Listening in 2024 much respect 🫡 Banza and Twanga Pepeta ya Asha Baraka’s
@alfredmwanguku761428 күн бұрын
Ilikua ni TOT Achimenengule.. Banza Stone alitransform TOT Band toka kwenye kienyeji kuwa TOT Plus..😅😅😅 alikimbiza sana Ali choki na twanga yao..
@eliudmkumbwa5681Ай бұрын
Jaman mara ya kwanza kuutia masikioni huu wimbo nilikuwa darasa la 5 mwaka 2004 miaka inaenda sana jamn na leo may 20 2024
@user-bs5zn2nj2b14 күн бұрын
Huu wimbo umetokaaa 2006
@user-xd2tg8eq1h19 күн бұрын
Bado hamjasema watoa comment mtasema yote leoo 😂😂😂
@habarijamiitanzania19 күн бұрын
Kusema nini?
@user-mi7cd8ch1b10 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@melkisedekkaijage277710 күн бұрын
ngoma kama hizi tulikuwa tunazisikiliza kijijini tunatamani kufika Dar
@user-mi7cd8ch1b10 күн бұрын
Kabsaa enzi izo ujui utafkaje dr
@CornelioMsangi-ui7dq15 күн бұрын
2024 listening good music
@user-gh4hi2dv7h5 ай бұрын
Daah nakumbuka 2000 kipindi nipo Drs la sita, natoka upanga mtaa wa maweni naenda shule. Magomeni mwembechai shule ya msingi makurumla sasa mwalimu Nyerere. Nilikua nawakuta t.o.t wanampimgia kampeni raisi mstaafu mh. Benjamin mkapa sio Siri nilikua nachelewa sana shule sababu ya banza stone, mungu ampe kauli thabiti huko haliko love brh nyimbo zake mpaka Leo zinaishi.
@fadhilisule2 ай бұрын
Daaah jamani enzi zetu izo, dongo kwa ally choki ilo mzee wa farasi🤣🤣🤣
@ivankipobota3162 Жыл бұрын
Mwenyezi mungu akusamehe makosa yako upumzike kwa amani 😭😭😭😭😭 zamani mlikuwa kiboko Ila siku hizi hovyo kabisa old is gold
@sosomacharles99207 ай бұрын
Ni kweli kabisa,yaani saizi nyimbo sizipendi kabisa
@user-nr8gx1vs6t5 ай бұрын
Siku hizi ni hovyo very hoples kabis😢😢😢
@BahatiNtiruhungwa2 ай бұрын
R.I.P Banza hakika unanikumbusha mbali sana nikiwa darasa la 4. Mlikuwa mnatoa nyimbo zakuelimisha sio saizi wanamzuki wa kizazi kipya wamekuwa wehu na mavazi yao ya ukichaa2024
@eliudmkumbwa5681Ай бұрын
Ulikuwa mwaka gani ndugu maana me mwenyewe nilikuwa la tano mwaka 2004
@sophiaCharles-fr9yb2 ай бұрын
Mwenyez Mungu akuondolee adhabu ya kabur, akupe pumziko la milele banza
@saidipetter1706 Жыл бұрын
daaaa sijui huu mziki ulipotelea wapi aisee tungekuwa mbali sana kwa mziki huu sasa ona tuko kwa bongo fleva mara Amapiano
@shaabanothman24542 жыл бұрын
Namuomba M/Mungu amuondoshee adhabu za kaburini Banza Stone na amlaze pema peponi. Amin
@frankvianey2438 Жыл бұрын
Ameeeeen
@mustafamtopwa1698 Жыл бұрын
Ameen
@enockabumba75139 ай бұрын
Ameen
@uswizinyanginywa24989 ай бұрын
Amina
@MohammedMohammed-qq7lk7 ай бұрын
Amiin
@henrychaula1174 Жыл бұрын
R. I. P Banza Stone, tungo zako bado tunazienzi
@AllyMpumo-qu2sx10 ай бұрын
Yes Mi Napenda kumuita The shoka banza stone Mungu akupungizie hazabu za kabuli 😭
@ferdnandfelix2 ай бұрын
Ardhi imehifafhi wamba wengi sana... R.I.P BANZA ,BAMDOGO WANGU. MAREHEMU PIA ALIKUA RAFIKI YAKO FIDELIS FELICIAN,
@user-ci9hx5iy1n12 күн бұрын
Daha mm nilikuwa darasa la 4 aisee
@lorrainegallardo59137 ай бұрын
Damn🔥 Banza alikua mbele ya muda sana🙌🏻 Allah Marehemu
@mohamedhamisi9766 Жыл бұрын
Hii nyimbo ni nzuri sana napenda kuisikiliza everytime
@nesto_automobiles65373 күн бұрын
Moja ya kipaji kiliniuma kusikia banza stone amefariki
@mc_lookx_wa_ole_sauroo Жыл бұрын
Nakubali sana aisee Miaka ya elf 3 ikiimba redio mtu atoe ni noma hatar
@aishaabdul99832 жыл бұрын
Kitambo Sana jaman mmmmhhh naupenda huu wimbo atali
@jnote9283 Жыл бұрын
Dah! RIP jenerali Banza Jiwe, mzee wa supu ya kuku wa kienyeji. Vocal ya pesa nyingi.
