Namkumbuka comrade moja anaitwa Gripa Dickson Bilali alikuwa ni msanii mzuri sana ktk muziki, kuchora na Sasa ni mtumishi ktk kabisa la T.A.G jijini D.S.M.
@omaryswalehe12252 жыл бұрын
Mashindano ya majeshi mwaka 1991 nikicheza kwenye timu ya Jeshi kanda ziwa na tukafanikiwa kushika nafasi ya pili na mimi kuteuliwa kwenye KOMBAINI ya taifa ya majeshi mpira wa miguu. sIKU YA MWISHO YA MASHINDANO bendi hii ilikuja kutuburudisha kabla sisi wa kanda ya ziwa kwenda Dar na kupanda ndege kwa mara yangu ya kwanza. Hongereni sana mzinga trupu
@lupakisyomsese82104 жыл бұрын
Mazoea kweli yanakondesha, mzinga hao hatari sana enzi zao DAIMA SIKUTENDA OVU ,WALA HAKUTENDA OVU LA KUACHA MAKOVU MILELE.
@renathamukinga92822 жыл бұрын
Sauti; Ujumbe; Vyombo pamoja na kiswahili kilichotumika vilipangiliwa kwa ustadi mkubwa WAZAMANI TULIFAIDI JAMANI
@omaryswalehe12252 жыл бұрын
hahahahaha. nawe kumbe umo my best
@arafaomari18322 жыл бұрын
Kwakweli 😁
@sayunindelwa9876 жыл бұрын
Kinacho nihuzunisha mm hawa watunzi na waimbaji wa zamani walitumia akili nyingi na ujuzi mwingi ktk tungo zao lkn wengi wao walikufa maskini tofauti na sasa.kazi nzuri xana hii.
@cairofrancis88783 жыл бұрын
dunno if you guys gives a damn but if you are stoned like me during the covid times then you can watch pretty much all of the latest series on instaflixxer. I've been binge watching with my girlfriend lately =)
@theodoresilas12003 жыл бұрын
@Cairo Francis Yup, I've been using Instaflixxer for since november myself :D
@petermangama33019 күн бұрын
ENZI HIZO PDIDDYALIKUWA ANANYONYA USILAUMU
@julithamuhale72713 жыл бұрын
Wimbo naupenda Sana huu ! Unabembeleza balaa! Huwa nikikosa usingizi nausikiliza nikishtuka ni asubuhi!
@najmasaleh92313 жыл бұрын
Pole na hongera sana
@stevejoh3284 Жыл бұрын
@@najmasaleh9231 kwa kweli inabidi tumpe pole na hongera zake
@julithamuhale7271 Жыл бұрын
@@najmasaleh9231thanx
@julithamuhale72718 ай бұрын
@@najmasaleh9231😂thanx
@samwelmwanga2547 жыл бұрын
Huu ni moja ya miito katika simu yangu ya mkononi na kuna ujumbe mmoja naupenda sana unasema hivi Mbona mjusi ama kinyonga anapata ridhiki yake kwa kula vijidudui hai tena vyenye kurukaruka mbona yeye hana mbawa hana makucha wala vikumbo hashiki panga wala bunduki masikini unatosha kwa ulimi wake,anashiba kwa ulimi wake semuese mimi mwanadamu. .
@djbobnas78247 жыл бұрын
samwel mwanga maneno huyo acha tu
@erivamuheta11146 жыл бұрын
Jaman mziki ni zaman miaka hii ni usanii
@erickngatunga23593 жыл бұрын
hii maana yake ni kwamba Mungu ndiye mgawa riziki bila kutazama hali ya mtu.
@arafaomari18322 жыл бұрын
Kwakweli
@ashuashu38435 жыл бұрын
Umenikumbusha mbali,bado nilikuwa,mrembo,nimekumbuka mengi sana.
@petermangama33019 күн бұрын
Home hiyo kulikuwa na fundi viatu aitwa Nyenyembu Noma sana tulikuwa tukipeleka viaru vyetu pale story mingi sana afu anatupia KBC inapiga wimbo huo dah! Mwenyezi Mungu amrehemu Bwana Nyenyembu!
@ambrosesaid19386 жыл бұрын
Issa mrisho ezi izo ni shida tu walifanya kazi kwa kiwango cha kweri
@Pedeshee013 жыл бұрын
Diamond njoo usikilize
@lilikato55606 жыл бұрын
wimbo unanikumbusha my lovely husband...alikua akiusikiliza hata mara mia kwa siku ..rèst in peace baby. You will always be missed.
