REV. DR. ELIONA KIMARO: KISA CHA DAUDI CHA KUMCHUKUA BATHSHEBA MKE WA URIA

  Рет қаралды 61,076

Rev. Dr. Eliona Kimaro

Rev. Dr. Eliona Kimaro

Күн бұрын

Пікірлер: 57
@barazamatibila8412
@barazamatibila8412 9 ай бұрын
Always following you from Washington DC nakupenda Bure mtumishi. Nikita Dareslaam January nitakutafuta nikusalimie katika jina la Yesu kristo.
@dorothtobias8053
@dorothtobias8053 Жыл бұрын
Mchungaji KIMARO nakuelewa Sana tunaomba uwe na makongamano Live mikoani. Mungu AKUPE ufunuo Huo.
@gabrielinterschool3539
@gabrielinterschool3539 2 жыл бұрын
Mungu ni mwema anakutumia Kwa kutuokoa sisi wenye shingo nguma Ameen
@kelvinmwando-f2e
@kelvinmwando-f2e 6 ай бұрын
Ubarikiwe baba wa kiroho kwa mafundisho mazuri nakupata vizuri sana nipo zambia
@rezegerezege691
@rezegerezege691 2 жыл бұрын
Barikiwa sana Daddy nakupata hapa OMAN.
@Madam255
@Madam255 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sanaa Baba Kwa mafundsho mazuri nakupata nikiwa Nairobi Kenya
@mickyvlogs634
@mickyvlogs634 5 ай бұрын
Yesu wewe nintegemeo langu🙏🏼
@elizabethsalingwa7404
@elizabethsalingwa7404 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sanaa mtumishi....
@mandeladuwe7747
@mandeladuwe7747 6 ай бұрын
Wat a blessing i got 4m this massage God bless u Dr kimaro man of God
@angelalaizer3762
@angelalaizer3762 Жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu. Mwenyenzi Mungu azidi kukulinda nakukuinua viwango vingine uendelee kutufundisha neno lake.
@magrathmichael7475
@magrathmichael7475 2 жыл бұрын
Pastor eliona mi nikushukuru kwa somo lako na mafundisho kutoka madhabahuni.nimekupata vzr kutoka Nairobi Kenya
@leahmollel6589
@leahmollel6589 2 жыл бұрын
Hakika ujumbe mzito huu! Dhambi unayoifanya ofisini au kazini inaingia nyumbani! Mungu utusaidie tuweze kufikiri sawasawa🙏
@christinasanga9709
@christinasanga9709 2 жыл бұрын
Katika watumishi ambao sijawahi kuwasikiliza nikakosa massege ni wewe Mchungaji Kimaro kwa kweli Baba Mungu akutunze
@jofreychristian1593
@jofreychristian1593 2 жыл бұрын
Amina sana
@danstansilanda5420
@danstansilanda5420 Жыл бұрын
Dastan, Rwanda. What a good teaching. Stay blessed.
@demicratia4071
@demicratia4071 2 жыл бұрын
Eee Mungu Haya mahubiri yameniingia rohoni sijawahi kujuta kama Leo Mwenyezi Mungu Tusamehe sisi wanao Rev Kimaro nakupata kutoka London KWA KWELI UNAJUA KUHUBIRI
@omegamongi2654
@omegamongi2654 Жыл бұрын
Mungu anakutumia sana Mtumishi na watu wengi wanaponya.
@esthermashauri441
@esthermashauri441 Жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi kwa mafundisho ya neno la Mungu
@joycemlimba4926
@joycemlimba4926 2 жыл бұрын
Amina mtumishi kwa mafundisho mazuri mno
@mashauriparapara4173
@mashauriparapara4173 2 жыл бұрын
Napenda Sana mahubiri yako baba Mungu azidi kukuinua
@dativapatrice9289
@dativapatrice9289 19 күн бұрын
Amina sana mchungaji
@epimackmbeteni8806
@epimackmbeteni8806 3 ай бұрын
Mungo akubariki sana mchungaji
@JacoboKitunda
@JacoboKitunda Жыл бұрын
nayapenda sana mafundisho yako mungu akutunze Dk kimaro
@paulomagodya6467
@paulomagodya6467 Жыл бұрын
Hakika Mungu azidi kukuinua viwango vya juu ktk utumishi wako!
@elizabethmuia9839
@elizabethmuia9839 2 жыл бұрын
Very true pastor
@jeniphajeremiah8008
@jeniphajeremiah8008 9 ай бұрын
Uwiiiii mungu tusamehe
@magrethhaule-wy4jh
@magrethhaule-wy4jh Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@miraclegospel3527
@miraclegospel3527 2 ай бұрын
I'm blessed 😅
@ney0015
@ney0015 2 жыл бұрын
Ubarikiwe Mchungaji unanibariki
@Paschalkahema-qb3em
@Paschalkahema-qb3em Жыл бұрын
Barikiwa sana Baba
@MichaelMpangala-tr3gf
@MichaelMpangala-tr3gf Жыл бұрын
nimebarikiwa,nimejifunza namna bora ya kufikiria
@AkoKabanga
@AkoKabanga 11 ай бұрын
Amina
@gracedamas5883
@gracedamas5883 2 жыл бұрын
Nabarikiwa sana
@bryasonlaizer
@bryasonlaizer Жыл бұрын
Barikiwaaaa mchungaji
@adrophinasalvatory
@adrophinasalvatory 3 ай бұрын
Amen Amen
@MargaretVihenda-c4h
@MargaretVihenda-c4h 7 ай бұрын
Amen
@ShigiHunju
@ShigiHunju Жыл бұрын
🙏🙏
