ELIMU YA MJINGA-BANZA STONE

  Рет қаралды 551,064

HABARI JAMII TANZANIA

HABARI JAMII TANZANIA

3 жыл бұрын

Пікірлер: 165
@mwaulambo
@mwaulambo 6 ай бұрын
Listening in 2024 much respect 🫡 Banza and Twanga Pepeta ya Asha Baraka’s
@alfredmwanguku7614
@alfredmwanguku7614 28 күн бұрын
Ilikua ni TOT Achimenengule.. Banza Stone alitransform TOT Band toka kwenye kienyeji kuwa TOT Plus..😅😅😅 alikimbiza sana Ali choki na twanga yao..
@eliudmkumbwa5681
@eliudmkumbwa5681 Ай бұрын
Jaman mara ya kwanza kuutia masikioni huu wimbo nilikuwa darasa la 5 mwaka 2004 miaka inaenda sana jamn na leo may 20 2024
@user-bs5zn2nj2b
@user-bs5zn2nj2b 14 күн бұрын
Huu wimbo umetokaaa 2006
@user-xd2tg8eq1h
@user-xd2tg8eq1h 19 күн бұрын
Bado hamjasema watoa comment mtasema yote leoo 😂😂😂
@habarijamiitanzania
@habarijamiitanzania 19 күн бұрын
Kusema nini?
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 10 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@melkisedekkaijage2777
@melkisedekkaijage2777 10 күн бұрын
ngoma kama hizi tulikuwa tunazisikiliza kijijini tunatamani kufika Dar
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 10 күн бұрын
Kabsaa enzi izo ujui utafkaje dr
@CornelioMsangi-ui7dq
@CornelioMsangi-ui7dq 15 күн бұрын
2024 listening good music
@user-gh4hi2dv7h
@user-gh4hi2dv7h 5 ай бұрын
Daah nakumbuka 2000 kipindi nipo Drs la sita, natoka upanga mtaa wa maweni naenda shule. Magomeni mwembechai shule ya msingi makurumla sasa mwalimu Nyerere. Nilikua nawakuta t.o.t wanampimgia kampeni raisi mstaafu mh. Benjamin mkapa sio Siri nilikua nachelewa sana shule sababu ya banza stone, mungu ampe kauli thabiti huko haliko love brh nyimbo zake mpaka Leo zinaishi.
@fadhilisule
@fadhilisule 2 ай бұрын
Daaah jamani enzi zetu izo, dongo kwa ally choki ilo mzee wa farasi🤣🤣🤣
@ivankipobota3162
@ivankipobota3162 Жыл бұрын
Mwenyezi mungu akusamehe makosa yako upumzike kwa amani 😭😭😭😭😭 zamani mlikuwa kiboko Ila siku hizi hovyo kabisa old is gold
@sosomacharles9920
@sosomacharles9920 7 ай бұрын
Ni kweli kabisa,yaani saizi nyimbo sizipendi kabisa
@user-nr8gx1vs6t
@user-nr8gx1vs6t 5 ай бұрын
Siku hizi ni hovyo very hoples kabis😢😢😢
@BahatiNtiruhungwa
@BahatiNtiruhungwa 2 ай бұрын
R.I.P Banza hakika unanikumbusha mbali sana nikiwa darasa la 4. Mlikuwa mnatoa nyimbo zakuelimisha sio saizi wanamzuki wa kizazi kipya wamekuwa wehu na mavazi yao ya ukichaa2024
@eliudmkumbwa5681
@eliudmkumbwa5681 Ай бұрын
Ulikuwa mwaka gani ndugu maana me mwenyewe nilikuwa la tano mwaka 2004
@sophiaCharles-fr9yb
@sophiaCharles-fr9yb 2 ай бұрын
Mwenyez Mungu akuondolee adhabu ya kabur, akupe pumziko la milele banza
@saidipetter1706
@saidipetter1706 Жыл бұрын
daaaa sijui huu mziki ulipotelea wapi aisee tungekuwa mbali sana kwa mziki huu sasa ona tuko kwa bongo fleva mara Amapiano
@shaabanothman2454
@shaabanothman2454 2 жыл бұрын
Namuomba M/Mungu amuondoshee adhabu za kaburini Banza Stone na amlaze pema peponi. Amin
@frankvianey2438
