Tunda Special- Mwinjuma Muumini

  Рет қаралды 1,597,070

Onyango Jackson

Onyango Jackson

11 жыл бұрын

Mkongwe wa muziki wa dansi, Mwinjuma Muumini almaarufu kama Kocha wa Dunia.

Пікірлер: 642
@user-uk6to4vw2w
@user-uk6to4vw2w 3 ай бұрын
13 _4_2024 nasikiliza enzi hizo Kama tuko pamoja gonga like
@SaidiLouis-wv8hs
@SaidiLouis-wv8hs 2 ай бұрын
Nzembo yaba kulutu 🇨🇩
@user-tm4bl5tg3t
@user-tm4bl5tg3t 2 ай бұрын
@AmiduArphan
@AmiduArphan 19 күн бұрын
Hii mpaka miaka 100
@AmiduArphan
@AmiduArphan 19 күн бұрын
Nani tena kama huyu
@hassanimatenga-du2ct
@hassanimatenga-du2ct 2 ай бұрын
Kipindi hicho wangapi tupo pamoja kwenye ngoma hii 2024 kuskiliza gonga like tuendelee kupata burudani
@rajabusalum6709
@rajabusalum6709 4 жыл бұрын
Kma bado unasikiliza Ngoma hi 2020 gonga like
@saidndaki5223
@saidndaki5223 4 жыл бұрын
Mdaa huuuu
@halimamgaza121
@halimamgaza121 3 жыл бұрын
Dah mumin kweli nyimbo zilikua zamani
@saviomgaya5381
@saviomgaya5381 3 жыл бұрын
Bonge la nyimbo
@cuthbertmaro9131
@cuthbertmaro9131 3 жыл бұрын
👍🤜💯
@borahhanzuruni1872
@borahhanzuruni1872 5 ай бұрын
Nani yupo nami 2024
@FrolahRimo-cm3tu
@FrolahRimo-cm3tu 5 ай бұрын
2024 wapi
@martineznangale4025
@martineznangale4025 4 жыл бұрын
Nani yuko nami hapa mwaka huu 2020 weka like tufurahie nyimbo nzuri
@ramadhaninyambiza3707
@ramadhaninyambiza3707 4 жыл бұрын
4/4/2020 pamoja sana
@johnmarwa7419
@johnmarwa7419 4 жыл бұрын
pamoja sana
@salumaboud1485
@salumaboud1485 4 жыл бұрын
Pamoja sn
@AdamFundikira-kk5oj
@AdamFundikira-kk5oj Жыл бұрын
​@@alicenielsen2896 nakumbuka niko Chuo alikuwepo binti mmoja nilitokea kumpenda sanaa lakini yeye hakuwa ananipenda jamani
@mariamyusto2111
@mariamyusto2111 8 ай бұрын
I'm here
@biparilakiyao9337
@biparilakiyao9337 5 жыл бұрын
Tarehe 03/03/2019. Naangali old music km ww umeangalia baada yangu gonga like tujuane
@ramlamwipi4474
@ramlamwipi4474 5 жыл бұрын
BIPARI LA KIYAO niko hapa leo 21/3/2019
@youngassaidy7845
@youngassaidy7845 5 жыл бұрын
22/3/2019
@aminakassim8272
@aminakassim8272 4 жыл бұрын
13/10/2019
@benjaminlawi1400
@benjaminlawi1400 4 жыл бұрын
@@youngassaidy7845 mwamposa
@travismichael5190
@travismichael5190 4 жыл бұрын
Kama na wew ni kijana wa nyimbo hizi gonga like yako tujuane
@IflaMussa
@IflaMussa 4 ай бұрын
1/3/2024 ni kwenye hii hali nifanyeje
@arcardbessa8105
@arcardbessa8105 3 ай бұрын
Pole sana
@user-tm4bl5tg3t
@user-tm4bl5tg3t 2 ай бұрын
Pole
@annakbunga8377
@annakbunga8377 Ай бұрын
Jamani pole sn utakuwa sawa
@saidiomali3324
@saidiomali3324 5 жыл бұрын
22/3/2019 nipeni like 100 tu jamani kwani hii nyimbo kipindi niko mtoto nilikua naicheza wana nipa sh tano duu kitambo sana.