@ErickMillinga-bs4sc26 күн бұрын
Mungu hapangiwi lakini twakuomba waja wako mpokee kiumbe huyu ktk Pepo yako
@sebamahenda58336 ай бұрын
Hakika namuombea kwa MWENYEZI MUNGU KAMA ADHABU ITOKE KAMA YAWEZEKANA HAKIKA ALIKUWA BURUDANI KWETU ..Amiiin
@zainabsimbamtoro6790Ай бұрын
Mungu Akuwekee Mahali Pema peponi AMINA 🤲
@DavidKilimtali Жыл бұрын
Du hatuna namna mungu anavuna vyake
@mussahancy65913 ай бұрын
Mwamba umetangulia,ulikuwa mwimbaji haswaaa,nakumbuka sana hii ngoma 2000 class six
@user-jy3ci5ns4s10 ай бұрын
Asante kwa ujumbe mzuri wenye mafundisho mazuri yasiyochuja. Pumzika kwa amani. Mungu ailaze mahali pema peponi. Amina
@sabinalipukila16063 ай бұрын
Ni wimbo wenye ujumbe mzito. RIP Banza Stone
@makelelebosco567 Жыл бұрын
Nyimbo ambazo zinaishi.....sahv tunafokewa sana
@douglasmichael7494Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂much respect mkuu
@halimalachpat19275 ай бұрын
RIP BANZA SITOKUSAHAU SIKU ULOKUJA MGAHANI KWANGU BABATI UKIWA NA HADIJA KOPA ALLY STAR MWANAAMIRI MTAMA MKIWA NA TOT PALE BABATI
@emmymatumbo40688 ай бұрын
mwanga wa milele ukuangazie Banza,( masanja)
@user-df2ng6rq5c10 ай бұрын
R.I.P banza hakika tungo zako zitaendelea kusikika kila iitwapo leo
@calvo_charlie Жыл бұрын
This songs never gets old 😢😢😢❤❤❤❤❤
@vumishow3223 Жыл бұрын
Sizani kama itakaa itokee kichwa kama banza,I .R. P jembe😭😭😭tutakuenzi daima
@Getruda-tb2qe2 ай бұрын
Mm nilikua ata cjazaliwa jmn lakini nimekua nausikiaa
@SmonTangas5 ай бұрын
Sawa kaka ukovizuri sana nirijuwa mm nikopekeyangu ninayoyaonahuku sawa tajiri bamboo kamabamboo
@marymwandandila93277 ай бұрын
Zilikuwa na ujumbe mzuri sana
@SoudVumbi27 күн бұрын
Tutawakumbuka daima
@frankvianey2438 Жыл бұрын
Real old is gold,Rest in peace our brother Banza Stone
@amosisimoni20046 ай бұрын
15/01/2024 like pls
@francisletara43167 ай бұрын
Nakubaliana na we S. Huyu Banza alifundisha kweli kweli
@HamisiFaraji-ej5mf9 ай бұрын
Pumzka kwa amani banza stone ❤❤🎉🎉
@ziadasalimu1730 Жыл бұрын
Banza stoni tutakukumbukka milele mungu adhabu ya milele akupushe Kwa amani
@SefuKashindi-yd8xz10 ай бұрын
Pumzika kwa usalama Mr banza MUNGU WETU akuondolee maumivu ya kaburi
@kaizamulinda6337 ай бұрын
Sa hivi tuko haniiiiii hani haniiiiiii hani...Rest in eternal bliss Banza. I now understand why God took you for himself. I am told he likes songs. Hope you have an eternal opportunity to sing for him and , no offense you can even sing this one to him.
@UnitedAfrica-uw9ct10 күн бұрын
hahahaha
@mecksonlongole6034 Жыл бұрын
Endelea kupumzika kwa amani Ramadhan Masanja ( Banza Stone)
@brysonkaale30035 ай бұрын
ToT plus upande huu na Mchinga sounds upande ule!,Palikuwa hapatoshi!
