USHUHUDA | Jinsi Vijana Hawa Walivyofanikiwa | Rev. Dr. Eliona Kimaro

  Рет қаралды 200,760

Rev. Dr. Eliona Kimaro

Rev. Dr. Eliona Kimaro

2 ай бұрын

Пікірлер: 509
@ScolaAbel
@ScolaAbel 2 ай бұрын
Eee Mungu kupitia shuhuda hizi naomba na mimi siku moja nisiyodhani nitoe na ushuhuda.Amina
@godlistenmmari1099
@godlistenmmari1099 Ай бұрын
0😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@godlistenmmari1099
@godlistenmmari1099 Ай бұрын
😮😮😮😮😮😮😅😢5😢
@eliuskivuyo6521
@eliuskivuyo6521 Ай бұрын
Mchungaji Eliona wewe ni mchungaji wa Tanzania,tafadhali endelea kulihudumia kanisa la Tanzania,barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@enockmaige8936
@enockmaige8936 2 ай бұрын
Baba usinipite kupitia shuhuda hzi NAMI nfunguliwe KWA JINA LA YESU. Amina
@fadhilikiwera6501
@fadhilikiwera6501 4 күн бұрын
Hongera Mch. Kimaro kwa statement "Watu hawazaliwi, watu wanatengenezwa" kwa mahubiri yako umetengeneza wengi. Mungu akubariki
@cipriano3040
@cipriano3040 2 ай бұрын
Nashukuru sana mchungaji kwa ushuhuda , nlikua mfanya biashara nikiwa na umri wa miaka 23 na nlifanikiwa kwa kutoa sandaka kana dad mwenzangu, leo nko 29 hila nilisimamisha biashara nkajiunga na masomo Europa ndiko nko kwa sasa kwa vile Mungu alininyakua kwa ile biashara alinipa na niko masomoni ya kipadri kumtumkia Mungu uyo uto aliyenisaidia
@philomenamushi5606
@philomenamushi5606 2 ай бұрын
Amen shuhuda ya BARAKA SANA nimejifunza kitu BWANA YESU NAOMBA NEEMA HII🤲🙏NIWEZE KUKUTOLEA SADAKA AMEN
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j 2 ай бұрын
❤mchungaji kimaro ninaendelea kuvuka vigingi kwa kufatilia maubili yako tunafanikiwa wengi shikurani kwako kwa kupewa karama.
@WhiteYusto-bu9ym
@WhiteYusto-bu9ym 2 ай бұрын
Mch Eliona kimaro Mungu aliyeweka kipawa hicho kwako umefanyika bàraka kubwa sana kwa watu wengi
@stellarutaguza8734
@stellarutaguza8734 2 ай бұрын
Kwa Damu ya Yesu Kristu ninawaunganisha watoto wangu na madhabahu hii na mentorship program mwaka kesho muda kama huu tutashuhudia matendo makuu ya Mungu kwetu. Amen. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu barikiweni sana vijana mliotoa ushuhuda shuhuda zenu zitawatia moyo na kuwainua vijana wengi.
@user-ml4xy8xf1g
@user-ml4xy8xf1g 2 ай бұрын
Mungu nikumbuke fungua vifungo vilivo fungwa kwangu nakuamini ww mungu unafungua wengi...AMEN
@terryemmanuel2870
@terryemmanuel2870 2 ай бұрын
MUNGU na afanye kwetu sote ameen
@user-bw8wp3ek4w
@user-bw8wp3ek4w 2 ай бұрын
Haleluya nimejifunza kitu kwa huyu Dada hongera sana..
@MaryNjele
@MaryNjele 2 ай бұрын
Mwanangu Furahisha Mahenge ubarikiwe kwa ushuhuda mzuri utakaofungua wengi. Mungu aendelee kukufungulia milango ya baraka. Tulijivunia wewe ukiwa mwanafunzi wetu O-level pale Solace na ninabarkiwa na mafanikio yako leo.
@enockmaige8936
@enockmaige8936 2 ай бұрын
Kushuhudia kwake NAMI napokea kufunguliwa
@mariethangoma6317
@mariethangoma6317 2 ай бұрын
Ahsante Mungu kwa shuhuda hizi toka kwa wanao nikalipe nami niweze kushuhudia mwakani kama huu mwezi ...Amina amina....