@mwitathedon7270
@mwitathedon7270 4 жыл бұрын
Daaa hiii kitu inanikumbusha mbali sana
@kelvinlaurent2844
@kelvinlaurent2844 4 жыл бұрын
Acha 2
@marthamollelloth7673
@marthamollelloth7673 4 жыл бұрын
Hongera ulikuwa na makomfidensi yoote
@kaizjulius2326
@kaizjulius2326 3 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁😁acha tu mzee tena wakinipa mi fasta kwenye mihogo
@milanalberto9222
@milanalberto9222 3 жыл бұрын
a tip : watch series at flixzone. Been using them for watching a lot of movies lately.
@daimunicatha7173
@daimunicatha7173 Ай бұрын
2024 from marekani Florida, ilike this song from Tanzania 😊😊
@honestytimber9962
@honestytimber9962 5 жыл бұрын
23/04/2019 kama bado waxkilza weka like za kutoxha hapa
@gloriapeter8301
@gloriapeter8301 4 жыл бұрын
2:36pm 25/12/2019 wend
@lamekisimoni2809
@lamekisimoni2809 4 жыл бұрын
2020 nipo hapa
@evancemushi8529
@evancemushi8529 4 ай бұрын
Childhood song ❤ here in 2024.. Nostalgia brought me here
@mzeewajambo8293
@mzeewajambo8293 4 жыл бұрын
Nakumbuka huu wimbo miaka ya mwanzon mwa 2000/2001ulipotoka Kipindi hicho nna miaka 6 au 7 hivi Nlkuwa nausikia wakat nachezea vigari vyangu vya kitoto Ilikuaga club moja wanaupiga balaa miaka hiyo So naukubali sana kazi ilifanyika hasa kocha wa dunia🔥🔥🔥🔥
@albinusnyaiyo2614
@albinusnyaiyo2614 Жыл бұрын
Sio kwmba umetoka 2002
@mzeewajambo8293
@mzeewajambo8293 Жыл бұрын
@@albinusnyaiyo2614 Hapana Kabla Ya 2002 Nakumbuka 2001 nilikuwa Nausikia Unapigwa
@yahyayusufu5030
@yahyayusufu5030 4 жыл бұрын
Kipindi hichooooo nlikua natoka nyumbani naredio yangu Naenda kuchunga mbuzi mlimani nakuna msichana nlikua nampenda sana nikifika hapo naiweka hii nyimbo.leo tarehe 25,7,2020 nakusikiliza hapa gonga like zakutosha
@AmiduArphan
@AmiduArphan 19 күн бұрын
Kipindi hicho nikiogopa wanawake nikisikia ukimwi unauwa alafu nikitamani lakini nikiskiliza nyimbo hii nikichanganikiwa sana
@ZuwenaKabwe
@ZuwenaKabwe 2 ай бұрын
2024 nani yuko hapa kwa kocha wa dunia
@celletex
@celletex 2 жыл бұрын
Kwa wale wanao appreciate good music, kali sana
@johnShijakalidushi
@johnShijakalidushi 2 ай бұрын
Nilkuwa cli ukpigwà huu wimbo maana nilkwa na Dada mmoja nilimelewa sana
@joycesamwel3356
@joycesamwel3356 5 жыл бұрын
Mume wangu ulikuwa ukiniimbia huu wimbo sikujua unamaanisha nini ila sasahivi ndo najua nini ulimaanisha rip kipenz changu
@hemedmtunguja9788
@hemedmtunguja9788 5 жыл бұрын
pole dada
@user-yh9fc6ql3m
@user-yh9fc6ql3m Ай бұрын
Kuna wimbo wake, ameimba kiu ya mapenzi( Naomi) natafuta siuoni hata. Kama Kuna mtu anajua vile naeza kuupata, aniambie. Tafurahi Sana kuusilia Tena.
