Yesu alimwambia Thomas mwenye mashaka heri mtu yule anaeamini na hajaona, Thomas alimuona Yesu na alijua atakufa na kufufuka na hakuamini bado kama Yesu kweli kafufuka mpaka alipomshika na alama za misumari, mimi nimemuona Yesu, nimemuona Mungu kwenye maisha yangu, Naamini!!!
@geofreytimoth80842 жыл бұрын
Mungu akuzidishiye nguvu tunabarikiwa na mafunzo baba.
@faustinahugo96212 жыл бұрын
Mungu akubariki mchungaji 🙏🙏 unachosema nasikia 😭 Mungu utuokoe na yule mwovu 🙏
@edwardpeter85692 жыл бұрын
Good lesson, goes around comes around, tuwe makini kwa nafasi zetu.
@amoogaza68252 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho
@siphaelmbise31752 жыл бұрын
barikiwa sana mchungaji ni kweli apandacho mtu ndicho atakachovuna
@tinnahagustinolyelu42472 жыл бұрын
Mungu akubariki baba. Umenifunza jambo
@esmilykipele40082 жыл бұрын
What??? I need grace here to forgive such a man . Hapa nahitaji ombi hilo mchungaji Niokolewe na yule muovu🙏🙏
@macklinakabyazi30362 жыл бұрын
Napenda mifano YA huyu mtumishi wa Mungu.
@timothymoshi5800 Жыл бұрын
Ndugu yangu Macklina, hii Siyo mifano. Ni ushuhuda. Ni Mambo halisi yaliyotokea.
@macklinakabyazi3036 Жыл бұрын
@@timothymoshi5800 hapo ndo nilikosea kunyoosha maelezo ndugu yangu
@audaxbizimana80842 жыл бұрын
Mungu atusaidie Vyeo hivi na lecturers wetu kwa kweli inatia uchungu
@JaclineMtunge10 ай бұрын
Mungu akubariki mchungaji 🙏🙏🙏
@salimharrasy70472 жыл бұрын
Asante kwa kisa hivhi amvacho kina mafundisho mazuri.
@zawadipaul4857 Жыл бұрын
Bwana Yesu kumbuka rehema, uovu wa Wazazi usiwapate watoto 🙏
@juslenkavira69612 жыл бұрын
Ubarikiwe baba yangu kwa mafudisho Mungu azidi kukubariki na akupe mwisho muzuri 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@paulsabe39172 жыл бұрын
Mimi huwa nashangaa sana.Mama mkaanga mihogo hana chochote;Watoto wake wanakuwa profesa.Lakini profesa anashindwa kurise hata mtoto mmoja kuwa profesa.Kumbe haya mambo yanachangia.Mungu atunusuru na haya maovu.
@richhaule92642 жыл бұрын
Sometimes wanakuwaga maprofesa ila kwakutumia nguvu ya pesa zaid
@tinasteve51812 жыл бұрын
Uuuuuuiiiiii 🙌🙌🙌🙌😭😭😭😭😭 ya duniani naogopa sana
@neemalaurent9836 Жыл бұрын
Amina,barikiwa sana
@gideonking54042 жыл бұрын
Nakupenda Mtu wa MUNGU 🙏
@davidkawesa35944 ай бұрын
Mungu aturehemu sana dhambi ya baba ni kiboko
@heriethinnocent32832 жыл бұрын
Ni kweli kabisa baba.
@andersonmtui40942 жыл бұрын
January mkobogo wa chuo cha iringa @Tumaini ndio tabia zake kuwafelisha watoto wakike wa chuo cha tumaini iringa nakuwaapia hawawezi faulu yupo rafiki angu alifelishwa kwenda kumuuliza kwanini akamwambia anaenda dodoma kwahiyo hamfuate akamrekebishie dodoma matokeo yake kaenda kulala nae dodoma ndio akambadilishia matokeo na huwa anawaambiaga kabisa mtafeli
@noorbazaar9063 Жыл бұрын
😤😤😤
@Carcrycal952 жыл бұрын
Aise huu ujumbe sio wa kawaida. Mungu arehemu kizazi chetu
@mwanzajosephine4682 жыл бұрын
Hakika Mungu aturehemu mno mno mno.
@Carcrycal952 жыл бұрын
@@mwanzajosephine468 hakikisha kila unapofungua kinywa chako kuwasiliana (kuomba) Kwa Mungu Baba Kama umejaliwa watoto ombea sana watoto wako, ndoa ila zaidi ambea watoto wa jilani marafiki na jamaa maana kadri unapoombea wengine ndivyo Mungu anatenda kwako.
@mwanzajosephine4682 жыл бұрын
@@Carcrycal95 Amina Roho mtakatifu anikumbushe kila iitwa po leo barikiwe mno.