No video

SIKIA MIJITU ILIYOTEMBEA NA UPAKO, REV:MOSES MAGEMBE

  Рет қаралды 71,114

NY TV

NY TV

Күн бұрын

NYTV COMPANY.
Ni channel ya habari za Injili ,Mahubiri,Miziki ya Gospel na Mahojiano na watu maarufui kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani na nje ya Tanzania kupitia TWITTER, FACEBOOK, INSTAGRAM KZbin (@NYTV) na kwenye NYTV.CO.TZ

Пікірлер: 182
@JastFinancial02
@JastFinancial02 7 сағат бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Bwana Mungu aongeze viwango zaidi na zaidi
@ElimosariaMacha
@ElimosariaMacha 2 күн бұрын
Barikiwa baba yangu uishi miaka mingi yenye afya, baraka na amani
@EzekielCharles-j8x
@EzekielCharles-j8x Күн бұрын
Acha uchochezi t a g tunampenda Sana mzee waimani mosses magembe
@RachaelAmon
@RachaelAmon 15 сағат бұрын
Ameeen pastor magembe ww ni jembe la yesu
@johnmanase2874
@johnmanase2874 3 ай бұрын
Amen . Mchungaji anaongea kwa mamlaka hata vibwengo lazma viufyante... Barikiwa mtumishi wa Mungu , chapa kazi ya Mungu ulimwengu uokoke ktk Jina la Yesu
@IsakaKiyalo-s3v
@IsakaKiyalo-s3v Ай бұрын
Amina Amina napokea baraka kwa jina la yesu kupitia mahibiri haya in the mighty of the Jesus name
@enossimon6803
@enossimon6803 5 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe Mchungaji.fanya ziala uje kigoma maeneo ya Mnanila tunabarikiwa na huduma yako.uje baba tutapendezwa sana
@ema4968
@ema4968 3 ай бұрын
Karibu sana MWANZA mchungaji Magembe baraka kubwa sana kwa kizazi hiki
@estafuraha
@estafuraha 5 күн бұрын
Napokeya kwajina la yesu
@apostleemmanuelmabuga8148
@apostleemmanuelmabuga8148 5 ай бұрын
Hii sio tu kwa TAG hii ni UAMSHO kwa Mwili wa Kristo Tanzania nzima
@stevenhaule6786
@stevenhaule6786 3 ай бұрын
Nafuta naandika ubarikiwe sana mzee wangu kilichopo ndani Yako ni Cha Mungu wa kweli kabisa nakupenda sana mzee nakipenda kilichopo ndani Yako niombee baba ukisoma comment yangu nakupenda😭😭
@georgembwilo9960
@georgembwilo9960 24 күн бұрын
Amina Mzee magembe hiyo ndiyo injili tunayoitaka kwenye kanisa la leo la pentecoste
@mutabirwakashasha5428
@mutabirwakashasha5428 4 ай бұрын
Mchungaji Magembe Mungu akubariki sana hii nchi ingekuwa na hawa watu 33 tu pangechimbika
@luciasteven3314
@luciasteven3314 9 күн бұрын
Yn 33 weng sana was tu wangetosha
@user-ok4ng8st7g
@user-ok4ng8st7g 5 ай бұрын
Hallelujah,haka ka bibi Yesu akatunze kwa ajili ya ushuhuda
@tesnamwamwezi
@tesnamwamwezi 3 ай бұрын
Amin
@CosmasSimon-bp9nu
@CosmasSimon-bp9nu 4 ай бұрын
Naguswa sana na neno lake Mungu nisaidie niokoke kwerikweri
@essamwaitulo6339
@essamwaitulo6339 5 ай бұрын
Mungu akubariki sana baba yetu kwa injili na neno lenye nguvu za Mungu. Mungu akupe afya na siku tele ili kusudi la Mungu lifike kila mahali.