@ramadhanij.s9537
@ramadhanij.s9537 4 жыл бұрын
January 2020 kama nawe unasikiliza tungo tamu za Muumin Mwinyuma weka like yako hapo
@justusbenjamin9
@justusbenjamin9 4 жыл бұрын
13/12/2019 majira ya 18:17 nipo naangalia kama naww like twende pamoja
@FikiriAbdalah-qe9ue
@FikiriAbdalah-qe9ue Ай бұрын
Nakumbuka mbari xana cna la kusema wapendwa marafiki ndugu na Miata yote ubungo mpaka kimara uko wapi muumini,❤
@sajiduathuman1560
@sajiduathuman1560 4 жыл бұрын
12/02/2020 nipo nakula good music weka like zangu jamani
@salmaramadhan9580
@salmaramadhan9580 4 жыл бұрын
Leo trh 13 December 2019 naisikiliza hii nyimbo na ndo nafunga nayo mwaka nakumbuka nilikua drsa la 5 kila nyumba ilikua inapigwa hii nyimbo daah kweli nimeshakua muhenga
@vhchjff6523
@vhchjff6523 4 жыл бұрын
Jamaan baby nampenda kulikoni wote !4/11/2019@gonga like kama umeguswa 😚😚
@budimutv6751
@budimutv6751 4 жыл бұрын
Twenty twenty gonga like twende
@mauwam3627
@mauwam3627 5 жыл бұрын
Nan jaman anakumbukia enzi 2019 gonga likes apa
@michaelpaulo626
@michaelpaulo626 5 жыл бұрын
Kama unagapia 5.5.2019 19;52 goga like
@ropedwai5118
@ropedwai5118 4 жыл бұрын
Hii tareee 04-10-2019 nimelikumbuka hili
@ezekielimbwambo4761
@ezekielimbwambo4761 4 жыл бұрын
Mkulima kala mbegu hatari 12/04/ 2020/ hatari kubwa Leo pasaka nakula tunda spisho
@ibrahimkambi9288
@ibrahimkambi9288 4 жыл бұрын
10/11/2019 Baada ya kukumbuka wakati huo nasoma ilikuwa hatari sana. Gonga like tujuane
@nicholasobori1738
@nicholasobori1738 2 жыл бұрын
i was in class 7 when i listened first time 2000
@t.n.9868
@t.n.9868 2 жыл бұрын
I was in class 7 in 1998 when I enjoyed the song for the first time
@anithaphilip3526
@anithaphilip3526 2 жыл бұрын
I wish lavalava afanye cover ya hii song, naona sauti zao kama zinaendana afu pia lavava yuko vizuri kwenye style hizi za kulalamika
@tutorials-xe4zz
@tutorials-xe4zz Жыл бұрын
Umeona kitu
@laizermaina690
@laizermaina690 Жыл бұрын
2023 like kama mapenzi yanauwa😍😍
@fautha1salim767
@fautha1salim767 5 жыл бұрын
Tarehe 3/7/2019 twendee pamoja like kma zote
@azizimandia6128
@azizimandia6128 3 ай бұрын
Dah mwanamuziki mwenye nidhamu ya kiwango Cha hali ya juu muumini mwinjuma na anajua kuimba sanaa
@wangwemrongoti3
@wangwemrongoti3 5 жыл бұрын
Bonge la song nakumbuka hii nyingi nmetoroka nymbn xana kwendaa kuicheza disco daaaah👏
@mtawalamoza2434
@mtawalamoza2434 4 жыл бұрын
Wangwe Mrongoti 19 10 2019
@mandelasakara-no3bw
@mandelasakara-no3bw Жыл бұрын
Nakumbuka mbali huyu mwamba Mungu amjali maisha marefu🙏
@mauajohn949
@mauajohn949 4 жыл бұрын
naangalia tar 16/12/2019😭😭mapenz jamani yanitesa naweza kufa kwaajil ya mapenz 😭😭😭😭😭😭
@superbillionairea5987
@superbillionairea5987 2 жыл бұрын
Huyu jamaa anayo sauti bana, Kama angezipiga leo Angelia tajiri
@sangomamoricee6533
@sangomamoricee6533 5 жыл бұрын
moja kati ya sauti tamu isiyochosha masikio asante kwa kukuona live
@salehemohamedi3737
@salehemohamedi3737 5 жыл бұрын
Sangoma Moricee siomchezo
@harunimanyama2362
@harunimanyama2362 2 жыл бұрын
14/06/2022 bado nasikiliza muziki mzuri kutoka kwa Mwinjuma Muumini. Nakumbuka miaka hiyo ya 2000 na 2001 ndio ilitoka hii. Kama na wewe pia ni mkongwe tujuane.