@alicekatana1429
@alicekatana1429 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@annakadege8160
@annakadege8160 2 жыл бұрын
Amina baba
@jamesmasome359
@jamesmasome359 2 жыл бұрын
Nimekuelewa...
@estheriluta2482
@estheriluta2482 2 жыл бұрын
Ivi najiuliza watu wazima wanao fanya dhambi kila siku watasamehewa kweli, maana ata ulifanya dhambi ukiwa mtoto afu ukaokoka "utailipia tu"" Mungu awapatilishie maovu yao wayatendao sio watoto
@janembalinga7074
@janembalinga7074 2 жыл бұрын
Mungu wetu ni warehema anasamehe na anasahau
@augustinenjakusi4544
@augustinenjakusi4544 2 жыл бұрын
God is great good message🙏🙏🙏🙏🙏
@jamesmasome359
@jamesmasome359 2 жыл бұрын
Maneno yako yananikumbusha JPM rip.
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 2 жыл бұрын
CLINTON NA MONICA LAWSKY! DAUDI NA MKE WA URIAH! DUNIANI HAPATOSHI TUNAVIACHA TUOMBEANE MEMA! DHAMBI SIO STAREHE!
@augustinocharles3732
@augustinocharles3732 Жыл бұрын
Binafsi nilikuwa sikujui,nilipoanza kukusikiliza nimegundua kuwa wewe nimtu makini sana.Mungu akubariki. Falsafa nimtazamo wa mtu kwanini iwe ofense
@MgayaFrank
@MgayaFrank 24 күн бұрын
Kumbe watawala wasio wazalendo walikuepo tokea zamani, somo zuri juu ya nchi yetu kama mtawala anamasikio naasikie kama anajiita chura kiziwi upanga hautatoka nyumbani mwake
@demicratia4071
@demicratia4071 2 жыл бұрын
Tunafundishwa kuwa watu wema na tusimuonee mtu maana malipo ni hapahapa duniani
@jeremiaisowe4443
@jeremiaisowe4443 Ай бұрын
Dhambi siyo stareheee😭😭😭😭
@soberkaleya5148
@soberkaleya5148 2 жыл бұрын
Zaburi 100: 1 Mfanyieni Bwana shangwe, dunia yote; 2 Mtumikieni Bwana kwa furaha; Njoni mbele zake kwa kuimba; 3 Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu; Ndiye aliyetuumba... 4 Ingieni malangoni mwake kwa kushukuru; Nyuani mwake kwa kusifu; Mshukuruni, lihimidini jina lake; 5 Kwa kuwa Bwana ndiye mwema; Rehema zake ni za milele; Na uaminifu wake vizazi na vizazi. *TWENDE MBELE ZA MUNGU WETU KWA SIFA NA SHUKRANI!! KAMA SIO YEYE HATUNGEFIKA HAPA TULIPO, HALELUYA!!!*
@paulinaswalehe5298
@paulinaswalehe5298 2 жыл бұрын
Kuua so
@mashauriparapara4173
@mashauriparapara4173 2 жыл бұрын
Napenda Sana mahubiri yako baba Mungu azidi kukuinua
@joycemalima2790
@joycemalima2790 Жыл бұрын
Mungu akutunze sana Pastor!
@kristensiamartin9114
@kristensiamartin9114 Жыл бұрын
Nimebarikiwa sana
@MichaelMpangala-tr3gf
@MichaelMpangala-tr3gf Жыл бұрын
nimebarikiwa,nimejifunza namna bora ya kufikiria
@janeisaac4530
@janeisaac4530 2 жыл бұрын
🙏🙏
@veilasharu2162
@veilasharu2162 2 жыл бұрын
Amen
Ni Majira Yaliyorekebishwa | Huu ni Wakati Wako | Rev. Dr. Eliona Kimaro
13:33
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 2,2 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: SHAMBULIO LA KUSUDI LA KUWEPO KATIKA MAISHA YAKO
34:44
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 6 М.
Миллионер | 1 - серия
34:31
Million Show
Рет қаралды 2,3 МЛН
Do you choose Inside Out 2 or The Amazing World of Gumball? 🤔
00:19
Padre Dkt Faustine Kamugisha: "Tatizo sio Muda"/ Sali sala za mishale
47:52
REV. DR. ELIONA KIMARO: UTULIVU NA TABASAMU LA ESTA
13:26
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 20 М.
KISA CHA  FUKARA OMBAOMBA ALIYEPIGWA NA TAJIRI// SHEIKH OTHMAN MAALIM
9:28
REV. DR. ELIONA KIMARO: USHUHUDA WANGU NILIPOKUWA ARUSHA
11:59
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 64 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: USHENZI WA PROFESA KWA WANAFUNZI WA KIKE CHUO KIKUU
11:33
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 61 М.
HARUSI YA MTOTO WA MCH ELIONA KIMARO WA KIJITONYAMA DAR
9:16
Mc Kaka Mtumishi
Рет қаралды 235 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: NIDHAMU NI HATIMA/NIDHAMU KAMA DARAJA
41:32
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 10 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: JIEPUSHE NA KIGEUGEU
1:02:03
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 17 М.
Миллионер | 1 - серия
34:31
Million Show
Рет қаралды 2,3 МЛН