Usimnyooshe Mtu Kidole | USIHUKUMU | Rev. Dr. Eliona Kimaro

  Рет қаралды 22,875

Rev. Dr. Eliona Kimaro

Rev. Dr. Eliona Kimaro

2 ай бұрын

Пікірлер: 59
@upendogreutert199
@upendogreutert199 2 ай бұрын
Mchungaji Kimaro Baba yetu wa Kiroho hata tulio nje ya Tanzania, Mungu akutumie Sanaa. Unatusaidia sana tunapona bila hata kuombewa Wala kuwekewa mkono.
@rebmanwillbard7464
@rebmanwillbard7464 10 сағат бұрын
Rev Kimaro azidi kukuinua masomo Yako tunakuelewa baba, ubarikiwe sana
@user-br1oi2tr4g
@user-br1oi2tr4g Ай бұрын
Amina pastor unatubariki Sana mungu azidi kukuinua na kukutia moyo
@MUTUKUMUNYWOKI
@MUTUKUMUNYWOKI 2 ай бұрын
Nashukuru Mwenyezi Mungu kwa kutumia mchungaji Dr Eliona Kimaro kuokoa wengi kupitia neno
@GodlistenEmmanuel
@GodlistenEmmanuel 6 күн бұрын
Nakushukuru mungu Kwa neema yako
@godlovemrosso5973
@godlovemrosso5973 2 ай бұрын
Neema ya Mungu baba ikawe juu ya watoto wangu na uzao wangu Barikiwa sana Mtumishi
@hongerakimbwala8650
@hongerakimbwala8650 Ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi Wa mungu
@lizpallangyo8057
@lizpallangyo8057 Ай бұрын
Ubarikiwe mno baba kwa kuponya roho zetu,Mwenyenzi Mungu azidi kukuinua zaidi uendelee kutumika kama chombo
@GodfreyLukumay-ex1nz
@GodfreyLukumay-ex1nz 2 ай бұрын
Asante MUNGU ukaivishe familia yangu neema ya upendo
@user-yz5zn4tr6i
@user-yz5zn4tr6i 2 ай бұрын
Asante sana BABA mchungaji kimaro MUNGU akutunze umpendeze MUNGU NA WANADAMU pia ❤❤❤❤❤❤
@peehmuki7271
@peehmuki7271 2 ай бұрын
Baba naombo univishe haki yako katika jina la Yesu ....Amen
@gracembwilo1455
@gracembwilo1455 2 ай бұрын
Asante Mtumishi wa MUNGU kwa kunifungua AKILI mafundisho yako yana HEKIMA sana naomba kuvikwa HAKI yake
@RamadhanKhalid-qc7bo
@RamadhanKhalid-qc7bo Ай бұрын
Ahsante mtumishi
@williammollel97
@williammollel97 2 ай бұрын
Kwa kweli unaheshimisha jina la yehova ubarikiwe na atukuzwe mungu Alie kupa kipawa na ukawa tayari
@RohiSam
@RohiSam 2 ай бұрын
Watching from Kenya ,,,,am so blessed 🙏
@ElionaKimaro
@ElionaKimaro 2 ай бұрын
Wonderful
@user-fc8cq3pu2g
@user-fc8cq3pu2g Ай бұрын
Mchungaji nampenda mafundisho Yako mungu akubariki sana
@user-gc8vb3gv8c
@user-gc8vb3gv8c Ай бұрын
Ubarikiwe baba Mchungaji, naamini tutavikwa haki yake
@tumpemkola6752
@tumpemkola6752 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana baba mchunga kwa neno
@jessicamasepo8320
@jessicamasepo8320 2 ай бұрын
Amen, ubarikiwe Baba.
@user-yl2ir7gv1h
@user-yl2ir7gv1h 2 ай бұрын
Munguakulinde mchungaji Asante kwaneno lako
@BeathaSwai
@BeathaSwai 2 ай бұрын
Asant baba mchunguji Mungu aendelee kukutunx
@johntemba9477
@johntemba9477 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana Baba
@BeathaSwai
@BeathaSwai 2 ай бұрын
Amin Mungu akutunxeee
@JaneMaiga
@JaneMaiga 2 ай бұрын
Mungu naomba univike haki yako amina
@MeshackMunuo-yc5ji
@MeshackMunuo-yc5ji Ай бұрын
Barikiwaaa
@irislecha8662
@irislecha8662 2 ай бұрын
Kwa kweli mchungaji umenihubiria Mimi binafsi kwetu nyumbani Mimi ndie Rahabu naomba Mungu anikumbuke, naishi na nembo ya umalaya baada ya kuzaa watoto 6 na wababa tofauti, Mungu nikumbuke
@rammyrallen1473
@rammyrallen1473 2 ай бұрын
Amen Mungu Ni mwaminifu Amen
@Wamisangi
@Wamisangi 2 ай бұрын
Isaya 1:16-19. Mungu ni Mwema Wakati wate. Omba akupe Nguvu na Maongozi yake uishi sawasawa na Mapenzi yake. Tazama ya kale yamepita na yamekuwa mapya.
@elishamwakihaba942
@elishamwakihaba942 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji ❤
@user-vi7he4zm2d
@user-vi7he4zm2d 2 ай бұрын
Amen mungu akutunze
@speciozakaloli
@speciozakaloli 2 ай бұрын
Mchungaji Kimaro unatumiwa na Mungu asante sana
@rodgersakaya7158
@rodgersakaya7158 2 ай бұрын
Mchungaji asante sana, ubrikiwee