@marymwandandila9327
@marymwandandila9327 7 ай бұрын
Wakongwe tupo 😅
@shabanijuma7566
@shabanijuma7566 4 жыл бұрын
Leo 1...11...2019...10:02pm naipiga hii ngoma naikubal hatar sana jmn like zenu wapendwa ...peoples power 4rever
@officialK-looh
@officialK-looh 8 жыл бұрын
huu wimbo japo nilikuwa mdogo sana lakini nilikuwa nimeukariri na kuuimba kila muda japo nilikuwa sijui lolote kuhusu mapenzi
@mwinyikadhi3977
@mwinyikadhi3977 3 жыл бұрын
Sasa hivi unayajua!!?
@tatuomary6624
@tatuomary6624 Жыл бұрын
Now 2023 but I'm listening this song
@mankakweka3460
@mankakweka3460 4 жыл бұрын
Jamaani weeeee daaa Kama unasikiliza hiii nyimbo 2019 gongo like kwa wingi🕵🏾👰👍👍
@nguddajrjoseph1197
@nguddajrjoseph1197 4 жыл бұрын
2020 Vibe lile lile kama ndio imetoka leo😁😁
@mussakongakonga6416
@mussakongakonga6416 3 жыл бұрын
Duuuuhhhh siku zinaenda miaka inakwenda ili nyimbo hii imekuwa bora muda wote bdo inaishi mpka kesho nakumbuka mbali Sana yaaan kipindi kilee
@emmygalicioz4290
@emmygalicioz4290 4 жыл бұрын
Wasanii walikua hawa leo 7.1.2020 naskiliz nyimbo ambayo mama zang ndo wameskiliz haichuji kamwe
@joelnassari105
@joelnassari105 6 жыл бұрын
Old is Gold...Congratulation Mwijuma Muumin Mwana Bagamoyo...Enzi hizo kuna ushindani halisi wa African Revolution a.k.a Wana Tamutamu ....Apa Muumin..Badi Bakule..Halima Ngaluma na wengine...Dar ilikua Dar
@allysaidy9109
@allysaidy9109 6 жыл бұрын
iko sana yani inanikumbusha mbali sana
@amalshamis2018
@amalshamis2018 10 ай бұрын
Gonga like hapa km unasikiliza leo hii Sept 12,2023😅❤
@luthermbio7581
@luthermbio7581 3 жыл бұрын
Nimenunua smartphone jaman nyimbo ya kwanza kusikiliza ni hii coz kitambo sana mpaka leo 2021
@mamlomalocho2675
@mamlomalocho2675 5 жыл бұрын
Leo Tar 02.07.2019 Nasikiliza Vitu vyenye maana na kunirudisha hadi Raha.
@johnmagolanga6829
@johnmagolanga6829 7 жыл бұрын
Duh huo wimbo wa tunda special unanikumbusha mbali,kazi nzuri onyango
@iddishabani6839
@iddishabani6839 7 жыл бұрын
Mapenzi ni sheeeeedah jamani
@t.n.9868
@t.n.9868 2 жыл бұрын
Today Saturday 22/1/2022 at 7:05 am, Nairobi, Kenya. I have woken up listening to this timeless hit. A song I adored in 1998...nalia sana....
