Рет қаралды 43,924
ELON MUSK: BINADAMU WA AJABU ANAYEISUMBUA DUNIA KUTOKANA NA UWEZO MKUBWA WA AKILI ALIONAO..
Siku chache zilizopita, tajiri namba moja duniani, Elon Musk hatimaye alifanikisha dili lake la nguvu la kuununua mtandao wa kijamii wa Twitter kwa dau la dola za Kimarekani dola bilioni 44 pamoja na kununua kila hisa kwa dau la dola 54.20.
Dili hilo kubwa limeushangaza ulimwengu kutokana na jinsi Elon Musk alivyopigania mipango yake ya kuununua mtandao huo maarufu duniani na hatimaye kufanikisha katika muda ambao hakuna aliyekuwa anaamini kwamba anaweza kufanya hivyo.
Na katika kuyonesha jeuri ya fedha, Musk amejitapa kwamba amefanya malipo yote kwa fedha taslimu! Ama kwa hakika fedha imeongea.
Suala la Elon Musk kuununua mtandao huo, lilianza kama masihara, watu wengi wakawa wanambeza kwamba hana ubavu huo lakini baada ya kutangaza dau mezani, viongozi wa bodi ya menejimenti ya mtandao huo uliamua akulichukulia suala hilo kwa uzito wa kipekee.
Dau lililotangazwa lilikuwa kubwa mno kiasi kwamba kulikataa ingeonekana ni mawazo ya kijuha, Elon Musk akafanikiwa kupenyeza rupia kwenye uzia na hatimaye, Twitter sasa ni mali yake.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline