Mtumishi kimaro ana watoto wengi sana Hongera mchungaji kidago
@beatricepallangyo28212 жыл бұрын
Bwana Yesu Awabariki sana Mchungaji Kindago na Bibi Harusi . Mchungaji Dr. Kimaro na Mama Mbarikiwe sana
@rosemsele80122 жыл бұрын
Honger san mmenikee kushika shela anashindw kujiachia
@aidashukuru53352 жыл бұрын
Wooooh Hongera kwao pia HONGERA kwa baba mchungaji KIMARO kwa kuozesha Mungu ampe baraka zote binti yako katika maish yake ya ndoa hakika ilipendez sna MBARIKIWE
@honorathapaschal1523 Жыл бұрын
Hongera sana mch kimaro Umekuza mchungaji
@SporahEmmanuel-gc7lw Жыл бұрын
Waoo!! mungu awatangulie katika ndoa yen pia mkavumiliane na ndoa yen iwe mbingu ndog
@sophiamogitu5582 жыл бұрын
Hongereni sana, watumishi wa Mungu, Mungu awabariki sana mzae sana pia tuishi maisha marefu,na mpendeze sana
@phoebemmanga60472 жыл бұрын
Hongera sana Mch. Dr. Eliona kwa Harusi ya mtoto wako wa Kiroho Mch. Emmanuel Kidago. Mmependeza mno mno. MUNGU NI MWEMA awalinde. 👌👌👌👌👌🙏🙏🙏🙏🙏😍😍😍😍😍
@daughterofgod91852 жыл бұрын
Hongera sana Mchungaji Kidago kwa kupata msaidizi Mungu awabariki na kuwalinda ndoa yenu iwe ya amani na mafanikio🙏🏽
@hilgathjoshua88042 жыл бұрын
Hongera sana rev Emmanuel kidago❤💐🌷🌷
@phoebemmanga60472 жыл бұрын
Hongera sana Mch. Emmanuel Kidago kwa kuoa! Kweli Baba wa Kiroho hajazaa mapooza. Mmependeza mno mno MUNGU AIBARIKI NDOA YENU.👌👌👌👌🙏🙏🙏🙏🙏😍😍😍😍😍
@damariszuckschwert94892 жыл бұрын
Hata hajazaa mapooza🤣🤣🤣🤣huendi mbinguni
@MsAggie52 жыл бұрын
Hongera sana mchungaji Kindago kwa kuoa, mkeo mzuri unajua kuchagua 😂 Mungu awabariki muishi maisha mema yenye baraka zote. Hongera baba mtumishi mchungaji Kimaro kwa kuozesha
@crytonsijaona61642 жыл бұрын
Mbarikiwe wapendewa, mtangulizeni Bwana daima katika maisha yenu. 🙏🙏🙏
@p2p7002 жыл бұрын
Hongera Sana Mchungaji na Mama Mchungaji Kidago.Na iwe ndoa yenye Baraka zote za Mungu Katika Jina la Yesu. Looks Gucci👏👏
@mahewalekwasa2102 жыл бұрын
Hongera sana watumishi wa Mungu, mmependeza sana, Baba Mchungaji ni mnyenyekevu sana.
@user-hl4rw9xe3u2 жыл бұрын
Hongera mchg kidago mungu akutangulie katika maisha mapya
@rahabnkya82762 жыл бұрын
Saaaaaaf saaana ,kumbukumbu nzuri maishani . HALELUYAAA AAAAH hongera saaaaaana BWANA NA BIBI , MCHJ KINDAGHO. NIMEFURAHI PIA KUMWONA MCHJ DR ELIONA KIMARO KKKT KIJITONYAMA AKIONGOZA KWA MADAHA NA BASHASHA, WANAYE HAO WALIOOANA. IMEPENDEZA HIYO KWELIKWELI. BARIKIWA SAAAAAANA
@eutropiangido96842 жыл бұрын
Hongera mtumishi Mungu awabariki.
