Amina mchungaji nakuelewa sana Mungu akupe maisha marefu
@dadarehema Жыл бұрын
Yaani namwelewaga huyu pastor na mahubiri yake acha tuuu.Natamani awe anahubiri kila siku hapo.Mungu akuweke mtumishi wa Mungu E.Kimalo. Greetings from Sweden 🇸🇪🇸🇪🇸🇪🇸🇪🎤🎤🎤
@magrethnjema9402 Жыл бұрын
Mimi wambao nimewasili 2023. Wambaoooooooooooooooooooooo! Amani daima kwa njia zote.
@magrethnjema9402 Жыл бұрын
Ambao ya msalaba wa Yesu nimevuka na ninalitaja jina la Bwana wa majeshi
@elisaambise95024 ай бұрын
Amen
@marysymon4618 Жыл бұрын
Mungu akubariki mnoo mtumish maana mahubiri yako huwa yananibariki mno
@reystutaben4902 Жыл бұрын
Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu zaidi mtumishi Eliona Kimaro.
@phdmedia9517 Жыл бұрын
Kwa ujumbe huu, unapitishwa ktk kipimo cha Mungu kwa jaribu lako. Jipe moyo na ukumbuke na uuishi huu ujembe maana Kristo yuko pamoja na ww Rev. Kimaro
@hevenlightminja8032 Жыл бұрын
Amen nafarijika sana na mahubiri yako Rev ni kweli kabisa mwaka 2023 ni mwaka wa mbao umekuja
@mathayomungure9 ай бұрын
MUNGU akubariki sana baba,,
@chenhans8236 Жыл бұрын
2023 Kimaro wa Mbao
@dr.sarahosima8066 Жыл бұрын
Asante Baba Mchungaji Kwa NENO la uzima, Tunakuombea na tutakuombea daima Mungu akuzidishie maisha marefu na amani tele ktk Jina la Yesu Kristo
@janemwangangi7366 Жыл бұрын
Mungu akubariki Sana muchunganji, from canon Jane Mwangangi - kenya - Nairobi
@revinakashaka9554 Жыл бұрын
Nabarikiwa sana mahubiri yako ujumbe huu hakika bahari zilikutana lakini mbao zitanivusha kwa neema yake Yesu
@janemwakasege6460 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mch Kimaro kwa ujumbe wako umenigusa sana mnoo! Hakika kupitia ujumbe wa leo hakika Mwaka 2023 ninaamani mambo yangu yoote yamekuwa
@glorymoshi5133 Жыл бұрын
Wa mbaooo alililili lililiiiii
@doreenmoshi6062 Жыл бұрын
Wa mbao ninawasili ..
@journeywithjesus Жыл бұрын
Haswaaaa
@annajohnmlomi3238 Жыл бұрын
@@journeywithjesus Aaaamen Bwana azidi kukufunulia maisha wa kondoo wako.....oh umeniona tumishi.....
@annajohnmlomi3238 Жыл бұрын
@@journeywithjesus Aaamen
@adrenangao8096 Жыл бұрын
For sure ni mmja wa watu ambao mungu amepand kitu kikubw kwa ajili ya watu ...biblia inasema tii wenye mamlaka .....mungu akupe mlango wa kutokea na naamini mlango upo ata kabla ya tukio kutokea anasasbr saa ifke ..... lakin pia mungu aachilie aman ndan ya kansa ......maombi ni silaha..pekee ambayo mungu alituchia
@jenifamoshi1219 Жыл бұрын
Wa mbao Mungu ww waweza yote nivushe panapostahil bwana
@rumb5876 Жыл бұрын
AMEEEEN 🙏🏾 MIMI NI WA MBAO
@samwelinyaku3810 Жыл бұрын
Mungu atakuvusha Dad popote ulipo tupo
@annasiimapeter8955 Жыл бұрын
Wa mbao in the name of Jesus Christ.
@phdmedia9517 Жыл бұрын
Amina
@jenniferngwasi1368 Жыл бұрын
Ameeni nilibarikiwa sana na huu ujumbe MUNGU AKUBARIKI SANA PASTER
@shikumacharia2976 Жыл бұрын
Amen. Wa Mbao tunawasili
@johnhokaray6898 Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Much kimaro wewe ni mkweli kulingana na nyakati
@edithmwasulama7005 Жыл бұрын
Nipo hapa wa mbao wooow
@neemalaurent98365 күн бұрын
Upepo eulakino,uliikumba meli ya akina paulo
@agnessvicent6591 Жыл бұрын
Amen
@stellawilliam4794 Жыл бұрын
Amina kubwa
@esterjohn1332 Жыл бұрын
Amen in Jesus name.
@sararutonda2072 Жыл бұрын
Amen🙏
@berthajackson8261 Жыл бұрын
Ameen
@ndinagwemwakyambiki8521 Жыл бұрын
Ameni ameni.
@margretben6920 Жыл бұрын
Moyo wangu umejaa uchungu wa tufani mchungaji sina chakusema tufani inapasua merikebu ya moyo wangu sioni namna tena. Ila namuomba Mungu nikiinua kichwa nimuone yeye. Ni zaidi ya kilo moja yaani nimejaa.
@sindafetty8866 Жыл бұрын
MUNGU aonekane na roho mtakatifu akufariji na kukupa amani.
@jennytugara9470 Жыл бұрын
Mungu ni mwaminifu Dada Margaret na wakati wake sio wakati wetu. Hata mwokozi wetu alionja Siki. Atakupatia wepesi. Ngangana na pindo la Yesu usimwachie. Mungu akupatie Amani.
@annakbunga8377 Жыл бұрын
Nakuomba Sana umlilie Mungu achilia Moyo wako Kwa Mungu yataisha kama kulia Lia Sana ukimaliza jisamehee mwenyewe utakaa Sawa 🙏🤲
@edithmwasulama7005 Жыл бұрын
Pole mpenzi ni suala la muda tu shukuru kwa hayo asubuhi inakuja roho mtakatifu asikuache