@stellamasawe6736
@stellamasawe6736 2 ай бұрын
Mungu akupe miaka mingi yenye furaha na nguvu ili ukazidi kutuponya baba mchungaji batikiwa sanaaa
@jessicamasepo8320
@jessicamasepo8320 2 ай бұрын
Amina.
@adamsandrew3292
@adamsandrew3292 Ай бұрын
🙌🙌🙌🙌 mungu wetu ni mkuu sana na ni muanifu sana ametenda kwao na kwetu pia atatenda
@magrethuronu7190
@magrethuronu7190 2 ай бұрын
MUNGU Asante kwa ushuuda uhu nmm nitatoa ushuuda wangu mwakani mwez Kama uhu AMEEEEN
@naeema8155
@naeema8155 2 ай бұрын
Mungu naomba bariki kazi ya mikono yangu niweze kufanikisha malengo yangu niweze kusaidia na wengine 🙏🙏
@user-oo2fx8nk5r
@user-oo2fx8nk5r 2 ай бұрын
Eeeeh mwenyezi Mungu Nakuomba kupitia huu Ushuhuda Ukanipe Ushuhuda Nishuhudie ukuu wako
@SarahMeela-og6li
@SarahMeela-og6li 2 ай бұрын
Amen.Napokea huu Ushuhuda ikawe na kwangu katika jina la Yesu juu ya Biashara yangu.Mungu akutunze Baba Mchungaji.
@VickyNyela
@VickyNyela 2 ай бұрын
Ikawe kwangu na mimi Yesu wangu nakusihi unitendee mwaka huu 2024
@user-zn3un8gs3d
@user-zn3un8gs3d 2 ай бұрын
Amina mchungaji asante kwa kuruhusu hizi shuhuda nimebarikiwa sana
@lucyburetta5831
@lucyburetta5831 Ай бұрын
Nimejifunza mengi kupitia shuhuda hizi. Bwana Yesu naomba neema niweze kutoa sadaka. AMEN
@DannyEliudmsangi
@DannyEliudmsangi 2 ай бұрын
🎉Ee mwenyenzi mungu ninakushukuru kwa kunipa afya njema mpaka mwisho wa mwaka nipe mabadiliko katika maisha yangu
@janethmwansasu5847
@janethmwansasu5847 2 ай бұрын
Asante mtumishi kwa mi ninakukubali sn mi natamani niingie kwenye darasa Hilo ila zaidi ya yote natamani awepo mwanangu Ila bado yuko shule kidato Cha nne darasa hili lingefaa sn Mungu nisaidie I wish wangekuwa wanangu wote wenye maono hayo kwa jina la Yesu nimepokea
@user-pq9fd5bt5x
@user-pq9fd5bt5x 2 ай бұрын
Hakika mungu nimwema huu ujumbe niwangu barikiwa sana dadaangu leo mmpia nimefunguliwa
@Winner_Maggie88
@Winner_Maggie88 2 ай бұрын
I tap this testmmony Mungu nifungulie milango mwaka huu IJN
@DoreenAlbat
@DoreenAlbat Күн бұрын
Mungu naomba kwa ushuuda u uniponye mimi nafamiliya yangu nawatoto Wang
@nesseniftyjoseph5686
@nesseniftyjoseph5686 2 ай бұрын
Mungu mwema, usituache Sisi waja wako, bila wewe Sisi sio kitu Mungu wangu🙏
@user-vt4nt1uz4m
@user-vt4nt1uz4m 2 ай бұрын
Jokopoi😅jo
@CaritasSabuni
@CaritasSabuni 2 ай бұрын
We mwenyezi Mungu NAMI nijalie kupitia ushuhuda huu nami nifanikiwe
@WinnieWalter-ym1cr
@WinnieWalter-ym1cr 2 ай бұрын
You are my daddy. Mungu akuweke kwa ajili yetu
@rogersmaokola3147
@rogersmaokola3147 2 ай бұрын
Kwa upande wangu Mungu amesema nami kupitia haya mafundisho ya leo Baba Asante kwa huu ushuhuda na niko tayari kushiriki katika hilo darasa unaloandaa. Asante sana Na Mungu akupe afya zaidi
@halimahamis-yi8kh
@halimahamis-yi8kh 2 ай бұрын
mimi mwislam ila huwa napenda sana maubir yako Allah akuhifadhi 🤲