@moseshekima3144 жыл бұрын
Lili Kato pole sana
@janegeogre32344 жыл бұрын
oooh! pole sana dada lily
@MrMpokigwa4 жыл бұрын
We understand Lili.....these songs reminds us of the musicians and our loved ones who are R.I.P tuko wengi Lili
@aishaahmadnzoka81472 жыл бұрын
Zilipenddwa wangu uliniimbia mwanzo mwisho 1988
@omaryswalehe12252 жыл бұрын
Mbona mjusi ama kinyonga anapata riziki yake tena hula vijidudu hai haswa vyenye kurukaruka mbona yeye hana mbawa. Hashika panga wala bunduki masikini eeh sembuse mimi mwanadamu.
@stanleykigomboa22605 жыл бұрын
Eddie Nassor Mimi ni mdau Mkubwa sana kama sio mnazi Wa nyimbo za zamani. Naomba ututafutie kibao cha Tshimanga Assosa kinachoitwa Wema wangu. Na Mwingine ni Wa Orchestra kobash unamilindimo mizuri sana hiyo bendi ilitokea mkoani kagera kama sikosei. Nafikiri wimbo utakua unaitwa Maneno ni sumu.
@khamissalum4315 жыл бұрын
U c jal kk
@khadijanyoni24575 жыл бұрын
Daa uyu anaanzisha apa .anasauti nzuri. Ama hakika kizazi cha wanamziki hawa kilikuwa raha
@Pedeshee013 жыл бұрын
Sisi wa 2000 hizi hazituhusu.tumezaliwa kipindi wajuzi wametoweka.
@mussambembela71617 жыл бұрын
Mziki ni zilipendwa hawa wengine wanaigiza tu
@mzuvendi6 жыл бұрын
Ndio maana hawa wa sasa wanaitwa "Wasanii"!
@mbangakanoni51036 жыл бұрын
kwa wanamuziki wa leo hakuna anaeweza kutunga nyimbo yenye ujumbe mzito kama huu.
@jangamagili26016 жыл бұрын
issa Mrisho tumba alikuwa marehemu charles ngosha
@johnchoma25228 жыл бұрын
nyimbo nzuri sana na beti zake mwimbaji amezipangilia vizuri sana hongera kwa kuupload
@philipmakiponya74468 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana, zina fundisha jamii kwa ujumla wadogo kwa wakubwa
@najmasaleh92316 жыл бұрын
Hicho ni kikosi kamili cha mzinga group ndani ya moro sauti mahili ya Issa Mrisho utunzi mahili sana wimbo umefumbwa sana
@stanleykigomboa22605 жыл бұрын
Bendi ya jeshi la wananchi Tanzania ( Mzinga ) Morogoro. Tungo mahili sana hizi. Ni kati ya nyimbo zinazo niliza.
@ashuashu38435 жыл бұрын
Wapi tena,tulitengwa mbalimbali Ommy wangu.
@LatifaJumaallyАй бұрын
Hii nyimbo nzur sana ongeleni old is gold
@godloveadamu43794 жыл бұрын
Huwa navuta hisia sana,hizi ndizo nyimbo dah!!
@leonardchengula98977 жыл бұрын
kweli huyu petel kinyonga ,aliimba na kulenga jamii amakweli nakumbuka enzi za ujana wangu :
@kisomaseif57496 жыл бұрын
Leonard Chengula sana
@sebastiansalamba82366 жыл бұрын
Goma LA jeshi bwana pia Mwenge jazzy acha bwana
@mohamedshineni21227 жыл бұрын
hawa siyo wasanii hakika ni watunzi na waliweza kutoa yanayofaa na yanayofanywa na jamii
@aifellosichalwe26016 жыл бұрын
mohamed shineni ...ndugu we acha tu kila nikisikiliza mwimbo huu ndo nakubali kuwa Siku hizi haukuna vipaji ni shida tu...
@jumambelwa17426 жыл бұрын
mohamed shineni ; kweli kabisa
@williammabanga48937 жыл бұрын
Mziki huu hudhihirisha uwezo wa binadamu kuumba toka patupu hadi kwenye kitu.