@RogersNyerere
@RogersNyerere Ай бұрын
❤❤❤ Yôoooooo MUNGU MUUMBAJI AWE NAWE past MAGEMBE TUNAKUSHUKURU
@FortunateAkaro
@FortunateAkaro 2 күн бұрын
🎉jamani wachungaji chukueni maamui ya kubadilika msiki huyu mzee acheni kutumika kistaarbu rudini pentekostekoste
@RachelMkumbo
@RachelMkumbo 3 ай бұрын
Barikiwa baba
@JohnJoel-ro7lc
@JohnJoel-ro7lc 5 ай бұрын
Ahsante YESU Kwa zawadi hiii katika kuujenga mwili wa krsto
@sijapendamatikiti3448
@sijapendamatikiti3448 5 ай бұрын
Ee Mungu nisaidie niwe muijilist nifanye watu wanafunzi wake.huu ujumbe umenitisha. Ee Mungu nifundishe.
@ollestedickson8966
@ollestedickson8966 3 ай бұрын
Barikiwa sana man of God Pastor Maghembe🙌
@dillisalum2384
@dillisalum2384 5 ай бұрын
Halleluya! Ninaomba mtusaidie kuya-share mafundisho kamili! Shalom
@jasonplayz4394
@jasonplayz4394 19 күн бұрын
Ehee Mungu nibadilishe na mimi
@mosesmbeke6137
@mosesmbeke6137 4 ай бұрын
HIZI NDO INJILI THABITI,BARIKIWA SN
@noelmasere1400
@noelmasere1400 5 ай бұрын
ubarikiwe sana baba mchungaji natamani sana nijuwe unapatikana wapi ili nije uniwekee mikono juu ya kichwa changu nahisi kuokoka
@willsontigiti8363
@willsontigiti8363 4 ай бұрын
Njoo ndg yangu heri wamutumainio bwana
@rabilubinza7661
@rabilubinza7661 4 ай бұрын
Injili isiyogushiwa ni tamu sanaaa.Amen Siogopi sirudi nyuma nakaza mwendo niifikie ile mede
@JumaMwangombe
@JumaMwangombe 5 ай бұрын
Amina mtumishi magembe Mungu akupe siku nyingi za kuishi
@janembanga1607
@janembanga1607 5 ай бұрын
Mungu atusaidie hii injili Moto kweli kweli turudi kwenye viwango
@matokeomwakibinga3344
@matokeomwakibinga3344 5 ай бұрын
Oooh my Load nisaidie mimi niwe hodari na moyo wa ushujaa 😢😢
@daikatorika9364
@daikatorika9364 Ай бұрын
Asante baba kwa mafundisho yenye nguvu za Roho
@smartmwakipesile3842
@smartmwakipesile3842 5 ай бұрын
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu
@kidainvestment7132
@kidainvestment7132 5 ай бұрын
Absolutely you Yes man of God 💯%
@user-kz4rq4uu8h
@user-kz4rq4uu8h Ай бұрын
Barikiwa baba Yesu wako nimemwelewa Aminaàaaaaaa
@janemuthui6130
@janemuthui6130 5 ай бұрын
Mchunganji tunahitaji hilo neno la kweli tufunguliwe na neno la Mungu Tafathali njo kwetu Kenya,Nakuru city
@user-yl8ht7pt6d
@user-yl8ht7pt6d 5 ай бұрын
Mungu wa mbingu atusaidie mm na familia yangu mume na watoto wangu tudirudi nyuma
@jasperjackson8871
@jasperjackson8871 5 ай бұрын
Baba yangu na Mungu wangu utusaidie tuweze kuelewa maneno haya mazito kutoka kwa baba yetu wa imani mchungaji Moses Magembe. Naomba tusaidie kuelewa eee Bwana wetu hili neno ambalo Roho Mtakatifu asema na kanisa lake.
