Mziki wa dansi zilipendwa-Marquiz -Mangolibo

  Рет қаралды 33,708

Eddie Nassor

Eddie Nassor

Күн бұрын

Пікірлер: 32
@hashymharun9337
@hashymharun9337 Жыл бұрын
Mangolibo
@zaidumakunganya5992
@zaidumakunganya5992 Жыл бұрын
Dah " nakumbuka utotoni kila kt kilikuwa safi sana nawakumbuka na waliotangulia 😊😊
@mlulamsiliwa7123
@mlulamsiliwa7123 7 жыл бұрын
Asante sana kwa mangolibo nimeitafuta sana.. Maquiz walikuwa moto wa kuotea mbali sasa hivi watu wanacheza hawa walifanya kazi.Mziki mpaka kesho upo kwenye fomu. Banza mchafu kwenye bass gitaa, sauti safi ya adios, audax. acha bwana umenikuna sana
@josephrobertsawe3597
@josephrobertsawe3597 4 ай бұрын
Huu wimbo unanikumbusha mbali sana, Hatari sana!!!!
@gilbertjames7898
@gilbertjames7898 2 жыл бұрын
Nitumie bas huu wimbo mbn unakta kata siusikii vzr nakupenda sana naomba unitumie ful
@mtaninjegere6060
@mtaninjegere6060 5 жыл бұрын
Wimbo huu naupenda mpaka basi. Jamani bendi hizi zitarudi? Listening in Nairobi 2019
@frankmakoba9693
@frankmakoba9693 3 жыл бұрын
Nakumbuka mbali sanaaaaaaaa.
@jumamganga5136
@jumamganga5136 6 ай бұрын
Enzi hairudi,1978 kurudi nyuma,Whitehouse,Maquis hawapigi mziki nje ya dar
@salehhamad2151
@salehhamad2151 3 жыл бұрын
Those things were worth more than gold......
@najmasaleh9231
@najmasaleh9231 7 жыл бұрын
Anayejua maana ya huu wimbo atutafsirie
@waziriselemani5773
@waziriselemani5773 7 жыл бұрын
kk Eddi mbona wimbo wa Marquiz makumbele no 2 nakuomba kila cku lkn hunitumii kwa nn.
@udjetu
@udjetu 8 жыл бұрын
Eddie Nassor, kazi njema, unanikimbusha mengi. Nauliza wimbo huu umeimbwa kwa lugha gani? Can you upload hizi nyimbo: 1) Kashasha (Tancut) 2) Mwanameka (Dar Inter)
@eddienassor480
@eddienassor480 8 жыл бұрын
Kashaha upo hewani ndugu
@aminimpeta7815
@aminimpeta7815 6 жыл бұрын
Duu ni balaaaa
@hassankilule3924
@hassankilule3924 Жыл бұрын
Wimbo umeimbwa kwa.lugha ya kibondei, kabila lipo Muheza, Tanga, Tanzania.
@sautiafricatv2924
@sautiafricatv2924 3 жыл бұрын
mkuuu eddie nisaidie kibao cha mama kanji
@adamfungamwango4640
@adamfungamwango4640 7 жыл бұрын
Dirice wimbo huo umeimbwa katika lugha ya Kibondei
@emmanuelkaswaka5789
@emmanuelkaswaka5789 3 жыл бұрын
Naomba angalau tafsiri kidogo nasikia ni kibondei
@jerrymuro
@jerrymuro 2 жыл бұрын
karibuni wageni hapa nyumbani tucheze ngoma ya mangolibo.. ukiaa unacheza ukisimama unacheza ni ngoma nzuri kwa wote wasichana na wavulana
@kahemamziray5081
@kahemamziray5081 Жыл бұрын
Hebu tutafsirie hiyo lugha ya kibondei!
@udjetu
@udjetu 8 жыл бұрын
Nitumie link ya Kashasha ulipo hewani. John Kitime anao wimbo kashasha ya LIVE. Sio clear vile. Jitahidi @Eddie ...
@eddienassor480
@eddienassor480 8 жыл бұрын
Kaka naomba radhi nilidhani nimeurusha zamani kumbe bado:Utakuwa hewani ndani ya nusu saa Mungu akipenda