@kazkaz1943
@kazkaz1943 2 жыл бұрын
2022 m hereeee baada ya kuachwaa 😂😂😂😂😂
@dyzoomgonja9892
@dyzoomgonja9892 3 жыл бұрын
Sept 2020 like zangu jamn
@kuvetamzazi8689
@kuvetamzazi8689 Жыл бұрын
Tuliofanikiwa kung'oa chuchu miaka hiyo kupitia wimbo huu njoo tujuane. Leo 12. 6. 2023 lakini wimbo utafikiri umerekodiwa jana
@hamdanifuku3936
@hamdanifuku3936 7 жыл бұрын
Ivyo vitu vya kale si mchezo Hawa vijana wa Leo wasubir sana
@dadyabdullatif7011
@dadyabdullatif7011 3 ай бұрын
Old is Gold 2024 !!! Still rocking 🔥 🔥
@msemakweldaima1685
@msemakweldaima1685 4 жыл бұрын
Daah nakumbuka mbali sana still listening this song in 31/09/2019 Gonga like kama naww uko kwenye jahazi hili
@user-qj1io1qz8i
@user-qj1io1qz8i 2 ай бұрын
Hii nyimbo ilipotoka ndo nilikuwa nimependwa na mume wangu wa Sasa,Sasa nikikasirika ananiimbia huu wimbo nabaki kucheka tuu 2024
@janethtv2585
@janethtv2585 4 жыл бұрын
Nani anasikiliza huu wimbo like zenu twende sawa
@wilsonwaziri7969
@wilsonwaziri7969 5 жыл бұрын
Bro hii nyimbo ilikuzidi umri ulifikiria zaidi ya uwezo wako,,
@yusuphchakanga3829
@yusuphchakanga3829 4 жыл бұрын
Kweli kabisa yaani aliitunga na ikamzidi uwezo na umli wake maana ujumbe mkali sana duuuuh! Pamoja MM
@shabanikimbega8003
@shabanikimbega8003 4 жыл бұрын
Kabisa
@eliamalima1718
@eliamalima1718 3 жыл бұрын
Muumini nyimbo hii siku iripotoka nilikuwa nimeaingiziwa mwanafunZi nimemtorosha acha inanikumbuaha mbali heshima kwako kaka
@prisscakalasa4996
@prisscakalasa4996 3 жыл бұрын
@@eliamalima1718 duuuh,una Mambo ww,Ila yote maisha best....
@chazkoillah2652
@chazkoillah2652 5 жыл бұрын
Wahenga ndio tunaelewa hii mambo good sana
@queenlawrence9522
@queenlawrence9522 5 жыл бұрын
Chaz Koillah LSA lslb
@tatakalimu7196
@tatakalimu7196 5 жыл бұрын
Hatar San
@chazkoillah2652
@chazkoillah2652 5 жыл бұрын
@@tatakalimu7196 noma mzee hii ngoma
@hadijaabdallah5879
@hadijaabdallah5879 4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@issalashidi6703
@issalashidi6703 2 жыл бұрын
Kitu htr sna iki ase apo Yaan nikukata mauno kinouma jasho linatoka mpka linakaukia mwilini aloo hii ngoma Jmn Daah
@mwaminisaid8057
@mwaminisaid8057 8 жыл бұрын
duu , ni shidaaaaaaa xna nakumbuka mbari xnaaa mwanzo wa mahusiano katika maisha yanga kuna MTU nilitokea kumpenda xna ila arikua bizee xna na masomo nje ya mji huu mwimbo ndiyo ulikuwa faraja yangu
@priscaandrew842
@priscaandrew842 6 жыл бұрын
Duuh long tyme ago, nw tumekuwa wadada wakubwa.... Yasikitisha mnoooo
@queenlawrence9522
@queenlawrence9522 5 жыл бұрын
Mwamini Said ls
@omarinhomoudy
@omarinhomoudy 7 жыл бұрын
R.I.P babu yangu.. allipenda sana hii nyimbo nami nikiwa mdogo sijui hili wala lile lakini sasa ni mkubwa najua nini maana yake...
@herryhamis5390
@herryhamis5390 4 жыл бұрын
15.09.2019 naskiliza hatar hiii mapenzi jamanii yataniua
@ahmeidyoung2410
@ahmeidyoung2410 4 жыл бұрын
11/09/2019 bado tupo p1 gonga like yko kama na ww ni miongoni mwao
@zaynabumustaph4200
@zaynabumustaph4200 4 жыл бұрын
8-10-2019 naangalia enzi izo baba zetu walivyokuwa wakienjoy na tamtam
@fadhymtanga
@fadhymtanga 8 ай бұрын
Ni 2023 na bado naisikiliza hii ngoma.