@LajoiePascaline
@LajoiePascaline 4 ай бұрын
Amen, Mubarikiwe sana. Tume barikiwa kweli
@RogersNyerere
@RogersNyerere Ай бұрын
Amina Amina Amina Amina MUNGU akubariki
@costakihaga4744
@costakihaga4744 22 күн бұрын
Mungu simama na mchungaji huyu katika utume wake
@obedstaford8562
@obedstaford8562 5 ай бұрын
Amina baba hakika ijili ya kiwango sana hadi inaogopesha Mungu akubariki sana mchungaji turudi igale
@apostleemmanuelmabuga8148
@apostleemmanuelmabuga8148 5 ай бұрын
Barikiwa Saaana Magembe Rafiki yangu acha TAG wa kudharau sisi wa madhehebu mengine tunachukua mafundisho yako na tuna jaza makanisa TAG acheni uoga
@musaanthony8889
@musaanthony8889 5 ай бұрын
Mbona hapo ni kama yupo TAG au sijaona vizuri
@EdwinMbwilo-fj6bf
@EdwinMbwilo-fj6bf 5 ай бұрын
Tafiti kama hizi inatakiwa afanye askofu mkuu ili ajue pakuanzia, maana yule bibi anasema aliyeingia amevaa hereni, mikufu, shanga na bangili alikutana na Roho Mt na hawakuvaa tena, kanisa la leo hivyo vitu tumehalalisha na wachungaji hawaoni kama ni uovu. Watu wasuka, wanajikilimu, wanavaa mawigi na kujinakisha. Ninachomshukuru Bwana Yesu amemsaza ili ashuhudie japo wachungaji wetu hawana mpango naye bali wanaiamini thiolojia Sana.
@user-ic8od4el4c
@user-ic8od4el4c 5 ай бұрын
Mkuu mbona kama una muhemko hapo anafanya kazi ya TAG sasa wamemdharau vpi na yuko kamati kuu
@apostleemmanuelmabuga8148
@apostleemmanuelmabuga8148 5 ай бұрын
@@user-ic8od4el4c hii kauli ya kudharauliwa kailudia mwenyewe mala nyingi tu hatumuwekei maneno mdomoni
@juniorkamafa3391
@juniorkamafa3391 5 ай бұрын
Unatukosea
@rashidmtafya9075
@rashidmtafya9075 4 ай бұрын
Amina mtumishi wa mungu magembe mungu akutunze uziponye dini
@mboneamalaki5674
@mboneamalaki5674 5 ай бұрын
Mungu nisaidie
@user-px7zz3nq2p
@user-px7zz3nq2p 5 ай бұрын
Ubarikiwe mchungaji kiongozi wetu YESU KRISTO azidi kkuinua
@LucasBundala-uw6cw
@LucasBundala-uw6cw 3 ай бұрын
Ubarikiwe sana Baba nakuelewa msukuma mwezangu
@shedracklesudai95
@shedracklesudai95 4 ай бұрын
Nabarikiwa sana na mafundisho
@AbayumbebaRubavu
@AbayumbebaRubavu 3 ай бұрын
Naomba Namba ya Rev: Moss
@user-ol4zx7xd5q
@user-ol4zx7xd5q 4 ай бұрын
Amina Sana barikiwa Sana Sana mtumishi Mungu akutunze Baba
@estafuraha
@estafuraha 5 күн бұрын
Ameeeeeeeeen
@SaimonTweve
@SaimonTweve 4 ай бұрын
Mungu na akubariki sana baba Magembe sema tupone
@AdolphMarenge-jd6vw
@AdolphMarenge-jd6vw 3 ай бұрын
amina mtumishi wa Mungu ni kweli ndio maana makanisa yamekufa
@emmanuelmwiturubani
@emmanuelmwiturubani 3 ай бұрын
hongera baba kwakukumbusha njia ipaswayo kufuatwa
@eliajohn6249
@eliajohn6249 Ай бұрын
Amen
@davidbenson661
@davidbenson661 5 ай бұрын
Mungu akutunze Pastor, unasaidia wengi.
@anethphilbert229
@anethphilbert229 2 ай бұрын
Amina pastor.