@arafaomari1832 Жыл бұрын
2023 jaman bado ipo juu
@bammaschools64202 жыл бұрын
Nyimbo Bora zinaishi milele
@alexjacob46274 жыл бұрын
Namkumbuka shangazi yng alikua kafungulia redio wimbo huu unapigwa nmeenda live band nkawauliza wataalam kurud hom nkautafuta you tube
@ashamnaida53043 жыл бұрын
Huu wimbo unaniliwaza sana una kaukweli ndani yake
@lucamartin6584Ай бұрын
Nani bado anasikiliza 2024 kama mimi narudi kuusiliza kila wakati vipindi tofauti...
@rogersakhwale10 жыл бұрын
Ama kweli kulikuwa na sauti nyororo enzi zile.
@hadijamlokakuzenza2146 Жыл бұрын
Hapa nasikiliza 2023 unaliwaza na kuvuta hisia za enzi hizo
@peteramunga7983 Жыл бұрын
Great music indeed but becoming extinct,l blame today's yuong ones
@twilamtumbi26476 жыл бұрын
ASANTE EDDIE Umetupeleka nyumbani
@jafaripaje53666 жыл бұрын
The song wins my mind joy......Kazi nzuri ya marehemu Issa Mrisho sauti yake inafanana kidogo na Zahir Zolo. Too emotional
@stanleykigomboa22605 жыл бұрын
Huyu issa Mrisho ukimweka na zahil ally zoro sijui itakuaje! Nilikwenda pale mzinga morogoro, nikajalibu kuulizia kuhusu huyu Jamaa, inasemekana Issa alifaliki, na kulikua na mpango Wa kuifufua hii bendi.
@jafaripaje53665 жыл бұрын
Hawawezi kukaa pamoja kwa sababu mzee Mrisho Ni marehemu.
@lilangachodas69515 жыл бұрын
Imekaa vzr xana.
@mussambembela71617 жыл бұрын
Ama kweli mziki wa zamani si mchezo
@mustapharamadhamani52965 жыл бұрын
Unanikumbusha mbali
@twilamtumbi264710 жыл бұрын
kuna nyingine wanayo wanasema, ninaitwa pombe kwa jina la kiswahili mvunja sheria, duh long time man
@eddienassor48010 жыл бұрын
Ngoja niitafute kaka
@cheupemwanga33265 жыл бұрын
Nuce
@martinelias89365 жыл бұрын
Napenda sana nyimbo za zamani
@emanuelsaimonshuma23782 жыл бұрын
wahenga unakumbuka WAP hapo
@abdulbakaro51177 жыл бұрын
Hii ngoma inanikumbusha mbali sana.Amakweli hakuna awali mbovu,bado unabamba mpaka leo
@moseshp82737 жыл бұрын
ni nooooma
@robertsheiza53095 жыл бұрын
What a Heavy massage!
@nasraissa1494 Жыл бұрын
Naupenda san
@mohamedmuhidin68267 жыл бұрын
Aiseee hii safi sana
@victoriasimon26354 жыл бұрын
Simply the best ever..
@africabwamkuu8 жыл бұрын
World class hit....
@siyaminja81692 жыл бұрын
Eddie hii mzinga ilikua band ya jeshi Mzinga Morogoro?
@djbobnas782410 жыл бұрын
Nimeitafuta miaka mingi sana Hii Track.. ahsante kaka
@eddienassor4809 жыл бұрын
DJ Bobnas Karibu tena kaka
@ramadhan45977 жыл бұрын
Eddie Nassor kaka nakumbuka mbali sana unaweza lia kwa isia kali
@jangamagili26016 жыл бұрын
Eddie Nassor shukrani sana kaka
@mariamsudi88453 жыл бұрын
Wimbo mtam huoni tabu kuusikilza
@omarymagongo7628 Жыл бұрын
Unanikumbusha mbali sana.
@rosemutale9952 Жыл бұрын
💃💃
@ummyamiri4558 Жыл бұрын
Haipoi hata siku Moja ikipigwa live band inarudiwa hata mara 4 haichoshi kucheza na kusikiliza
@rutarutahindurwa20803 жыл бұрын
Mazoea yananikondesha..
@denismzaga63923 жыл бұрын
Raha sana
@wilemkwembe-ye5fm Жыл бұрын
jamani huu wimbo his unanikumbusha wkt Niko kwa Bibi chimala mbeya
@engrmayeye14364 жыл бұрын
Hizi zinapatikana wapi live on stage? Au ndo hakuna kabisa?