@DeoMgasa3 ай бұрын
Rest in peace banza stone, one of your great ever song.
@user-fh4ql8ed1k7 ай бұрын
R.i.p mwamba nyimbo zako zinaishi
@noelacharles7912 Жыл бұрын
Jamani Sina Cha kusema maana njia ni moja
@lucasmartin7826 Жыл бұрын
2023
@mudytandiko4698 Жыл бұрын
Ujumbe mzur 👉🙏🙏
@geofreynjanga67942 жыл бұрын
Nice music of my child wood I was 12years old at that time
2002 was released this song, from Banza stone 🇹🇿🎧🎧👍🔥👊.
@SmonTangas10 ай бұрын
Boraukosemari upatehlakiriiii bambokamabambooo
@user-bd1jv7oi3j2 ай бұрын
Kweli wema awaishi
@beatricemonji53926 ай бұрын
Rest in peace Banza Stone , you will always be Remembered and Celebrated💕💕
@priscadenis5354 Жыл бұрын
Hakika kabisa
@Mazuri_kucha_ Жыл бұрын
Da!!! Sina usemi
@sulleymanjimmy2214 Жыл бұрын
Banza Stone 🙌🙌🙌
@user-hp5hj7jk4s7 ай бұрын
pumzka kwa aman mung akupunguze adhabu ya kaburi pacha wa baba angu
@ErickMillinga-bs4sc26 күн бұрын
Mauti yanatugawanyisha
@maganyarobert7008 Жыл бұрын
Pumzika kwa amani Banza Stone ng'wana masanja
@bondcruz4660 Жыл бұрын
Working on an interview on this guy, had to Google and listen to his music and my oh my! He's got a really good voice. It's sad that he's no more.
@habarijamiitanzania Жыл бұрын
Hellow
@fettydecute3671 Жыл бұрын
R i p banza
@leonardkaroli9338 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@leonardkaroli9338 ай бұрын
😊😊
@libetztanzania-kiswahilina28455 ай бұрын
Rest IN PEACE 🎉 THE GOLDEN VOICE
@godlistenmuro93132 күн бұрын
🎉🎉🎉
@JumaShadrack8 ай бұрын
Nilikubali.sana
@rorytotoo8868 Жыл бұрын
naomba utuweke video ya chozi la mnyonge na binadamu kidedea kutoka kwa fm academia ndanda cosovo
@SakaKemanaeАй бұрын
Sihitaj😅
@user-nk1wi8eu8c8 ай бұрын
Allah ampe kaull dhabit
@ibrahimmsumi Жыл бұрын
TOT Plus Enzi hiyo 2000's 🤌
@user-il8hu4xl1v6 ай бұрын
Mganda mbinga
@exprodigitaltechtv55715 ай бұрын
jamaa alikufa na kipaji chake
@youssoufadaoud4713 Жыл бұрын
Asanté wa himbizi ... Y..
@muvis5 Жыл бұрын
Zilepedwa 👏👍🏾
@allymwinyimkuu21437 ай бұрын
R,i,p,banza,,stone
@abilially5563 Жыл бұрын
Jamani mungu mkali
@francismillinga45918 ай бұрын
Keep resting in eternal peace Banza stone
@YassinMchomvu9 ай бұрын
R .I.P banza stone
@msangirstz6 ай бұрын
Kila nikisikia sauti ya Banza huwa najikuta naghadhibika mara dufu kuhusu unga. Hii kitu imetuchukulia watu wengi wa maana sana. Alikiwa kijana aliyejaaliwa sauti haswaa na nyimbo zake zilikuwa za kusikilizwa na yeyote, mbele ya yeyote. Hakika sotetuna dhamana ya kupinga hii biashara kwa nguvu zetu zote. May his soul rest in peace
@MohammedMohammed-qq7lk4 ай бұрын
Lakini si aliacha kitambo
@jumannebandiko92822 жыл бұрын
Wimbo ni mzuri lakini siyo kweli ukose Mali upate akiri, wakati pesa inaweza nunua wenye elimu wakakutumikia mwenye Mali, wakati msomi hawezi ajiri tajiri hivyo pesa ndio Kila kitu au mnaonaje wadau
@michaeldoroleo4864 Жыл бұрын
usomi sio akili.
@Shammy-rn3tn Жыл бұрын
Sio kweli bro!
@mc_lookx_wa_ole_sauroo Жыл бұрын
Ukishapata Mali hiyo akili utatoa wapi ya kuajiri watu mi naona wapo sawa
@sylvestercameo6263 Жыл бұрын
Hiyo Mali utaipataje bila akili, vinginevyo hata Ng"ombe angekuwa na mali!