REV. DR. ELIONA KIMARO: USHENZI WA PROFESA KWA WANAFUNZI WA KIKE CHUO KIKUU

  Рет қаралды 61,962

Rev. Dr. Eliona Kimaro

Rev. Dr. Eliona Kimaro

Күн бұрын

Пікірлер: 55
@nangatv9218
@nangatv9218 2 жыл бұрын
Yesu alimwambia Thomas mwenye mashaka heri mtu yule anaeamini na hajaona, Thomas alimuona Yesu na alijua atakufa na kufufuka na hakuamini bado kama Yesu kweli kafufuka mpaka alipomshika na alama za misumari, mimi nimemuona Yesu, nimemuona Mungu kwenye maisha yangu, Naamini!!!
@geofreytimoth8084
@geofreytimoth8084 2 жыл бұрын
Mungu akuzidishiye nguvu tunabarikiwa na mafunzo baba.
@faustinahugo9621
@faustinahugo9621 2 жыл бұрын
Mungu akubariki mchungaji 🙏🙏 unachosema nasikia 😭 Mungu utuokoe na yule mwovu 🙏
@edwardpeter8569
@edwardpeter8569 2 жыл бұрын
Good lesson, goes around comes around, tuwe makini kwa nafasi zetu.
@amoogaza6825
@amoogaza6825 2 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho
@siphaelmbise3175
@siphaelmbise3175 2 жыл бұрын
barikiwa sana mchungaji ni kweli apandacho mtu ndicho atakachovuna
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 2 жыл бұрын
Mungu akubariki baba. Umenifunza jambo
@esmilykipele4008
@esmilykipele4008 2 жыл бұрын
What??? I need grace here to forgive such a man . Hapa nahitaji ombi hilo mchungaji Niokolewe na yule muovu🙏🙏
@macklinakabyazi3036
@macklinakabyazi3036 2 жыл бұрын
Napenda mifano YA huyu mtumishi wa Mungu.
@timothymoshi5800
@timothymoshi5800 Жыл бұрын
Ndugu yangu Macklina, hii Siyo mifano. Ni ushuhuda. Ni Mambo halisi yaliyotokea.
@macklinakabyazi3036
@macklinakabyazi3036 Жыл бұрын
@@timothymoshi5800 hapo ndo nilikosea kunyoosha maelezo ndugu yangu
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 2 жыл бұрын
Mungu atusaidie Vyeo hivi na lecturers wetu kwa kweli inatia uchungu
@JaclineMtunge
@JaclineMtunge 10 ай бұрын
Mungu akubariki mchungaji 🙏🙏🙏
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 2 жыл бұрын
Asante kwa kisa hivhi amvacho kina mafundisho mazuri.
@zawadipaul4857
@zawadipaul4857 Жыл бұрын
Bwana Yesu kumbuka rehema, uovu wa Wazazi usiwapate watoto 🙏
@juslenkavira6961
@juslenkavira6961 2 жыл бұрын
Ubarikiwe baba yangu kwa mafudisho Mungu azidi kukubariki na akupe mwisho muzuri 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@paulsabe3917
@paulsabe3917 2 жыл бұрын
Mimi huwa nashangaa sana.Mama mkaanga mihogo hana chochote;Watoto wake wanakuwa profesa.Lakini profesa anashindwa kurise hata mtoto mmoja kuwa profesa.Kumbe haya mambo yanachangia.Mungu atunusuru na haya maovu.
@richhaule9264
@richhaule9264 2 жыл бұрын
Sometimes wanakuwaga maprofesa ila kwakutumia nguvu ya pesa zaid
@tinasteve5181
@tinasteve5181 2 жыл бұрын
Uuuuuuiiiiii 🙌🙌🙌🙌😭😭😭😭😭 ya duniani naogopa sana
@neemalaurent9836
@neemalaurent9836 Жыл бұрын
Amina,barikiwa sana
@gideonking5404
@gideonking5404 2 жыл бұрын
Nakupenda Mtu wa MUNGU 🙏
@davidkawesa3594
@davidkawesa3594 4 ай бұрын
Mungu aturehemu sana dhambi ya baba ni kiboko
@heriethinnocent3283
@heriethinnocent3283 2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa baba.
@andersonmtui4094
@andersonmtui4094 2 жыл бұрын
January mkobogo wa chuo cha iringa @Tumaini ndio tabia zake kuwafelisha watoto wakike wa chuo cha tumaini iringa nakuwaapia hawawezi faulu yupo rafiki angu alifelishwa kwenda kumuuliza kwanini akamwambia anaenda dodoma kwahiyo hamfuate akamrekebishie dodoma matokeo yake kaenda kulala nae dodoma ndio akambadilishia matokeo na huwa anawaambiaga kabisa mtafeli
@noorbazaar9063
@noorbazaar9063 Жыл бұрын
😤😤😤
@Carcrycal95
@Carcrycal95 2 жыл бұрын
Aise huu ujumbe sio wa kawaida. Mungu arehemu kizazi chetu
@mwanzajosephine468
@mwanzajosephine468 2 жыл бұрын
Hakika Mungu aturehemu mno mno mno.
@Carcrycal95
@Carcrycal95 2 жыл бұрын
@@mwanzajosephine468 hakikisha kila unapofungua kinywa chako kuwasiliana (kuomba) Kwa Mungu Baba Kama umejaliwa watoto ombea sana watoto wako, ndoa ila zaidi ambea watoto wa jilani marafiki na jamaa maana kadri unapoombea wengine ndivyo Mungu anatenda kwako.
@mwanzajosephine468
@mwanzajosephine468 2 жыл бұрын
@@Carcrycal95 Amina Roho mtakatifu anikumbushe kila iitwa po leo barikiwe mno.