@gracealexander14502 жыл бұрын
Hongera sana MUNGU AWABARIKI SANA katika ndoa yenu
@heavenlight50842 жыл бұрын
Waooo! Hongera sana ma lovely dady
@sweetluc26602 жыл бұрын
Hongera Mchungaji kidago Hakika Mungu amekupa Mke mzuli
@consolatamedard6593 Жыл бұрын
Mtumish umejua kuchagua jaman hongra naamin yupo vizur adi rohoni Mungu awatunze
@zawadimeiyan6772 жыл бұрын
Hongera sana classmate, Julieth ngowi.....Adi humu umo.....umetishaaa
@bridgetmbawala10292 жыл бұрын
God bless this couple.
@sarahwawuda51642 жыл бұрын
Hongera sana mchungaji kidago Mungu aibariki ndoa yenu
@devothaignatus59112 жыл бұрын
Ahsante mchungaji Kimaro mungu aktunze
@rogersodero70422 жыл бұрын
Congrats Emmanuel kindago .
@prisca27742 жыл бұрын
Bibi harusi mzuri jamani! Hongera zao, matunda ya Roho Mtakatifu yakaonekane katika ndoa yao katika jina la Yesu!
Hongera Sana Rev huyu ndiyo Mungu mtoto wa kike na Baba Ila wakati umefika nampongeza sanaaa mdogo wangu naendelea kukuombea
@mariamundomba6870 Жыл бұрын
Mungu aidumishe ndoa yenu
@lightnesstemba17192 жыл бұрын
Hongera sana
@thabeamiage53762 жыл бұрын
All the best dear
@magdalenatuseko53942 жыл бұрын
Hongera Sana jamani mmependeza
@priscadanny26232 жыл бұрын
Wow! Mungu awe mtangulizi wenu kwa kila jambo🙏
@stanleymhozi7590 Жыл бұрын
Barikiwa
@Linda-lr1lu Жыл бұрын
Hao masai wamenoga👌
@edwinnyangweso53602 жыл бұрын
Love the way she dance the gospel song
@basilisamsaka84692 жыл бұрын
Mchungaji mgogo upooooooooo!!!
@annamulungu28762 жыл бұрын
imependeza sana ! ila nashangaa sana wanaoenda na watoto ukumbini tena usiku 😒
@vemchannel20182 жыл бұрын
Hongera
@jannyneto52612 жыл бұрын
MUNGU awatangulie.
@chiomanonso2742 жыл бұрын
Nimefurahi
@rosekimath2614 Жыл бұрын
Huyu mc ni msengeremaaa😏😏😏
@anicyaedward56052 жыл бұрын
Wooooh congratulations my best pastor ever ..
@minaelnathanael18462 жыл бұрын
Hongera sana binti wa Mchungaji kwa kuonesha mabinti mfano wa kuigwa
@joshuagole85282 жыл бұрын
Wahoooo jaman umetoa fundisho binti mzur
@andrewmwaliyenga77062 жыл бұрын
Juice ximepamba meza tu
@priscerjohn57882 жыл бұрын
Mbona wachaga tu,ndio wanaolewa jmn☺️☺️
@neemaneema99692 жыл бұрын
Nawaona na Kina Mama wa Kimasai
@edwinnyangweso53602 жыл бұрын
HARUSI SAFI
@happiefrancis88242 жыл бұрын
Hadi raha hongera baba binti hajakuaibjsha now wengi wanajipeleka sogea tuishi Mungu ni mwema
@soberkaleya51482 жыл бұрын
Marko 12: 13 Wakatuma kwake baadhi ya Mafarisayo na Maherodi, ili wamnase kwa maneno. *MANENO YOYOTE ADUI ANAYOTAKA KUTUNASA NAYO, TUNAYAFUTA, TUNAYAVUNJA, TUNAYAHARIBU, TUNAYATEKETEZA NA KUYAANGAMIZA KWA JINA KUU LA YESU!!! TUNATAMKA BARAKA, MAFANIKIO NA USHINDI MAISHANI MWETU DAIMA!!!*
@juliethobedi57462 жыл бұрын
Jamani Huyo Dada anaitwa julieth ngowi
@dorcaskidoti249 Жыл бұрын
Kumbe mabadri wa makanisa mengine huwa wanaruhusiwa kuowa?