@amosimusso7589
@amosimusso7589 5 жыл бұрын
Nami nipo leo 31/3/2019 nasikiliza nyimbo tamu kama hizi
@gretamaheri8437
@gretamaheri8437 5 жыл бұрын
Tangu nakuwa nasikliza wimbo huu daaah mapenzi yanauwa 😥 14/6/2019 najikuta nalia tuuu mwenyewe masikin
@pendojemsi7036
@pendojemsi7036 2 ай бұрын
Wakati huo nikiwa na umri wa miaka 10 saivi nishakuwa shangazi kweli ya kale ni dhahabu
@mretamreta8058
@mretamreta8058 4 жыл бұрын
07032020 bado naangaliaaa,,,twende na liked
@pamelamboma6725
@pamelamboma6725 3 жыл бұрын
2021 bado iko hot...enzi za mabendi live band
@ibrahimmlata2260
@ibrahimmlata2260 2 жыл бұрын
Lala salama babaangu hiz nyimbo ulikuwa unazipiga jumapil huend kazin utazunguka nyumbani,utafanya USAF wote hiz nyimbo zitapigwa asbh had jion duuuh 😭 baba bs tu kifo hich mim mwenzenu simsahaug babaangu ❤️
@msozithedon1730
@msozithedon1730 2 жыл бұрын
Daaah iyi nyimbo naikumbuka kipindi nasoma drs 4 iyi nyimbo daah leo tr 23 mwez wa 8 ,2021 nimekuwa mtu wa Kujitafuti kwaiyo nampongeza sana amenikumbusha mda sana nimefalajika sana
@farajimatorwa3226
@farajimatorwa3226 5 жыл бұрын
nilikua mdogo sanaa kipindi icho,,,, nilikuwa siamini akisema mapenzi yanauwa nilikuwa nacheka sanaaaa siamini kama kuna kitu kama icho,,,,, ila sasa nimekuwa nayaona mwenyewe kwa macho Respect bro Mwinjuma 2018
@omaryrjohn65
@omaryrjohn65 5 жыл бұрын
hapo nikiwa darasa la kwanzaaa yani nategea baba ametoka naiba kaseti naeka kanda naizungusha na biki inarudi nyumaaa hahahahaaa daaaaaa watoto wasikuizii shololo nyingiiiiii
@alexrwezaula8857
@alexrwezaula8857 4 жыл бұрын
Dah atali
@saidifundi8023
@saidifundi8023 3 жыл бұрын
October 2020 nani anaangalia????
@erlindabernard4475
@erlindabernard4475 5 жыл бұрын
2018...siku hizi hakuna nyimbo Kuna vituko..
@edisonkigoye2297
@edisonkigoye2297 Жыл бұрын
Nimecheza sana hii nyimbo goody song
@mohamednoti1401
@mohamednoti1401 2 жыл бұрын
Hizi ni nyimbo nazikumbuka sana wakati nko mtoto mwaka 2003 zilipigwa sana kipindi hicho nna miaka tisa.. mpaka sasa bado nazikumbuka nikiwa na miaka 28…
@wazirially8005
@wazirially8005 Жыл бұрын
LEO 30/09/2022 nimepata wasaa wa kusikiliza, ila pia ninazo IYO album nzima ya prince muumini.. Mtoto wa TANGA CHUMBA GENI
@datikazumari515
@datikazumari515 6 жыл бұрын
ilikuwaga nyimbo ya taifa hii ngoma
@fatumahengo6849
@fatumahengo6849 4 жыл бұрын
Enzi hizoooo jamani dah
@aminamjaka2329
@aminamjaka2329 4 жыл бұрын
Legendary wa hz kaz Prince M/muumin Respect 2020 bado nyimbo inauhai
@abdllahijr3461
@abdllahijr3461 6 жыл бұрын
sauti ya dhahabu uwezo mkubwa hubahatishi kuimba asante baba mungu akuone
@mwaneyramadhanimwaneyramad8280
@mwaneyramadhanimwaneyramad8280 8 жыл бұрын
old song nilikua naupnda sna huu wimbo big up mumin mwijuma
@emilymwabwalwa6052
@emilymwabwalwa6052 7 жыл бұрын
safi sana
@jamesjoseph6825
@jamesjoseph6825 3 жыл бұрын
20.03.2021, hizi ndizo nyimbo zidumuzo, sio za anachukua anaweka
@isaberapmpesha9571
@isaberapmpesha9571 4 жыл бұрын