@frankvianey2438 Жыл бұрын
Ameeeeen
@mustafamtopwa1698
@mustafamtopwa1698 Жыл бұрын
Ameen
@enockabumba7513
@enockabumba7513 9 ай бұрын
Ameen
@uswizinyanginywa2498
@uswizinyanginywa2498 9 ай бұрын
Amina
@MohammedMohammed-qq7lk
@MohammedMohammed-qq7lk 7 ай бұрын
Amiin
@henrychaula1174
@henrychaula1174 Жыл бұрын
R. I. P Banza Stone, tungo zako bado tunazienzi
@AllyMpumo-qu2sx
@AllyMpumo-qu2sx 10 ай бұрын
Yes Mi Napenda kumuita The shoka banza stone Mungu akupungizie hazabu za kabuli 😭
@ferdnandfelix
@ferdnandfelix 2 ай бұрын
Ardhi imehifafhi wamba wengi sana... R.I.P BANZA ,BAMDOGO WANGU. MAREHEMU PIA ALIKUA RAFIKI YAKO FIDELIS FELICIAN,
@user-ci9hx5iy1n
@user-ci9hx5iy1n 12 күн бұрын
Daha mm nilikuwa darasa la 4 aisee
@lorrainegallardo5913
@lorrainegallardo5913 7 ай бұрын
Damn🔥 Banza alikua mbele ya muda sana🙌🏻 Allah Marehemu
@mohamedhamisi9766
@mohamedhamisi9766 Жыл бұрын
Hii nyimbo ni nzuri sana napenda kuisikiliza everytime
@nesto_automobiles6537
@nesto_automobiles6537 3 күн бұрын
Moja ya kipaji kiliniuma kusikia banza stone amefariki
@mc_lookx_wa_ole_sauroo
@mc_lookx_wa_ole_sauroo Жыл бұрын
Nakubali sana aisee Miaka ya elf 3 ikiimba redio mtu atoe ni noma hatar
@aishaabdul9983
@aishaabdul9983 2 жыл бұрын
Kitambo Sana jaman mmmmhhh naupenda huu wimbo atali
@jnote9283
@jnote9283 Жыл бұрын
Dah! RIP jenerali Banza Jiwe, mzee wa supu ya kuku wa kienyeji. Vocal ya pesa nyingi.
@ErickMillinga-bs4sc
@ErickMillinga-bs4sc 26 күн бұрын
Mungu hapangiwi lakini twakuomba waja wako mpokee kiumbe huyu ktk Pepo yako
@sebamahenda5833
@sebamahenda5833 6 ай бұрын
Hakika namuombea kwa MWENYEZI MUNGU KAMA ADHABU ITOKE KAMA YAWEZEKANA HAKIKA ALIKUWA BURUDANI KWETU ..Amiiin
@zainabsimbamtoro6790
@zainabsimbamtoro6790 Ай бұрын
Mungu Akuwekee Mahali Pema peponi AMINA 🤲
@DavidKilimtali
@DavidKilimtali Жыл бұрын
Du hatuna namna mungu anavuna vyake
@mussahancy6591
@mussahancy6591 3 ай бұрын
Mwamba umetangulia,ulikuwa mwimbaji haswaaa,nakumbuka sana hii ngoma 2000 class six
@user-jy3ci5ns4s
@user-jy3ci5ns4s 10 ай бұрын
Asante kwa ujumbe mzuri wenye mafundisho mazuri yasiyochuja. Pumzika kwa amani. Mungu ailaze mahali pema peponi. Amina
@sabinalipukila1606
@sabinalipukila1606 3 ай бұрын
Ni wimbo wenye ujumbe mzito. RIP Banza Stone
@makelelebosco567
@makelelebosco567 Жыл бұрын
Nyimbo ambazo zinaishi.....sahv tunafokewa sana
@douglasmichael7494
@douglasmichael7494 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂much respect mkuu
@halimalachpat1927
@halimalachpat1927 5 ай бұрын
RIP BANZA SITOKUSAHAU SIKU ULOKUJA MGAHANI KWANGU BABATI UKIWA NA HADIJA KOPA ALLY STAR MWANAAMIRI MTAMA MKIWA NA TOT PALE BABATI
@emmymatumbo4068
@emmymatumbo4068 8 ай бұрын
mwanga wa milele ukuangazie Banza,( masanja)
@user-df2ng6rq5c
@user-df2ng6rq5c 10 ай бұрын
R.I.P banza hakika tungo zako zitaendelea kusikika kila iitwapo leo
@calvo_charlie
@calvo_charlie Жыл бұрын
This songs never gets old 😢😢😢❤❤❤❤❤
@vumishow3223
@vumishow3223 Жыл бұрын