@worldofscience6745
@worldofscience6745 2 ай бұрын
Mungu,mtu ndy Dini inafuata kikubwa kitu/ mtu anakujenga Learn from them
@boazmasanja1710
@boazmasanja1710 2 ай бұрын
Unafanya vzr. Fanya maamuzi ya kumpokea Yesu sasa
@JosephKingwere
@JosephKingwere 2 ай бұрын
Hakika Mungu amulende Muchungaji anafundisha vzr sana mno
@user-xh3bp4il8j
@user-xh3bp4il8j 2 ай бұрын
Aminaa
@user-wq2np3dm3d
@user-wq2np3dm3d 2 ай бұрын
barikiwa sana.. maneno yako yamenitia moyo
@estherlemburismollel5901
@estherlemburismollel5901 2 ай бұрын
Nami nitembelee Yesu, kwa Mungu hakuna kuchelewa wala kuwahi,Yesu nisaidie kufika ulipokusudia nifike
@bahatimsuya3031
@bahatimsuya3031 Ай бұрын
Ee Mungu nikumbuke unifungulie baraka zako zinifikie na kunipata. Kumbuka sadaka zangu zote unisaidie niinuke tena. Nirehemu Mungu Kwa Sababu zipo nyakati sijakutolea kwa uaminifu. Ila sasa nahitaji huruma zako. Kwakupitia shuhuda hizo badilisha ukurasa wa maisha yangu. Nimekua naanza biashara zinakufa kila wakati. Mungu wa rehema nihurumie
@user-fh4li4ys7z
@user-fh4li4ys7z Ай бұрын
Kwa damu ya Yes Kristo wa Nazareth aliye hai naiunganisha familia yangu na madhababu hii, Mungu wa Mbi guni ukafungue vifungo vyote vya uchumi ukaondoe mipaka yote ya uchumi, ukaondoe roho za umaskini, Bwanayesu usimame na familia yangu ukarudishe maradufu ya vilivyopotea, ee Mungu usielala na unaona Kila kiku ukapigane na wanao pigana na kupiga vita uchumi wa familia yangu, bwana Yes kupitia shuhuda hizi hakika naona familia yangu imefunguliwa kwa kiwango cha juu na tutamshuhudia Mungu kwenye madhababu hii. Amen
@gasperjohnson3388
@gasperjohnson3388 2 ай бұрын
Mimi ni msabato lakini nakufuatilia sana mchungaji nakupenda sana rev eliona kimaro
@maikojairo3489
@maikojairo3489 Ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu
@loycenicolao7488
@loycenicolao7488 Ай бұрын
Me pia SDA Huwa napata upako sana wa huyu bwana
@user-jc1do5gf3w
@user-jc1do5gf3w Ай бұрын
Rev.Elionora Kimaro
@winnymshana5589
@winnymshana5589 2 ай бұрын
Mungu nakuomba bariki na kizazi changu pamoja na mume wangu
@CatherineShayo-rr2hq
@CatherineShayo-rr2hq 2 ай бұрын
Namwuunganisha kaka yangu Kwwnye huu ushuhuhdaa🙏🙏 Amennn amennn
@itchimboelongabwe821
@itchimboelongabwe821 17 күн бұрын
Mungu akubariki sana baba mchungaji kimaro kwa kazi kubwa unayo ifanya
@ngesileanganile3747
@ngesileanganile3747 2 ай бұрын
Furahisha Daaa! Umejua kunipa somo mwanangu kipenzi ❤❤❤❤
@joycelongo1213
@joycelongo1213 2 ай бұрын
Mungu naomba uwajalie wanangu uwafungulie tupate mafanikio saidia Sana watoto wangu
@joycelanda8987
@joycelanda8987 2 ай бұрын
Ee Mungu wangu nakushukuru kwaajili ya vijana hawa,naomba uwaongoze kila wanapopia!zaidi sana naomba kupitia shuhuda hz nipate kibali cha kupata mtajia kufanya biashara yasabuni ya maji na nifanikiwe ,Amen!!