@YohnaDanieli
@YohnaDanieli 5 ай бұрын
Amina ubarikiwe sana
@parakuchiemma3673
@parakuchiemma3673 4 ай бұрын
Nimebarikiwa na kuinuiwa kwa maneno yako ,Mungu atujalie kuinuka tena na kuihubiri injiri yenye nguvu
@johnsebastian-bx6qn
@johnsebastian-bx6qn 5 ай бұрын
Napokea baba amina
@YaeliJoseph
@YaeliJoseph 3 ай бұрын
Amen 🙏 Pastor 🙏
@BETISHEBA-ln3db
@BETISHEBA-ln3db 5 ай бұрын
Yesu tusaidie
@ZauloMalolage-tv7vb
@ZauloMalolage-tv7vb 4 ай бұрын
My pastor nakuelewa sana
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 3 ай бұрын
HAPO KWA KUMULETA WAKALA NIMEGoNGA ukiokoka na mchungaji akiwa na Nguvu za Mungu wakala wa shetani atakimbia,
@estafuraha
@estafuraha 5 күн бұрын
Ameeeeen
@user-fz1qz3fz3q
@user-fz1qz3fz3q 4 ай бұрын
Barikiwa mtumishi
@jescacharles2274
@jescacharles2274 4 ай бұрын
Amina Mungu atusadie tunamuomba
@EmmanuelKasike
@EmmanuelKasike 5 ай бұрын
Mungu akubariki sana Baba Amina kubwaababa
@MushagalusaLeonard-zw8rr
@MushagalusaLeonard-zw8rr 4 ай бұрын
Amina Amina Amina, Mungu yuko hapa
@EuniceBukokhe
@EuniceBukokhe 4 ай бұрын
God bless you Amen
@Nelltuoge
@Nelltuoge 3 ай бұрын
Amen, kumkabiri shetani hakuna kudekadeka!!,
@pascaldomel1551
@pascaldomel1551 5 ай бұрын
Ubarikiwe sana baba yetu
@reganerasto5161
@reganerasto5161 4 ай бұрын
amina Mchungaji Magembe nakuelewa sana baba.
@israelisponsor8755
@israelisponsor8755 3 ай бұрын
Ee Mungu nisaidie nikupokee rohoni mwangu 😢😢😢
@michaelsamwelmmari9087
@michaelsamwelmmari9087 5 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@stunningtv8426
@stunningtv8426 4 ай бұрын
Sahihi kbsa nimefika igale na mazingira nineyaona na history hii nimeipata Barbara!
@adelajoseph127
@adelajoseph127 3 ай бұрын
Amina
@user-un9ds6kq1p
@user-un9ds6kq1p 4 ай бұрын
Mungu akutunze
@user-zd6tt2dq3k
@user-zd6tt2dq3k 4 ай бұрын
Bwana akutunze pastor nimeinuliwa upya
@ambonisyefungo4853
@ambonisyefungo4853 5 ай бұрын
Mungu tusaidie
@alex_vincent
@alex_vincent 5 ай бұрын
Hallelujah
@marthamaembemaembe
@marthamaembemaembe 4 ай бұрын
ubarikiwe baba
@FortunateAkaro
@FortunateAkaro 2 күн бұрын
Baba pita Kila kanisa la kiroho hizi nyakati ni za mwisho
@fidemikaeli8145
@fidemikaeli8145 5 ай бұрын
Amina baba
@MlebingeZabibu
@MlebingeZabibu 3 ай бұрын
Jambo baba Muchungaji naomba na mamba ya simu
@jorgitolucasbaluth8903
@jorgitolucasbaluth8903 2 ай бұрын
Uyu anatari
@GraceDui
@GraceDui 5 ай бұрын
Aminababa
@mariakalama3014
@mariakalama3014 4 ай бұрын
Kuna watu wanatumia neno la mungu lakini hawana upako wa mungu
@ambonisyefungo4853
@ambonisyefungo4853 5 ай бұрын
Yeeeesuuu njooo nisaidie
@NDISA1
@NDISA1 5 ай бұрын
Hii historia ya Igale inabidi irekodiwe NYTV nendeni Rungwe please
@berthamkamba6758
@berthamkamba6758 5 ай бұрын
Mungu atusaidie kutoipenda Dunia Wala kuifuatisha Ili Roho Mtakatifu adumu ndani yetu Halleluya!