Jamn waoooooo kweli nimekumbuka mbari
@davidzacharia2373
@davidzacharia2373 4 жыл бұрын
Daaah vya kale dhahabu
@nivardkyulule8386
@nivardkyulule8386 8 жыл бұрын
ni buruda ambayo itadumu milele
@SharifaMkwangia-vc6tw
@SharifaMkwangia-vc6tw 11 ай бұрын
Pole sana kwani usilo lijua sawa na usiku ŵa kiza
@hareemamtambo8793
@hareemamtambo8793 4 жыл бұрын
Yaaan nyimbo hii inapigwa me ndo nachipukia kwenye mapenzii jamanii daaah nishakua muhenga sasa 😱😱😱
@salimumwarora9353
@salimumwarora9353 8 жыл бұрын
Jaman mapenz hayana mfano yanafuraixha xaxa na kuhuzunixha xana unapotendwa na umpendae
@ropedwai5118
@ropedwai5118 4 жыл бұрын
04-10-2019 Tupo na hizii kali zai enzi hizo
@jacobshauri5603
@jacobshauri5603 6 жыл бұрын
Kitamboo rahaa sanaaa sio sasa wap mwinjumaa duuuuh
@catherinpascal7527
@catherinpascal7527 6 жыл бұрын
JACOB SHAURI hijsooiiiiosisooioososooauu
@antonfaru3600
@antonfaru3600 5 жыл бұрын
Nice mziki wa siku hizi wizi ,skia Base,rthym,solo,tumba,vocal
@ashaathuman1472
@ashaathuman1472 4 жыл бұрын
Nzur kitambo sana
@omarybakary0767
@omarybakary0767 4 жыл бұрын
👍👍👍
@shamsaramadhani7532
@shamsaramadhani7532 4 жыл бұрын
Kama 2020 ni hatar iyo ngoma
@suleimanmathew6876
@suleimanmathew6876 3 жыл бұрын
Raha tulipata zamani tu jamani nyimbo nzuri ajabu
@nicholasobori1738
@nicholasobori1738 5 жыл бұрын
4-4-2019 tuko wengi ndani la jahazi
@beatricesway6875
@beatricesway6875 4 жыл бұрын
2020 mpo?
@masundelwa
@masundelwa 3 жыл бұрын
15/June /2021.... ♥️
@erickvalerian8264
@erickvalerian8264 3 жыл бұрын
Nan anasikiliz nyimbo hii leo 2050
@stellashao7885
@stellashao7885 8 ай бұрын
🎉🎉
@deusjoseph6508
@deusjoseph6508 5 жыл бұрын
Wimbo huu Unatufundisha kuwa binadamu wote sisi ni sawa wala tusibaguane
@charlesmwakasagule904
@charlesmwakasagule904 4 жыл бұрын
Jamani huyu jama alimba vizuli sana mshauli aziludishie atoe video
ELIMU YA MJINGA-BANZA STONE
8:29
HABARI JAMII TANZANIA
Рет қаралды 551 М.
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 111 МЛН
THE POLICE TAKES ME! feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
PANDA BOI
Рет қаралды 25 МЛН
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 15 МЛН
Rangi ya Chungwa
9:11
Bongo Records
Рет қаралды 28 М.
FADHILA KWA WAZAZI-MCHINGA SOUND
8:06
DANSI YETU
Рет қаралды 176 М.
Mapacha watatu ft Khadija kopa_Chanzo ni sisi wanaume Official Video
6:54
Computer The Drummer
Рет қаралды 4,3 М.
mumin mwijuma
10:37
NENO
Рет қаралды 341 М.
Les Wanyika - Barua Yako| Kasuku
13:38
Nyimbo za zamani
Рет қаралды 760 М.
Nimekuchagua Wewe - Bob Rudala
5:07
Crea TV
Рет қаралды 2,4 МЛН
Mtaji wa Masikini - Banza Stone & TOT
10:34
Zilipendwa TZ
Рет қаралды 23 М.
JINAMIZI - Mwanaidi Shaabani. audio
18:32
Marjan Sempa
Рет қаралды 203 М.
MAYIENGA FORD BIRO PT 1 - CHOMEKA
28:31
Onyango Jackson
Рет қаралды 103 М.
MUUMINI MWINJUMA ~MGUMBA AMEZAA
10:48
NGODA TV
Рет қаралды 115 М.
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 111 МЛН