Sizani kama itakaa itokee kichwa kama banza,I .R. P jembe😭😭😭tutakuenzi daima
@Getruda-tb2qe
@Getruda-tb2qe 2 ай бұрын
Mm nilikua ata cjazaliwa jmn lakini nimekua nausikiaa
@SmonTangas
@SmonTangas 5 ай бұрын
Sawa kaka ukovizuri sana nirijuwa mm nikopekeyangu ninayoyaonahuku sawa tajiri bamboo kamabamboo
@marymwandandila9327
@marymwandandila9327 7 ай бұрын
Zilikuwa na ujumbe mzuri sana
@SoudVumbi
@SoudVumbi 27 күн бұрын
Tutawakumbuka daima
@frankvianey2438
@frankvianey2438 Жыл бұрын
Real old is gold,Rest in peace our brother Banza Stone
@amosisimoni2004
@amosisimoni2004 6 ай бұрын
15/01/2024 like pls
@francisletara4316
@francisletara4316 7 ай бұрын
Nakubaliana na we S. Huyu Banza alifundisha kweli kweli
@HamisiFaraji-ej5mf
@HamisiFaraji-ej5mf 9 ай бұрын
Pumzka kwa amani banza stone ❤❤🎉🎉
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 Жыл бұрын
Banza stoni tutakukumbukka milele mungu adhabu ya milele akupushe Kwa amani
@SefuKashindi-yd8xz
@SefuKashindi-yd8xz 10 ай бұрын
Pumzika kwa usalama Mr banza MUNGU WETU akuondolee maumivu ya kaburi
@kaizamulinda633
@kaizamulinda633 7 ай бұрын
Sa hivi tuko haniiiiii hani haniiiiiii hani...Rest in eternal bliss Banza. I now understand why God took you for himself. I am told he likes songs. Hope you have an eternal opportunity to sing for him and , no offense you can even sing this one to him.
@UnitedAfrica-uw9ct
@UnitedAfrica-uw9ct 10 күн бұрын
hahahaha
@mecksonlongole6034
@mecksonlongole6034 Жыл бұрын
Endelea kupumzika kwa amani Ramadhan Masanja ( Banza Stone)
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 5 ай бұрын
ToT plus upande huu na Mchinga sounds upande ule!,Palikuwa hapatoshi!
@DeoMgasa
@DeoMgasa 3 ай бұрын
Rest in peace banza stone, one of your great ever song.
@user-fh4ql8ed1k
@user-fh4ql8ed1k 7 ай бұрын
R.i.p mwamba nyimbo zako zinaishi
@noelacharles7912
@noelacharles7912 Жыл бұрын
Jamani Sina Cha kusema maana njia ni moja
@lucasmartin7826
@lucasmartin7826 Жыл бұрын
2023
@mudytandiko4698
@mudytandiko4698 Жыл бұрын
Ujumbe mzur 👉🙏🙏
@geofreynjanga6794
@geofreynjanga6794 2 жыл бұрын
Nice music of my child wood I was 12years old at that time
@georgegregs1500
@georgegregs1500 2 жыл бұрын
Your child what?????
@anoldamos9011
@anoldamos9011 Жыл бұрын
I was seven. Shikamoo. 😂😂
@IptysamAbdulhamid
@IptysamAbdulhamid 10 ай бұрын
Allahumma ufilahu warhamahuu wamaskanahu filjannaa 🤲🤲
@mazikukapaya7959
@mazikukapaya7959 Жыл бұрын
General. R.i.p
@katulawadeus8328
@katulawadeus8328 2 ай бұрын
Respect Banza Stone Rip mwamba
@ramazanimobalya
@ramazanimobalya 8 ай бұрын
Leo novemba 2023 naangalia video asee❤❤❤❤
@johngama7245
@johngama7245 2 ай бұрын
Much respect banza stone rest in peace
@user-dp7cq5cv1d
@user-dp7cq5cv1d 8 ай бұрын
R.l.p Mungu akupunguzie adhabu za kaburi
@LawrencMbwana-dk7rb
@LawrencMbwana-dk7rb 5 ай бұрын
Hani Hani Hani ndo saizi sisi tuliinjoe
@charleslyuki691
@charleslyuki691 2 жыл бұрын
Bora kukosa mali upate akili kwakweli .