@happynesskisamo2958 Жыл бұрын
Naomba kujua kama hao maids wanakodishwa????
@rahimaaaaa8699 Жыл бұрын
Mbona wadada weusi sioni kuolewa ?
@floranceh53332 жыл бұрын
💋💋💞😘😘🇰🇪
@estherwilliam37582 жыл бұрын
Very nice❤️❤️❤️
@marymashina78882 жыл бұрын
Mtoto wa Mchungaji ni kijana sio binti naye pia ni Mchungaji. Ni ktk wale watoto wake aliowalea
@dorcaskidoti249 Жыл бұрын
Jmn mm nimeuliza huyu Dr kimaro ni badri au mchungajii? Najuwa mapadri hawaoi kumbe ni mtt alie mlea?
@ellyrwezaula8862 жыл бұрын
Huyo mchungaji mbona anakatika sana jamani
@miriamalute15402 жыл бұрын
Kakatika wapi jamani
@reubenmuganyizi8537 Жыл бұрын
Ahaaaaaa
@lynelee58462 жыл бұрын
Aiseee kupendwa rahaa💕🥰 hivi mmeona baba anavyomtazama mwanawe?? 😄😄😄
@rostalameck66402 жыл бұрын
Ehe nimeona
@happykisota94452 жыл бұрын
Nimeona daah!!
@MCShedo Жыл бұрын
Hii ilikuwa nzuri sana mtumishi
@vj83132 жыл бұрын
Ni mtoto wake kabisa? Au wa kiroho
@miriamalute15402 жыл бұрын
Mtoto wa kumlea
@andrewsam3642 жыл бұрын
Nauliza tu.Dada zetu bint zetu mama zetu bila kuchonga nyusi namarangi meng machon hampendez?mch.wetu kimaro hii imekaaje?
@robimgendi61472 жыл бұрын
Ni mazoea mabaya
@joycehaule97172 жыл бұрын
Wambea nyie kaeni kimya kwa jina la YESU ,
@hafsahussein5052 жыл бұрын
Niljua tu ni baba yangu hapendi makeup💄, kwa sababu ameshika sana dini...... Kumbe hadi baadhi ya wakristo hampendi pia
@robimgendi61472 жыл бұрын
@@joycehaule9717 we nawe sasa,,hivi jina la Yesu linatumika vile wewe unajiskia tu kulitumia. Kuwa na adabu basi,,mwenye harusi yake kajibu kistaarabu we unakurupuka tu 😏😏
@emmanuelbitulo31062 жыл бұрын
@@joycehaule9717 we nae chef
@olivermushi94052 жыл бұрын
Kiukweli harusi ni Baraka Ni Jambo jema ila kwa hii miondoko ya maharusi wa kizazi kipya ndg yangu!! Duuuh🤭 yani hata ile aibu hat ya unafk mbele ya wazazi na viongozi wa kiroho hakunaga,yni kama vile baadhi ya maharusi walishazoeana vile.
@hidayaswai31192 жыл бұрын
Aibu ya nini sasa km mmeamua kuliweka hadharani. Ulikuwaga ni unafki na ushambahata si aibu
@beatricepallangyo28212 жыл бұрын
Bwana Yesu Awabariki sana Mchungaji Kindago na Bibi Harusi . Mchungaji Dr. Kimaro na Mama Mbarikiwe sana
@mariamnimbo83942 жыл бұрын
Hongera sana Dr Mchungaji Kimaro. Mungu awabariki maharusi, ndoa yao izidi kubarikiwa.