Asante Mtumishi kwa Neno,nimebarikiwa,na nimeponywa
@Jackson-br2km11 ай бұрын
Africa will remain a beautiful place... Ugaibuni tabu sai baridi hakuna hata raha😢
@KanadeMrangu12 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢
@rahabnkya827611 ай бұрын
Mwaka wa kumi mfululizo. Mafungo ya siku 40! BARIKIWA MTUMISHI kwa kazi yako nzuri san.
@lilianmuchoki16597 ай бұрын
Mungu awe nawe wakati wote
@JUDITHAMONDI11 ай бұрын
Thank you servant of the most high, I believe that through the message i will never remain the same.
@felistermoshi58526 ай бұрын
Asante Mchungaji. Neno limenibariki sana. Ubarikiwe
@ShannyMstapha9 ай бұрын
Ameni nauona ukuu wa mungu mbele yangu
@lucresacareen83327 ай бұрын
Baba Mungu azidi kukutunza kwaajili ya vizaz vingi hakika nabarikiwa sana na wewe nipo kwenye msiba mzito wa kaka yangu nimeshinda nasikiliza mafundisho yako kwa muda wa siku tatu aisee nimemuona Mungu
@lucresacareen83327 ай бұрын
Mpaka naenda kuzika nasikiliza tuu ..naishi mbeya lakini mimi ni mkristo wako mwaminifu online ingawa mimi n moravian
@sylviaprotace824311 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@rahimajuma530610 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@doreentemba78333 ай бұрын
😇🙏🏿
@BarikiOsward11 ай бұрын
Mungu atuunganishe waumini wote katika mafungo haya❤
@rahabnkya827611 ай бұрын
Nkyoki kuketana yaa! Nkiki kuuta iha! AMEN BARIKIWA Baba yetu.
@beatricemsele484411 ай бұрын
Nashukuru Kwa mahubiri mazuri mnooo
@judithgodfrey650311 ай бұрын
Mndumii nar'umisho mbee. Kama Mungu hasikii maombi ya waliopoteza muelekeo ni nini kinawarudisha kwe mstari? Mwana mpotevu alirudi mwenyewe bila neema ya Ktisto? Je Mungu hakuona mateso yake ya kula na nguruwe na kumpa wazo la kurejea kwa baba yake? Inanitafakarisha Sana🙏
@esterstephen797811 ай бұрын
Amina
@perpetualugendo523011 ай бұрын
Njii kuketana iya?
@wamadenzatv417411 ай бұрын
Mchunga unauwez mzur wakufafanua vizur na kufundisha vizur
@lucianagodson43711 ай бұрын
Kabisa hicho kipaji Mungu amembarikia vzry
@amenaameeena331711 ай бұрын
Samahani mnakata mapema atuombewi pia baraka atupokei najuingamanisha nikiwa Oman