@HassaniMajagi7 ай бұрын
Long time nyimbo ina mafundisho
@YenzaJackson8 жыл бұрын
Eddie Nassor.Mambo vipi? kunawimbo aliimba Remmy anasema shida na wewe mikosi na wewe bahati mbaya na wewe ukipata pesa unahonga,nigependa sana kuupata huo wimbo.
@macklinmohad63895 жыл бұрын
Nifahamishe vizur
@betriceissaya61682 жыл бұрын
Hizi ndizo nyimbo zakusiliza
@kaithmakungu6007 Жыл бұрын
Hawa wasanii wa zamani walikuwa wanatoa madini balaa ACHA bwn
@cheupemwanga33265 жыл бұрын
Musiki ambao unaweza kuiidikiliza ukiwa hata na wakwe zako.....Kweli mziki wa zamani ulikuwa sio tu na mafunzi lkn pia ulikuwa unazingatia maadili ya Mtz
@MwapwaniMohamed2 ай бұрын
Jamani mazoea
@twilamtumbi264710 жыл бұрын
hata iweje tamu zilikuwepo na zitaendelea kuwepo, hata km hawataki ngoma nzuri sana na ujumbe kamili
@eddienassor48010 жыл бұрын
Hehehee,jamaa amefunguka
@monicamohamed88117 жыл бұрын
hatari sana
@hammkelle8397 жыл бұрын
loooooo
@erastogerionitembo8036 жыл бұрын
Jamani nyimbo za zamani zinavuta hisia Kali sio uchafu wa sasa hivi
@MwapwaniMohamed2 ай бұрын
Mazoea
@williammabanga48937 жыл бұрын
Mziki huu unanifariji nikumbukapo kufiwa rafiki yangu na mjomba tuliyependana sana tokana na kukuwa pamoja na kunisaidia utotoni lakini pia mziki unanifariji kwa kunikumbusha kuwa vipo viumbe dhaifu kama kinyonga anaejilisha kwa njia dhaifu sembuse mimi mwanadamu
@yudadaniel22255 жыл бұрын
NZURI SANA TENA WAHENGA KWELI.. KWANI UJUMBE MTUPU NA MAFUNDISHO.
@moustaphersullymany63548 жыл бұрын
nilikuwa naitafuta sana hii ngoma
@eddienassor4808 жыл бұрын
Umeipata kaka!
@moustaphersullymany63548 жыл бұрын
aisee nimeipata na watu wengi sana huwa wanapoisikia lazima wanifate kuitaka
@sangomamourice86804 жыл бұрын
Vitu visivyo chosha
@johnmwaipopo27834 жыл бұрын
nani tunasikiliza wote leo april 2020
@omaryswalehe12252 жыл бұрын
Mbona mjusi ama kinyonga wanapata riziki yao mbona wao hawana mbawa?
@martinelias89364 жыл бұрын
Safi sana
@rutarutahindurwa20802 жыл бұрын
Bravo..
@salehemohammed86327 жыл бұрын
Ujumbe tosha
@tgeofrey4 жыл бұрын
aminia
@marthamfumbi3712 Жыл бұрын
Nyimbo yangu pendwa..ujumbe uliokamilika ...
@getajo11537 жыл бұрын
Mzinga Troupe.....
@seraphinmrema97444 жыл бұрын
Tafuta bend ya mapacha ya Jose Mara wanapiga hiyo kijana wa kichaga Jimmy golla
@nacetsiringa13344 жыл бұрын
hichi kizazi ni utopolo hii ndo nyimbo ya kuwa na views wa milion za kutosha badala yake ukiimba nyimbo nyepesi za hoja mrenda mrenda ndo wanasupport pumb.......ff** kabisa
@sangomamourice35395 ай бұрын
Mazoea yana tabu nyie
@YohanaMwaitenda-nx9cy Жыл бұрын
😭
@allan37232 жыл бұрын
Afande nani huyu?????
@engrmayeye14365 жыл бұрын
hakuna atokea kufanya Kazi kama hii.... bongo flavor sijaona kamwe hata mwenye harufu na kufuata hizi nyao.... na natoa ONYO kwa akina bongo flavor, mchezo wa kuchukua nyimbo hizi na kuzipa radha mzijuazo mkome kabisaaa.... msitafute kick kwenye hakuna...