@davidkawesa3594
@davidkawesa3594 Ай бұрын
Amina kubwa
@MariaNdagile-hx5pr
@MariaNdagile-hx5pr 2 ай бұрын
Aminaa baba
@kikiteri7486
@kikiteri7486 2 ай бұрын
Amem Amen
@sylviachikwindo7263
@sylviachikwindo7263 2 ай бұрын
Aameen ameen ameen.
@GRACENyanda-cn3pg
@GRACENyanda-cn3pg 2 ай бұрын
Amina
@EdinaFelician
@EdinaFelician 2 ай бұрын
Mungo akubarikai sana Mchungaji
@CHRISTINAYOHANA-oy7vo
@CHRISTINAYOHANA-oy7vo 2 ай бұрын
🙏
@VeronicaRugoyi
@VeronicaRugoyi 2 ай бұрын
Ameeen Baba ❤❤🎉🎉
@grace-rh3vv
@grace-rh3vv Ай бұрын
Amen. Amen
@JudthKanyange
@JudthKanyange 2 ай бұрын
Nikusikiliza mchunga nabarikiwa
@stephanosospeter1709
@stephanosospeter1709 2 ай бұрын
Ameen
@veronicaanosisye4160
@veronicaanosisye4160 2 ай бұрын
Ameeeen
@larzagraph9326
@larzagraph9326 2 ай бұрын
Mungu watu azidi kukulinda nakukubariki mchungaji Tunabarikiwa sana na mahubiri yako tukowa USA
@naeema8155
@naeema8155 Ай бұрын
Amen 🙏 🙏
@speciozakaloli
@speciozakaloli 2 ай бұрын
Usiangalie ulikotoka tazama unakoenda
@hadijambwambo6833
@hadijambwambo6833 2 ай бұрын
Hallelujah
@Wamisangi
@Wamisangi 2 ай бұрын
Wapelelezi walikuwa ni wawili si 12 . Joshua Mlango wa 2 Rahabu ndiye aliye funga kamba wala si wale wapelelezi wa 2. Hakuna mahali ambapo Biblia inasema ndugu zake Rahabu walimtenga. Na ndio maana aliweza kuwakusanya wakaja kwake kama sharti la wao kuokolewa na mashambulizi. Rahabu alijua nguvu za Mungu wa Israeli na Matendo yake makuu ya kuwaangamiza maadui wa Israeli. Aliwaapiza wale wa pelelezi kwa Mungu wao wa Israeli. Waebrainia 11:31. Rahabu aliokolewa kwa Imani yake kwa kuukiri Ukuu wa Mungu wa Israeli na kwa vile aliwapokea wale wapelelezi wawili kwa Amani. Ni vizuri kuchukua muda kuandika mahubiri kuliko kujiamini na kuhubiri uongo na kweli madhabahuni
@davidkawesa3594
@davidkawesa3594 Ай бұрын
Lakini umeelewa alichomaanisha
@Wamisangi
@Wamisangi Ай бұрын
@davidkawesa3594 Nimeelewa kwamba Mungu ni Roho nao wamuabuduo hufanya hivyo katika Roho na Kweli. Yohana 4:24 Bila ya Roho Mtakatifu utakuwa unachekelea hata ukihubiriwa uongo ulio cha nganywa na ukweli kwa kujua/kutokujua ama kutetea anaye fanya hivyo badala ya kumshauri..
@qatarrarre30
@qatarrarre30 2 ай бұрын
😂😂😂Amen 🙏🙏
@witnesssamwely8812
@witnesssamwely8812 2 ай бұрын
Mahubili yako yananibaliki
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 2 ай бұрын
Kwa hiyo hata kama kakosea usimrekebishe eti usihukumu jamii itasadikaje?
@nemeskilagula3119
@nemeskilagula3119 2 ай бұрын
Fanya maombi juu yake na si vinginevyo, Mungu wetu ni wautaratibu
@Wamisangi
@Wamisangi Ай бұрын
@@nemeskilagula3119 Mungu wetu si muongo wala hahitaji ahubiriwe kwa uongo. Mungu ni Roho. Yohana 4:24
@user-vi7he4zm2d
@user-vi7he4zm2d 2 ай бұрын
Amen mungu akutunze
@CatherineMgala-ui8oi
@CatherineMgala-ui8oi 2 ай бұрын
🙏🙏
REV. DR. ELIONA KIMARO: KUISHI KESHO I
32:34
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 19 М.
Ombeni Nanyi Mtapewa | Heaven's Demand | Rev. Dr. Eliona Kimaro
1:11:46
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 25 М.
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 66 МЛН
REV. DR. ELIONA KIMARO: JIEPUSHE NA KIGEUGEU
1:02:03
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 15 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: MANENO YA WATU
58:21
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 12 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: KIVUKO CHA FAMILIA/FAMILY FERRY
1:41:06
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 41 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: WEKEZA KWENYE UWEZO I
34:28
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 12 М.
#mahubiri MAISHA YA ANAYE BEBA AGANO |PR.DAVID MMBAGA | SIKU YA 4
1:12:11