Always following you from Washington DC nakupenda Bure mtumishi. Nikita Dareslaam January nitakutafuta nikusalimie katika jina la Yesu kristo.
@dorothtobias8053 Жыл бұрын
Mchungaji KIMARO nakuelewa Sana tunaomba uwe na makongamano Live mikoani. Mungu AKUPE ufunuo Huo.
@gabrielinterschool35392 жыл бұрын
Mungu ni mwema anakutumia Kwa kutuokoa sisi wenye shingo nguma Ameen
@kelvinmwando-f2e6 ай бұрын
Ubarikiwe baba wa kiroho kwa mafundisho mazuri nakupata vizuri sana nipo zambia
@rezegerezege6912 жыл бұрын
Barikiwa sana Daddy nakupata hapa OMAN.
@Madam2552 жыл бұрын
Ubarikiwe sanaa Baba Kwa mafundsho mazuri nakupata nikiwa Nairobi Kenya
@mickyvlogs6345 ай бұрын
Yesu wewe nintegemeo langu🙏🏼
@elizabethsalingwa74042 жыл бұрын
Mungu akubariki sanaa mtumishi....
@mandeladuwe77476 ай бұрын
Wat a blessing i got 4m this massage God bless u Dr kimaro man of God
@angelalaizer3762 Жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu. Mwenyenzi Mungu azidi kukulinda nakukuinua viwango vingine uendelee kutufundisha neno lake.
@magrathmichael74752 жыл бұрын
Pastor eliona mi nikushukuru kwa somo lako na mafundisho kutoka madhabahuni.nimekupata vzr kutoka Nairobi Kenya
@leahmollel65892 жыл бұрын
Hakika ujumbe mzito huu! Dhambi unayoifanya ofisini au kazini inaingia nyumbani! Mungu utusaidie tuweze kufikiri sawasawa🙏
@christinasanga97092 жыл бұрын
Katika watumishi ambao sijawahi kuwasikiliza nikakosa massege ni wewe Mchungaji Kimaro kwa kweli Baba Mungu akutunze
@jofreychristian15932 жыл бұрын
Amina sana
@danstansilanda5420 Жыл бұрын
Dastan, Rwanda. What a good teaching. Stay blessed.
@demicratia40712 жыл бұрын
Eee Mungu Haya mahubiri yameniingia rohoni sijawahi kujuta kama Leo Mwenyezi Mungu Tusamehe sisi wanao Rev Kimaro nakupata kutoka London KWA KWELI UNAJUA KUHUBIRI
@omegamongi2654 Жыл бұрын
Mungu anakutumia sana Mtumishi na watu wengi wanaponya.
@esthermashauri441 Жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi kwa mafundisho ya neno la Mungu
@joycemlimba49262 жыл бұрын
Amina mtumishi kwa mafundisho mazuri mno
@mashauriparapara41732 жыл бұрын
Napenda Sana mahubiri yako baba Mungu azidi kukuinua
@dativapatrice928919 күн бұрын
Amina sana mchungaji
@epimackmbeteni88063 ай бұрын
Mungo akubariki sana mchungaji
@JacoboKitunda Жыл бұрын
nayapenda sana mafundisho yako mungu akutunze Dk kimaro
@paulomagodya6467 Жыл бұрын
Hakika Mungu azidi kukuinua viwango vya juu ktk utumishi wako!
@elizabethmuia98392 жыл бұрын
Very true pastor
@jeniphajeremiah80089 ай бұрын
Uwiiiii mungu tusamehe
@magrethhaule-wy4jh Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@miraclegospel35272 ай бұрын
I'm blessed 😅
@ney00152 жыл бұрын
Ubarikiwe Mchungaji unanibariki
@Paschalkahema-qb3em Жыл бұрын
Barikiwa sana Baba
@MichaelMpangala-tr3gf Жыл бұрын
nimebarikiwa,nimejifunza namna bora ya kufikiria
@AkoKabanga11 ай бұрын
Amina
@gracedamas58832 жыл бұрын
Nabarikiwa sana
@bryasonlaizer Жыл бұрын
Barikiwaaaa mchungaji
@adrophinasalvatory3 ай бұрын
Amen Amen
@MargaretVihenda-c4h7 ай бұрын
Amen
@ShigiHunju Жыл бұрын
🙏🙏
@alicekatana14292 жыл бұрын
Kweli kabisa
@annakadege81602 жыл бұрын
Amina baba
@jamesmasome3592 жыл бұрын
Nimekuelewa...
@estheriluta24822 жыл бұрын
Ivi najiuliza watu wazima wanao fanya dhambi kila siku watasamehewa kweli, maana ata ulifanya dhambi ukiwa mtoto afu ukaokoka "utailipia tu"" Mungu awapatilishie maovu yao wayatendao sio watoto
@janembalinga70742 жыл бұрын
Mungu wetu ni warehema anasamehe na anasahau
@augustinenjakusi45442 жыл бұрын
God is great good message🙏🙏🙏🙏🙏
@jamesmasome3592 жыл бұрын
Maneno yako yananikumbusha JPM rip.
@rahabnkya82762 жыл бұрын
CLINTON NA MONICA LAWSKY! DAUDI NA MKE WA URIAH! DUNIANI HAPATOSHI TUNAVIACHA TUOMBEANE MEMA! DHAMBI SIO STAREHE!
@augustinocharles3732 Жыл бұрын
Binafsi nilikuwa sikujui,nilipoanza kukusikiliza nimegundua kuwa wewe nimtu makini sana.Mungu akubariki. Falsafa nimtazamo wa mtu kwanini iwe ofense
@MgayaFrank24 күн бұрын
Kumbe watawala wasio wazalendo walikuepo tokea zamani, somo zuri juu ya nchi yetu kama mtawala anamasikio naasikie kama anajiita chura kiziwi upanga hautatoka nyumbani mwake
@demicratia40712 жыл бұрын
Tunafundishwa kuwa watu wema na tusimuonee mtu maana malipo ni hapahapa duniani
@jeremiaisowe4443Ай бұрын
Dhambi siyo stareheee😭😭😭😭
@soberkaleya51482 жыл бұрын
Zaburi 100: 1 Mfanyieni Bwana shangwe, dunia yote; 2 Mtumikieni Bwana kwa furaha; Njoni mbele zake kwa kuimba; 3 Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu; Ndiye aliyetuumba... 4 Ingieni malangoni mwake kwa kushukuru; Nyuani mwake kwa kusifu; Mshukuruni, lihimidini jina lake; 5 Kwa kuwa Bwana ndiye mwema; Rehema zake ni za milele; Na uaminifu wake vizazi na vizazi. *TWENDE MBELE ZA MUNGU WETU KWA SIFA NA SHUKRANI!! KAMA SIO YEYE HATUNGEFIKA HAPA TULIPO, HALELUYA!!!*
@paulinaswalehe52982 жыл бұрын
Kuua so
@mashauriparapara41732 жыл бұрын
Napenda Sana mahubiri yako baba Mungu azidi kukuinua