Binti aliyeokolewa kutoka kwenye mzimu wa shangazi yake akitoa ushuhuda katika ibada ya Evening Glory (The School of Healing) Usharika wa Kijitonyama 21.11.2017
Пікірлер: 80
@amenaameeena3317 Жыл бұрын
Damu ya Yesu itufungue katika vifungo vya kichawi amen Mungu tazama watoto wangu waponyeshe
@RoseMalya7 ай бұрын
Mtumishi tunakuombea maisha marefu. Mungu wetu wa mbinguni azidi kukuinua utukufu hadi utukufu. Amen.
@gracerishandumilema2783 күн бұрын
Nakemea mizimu ndani yangu ya ukoo ya mashangazi kwa jina la yesu kupitia Mtumishi wa Mungu mch kimaro,nifunguke mimi na familia yangu
@jastinnkya3 ай бұрын
Amin sana mtumishi wa MUNGU akubariki sana
@NyabonyiKairo4 ай бұрын
MUNGU kuna sisi ambao atujui wabaya wetu uenda n watu wetu wa karibu pia tunaomba kwa damu yako ututenge na mabaya yote juu yetu mabaya hayato tupata sisi wala tauni haito kariba hema yetu
@mhemberefelista9332 Жыл бұрын
Kupitia maombi haya naomba na dadangu Nesia apone anateseka sana Yesu nakuomba umuweke dadangu huru kwa damu yako Takatifu
@Elidasamue9 күн бұрын
Amen 🙏🙏🙏 ukawe na maisha malefu Mchungaji
@joetemba63762 жыл бұрын
Mungu endelea kutukomboa na vifungo vyote kwa jina lako wote mnaosoma posti hii mpone kwa Jina la Yesu kristo wapendwa kuna mahali Mungu amenitoa Asante Yesu
@cesilialucas2458 Жыл бұрын
Amina napokea kwa jina la Yesu
@rozyderose Жыл бұрын
Amen
@reubenbusanji29044 жыл бұрын
Shetani siyo rafiki wa binadamu Yesu ndiye rafiki wa kweli, tumwamini tumfurahie na tumtukuze katika jina la Yesu.
@AgnesKalinga-ku5se26 күн бұрын
Hallelujah 🙏 Glory be to God 🙏
@lutangilooffice8604 Жыл бұрын
Ameen hakika Mungu anaokoa damu ya yesu ikazidi kunena mema daima kwenye familia zetu
@elizabethsixbert2762 Жыл бұрын
Yesu unapozuru wengine nami usinipite🙏
@monicaashery12 жыл бұрын
Damu ya Yesu iendelee kutullinda,.Amen!
@cathypeter Жыл бұрын
Damu ya Yesu ikanene mema maishani mwangu
@annamlozi4538 Жыл бұрын
MUNGU akubariki baba mchungaji. Akuongezee miaka.
@danieljulius4277 Жыл бұрын
Kwa jina la Yesu Kristo nakemea mizimu yeyote kwenye maisha yangu Amen.
@epifaniamilinga2848 Жыл бұрын
Ushuhuda huu unatisha sanaa.Yesu tutee.
@wallacestevenrutaserwa4517 Жыл бұрын
Asante Yesu kwa ukombozi wako nami niweke huru kupitia mtumishi wako uyu.
@winifridarutaindurwa182 Жыл бұрын
Ee Mungu Pigana na wachawi wanaowatesa watoto wetu.
@winifridarutaindurwa182 Жыл бұрын
Mungu Akuzidishie kibali Rev. Kimaro.
@addalazaro5579 Жыл бұрын
Mashangazi wabaya Sana Sana hawapendi tufanikiwe wapuuzi sana
@aminamavura6834 Жыл бұрын
Kwa damu ya Yesu tunafunga mkataba yote ya Ibilis shetani ikashindwe kwa Jina LA yesu
@venirandacharles7800 Жыл бұрын
Mungu tusaidie 🙌🙌
@rebecashumbi3450 Жыл бұрын
Kimaro huduma yk kubwa sana ningekuwa na taasisi ningesema njoo utumike huku Yesu akusaidie
@hamurabani5386 Жыл бұрын
Amina napokea kwa Jina la yesu kristo
@mhemberefelista9332 Жыл бұрын
Yesu nakuomba uniokoe na wote wanaongea mabaya juu yangu. Wapo wanaonitengenezea story ya uwongo Yesu nakuomba uwe nao wanapotaka kutamka baya juu yangu midomo yao uwe mizito wawe mabubu
@YohanaSapuro-xx9xo10 ай бұрын
Ubarikiwe sana baba mchungaji
@finiasfidelis14753 жыл бұрын
Jina la Yesu lihimidiwe
@joycekalago532 Жыл бұрын
Kwakweli nakuombea sana mtumish wa Mungu
@annamgesi95129 күн бұрын
Eeee mungu angalia familia zetu
@dafrosamsonge2007 Жыл бұрын
Nmecheka Sana, Mungu awatunze jaman
@priscadanny2623 Жыл бұрын
Wowww! Mungu ni mwema daima 👌🙏🏿
@waelmsangi55032 жыл бұрын
Jina la Yesu lina nguvu.