@esthermichael6856
@esthermichael6856 2 ай бұрын
Hakika utukufu na heshima apewe BWANA.👏👏👏
@user-ry5od3ws9d
@user-ry5od3ws9d 6 күн бұрын
Atukuzwe aliyejuu kwa kufungua fahamu kumtumikia kwa njia ya sadaka baba mungu akubariki nabarikiwa na mafundisho yako tena kupitia simu ya jirani.
@Eric482
@Eric482 2 ай бұрын
Mwenye maarifa atapona jina la Mungu libarikiwe
@johnboscokiringo2398
@johnboscokiringo2398 2 ай бұрын
"Asante Mungu kwa ushuhuda huu mzito" Nimejifunza somo.
@mosesallanadam1955
@mosesallanadam1955 2 ай бұрын
Nimebarikiwa na nitashuhudia pia. Aksante
@user-tl2ur8rj1e
@user-tl2ur8rj1e 2 ай бұрын
Ninavyopenda shuhuda jamani. Hapa pa utoaji ndio napapenda zaidi, kitu iko ndani yangu. Hawa ni sehemu ya kina Dorcus wangu. Ubarikiwe Mchungaji
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 2 ай бұрын
Yaani ww hunifikii kwa kupenda shuhuda.
@user-ru6ct4rh3t
@user-ru6ct4rh3t 2 ай бұрын
Asante Mungu Kwa kuturejeshea Mtumishi wako Eliona Kimaro.
@TheodosiaSangka
@TheodosiaSangka 2 ай бұрын
Madhabahu anayotumikia Mchungaji huyu yameenea sifa zote za ki Mungu hakika Mungu anayetumikiwa na Rev.Dr.Kimario yana majibu yote ya mwenye mahitaji. Bwana akubariki sana Mchungaji wangu🙏🙏
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 ай бұрын
Na pia ni makanisa ya Wasomi,na Makanisa yanawaosoma Riturujia,Lazima Mchungaji aajiriwe na Alipwe mshahara kila Mwezi si kama Pentecoste,
@mackfasonmoshi4629
@mackfasonmoshi4629 2 ай бұрын
​@@trophywilson7211Nisaidie kufafanua "wazo" lako kuhusu "si kama Pentecoste "....Rev. Dr Kimaro barikiwa mno. Shuhuda hizi nzuri piaaa.... Amen..
@TeddyMathias
@TeddyMathias 2 ай бұрын
Eee Mungu mwema naomba na mimi mwaka huu huu majira haya haya nishuhudie matendo makuu uliyoyatenda Kwangu 🙏🙏
@priscaangwenyi2206
@priscaangwenyi2206 2 ай бұрын
This is timely. I am encouraged
@lakezone1091
@lakezone1091 2 ай бұрын
I connect in Jesus name amen 🙏🙏
@jaclinekeyya8166
@jaclinekeyya8166 2 ай бұрын
Ee Mungu naomba unikumbuke rehemani mwako nimedhurumiwa Sana Hadi sasa umenisimamisha tena,naomba unifikishe kwenye kusudi lako naamini hakuna jambo linaloshindikana kwako.Niko DRC Congo napambana lakina naamini kuanzia sasa jupitia shuhuda hizi zote mbili zimenifungua fikra zangu ,nitakuja Tanzania nakushuhudia waminifu wa mungu Amen.
@JulianaKabonda
@JulianaKabonda 2 ай бұрын
MUNGU akubariki sana Baba kwa Juhudi zako za kuwainua na kuwapa afya za kimwili na kiroho pia Tunamtukuza MUNGU Sana
@sabrinaandrew4245
@sabrinaandrew4245 15 күн бұрын
Mwenyezi mungu akusaidie uwe mfano Kwa Viongozi wengine wa dini.Ama kweli unaendana na jina lako.Tunaona kweli unao uthubutu moyoni.❤🎉🎉🎉Bwana yesu Akuhifadhi🙌🙏
@anjelalyamboko740
@anjelalyamboko740 2 ай бұрын
Ee Mungu kupitia shuhuda za hawa vijana naomba umfungue mdogo wangu Florah aweze kifanikiwa.Amen
@marthajackson9040
@marthajackson9040 2 ай бұрын
Eee Mungu mwema nisaidie na mimi majira kama haya mwakani nishuhudie matendo makuu uliyoyatenda kwangu 🙏
@magrethmwasimanga2013
@magrethmwasimanga2013 2 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki mchungaji . Hii program inayoanzishwa naamin itawakomboa vijana wetu wengi.