@InocentStanley
@InocentStanley 11 ай бұрын
Naomba namba Yako nataka nikutafutie uliko nishiliki mkutano
@rahelmyombo9874
@rahelmyombo9874 2 жыл бұрын
Hadi natetemeka Yesu tusaidie 😢
@gracekasambala4712
@gracekasambala4712 2 жыл бұрын
Barikiwa kwa mafundisho ya ukweli
@jacquelinesemu1347
@jacquelinesemu1347 2 жыл бұрын
Watoto wanateseka kwa dhambi za wazazi wao.
@bensonogindo8963
@bensonogindo8963 Жыл бұрын
Sacrifice haikua kwa watoto hawa facility is hoja ni aliwai kuwavunjia matabahu ya barrier
@nangatv9218
@nangatv9218 2 жыл бұрын
Na huyo mama nae kama hujamuhoji nae anayake mengi amefanya kwa watoto wa wenzie...Mungu analipa hapa hapa duniani
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 2 жыл бұрын
MUNGU UTUOKOE WATU WAKO DHIDI YA NJAMA ZOTE ZA MWOVU.
@gloryabdulhassan7100
@gloryabdulhassan7100 2 жыл бұрын
Mwenye sikio na asikie roho asema na kanisa
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 2 жыл бұрын
BABA usiwatie majaribu watoto wetu bali uwaokoe na yule muovu
@brysonuronu5862
@brysonuronu5862 Жыл бұрын
Yaani mpaka unajiuliza useme Nini ...aisee ni ngumu sana sana ..Mungu tu atusaidie
@monicakimati4619
@monicakimati4619 2 жыл бұрын
Maombolezo 5:7
@lilianmyinga4578
@lilianmyinga4578 2 жыл бұрын
Yesu wa Nazareth tureheme! maana wewe ni mungu wa kuogopwa, unajibu maombi kwa majira na wakati umurehemu mtu huyu
@swailaurence2108
@swailaurence2108 Жыл бұрын
Asante Mtumishi, huu Ni ukweli mtupu. Mungu tunusuru Baba!!
@daudimichael7338
@daudimichael7338 2 жыл бұрын
Wali disco, siyo ku suprimentaly !!??
@goblessjrtz5464
@goblessjrtz5464 2 жыл бұрын
Disco means Discontinue (kuachishwa) and suprimentary (kurudia mtihan)
@heavenlight5084
@heavenlight5084 2 жыл бұрын
MUNGU tusaidie na watoto Wetu
@amaninoi1959
@amaninoi1959 2 жыл бұрын
... usitutie majaribuni bali utuokoe na yule mwovu ...
@salomemuasya2331
@salomemuasya2331 2 жыл бұрын
fuzo kuu
@elardurasa2025
@elardurasa2025 Жыл бұрын
Kuna demu namuona hapo muuza k mpaka nimeshangaa
@dodwiedwin3944
@dodwiedwin3944 Жыл бұрын
Aisee unachekesha, unauzia wapi k?
@dodwiedwin3944
@dodwiedwin3944 Жыл бұрын
Anauzia wapi k?
@piusphilip307
@piusphilip307 Жыл бұрын
,😆😆anaweza kutuitia huyo prof. Kuja kutoa ushuhuda, "imaginary story"
@amoogaza6825
@amoogaza6825 2 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho
@magdalenannko7012
@magdalenannko7012 2 жыл бұрын
Mungu atuhurumie
@anesikisongela6721
@anesikisongela6721 2 жыл бұрын
Duuuh
@bensonogindo8963
@bensonogindo8963 Жыл бұрын
Sacrifice haikua kwa watoto hawa facility is hoja ni aliwai kuwavunjia matabahu ya barrier
UKITAKA KUFANIKIWA KWENYE MAISHA  BADILISHA MTAZAMO WAKO
5:09
Pastor Daniel Mgogo
Рет қаралды 71 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: MALEZI MABOVU YANAVYOWAHARIBU WATOTO SIKU HIZI
13:20
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 164 М.
Миллионер | 1 - серия
34:31
Million Show
Рет қаралды 2,3 МЛН
The selfish The Joker was taught a lesson by Officer Rabbit. #funny #supersiblings
00:12
Как мы играем в игры 😂
00:20
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,3 МЛН
REV. DR. ELIONA KIMARO: USHUHUDA WA ALIYEENDA KUOGESHWA KWA MGANGA MTO MALAGALASI
12:34
Kisa Cha Mama Mkwe Kuitwa Mchawi | USHUHUDA | Rev. Dr. Eliona Kimaro
10:39
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 19 М.
JINSI  YA KUMILIKI UNACHOKITAKA.
38:48
Apostle Mtalemwa Bushiri
Рет қаралды 64 М.
TAZAMA JINSI NABII HUYU ALIVYOFUNGUA VIFUNGO VYA WATU HAWA
13:24
COVENANT HOME TV
Рет қаралды 9 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: KISA CHA DAUDI CHA KUMCHUKUA BATHSHEBA MKE WA URIA
19:16
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 61 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: KUISHI KESHO I
32:34
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 22 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: FULFILL YOUR CALLING ( Masanja)
40:49
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 130 М.
USHUHUDA | Siri ya Mafanikio ni Kutokata Tamaa
11:57
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 20 М.