@johnsebastian-bx6qn
@johnsebastian-bx6qn 5 ай бұрын
Amina baba wewe ni hazina
@jacobshirima4860
@jacobshirima4860 5 ай бұрын
Amen
@JaneMichael-sj3qb
@JaneMichael-sj3qb 4 ай бұрын
Balikiwe sana mtumishi wamungu hakika injili hii itatafutwa sana mama ulimwengu nakanisa limehalibika lakin huyu Baba hakika anamjua Mungu
@JaneMichael-sj3qb
@JaneMichael-sj3qb 4 ай бұрын
Hakika Ubarikiwe zaidi
@SynphorienZamukul
@SynphorienZamukul 3 ай бұрын
tuandae vema
@christermapunda503
@christermapunda503 5 ай бұрын
Kweli tunaomba Yesu akusaidie maana kizazi ni kigumu sana kinatisha mno. Hakielewi somo!
@AdamBartholomew-op8dc
@AdamBartholomew-op8dc 3 ай бұрын
Hakika wewe ni Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo wa kizazi hiki. Yesu akubariki
@abelabel8309
@abelabel8309 Ай бұрын
Mungu ni mwema kabisa
@BavonSunday
@BavonSunday 4 ай бұрын
utukufu ni kwa Mungu
@albertvalentino130
@albertvalentino130 5 ай бұрын
Binafsi nimeshangaa --- moto wote huo unaotembea hapo kwenye ibada,halafu asilimia kubwa ya watu bado wamekaa tu kwenye viti , mpaka mhubiri awaarike kusimama na kuomba --- ina maana mpaka hapo Roho alikuwa hajawagusa ? au ni mazoea! --- binafsi kwa jinsi moto ulivyokuwa unatembea hapo " sikuiona nafasi ya kuendelea kukaa kwenye kiti " Mungu atusaidie.
@kingsonkambey1436
@kingsonkambey1436 4 ай бұрын
Hakika hata mimi nimeshangaa sana,miyoyo migumu sana
@GOSHENCENTREKASARANI
@GOSHENCENTREKASARANI Ай бұрын
Mnaweza nisaidia number ya Mchungaji huu Rev Moses Magembe?
@mgoyekiyumbi6104
@mgoyekiyumbi6104 5 ай бұрын
Baba mi Muumin wa SDA na nayaish mafundisho Bwana akupayo & I see it's relevance, nakukubali sana Baba.
@marionoti5760
@marionoti5760 4 ай бұрын
Najua mazombi yatang'aka, kwakuwa ni mashabiki ya Dini badala ya kweli
#KIPIMO CHETU HIKI HAPA#DR.REV.MOSES MAGEMBE
38:13
NY TV
Рет қаралды 61 М.
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 40 МЛН
Blue Food VS Red Food Emoji Mukbang
00:33
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 22 МЛН
娜美这是在浪费食物 #路飞#海贼王
00:20
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 6 МЛН
wow so cute 🥰
00:20
dednahype
Рет қаралды 31 МЛН
UNAWEZAJE KUSTAWI KATIKATI YA MATATIZO
24:47
FRANCIS MWASHAMBWA
Рет қаралды 67 М.
5A. MPE MUNGU MOYO WAKO AUANDAE KWA YALE YANAYOKUJA  || Mwl Christopher Mwakasege || KAHAMA
33:51
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 25 М.
MAMBO YANAYOLITESA KANISA LA SASA - REV:MOSES MAGEMBE
1:20:25
Sautikuutv
Рет қаралды 212 М.
KUWAANGAMIZA MAKUHANI WA KICHAWI - Askofu Gwajima Ep 3/4
31:15
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 48 М.
#SAFINA# USALAMA WAKO NI KUBAKI KWENYE SAFINA;REV.MOSES
49:20
Mch Moses Magembe - KUMTAFUTA YESU | KAHAMA 04
2:32:13
Rev Moses MagembeTv
Рет қаралды 3 М.
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 40 МЛН