@JosephKingwere
@JosephKingwere 2 ай бұрын
Mm Naomba Mungu sana nina naziri na hiii madhabahun jamn Mungu nisaidie niweze kutoa fungu la kumi
@ninahmbonea6248
@ninahmbonea6248 2 ай бұрын
Mungu anisaidie nami nishuhudie mwakani
@ElizabethMasambe
@ElizabethMasambe 2 ай бұрын
111😅😅 22:36
@theresiakimaro7514
@theresiakimaro7514 2 ай бұрын
Mungu akulinde baba mchungaji stay blessed
@paradisenkini5433
@paradisenkini5433 Ай бұрын
Hongera Sana mchungaji Dkt.Eliona Kimaro kwa kipawa karma Mungu alichokupa uendelee kuwanoa vijana wetu.Amen Amen❤
@dicksonmsungucommunitywork257
@dicksonmsungucommunitywork257 2 ай бұрын
Mungu naomba waajalie wanangu na vizazi vyangu ,na mimi atufungue tujue hii Siri na tupate mafanikio haya,tuliinue jina lake,ubarikiwe sana Mchungaji Kwa huduma hii
@graficitv4412
@graficitv4412 2 ай бұрын
Nami najiungamanisha na ushuhuda wenu Mungu Nina Iman huchelewi Wala hukawii
@deborasimon422
@deborasimon422 2 ай бұрын
Ooh God Asante nimefunguka kupitia ushuhuda wa dada Furahisha! Mungu akubariki Mchungaji Kimaro kwakweli umefanyika baraka kwangu
@dorcusmacha1085
@dorcusmacha1085 2 ай бұрын
Kwa kweli nitajoin I will become a billionaire one day najiunganisha na huu ushuhuda
@brysonmmari3037
@brysonmmari3037 2 ай бұрын
Mungu tukumbe Baba unapodhuru wengine na sisi usitupite❤
@angelbajunanaki
@angelbajunanaki 2 ай бұрын
Mungu naomba unikumbuke na mm mwakani majira kama haya NAMI nikashudie, Maana wewe huchelewi wala huwai
@ushindingayilo9780
@ushindingayilo9780 2 ай бұрын
Amina Mungu naamini ntakuwa zaidi ya hapa nilipo asante sanaa mchungaji kwa shuhuda izi.
@judithkatabaro3294
@judithkatabaro3294 2 ай бұрын
Kwlei kabisa uyo ni mimi kabisa yani mimi namwambiaga Mungu ivyo kutoa sadaka sio kazi rahisi
@relationshipdrivingschool
@relationshipdrivingschool 27 күн бұрын
Mungu Akuzidishe Mchungaji
@helinahenry2363
@helinahenry2363 2 ай бұрын
Eeh Mungu wangu nifungue na mimi, nifungue nifungue, na mimi nikashuhudie
@jacquelinelukambuzi5085
@jacquelinelukambuzi5085 2 ай бұрын
Mungu ni mwaminifu sana kwetu ila sisi jamani Mungu turehemu
@user-po7zh4zz2k
@user-po7zh4zz2k 2 ай бұрын
Kweli Mungu ni mwaminifu mno ila sisi wanaadamu Mungu aturehemu jamani. Mungu ametupa akili tuzitumie sawasawa.