@SmonTangas
@SmonTangas 10 ай бұрын
Wajingawengi kwe sanakweduniahiiiii,
@aminambarazi287
@aminambarazi287 Жыл бұрын
Pumzika kwa amani kaka
@Penguinefilm
@Penguinefilm 10 ай бұрын
Daah ulitembea na gepu
@barakawatu9226
@barakawatu9226 9 ай бұрын
2002 was released this song, from Banza stone 🇹🇿🎧🎧👍🔥👊.
@SmonTangas
@SmonTangas 10 ай бұрын
Boraukosemari upatehlakiriiii bambokamabambooo
@user-bd1jv7oi3j
@user-bd1jv7oi3j 2 ай бұрын
Kweli wema awaishi
@beatricemonji5392
@beatricemonji5392 6 ай бұрын
Rest in peace Banza Stone , you will always be Remembered and Celebrated💕💕
@priscadenis5354
@priscadenis5354 Жыл бұрын
Hakika kabisa
@Mazuri_kucha_
@Mazuri_kucha_ Жыл бұрын
Da!!! Sina usemi
@sulleymanjimmy2214
@sulleymanjimmy2214 Жыл бұрын
Banza Stone 🙌🙌🙌
@user-hp5hj7jk4s
@user-hp5hj7jk4s 7 ай бұрын
pumzka kwa aman mung akupunguze adhabu ya kaburi pacha wa baba angu
@ErickMillinga-bs4sc
@ErickMillinga-bs4sc 26 күн бұрын
Mauti yanatugawanyisha
@maganyarobert7008
@maganyarobert7008 Жыл бұрын
Pumzika kwa amani Banza Stone ng'wana masanja
@bondcruz4660
@bondcruz4660 Жыл бұрын
Working on an interview on this guy, had to Google and listen to his music and my oh my! He's got a really good voice. It's sad that he's no more.
@habarijamiitanzania
@habarijamiitanzania Жыл бұрын
Hellow
@fettydecute3671
@fettydecute3671 Жыл бұрын
R i p banza
@leonardkaroli933
@leonardkaroli933 8 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@leonardkaroli933
@leonardkaroli933 8 ай бұрын
😊😊
@libetztanzania-kiswahilina2845
@libetztanzania-kiswahilina2845 5 ай бұрын
Rest IN PEACE 🎉 THE GOLDEN VOICE
@godlistenmuro9313
@godlistenmuro9313 2 күн бұрын
🎉🎉🎉
@JumaShadrack
@JumaShadrack 8 ай бұрын
Nilikubali.sana
@rorytotoo8868
@rorytotoo8868 Жыл бұрын
naomba utuweke video ya chozi la mnyonge na binadamu kidedea kutoka kwa fm academia ndanda cosovo
@SakaKemanae
@SakaKemanae Ай бұрын
Sihitaj😅
@user-nk1wi8eu8c
@user-nk1wi8eu8c 8 ай бұрын
Allah ampe kaull dhabit
@ibrahimmsumi
@ibrahimmsumi Жыл бұрын
TOT Plus Enzi hiyo 2000's 🤌
@user-il8hu4xl1v
@user-il8hu4xl1v 6 ай бұрын
Mganda mbinga
@exprodigitaltechtv5571
@exprodigitaltechtv5571 5 ай бұрын
jamaa alikufa na kipaji chake
@youssoufadaoud4713
@youssoufadaoud4713 Жыл бұрын
Asanté wa himbizi ... Y..
