Mchungaji Kimaro Baba yetu wa Kiroho hata tulio nje ya Tanzania, Mungu akutumie Sanaa. Unatusaidia sana tunapona bila hata kuombewa Wala kuwekewa mkono.
@rebmanwillbard746410 сағат бұрын
Rev Kimaro azidi kukuinua masomo Yako tunakuelewa baba, ubarikiwe sana
@user-br1oi2tr4gАй бұрын
Amina pastor unatubariki Sana mungu azidi kukuinua na kukutia moyo
@MUTUKUMUNYWOKI2 ай бұрын
Nashukuru Mwenyezi Mungu kwa kutumia mchungaji Dr Eliona Kimaro kuokoa wengi kupitia neno
@GodlistenEmmanuel6 күн бұрын
Nakushukuru mungu Kwa neema yako
@godlovemrosso59732 ай бұрын
Neema ya Mungu baba ikawe juu ya watoto wangu na uzao wangu Barikiwa sana Mtumishi
@hongerakimbwala8650Ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi Wa mungu
@lizpallangyo8057Ай бұрын
Ubarikiwe mno baba kwa kuponya roho zetu,Mwenyenzi Mungu azidi kukuinua zaidi uendelee kutumika kama chombo
@GodfreyLukumay-ex1nz2 ай бұрын
Asante MUNGU ukaivishe familia yangu neema ya upendo
@user-yz5zn4tr6i2 ай бұрын
Asante sana BABA mchungaji kimaro MUNGU akutunze umpendeze MUNGU NA WANADAMU pia ❤❤❤❤❤❤
@peehmuki72712 ай бұрын
Baba naombo univishe haki yako katika jina la Yesu ....Amen
@gracembwilo14552 ай бұрын
Asante Mtumishi wa MUNGU kwa kunifungua AKILI mafundisho yako yana HEKIMA sana naomba kuvikwa HAKI yake
@RamadhanKhalid-qc7boАй бұрын
Ahsante mtumishi
@williammollel972 ай бұрын
Kwa kweli unaheshimisha jina la yehova ubarikiwe na atukuzwe mungu Alie kupa kipawa na ukawa tayari
@RohiSam2 ай бұрын
Watching from Kenya ,,,,am so blessed 🙏
@ElionaKimaro2 ай бұрын
Wonderful
@user-fc8cq3pu2gАй бұрын
Mchungaji nampenda mafundisho Yako mungu akubariki sana
@user-gc8vb3gv8cАй бұрын
Ubarikiwe baba Mchungaji, naamini tutavikwa haki yake
@tumpemkola67522 ай бұрын
Mungu akubariki sana baba mchunga kwa neno
@jessicamasepo83202 ай бұрын
Amen, ubarikiwe Baba.
@user-yl2ir7gv1h2 ай бұрын
Munguakulinde mchungaji Asante kwaneno lako
@BeathaSwai2 ай бұрын
Asant baba mchunguji Mungu aendelee kukutunx
@johntemba94772 ай бұрын
Mungu akubariki sana Baba
@BeathaSwai2 ай бұрын
Amin Mungu akutunxeee
@JaneMaiga2 ай бұрын
Mungu naomba univike haki yako amina
@MeshackMunuo-yc5jiАй бұрын
Barikiwaaa
@irislecha86622 ай бұрын
Kwa kweli mchungaji umenihubiria Mimi binafsi kwetu nyumbani Mimi ndie Rahabu naomba Mungu anikumbuke, naishi na nembo ya umalaya baada ya kuzaa watoto 6 na wababa tofauti, Mungu nikumbuke
@rammyrallen14732 ай бұрын
Amen Mungu Ni mwaminifu Amen
@Wamisangi2 ай бұрын
Isaya 1:16-19. Mungu ni Mwema Wakati wate. Omba akupe Nguvu na Maongozi yake uishi sawasawa na Mapenzi yake. Tazama ya kale yamepita na yamekuwa mapya.
@elishamwakihaba9422 ай бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji ❤
@user-vi7he4zm2d2 ай бұрын
Amen mungu akutunze
@speciozakaloli2 ай бұрын
Mchungaji Kimaro unatumiwa na Mungu asante sana
@rodgersakaya71582 ай бұрын
Mchungaji asante sana, ubrikiwee
@davidkawesa3594Ай бұрын
Amina kubwa
@MariaNdagile-hx5pr2 ай бұрын
Aminaa baba
@kikiteri74862 ай бұрын
Amem Amen
@sylviachikwindo72632 ай бұрын
Aameen ameen ameen.
@GRACENyanda-cn3pg2 ай бұрын
Amina
@EdinaFelician2 ай бұрын
Mungo akubarikai sana Mchungaji
@CHRISTINAYOHANA-oy7vo2 ай бұрын
🙏
@VeronicaRugoyi2 ай бұрын
Ameeen Baba ❤❤🎉🎉
@grace-rh3vvАй бұрын
Amen. Amen
@JudthKanyange2 ай бұрын
Nikusikiliza mchunga nabarikiwa
@stephanosospeter17092 ай бұрын
Ameen
@veronicaanosisye41602 ай бұрын
Ameeeen
@larzagraph93262 ай бұрын
Mungu watu azidi kukulinda nakukubariki mchungaji Tunabarikiwa sana na mahubiri yako tukowa USA
@naeema8155Ай бұрын
Amen 🙏 🙏
@speciozakaloli2 ай бұрын
Usiangalie ulikotoka tazama unakoenda
@hadijambwambo68332 ай бұрын
Hallelujah
@Wamisangi2 ай бұрын
Wapelelezi walikuwa ni wawili si 12 . Joshua Mlango wa 2 Rahabu ndiye aliye funga kamba wala si wale wapelelezi wa 2. Hakuna mahali ambapo Biblia inasema ndugu zake Rahabu walimtenga. Na ndio maana aliweza kuwakusanya wakaja kwake kama sharti la wao kuokolewa na mashambulizi. Rahabu alijua nguvu za Mungu wa Israeli na Matendo yake makuu ya kuwaangamiza maadui wa Israeli. Aliwaapiza wale wa pelelezi kwa Mungu wao wa Israeli. Waebrainia 11:31. Rahabu aliokolewa kwa Imani yake kwa kuukiri Ukuu wa Mungu wa Israeli na kwa vile aliwapokea wale wapelelezi wawili kwa Amani. Ni vizuri kuchukua muda kuandika mahubiri kuliko kujiamini na kuhubiri uongo na kweli madhabahuni
@davidkawesa3594Ай бұрын
Lakini umeelewa alichomaanisha
@WamisangiАй бұрын
@davidkawesa3594 Nimeelewa kwamba Mungu ni Roho nao wamuabuduo hufanya hivyo katika Roho na Kweli. Yohana 4:24 Bila ya Roho Mtakatifu utakuwa unachekelea hata ukihubiriwa uongo ulio cha nganywa na ukweli kwa kujua/kutokujua ama kutetea anaye fanya hivyo badala ya kumshauri..
@qatarrarre302 ай бұрын
😂😂😂Amen 🙏🙏
@witnesssamwely88122 ай бұрын
Mahubili yako yananibaliki
@edsonnelson44642 ай бұрын
Kwa hiyo hata kama kakosea usimrekebishe eti usihukumu jamii itasadikaje?
@nemeskilagula31192 ай бұрын
Fanya maombi juu yake na si vinginevyo, Mungu wetu ni wautaratibu
@WamisangiАй бұрын
@@nemeskilagula3119 Mungu wetu si muongo wala hahitaji ahubiriwe kwa uongo. Mungu ni Roho. Yohana 4:24