@happynessmalisa6258
@happynessmalisa6258 2 ай бұрын
Hata mimi natamani kupata elimu ya kutoa sadaka na fungu la kumi eeh mungu nisaidie hauwahi wala kuchelewa mungu kwangu naomba uwahi kwangu iliniweze kutoa sadaka yangu na fungu la kumi
@mkundeferuzi8186
@mkundeferuzi8186 2 ай бұрын
siku utakayoamua kutoa kwenye mfuko wako fungu la kumi kamili kbs ndio siku utakayokua umechomoka kiuchumi ,yaan ile ukitoa tu na Mungu atakuzidishia maradufu mpk ushangae
@LOYCEWENSLOUS
@LOYCEWENSLOUS 2 ай бұрын
Mungu uliefanya kwa hawa vijana nakwangu utafanya
@GracYusto
@GracYusto 28 күн бұрын
Mungu nibariki kwa ushuhuda huu na mm nitendee Fanya jambo jipya nikiwa chini ya miaka 30
@amosimwampamba-ne7in
@amosimwampamba-ne7in 2 ай бұрын
ee mwenyezi mungu nisaidie NAMI majira kama haya NAMI nifanikiwe
@petermuganda7322
@petermuganda7322 2 ай бұрын
Nimebarikiwa sana
@ASTERIAMASALU
@ASTERIAMASALU 2 ай бұрын
Ikawe kwangu ,Mungu nisaidie
@neemamwanga5447
@neemamwanga5447 2 ай бұрын
Ameni nami Mungu naomba nibariki kwa ushuhuda juu nivushe haya madeni yasiyoeleweka nalipa hapa nadaiwa pale nivushe Mungu naamini nimeshindaaa
@user-wd3zo9xb4h
@user-wd3zo9xb4h 2 ай бұрын
Mtumishi MUNGU wetu mwema nami nina Imani Mungu atatuvusha katika bonde gumu na.zito la madeni. TUTAVUKA
@pceodhc
@pceodhc 2 ай бұрын
Hallelujah! Congratulations to both, mzidi kubarikiwa Katika jina la Yesu! Amen!🙏🏾
@ReginaMweta
@ReginaMweta Ай бұрын
Mungu wa Mbinguni akubariki baba yangu
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 2 ай бұрын
Ni aibu kubwa sana kufaulu shule, na kufeli maisha.Hii inahusika sana.
@MeckitilidaTushabe-or9hu
@MeckitilidaTushabe-or9hu 2 ай бұрын
Mbona wapo wengi sana waliofaulubshule na maisha wamefeli mno
@user-ij2vf9fn3t
@user-ij2vf9fn3t 2 ай бұрын
Mungu nifungulie milango la ridhiki nifanikiwe kama hawa watumishi wako
@user-lj7oq5hp4f
@user-lj7oq5hp4f 2 ай бұрын
Mmoja padri kajinyonga eti kafeli kiapo ufaulu
@blessedderrickevans9764
@blessedderrickevans9764 2 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe hata mimi nitafanikiwa katika maisha kwa Damu ya yesu kristo🙏🙏
@sallylizwa9947
@sallylizwa9947 2 ай бұрын
God bless you pastor. This are amazing testimony watching from Kenya.
@catherinegimbika1545
@catherinegimbika1545 2 ай бұрын
Ameeeeen❤❤🎉🎉🎉🎉🎉 Mungu Mkubwa
@JosephuSwai
@JosephuSwai 2 ай бұрын
Amshuku babayake kwa kumsomesha uyo dada
@user-cq3wt7vc3u
@user-cq3wt7vc3u 2 ай бұрын
Eee Mungu wangu mwenye Rehema n Neema nakuomba na mm niwe m'barikiwa..AMEN
@ernestbutagalala
@ernestbutagalala 18 күн бұрын
Eeee!!! Mungu na mm natamani sku moja nisimame mbele ya madhabahu Yako nishuhudie matendo Yako nataman mungu wangu naomba unisaidie
@elizabethlaurent4446
@elizabethlaurent4446 2 ай бұрын
Mungu naoomba wajalie wanangu vizazi vyangu
@doreenmaro2363
@doreenmaro2363 Ай бұрын
Mungu akupe Maisha Marefu Mch.Kiukweli nimejifunza Saaana Kwa hizo shuhuda
@dariarichard1185
@dariarichard1185 22 күн бұрын
Mungu nisaidie niiinuke biashara yangu
@carenhilary8067
@carenhilary8067 26 күн бұрын
BWANA YESU ,NAJUA UTANIINUA PIA NA UZAO WANGU AMINA.
@HildaTemba-qz9df
@HildaTemba-qz9df 2 ай бұрын
Nisaidie Mungu wangu nipate Moyo wa utoaji
@SHILECKIZACHARIA
@SHILECKIZACHARIA Ай бұрын
Nisaidie na mimi Mungu wangu niweze kujifunza kutoa fungu la kumi kwa Mungu aliyeniumba Amen
@MarySangiwa-fz1jc
@MarySangiwa-fz1jc 2 ай бұрын
MUNGU wa Israely kwa neema yako. Nàmi nimetajirika kwa Jina la Yesu Kristo wa NAZARETHI AMEN.