@muvis5
@muvis5 Жыл бұрын
Zilepedwa 👏👍🏾
@allymwinyimkuu2143
@allymwinyimkuu2143 7 ай бұрын
R,i,p,banza,,stone
@abilially5563
@abilially5563 Жыл бұрын
Jamani mungu mkali
@francismillinga4591
@francismillinga4591 8 ай бұрын
Keep resting in eternal peace Banza stone
@YassinMchomvu
@YassinMchomvu 9 ай бұрын
R .I.P banza stone
@msangirstz
@msangirstz 6 ай бұрын
Kila nikisikia sauti ya Banza huwa najikuta naghadhibika mara dufu kuhusu unga. Hii kitu imetuchukulia watu wengi wa maana sana. Alikiwa kijana aliyejaaliwa sauti haswaa na nyimbo zake zilikuwa za kusikilizwa na yeyote, mbele ya yeyote. Hakika sotetuna dhamana ya kupinga hii biashara kwa nguvu zetu zote. May his soul rest in peace
@MohammedMohammed-qq7lk
@MohammedMohammed-qq7lk 4 ай бұрын
Lakini si aliacha kitambo
@jumannebandiko9282
@jumannebandiko9282 2 жыл бұрын
Wimbo ni mzuri lakini siyo kweli ukose Mali upate akiri, wakati pesa inaweza nunua wenye elimu wakakutumikia mwenye Mali, wakati msomi hawezi ajiri tajiri hivyo pesa ndio Kila kitu au mnaonaje wadau
@michaeldoroleo4864
@michaeldoroleo4864 Жыл бұрын
usomi sio akili.
@Shammy-rn3tn
@Shammy-rn3tn Жыл бұрын
Sio kweli bro!
@mc_lookx_wa_ole_sauroo
@mc_lookx_wa_ole_sauroo Жыл бұрын
Ukishapata Mali hiyo akili utatoa wapi ya kuajiri watu mi naona wapo sawa
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 Жыл бұрын
Hiyo Mali utaipataje bila akili, vinginevyo hata Ng"ombe angekuwa na mali!
@henrychaula1174
@henrychaula1174 Жыл бұрын
Lakini alishaimba MWENYE PESA SIYO MWENZIO
@PascalMbughu
@PascalMbughu Ай бұрын
Rest in peace
@SaidHemedi
@SaidHemedi 6 ай бұрын
Unga 😢😢😢
@lukapwaraomusula6545
@lukapwaraomusula6545 Жыл бұрын
elimu bora
@SmonTangas
@SmonTangas 10 ай бұрын
Wwweee
@saidilikati4843
@saidilikati4843 Жыл бұрын
R.i.p mwamba
@johnmpemba3057
@johnmpemba3057 9 ай бұрын
RIP regend
@isackkidaso9030
@isackkidaso9030 6 ай бұрын
Nimetoa majozi upya
@majaliwambambila2063
@majaliwambambila2063 Жыл бұрын
Nice🎶🎵🎼
Mtaji wa Masikini - Banza Stone & TOT
10:34
Zilipendwa TZ
Рет қаралды 23 М.
Tunda Special- Mwinjuma Muumini
9:01
Onyango Jackson
Рет қаралды 1,5 МЛН
Did you believe it was real? #tiktok
00:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 54 МЛН
100❤️
00:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 21 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 23 МЛН
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 55 МЛН
Msodo Ngoma Music Band Kazamoyo Official Video
9:35
Africha Entertainment
Рет қаралды 204 М.
FM ACADEMIA | HESHIMA KWA WANAWAKE | Official Version Video
11:29
Mapacha watatu ft Khadija kopa_Chanzo ni sisi wanaume Official Video
6:54
Computer The Drummer
Рет қаралды 4,3 М.
Les Wanyika : Sina Makosa
8:11
bartjelsma
Рет қаралды 14 МЛН
Mtu Pesa
10:15
African Stars Band - Topic
Рет қаралды 16 М.
nyimbo mpya ya mwaka mpya
12:51
MOVIE TRAILERS TV
Рет қаралды 45 М.
YAMOTO BAND VIDEO MIX TZ-Dj Kips Dan
32:55
Duncan Kips Dan
Рет қаралды 2 МЛН
Mkasi - SO4E02 with Banza Stone
28:09
MkasiTV
Рет қаралды 77 М.
Isha Hayanifiki
12:38
Taarabmusic255
Рет қаралды 1,3 МЛН
FM Academia | Dunia Kigeugeu | Official Version Video
11:27
Did you believe it was real? #tiktok
00:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 54 МЛН