Dah " nakumbuka utotoni kila kt kilikuwa safi sana nawakumbuka na waliotangulia 😊😊
@mlulamsiliwa71237 жыл бұрын
Asante sana kwa mangolibo nimeitafuta sana.. Maquiz walikuwa moto wa kuotea mbali sasa hivi watu wanacheza hawa walifanya kazi.Mziki mpaka kesho upo kwenye fomu. Banza mchafu kwenye bass gitaa, sauti safi ya adios, audax. acha bwana umenikuna sana
@josephrobertsawe35974 ай бұрын
Huu wimbo unanikumbusha mbali sana, Hatari sana!!!!
@gilbertjames78982 жыл бұрын
Nitumie bas huu wimbo mbn unakta kata siusikii vzr nakupenda sana naomba unitumie ful
@mtaninjegere60605 жыл бұрын
Wimbo huu naupenda mpaka basi. Jamani bendi hizi zitarudi? Listening in Nairobi 2019
@frankmakoba96933 жыл бұрын
Nakumbuka mbali sanaaaaaaaa.
@jumamganga51366 ай бұрын
Enzi hairudi,1978 kurudi nyuma,Whitehouse,Maquis hawapigi mziki nje ya dar
@salehhamad21513 жыл бұрын
Those things were worth more than gold......
@najmasaleh92317 жыл бұрын
Anayejua maana ya huu wimbo atutafsirie
@waziriselemani57737 жыл бұрын
kk Eddi mbona wimbo wa Marquiz makumbele no 2 nakuomba kila cku lkn hunitumii kwa nn.
@udjetu8 жыл бұрын
Eddie Nassor, kazi njema, unanikimbusha mengi. Nauliza wimbo huu umeimbwa kwa lugha gani? Can you upload hizi nyimbo: 1) Kashasha (Tancut) 2) Mwanameka (Dar Inter)
@eddienassor4808 жыл бұрын
Kashaha upo hewani ndugu
@aminimpeta78156 жыл бұрын
Duu ni balaaaa
@hassankilule3924 Жыл бұрын
Wimbo umeimbwa kwa.lugha ya kibondei, kabila lipo Muheza, Tanga, Tanzania.
@sautiafricatv29243 жыл бұрын
mkuuu eddie nisaidie kibao cha mama kanji
@adamfungamwango46407 жыл бұрын
Dirice wimbo huo umeimbwa katika lugha ya Kibondei
@emmanuelkaswaka57893 жыл бұрын
Naomba angalau tafsiri kidogo nasikia ni kibondei
@jerrymuro2 жыл бұрын
karibuni wageni hapa nyumbani tucheze ngoma ya mangolibo.. ukiaa unacheza ukisimama unacheza ni ngoma nzuri kwa wote wasichana na wavulana
@kahemamziray5081 Жыл бұрын
Hebu tutafsirie hiyo lugha ya kibondei!
@udjetu8 жыл бұрын
Nitumie link ya Kashasha ulipo hewani. John Kitime anao wimbo kashasha ya LIVE. Sio clear vile. Jitahidi @Eddie ...
@eddienassor4808 жыл бұрын
Kaka naomba radhi nilidhani nimeurusha zamani kumbe bado:Utakuwa hewani ndani ya nusu saa Mungu akipenda
@linusasagwile65965 жыл бұрын
Tulikuwa tupo polisi barracks kilwa road,siku hiyo sitasahau
@theodoremilenzo94202 ай бұрын
Wanamuziki wa Marquiz du Zaire - Chinyama Chianza, Tshinyama Katay, Tshimbuiza Tshinsense (Nhuza Viking), Mbuya Makonga (Adios), Tshibangu Katay, Ilunga Lubaba, Mutombo Lufungula, Mwema Mudjanga and Mwema wa Mwamba, wengine ni Dekula Vumbi, Illunga Banza Mchafu, King Kiki, Kasongo Mpinda, Thsimanga Assosa, Kasolo Kyanga, Dekula Kahanga na wengine wengi tuu. Maquiz ilikuja na mitindo mbalimbali ya muziki kama vile kamanyola, sanifu, ogelea piga mbizi, and zembwela n.k. Enzi Hizooo. SIJUI NI NANI YUKO HAPA NA MIMI KWA MWAKA HUU WA 2024 TUNAELEKEA MWISHONI MWA MWAKA SASA
@obadiambilinyi18163 жыл бұрын
Ivi huu wimbo ni wa lugha gani?? Mangolibo maana yake Nini??
@hassankilule3924 Жыл бұрын
Kibondei
@hassankilule3924 Жыл бұрын
Hapo anazungumzia aina mbili za ngoma yaani Madogoli na Mangolibo. Binafsi haya mangolibo sijui ni ngima gani. Maudhui ya kioande hiki anaposema *Nkhatitoa Madogoli, haya yetu ni Mangolibo." Anamaanisha "Hatupigi Madogoli, haya yetu ni Mangolibo."
@dorisegasper18727 жыл бұрын
mangoribo ni lugha gani?huu wimbo wa marquis?
@dorisegasper18727 жыл бұрын
bado naulizia mangoribo umeimbwa lugha gani?mziki utafikiri unatoka kesho!hiyo ndio ilikuwa miziki
@najmasaleh92316 жыл бұрын
Dekula2 Habari mkuu nini maana ya hii wimbo?
@mwlmmuda45865 жыл бұрын
Dorise Gasper kibondei
@jumahoza15755 жыл бұрын
Enzi hizo bwn! Nilikuwa ndio nipo form one Bagamoyo. Dunia ilikuwa tulivu isiyo na rabsha. Na miziki ivyo ivyoo. Acha sasa ni blaa blaa tuu...bora liende.