@annamartine1783
@annamartine1783 2 ай бұрын
Unapopita kwenye matatizo Mungu yupo anakutengeneza, noted with thanks, Glory to God
@user-gm1ry3ej9o
@user-gm1ry3ej9o 2 ай бұрын
Mungu afungue uchumi wetu kupitia shuhuda hizi
@monicaalute3143
@monicaalute3143 2 ай бұрын
Namuelewa huyu dada, nimepitia cryisis kifedha, kuna biashara yangu niliipata nikiwa madhabahun na kabla cjaifungua nilipeleka funguo Kwa mch. Baadae nikaenda kufungua biashara nikauza vzr tu kwa siku za mwanzon qakat najiandaa kwenda kutoa malimbuko ndyo majaribu yakaanza had ninavyoongea hapa namuomba Mungu aniwezeehe kutimi,a ahad yangu kwa MUNGU maana nateseka mno
@user-ts9wx3xl6i
@user-ts9wx3xl6i 2 ай бұрын
Mchunga Mungu akubariki sana kwa mafundisho mazuri sana, kwa kweli nimejifunza sana, kupitia vijana wako hao, Mungu anisaidie, niko Mbulu manyara, ubarikiwe babangu,😊
@AngelMoris-cb5rf
@AngelMoris-cb5rf 2 ай бұрын
Eee mungu nisaidie katika maombi yangu na mimi nije nisimame mazabahuni nitoe ushuhuda mungu nibaliki
@winnymshana5589
@winnymshana5589 2 ай бұрын
Mungu nakuomba unibariki kwa uwezo wangu nifikie viwango hivi
@user-nr9cs3ms7y
@user-nr9cs3ms7y 2 ай бұрын
Amina naiwe kwangu kwajina la yesu napokea ushuhuda huu
@HildaSamdella
@HildaSamdella 2 ай бұрын
Nami nakuomba Mungu wangu unitendee, nijuwe namna ya kukutolea sadaka na fungi la kumi, kupitia shuhuda za hawa ndugu naona maisha mapya ya kimwili na kiroho kupitia matoleo
@jonesiategambwage4619
@jonesiategambwage4619 2 ай бұрын
Huwa nabarikiwa sana na mahubiri yako mchungaji Kimaro
@sophiakambi7939
@sophiakambi7939 14 күн бұрын
Ameen Mungu ni mwema
@user-zr6rs6dk6b
@user-zr6rs6dk6b 2 ай бұрын
Mungu nisaidie matatizo yangu niliyonayo iwe ndo fursa ya mafanikio yangu
REV. DR. ELIONA KIMARO: MAISHA NA NADHIRI
1:47:04
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 62 М.
REV. DR. ELIONA KIMARO: UNA KITU GANI MKONONI MWAKO?
1:42:14
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 106 М.
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 9 МЛН
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 51 МЛН
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 9 МЛН
World’s Largest Jello Pool
01:00
Mark Rober
Рет қаралды 99 МЛН
USHUHUDA WA BINTI ALIYEOKOLEWA KUTOKA KWENYE NGUVU ZA GIZA
20:45
KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH
Рет қаралды 105 М.
Family TODAY, Esther Nasuwa, Ps Wilbroad Mastai: Family & Ministry
1:12:31
Family Today Show
Рет қаралды 12 М.
🔴LIVE  | SUNDAY SERVICE  |  IBADA YA JUMAPILI  |  KANISA LA VUKA YORDANI  |  14 JULY 2024
2:19:25
REV. DR. ELIONA KIMARO: WEKEZA KWENYE UWEZO I
34:28
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 12 М.
Rafiki Aliyeshambuliwa Na Majambazi Kwa Kuzuia Sadaka | Rev. Dr. Eliona Kimaro
15:05
3. KUONDOA MAZUIO KATIKA MIFUMO YANAYOZUIA  KUFANIKIWA KWAKO || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE || Singida
3:17:18
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 27 М.
JAMANI WALEVI WANANUKA SANA ULIWAH KUKAA NAO KWENYE USAFIRI "PASTOR MGOGO
41:19
REV. DR. ELIONA KIMARO: MAWAZO MAOVU NI CHANZO CHA UKATILI
1:06:00
Rev. Dr. Eliona Kimaro
Рет қаралды 12 М.
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 9 МЛН