWA USO NA SHEIKH KISHK AL-HIKMA FOUDATION
18:56
Kishki Online TV
Рет қаралды 10 М.
WAJERUMANI WABARIDI | SIO KILA MZUNGU NI TAJIRI | NI BORA KUKUTANA ONLINE DATING
1:12:55
Official Dating Assistance
Рет қаралды 23 М.
Mehaririria ma muthia mbere ya kuhingura nyumba ya mami wa Ngugi wa Karanja
53:55
Ngugi wa karanja Mcee TV
Рет қаралды 7 М.
Dondoo za ziara ya Bongo Zozo nchini Oman
21:32
Z Pemba News Agency
Рет қаралды 19 М.
HUU HAPA MCHONGO KWA WANAOTAMANI KUSOMA NJE YA NCHI
12:31
GSengo
Рет қаралды 1,5 М.
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 192 МЛН