Mimi ni msabato lakini nakupenda sana mchungaji nakupenda sana😢Mungu azidi kukuongoza utangaze injili ya yesu🙏
@marthadaniel49042 ай бұрын
Tupo weng MUNGU amuinue kwa kweli huy mchungaji
@leahmollel65892 ай бұрын
Mungu asikupungukie mch Kimaro! Umefanyika kivuko kwa wengi! Mungu akutunze🙏🙏🙏
@RehemaAndrew-de5xnАй бұрын
Sitakufa kwa jina la Yesu...
@margarethpolepole74382 ай бұрын
Mungu akubariki sana Mchungaji Kimaro nayasikiliza sana maombi yako
@user-xz6zy3rb3s2 ай бұрын
Huyu ni mimi kabisa..eeeh Mungu nitie nguvu,baraki kazi ya mikono yangu nikatoe aibu ya nyumbani kwetu...ujumbe umekuja kwa mda muafaka kabisaa..Thank you Jesus.
@adelinelyaruu30362 ай бұрын
HALLELUJAH. SHE IS INDEED BLESSED TO BE A BLESSING. TUMPE MAUA YAKE HUYO DADA💐💐❤❤️🙏🙏
@user-rr3qb1jg3fАй бұрын
Mchungaji namimi mama nilyeko Mbeya unibariki ktk hili. Asante kwa maombi yako yenye nguvu. Mungu akubariki mtumishi
@gracekagoma3231Ай бұрын
Ahsante sana kwa kunibariki❤
@happypaulo79543 күн бұрын
Ameen ... I receive in the mighty name of our Lord Jesus Christ
@MaryMmbando-z2uКүн бұрын
Nakupenda sana mtumushi
@sofiarugoye79292 ай бұрын
Ila we mtumishi wa Mungu,natamani nikuone live mtumishi kimaro
@valentinayusuph5160Ай бұрын
Barikiwa sana Mchungaji nimepokea
@RehemaAndrew-de5xnАй бұрын
Mimi ni kivuko cha Familia ....❤❤
@zuwenambughu96312 ай бұрын
Namshukuru alhaa kwajili yako mungu akufiche wenye kiburi wasikuone
@mickmoshi98362 ай бұрын
Mungu akubariki mchungaji
@GraceMgoyo2 ай бұрын
Nakupenda sana mchungaji Kimaro Mungu azidi kukubariki
@user-wu3xj5pp9t2 ай бұрын
Nakupenda sana baba Mungu akuinue zaidi
@emastelaalex8464Ай бұрын
Mungu akubariki uendelee kutanga injili
@elsonmushi949128 күн бұрын
Dah Mungu akutunze
@judithlugongo8804Ай бұрын
Amina asante baba mchungaji haya yapo sana ktk familia 🙏 Mungu atusimamie
@mercygibson13792 ай бұрын
Sifa, Shukran na Sifa tumrudishie Mungu. Amen
@user-ld7tp4uc3l2 ай бұрын
Sifa shukrani Kwa Mungu wetu, Mimi ndie mkombozi wa Familia Napokea kusudi la Bwana Tena, Amen,Amen.
@kimongemalyawereАй бұрын
Amina ! Hayo ndio magumu ktk familia na baraka zinazidi kuondoka nyumbani pengine ndiye atakayefungua milango na baraka kuja kwa kila mmoja
@gilbertshirima26842 ай бұрын
Kimaro nakupendaga bureeee
@dorcasdavid22472 ай бұрын
Ameen Napokea ktk Jina la Yesu Kristo
@estherlemburismollel59012 ай бұрын
Mimi ni kivuko cha familia, nitavusha watoto wangu na ndugu zangu, wenye shida mbalimbali. Naamka tena kwa jina la Yesu
@VeronicaMacha-pl3xt2 ай бұрын
Mungu akutumie apendavyo hakuna wa kusimama mbele yako.👏👏👏
@francjose959626 күн бұрын
🙏🏽
@robinaharinaitwe22122 ай бұрын
Amina....Mimi ni Kivuko Cha Familia yetu in Jesus' Name
@AnnaNgobola-pm7fz2 ай бұрын
Uko vizuri mtumisjhi wa mungu
@AgnetaMwaighuri17 күн бұрын
Ameen Ameen
@rosemarylihawa65472 ай бұрын
Mungu tusaidie 🙌🏽🙌🏽
@MaryLee-sh4nd2 ай бұрын
Mimi nikivuko chafamilia kwa jina la Yesu
@datvatmoshi221225 күн бұрын
Mchungaji hapo umenena mch. Hicho kisaa kimekuta wengi Mimi hata nashindwa kusema
@FaridaSilwani2 ай бұрын
Amin napokea kwa jina yesu Kristo 🙏🙏🙏
@julianapenza12232 ай бұрын
Amen
@user-pq9fd5bt5xАй бұрын
Amen Amen Amen 🙏🙏🙏🙏
@sekelamwangobola16742 ай бұрын
Ameeeen, mimi ni kivuko cha Familia.
@regulamdawa21392 ай бұрын
Baba yangu wa Kiroho Mungu azidi kukuweka kwaajili yangu umeniinua mnooo
@aminajuma1156Ай бұрын
Eeeh Mungu mimi nina shangamoto kwenye familia 😢😢😢😢
@annamgesi9512 ай бұрын
Ameen baba mm ni kivuko cha familia🙏🙏🙏
@user-rx7te2px5d2 ай бұрын
Atukuzwe BABA na MWANA na ROHO mtakatifu...
@user-pq9fd5bt5xАй бұрын
Amiiinaaaaa ninapokea kwa jina la yesu
@hkfamily14922 ай бұрын
Ntaamka tena mimi ni kivuko cha familia
@festinamwakipale39192 ай бұрын
Yote yapo Mungu amesema ataibariki familia unakuta familia mmoja.tu kafanikiwa jaman tusiumizane kama Mungu atakubaliki atawahurumia ndugu zako unafanikiwa peke yako utakuwa na laha.gan Mungu akihurumia.anakuhurumia na ndugu zako Mungu atusamehe na.hii.dunia Mungu anatunza kumbukumbu la kizazi cha baraka
@alphabartazary96922 ай бұрын
It's so powerful
@RaymondCharlesSaliboko-to6vxАй бұрын
Mzungu akupe wepesi
@sofiarugoye79292 ай бұрын
Unafundisha vizuri we nimwalimu
@estherlemburismollel59012 ай бұрын
Mungu anamtumia kuvusha watu, tumuombee maana shetani hutamani kuwaangusha ila tutashinda kwa jina la Yesu
@abigaelmwadena22622 ай бұрын
Amen ushuhuda umengusa sana maan mm ndio nitakaye badilisha familia yangu
@liliantemba77612 ай бұрын
Pastor hu ushuda najiona mimi japo so kubwa ila nimeweza na baba angu nimemjengea nyumba na alikuwa ajawayi fikiria icho kitu .
@enockmaige89362 ай бұрын
Amina
@regulamdawa21392 ай бұрын
Mimi ni Kivuko cha Familia na ukoo kwa jina la Yesu