@linusasagwile6596
@linusasagwile6596 5 жыл бұрын
Tulikuwa tupo polisi barracks kilwa road,siku hiyo sitasahau
@theodoremilenzo9420
@theodoremilenzo9420 2 ай бұрын
Wanamuziki wa Marquiz du Zaire - Chinyama Chianza, Tshinyama Katay, Tshimbuiza Tshinsense (Nhuza Viking), Mbuya Makonga (Adios), Tshibangu Katay, Ilunga Lubaba, Mutombo Lufungula, Mwema Mudjanga and Mwema wa Mwamba, wengine ni Dekula Vumbi, Illunga Banza Mchafu, King Kiki, Kasongo Mpinda, Thsimanga Assosa, Kasolo Kyanga, Dekula Kahanga na wengine wengi tuu. Maquiz ilikuja na mitindo mbalimbali ya muziki kama vile kamanyola, sanifu, ogelea piga mbizi, and zembwela n.k. Enzi Hizooo. SIJUI NI NANI YUKO HAPA NA MIMI KWA MWAKA HUU WA 2024 TUNAELEKEA MWISHONI MWA MWAKA SASA
@obadiambilinyi1816
@obadiambilinyi1816 3 жыл бұрын
Ivi huu wimbo ni wa lugha gani?? Mangolibo maana yake Nini??
@hassankilule3924
@hassankilule3924 Жыл бұрын
Kibondei
@hassankilule3924
@hassankilule3924 Жыл бұрын
Hapo anazungumzia aina mbili za ngoma yaani Madogoli na Mangolibo. Binafsi haya mangolibo sijui ni ngima gani. Maudhui ya kioande hiki anaposema *Nkhatitoa Madogoli, haya yetu ni Mangolibo." Anamaanisha "Hatupigi Madogoli, haya yetu ni Mangolibo."
@dorisegasper1872
@dorisegasper1872 7 жыл бұрын
mangoribo ni lugha gani?huu wimbo wa marquis?
@dorisegasper1872
@dorisegasper1872 7 жыл бұрын
bado naulizia mangoribo umeimbwa lugha gani?mziki utafikiri unatoka kesho!hiyo ndio ilikuwa miziki
@najmasaleh9231
@najmasaleh9231 6 жыл бұрын
Dekula2 Habari mkuu nini maana ya hii wimbo?
@mwlmmuda4586
@mwlmmuda4586 5 жыл бұрын
Dorise Gasper kibondei
@jumahoza1575
@jumahoza1575 5 жыл бұрын
Enzi hizo bwn! Nilikuwa ndio nipo form one Bagamoyo. Dunia ilikuwa tulivu isiyo na rabsha. Na miziki ivyo ivyoo. Acha sasa ni blaa blaa tuu...bora liende.
Vijana Jazz - Mundinde
6:18
Power Nguzo
Рет қаралды 232 М.
Double Double by Nguza Viking & Orchestra Maquis
7:17
Dekula2 Band [official]
Рет қаралды 56 М.
버블티로 부자 구별하는법4
00:11
진영민yeongmin
Рет қаралды 25 МЛН
Un coup venu de l’espace 😂😂😂
00:19
Nicocapone
Рет қаралды 14 МЛН
Кәсіпқой бокс | Жәнібек Әлімханұлы - Андрей Михайлович
48:57
Mziki wa dansi zilipendwa- Marquiz- Wanasema mrudie- Kamanyola
8:32
Zowa - Maquis Original
6:37
Power Nguzo
Рет қаралды 46 М.
Karubandika
7:13
Kasalo Kyanga - Topic
Рет қаралды 11 М.
Mziki wa dansi zilipendwa -Mzinga group -Mazoea yananikondesha
6:41
Molema
9:37
Mose Se 'Fan Fan' - Topic
Рет қаралды 14 М.
Gubu La Mume
7:10
Vijana Jazz Band - Topic
Рет қаралды 10 М.
Mziki wa dansi zilipendwa-Nkomba Kababa Gaby na OSS- Marie Jose
10:48
Ngalula
6:30
Tshimanga Kalala Assosa - Topic
Рет қаралды 24 М.
버블티로 부자 구별하는법4
00:11
진영민yeongmin
Рет қаралды 25 МЛН