@oscanyakunga Жыл бұрын
Amen Amen maroho yauchawi yatoweshwe
@PetrolinaKarengi-jx2cs11 ай бұрын
Mungu atusaidie
@user-td9jf9ty7i Жыл бұрын
Ubarikiwe sana baba
@dapinitiative2451Ай бұрын
Nimeiangalia tena Leo May 2024. Naomba kufahamu kama huyu dada aliolewa
@kelvinbondia4360 Жыл бұрын
Mungu atufungue kwa kweli tina kua vifungoni bila kujua
@amanimakury96862 жыл бұрын
Mungu atusadie
@valenakomba9218 Жыл бұрын
Amina sanaaàaaaaaa.
@michaelmnyeke9564 Жыл бұрын
Mungu ni mungu tu
@meshackkatindasa54925 жыл бұрын
Huyu ni mchangaji mwema.
@iyvonaconstantine8862 Жыл бұрын
Aleluya Amen
@lilianebahati7290 Жыл бұрын
Amen Amen Amen
@brysonuronu5862 Жыл бұрын
Amen amen ...amen ..
@omdonia6457 Жыл бұрын
Amina Amina
@veilashao6869 Жыл бұрын
Damu ya Yesu itulinde
@davidkilajaga8842Ай бұрын
Amen
@dafrosamsonge2007 Жыл бұрын
Maskin jaman ,Damu ya Yesu itamuweka huru
@jackobenock3856 Жыл бұрын
Ohooo ni shida
@biryafondo49037 ай бұрын
AMEN HALLELUJAH
@BrunoMakweta-dm5sb5 ай бұрын
Amna baba ang nae kafungwa na majn naomba msaada wa maomb
@IreneMerica9 ай бұрын
Eeee Mungu tuaidie
@allenloth9713 Жыл бұрын
Amen Amen
@ellynkya7216 Жыл бұрын
Yupe mcho ya rohoni ili tuone adui
@rosemanase9663 Жыл бұрын
Damu ya YESU IKULINDE
@DorothyMulandi-ku5jx Жыл бұрын
Amen amen
@rinarina22702 жыл бұрын
🙋🙋
@salomekazauragladness6548 Жыл бұрын
Jina la huyo binti ni la shangazi au lah!
@rahabnkya82762 жыл бұрын
WAFICHUWE BABA TUKO WENGI.
@Halima-wy7to2 ай бұрын
Emugu wagu turidiye famili zetu kupitia mazabau haya
@samsonsamwel8782 Жыл бұрын
Sasa mbona wamekucmamisha mh.
@soberkaleya5148 Жыл бұрын
Zaburi 24: 1 Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake. Wafilipi 4: 19 Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa kadiri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu. *TUNAPOKEA MLIPUKO WA KUFANIKIWA SANA KWENYE UCHUMI, AFYA, AMANI, BARAKA NA UKOMBOZI KATIKA KILA ENEO KWA JINA KUU LA YESU!!!*
@juliuskimeyj1936 жыл бұрын
Jamani. Mndumii tarama wandu waphi
@waidakigula70432 жыл бұрын
Mungu ni mweza
@agnetherbrighton6118 Жыл бұрын
Ameen
@heriethanold7445 Жыл бұрын
Kweli damu ya yesu kiboko
@augustinenjakusi4544 Жыл бұрын
Mungu abaki Mungu
@olivastephano2900 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@lilianmbangwa54792 жыл бұрын
Hahahahahaha
@josephinemichael9648 Жыл бұрын
Hakika mungu ni mwema !!! Na wakati wa bwana ndio wakati sahihi
@ceciliaogola55973 ай бұрын
Amen
@lizzybahati3739 Жыл бұрын
Amen
@maryd1538 Жыл бұрын
Amen
@helenamdoe4934 Жыл бұрын
Amen
@emiltonndanshau8718 Жыл бұрын
AMEEEN. . AHSANTE MUNGU.
@emiltonndanshau8718 Жыл бұрын
DAMU YA YESU ITUFUNIKE NA UBAYA WOWWOTE KUTOKA KOKOTE.RAFIKI WA KWELI NI YESU KRISTO.