Hongera sana ,wewe ni intelligent, wewe ni Professor to be 🎉 Mungu azidi kukuinua.
@NixonJohnson-r4m28 күн бұрын
Shayo ...Akili kubwa hii.. ni hatari sana ...Mungu simamia hii kichwa...
@user-qr2ol5td5w13 күн бұрын
Hatari sana!!
@MauFundiElectronicsАй бұрын
Huyo ndo ilibidi awe WAZIRI WA MAWASILIANO NA HABARI TANZANIA.
@BenestifyАй бұрын
100%
@ernestjophreymalaba3374Ай бұрын
Hongera sana Shayo ,tunajivunia wewe Kama watanzania, na tuko nyuma yako kukuombea ufanikiwe MBE
@ASALABOYАй бұрын
Mungu atueinue sisi WaAfrika tufike Mbali nasi
@user-xn8jh1yw1h26 күн бұрын
You really deserve the best. Congrats sana.
@JosephSekuluАй бұрын
Mimi nipo tayari kabisa kukuunga mkono kwa sababu naifahamu vizuri sayansi ya Elektroniki ilivyonisaidia kwenye computer networks.
@TM-zs3rm10 күн бұрын
Very impressed of your ambitiousness, drive, commitment and dedications. Nakuunga mkono sana. Ndo inaanzia hivi. Pongezi kubwa kwako na Taifa zima.
@danielpatrickrobert12527 күн бұрын
Tunawahitaji hawa 100 tufike mbali kwenye technologia
@generosennko8343Ай бұрын
Wizara ya technology and science; hivi mnamuona huyu scientist wetu? Taifa limpe support 100% kama ni vifaa au ajengewe maabara. Kuna vijana wengi smart ila hawana support. Huyu ana kitu kikubwa sana ndani yake. Wazungu hawatamsaidia sana. Ila watafurahi kumchukua wakamwajiri kwao. So; no more brain drain. Tuwaendeleze vijana kama huyu ili nchi ikainuke. Asante sana mtangazaji kwa programmes kama hizi.
@user-qr2ol5td5w13 күн бұрын
Nchi za Afrika hazinaga hizi habari za kuwapa mkono wa heri watu kama hawa.
@lirastanley3907 күн бұрын
Umechelewa wapi wewe??njoo udsm na wizarani huku uone ma genius hahaha
@mkulimatanzaniaАй бұрын
The man is thinking of his country, and the government is just quite. Please mama Samia look this guy and help him 🙏
@Del_busi5Ай бұрын
Serikali wanatakiwa waangalie hii Interview, Bro sky hakikisha moja wao huko bungeni hio Interview imfikie
@andrewshustle1331Ай бұрын
Hongera sana kwa kazi nzuri Kwenye mifumo yetu ya majeshi na nyanja zingine za inchi yetu tunahitaji watu kama hawa sana! ili tuweze kuendana na kasi ya dunia.
@ramadhanimtozeni8030Ай бұрын
Wewe ni genius, Mungu akupe maisha marefu na ufanye makubwa zaidi.
@bobjulieoneheartbandАй бұрын
Mimi Namshukuru MUNGU Kwa Zawadi Hii Kubwa kilichopo SERIKALI na Wadau ztumsapoti Kijana wetu Tutafaidi Mno Kupitie Yeye...Big Up Leonard Utafika Tuu❤❤❤
@JosephSekuluАй бұрын
Hongera sana kwa hatua hiyo! Usikate tamaa na kumbuka yaliyompata Galilleo Galillei miaka ya zamani .Mtaalamu wa elimu ya nyota hiyo huwa ananipa moyo wa uvumilivu.
@eugenejr.8844Ай бұрын
Tunasubili Nchi za Magharibi zimchukue na ibaki "muazilishi ni Mtanzania"😢. Tunahitaji Viongozi wataalamu zaidi kana JPM sio wana SIASA ambao wanakata mahindi na wanapokea chakula cha misaada.
@kidsontemba1641Ай бұрын
Daaah ndugu yangu umeiva vizuri sanaa nakukumbuka sana mkuu. HONGERA
@touches4lifeonlinetv46Ай бұрын
Great mental
@DafiMohamed-dz8xkАй бұрын
Hongera sana mwana Serikali inamtumia vp huyu sasa ili nchi Inufaike na mzalendo maana ataisaidia nchi
@nicholai394Ай бұрын
CONGRATS BRO,HAPPY TO HEAR KENYA IKO KWA PROCESS
@hamsikrasheedi1796Ай бұрын
hongera sna kaka mungu atimize kile ulicho kusudia kufanya ❤🎖✊🏼
@abdulsaid4579Ай бұрын
hongera kaka kw bidii unayoifanya. mimi niliondoka bongo mwisho w miaka y tisini kw sababu mwalimu wangu aliniambia science haina future TZ n afrika labda nenda nje ukasome. ss niko nje y nchi miaka kibao. lkn tutasaidiana. ss naona science itakuwa n future TZ. wananchi ndio wakaoipeleka mbele Science sio serikali. 😅
@fredlema52837 күн бұрын
God bless you shayo
@yassirabduli1404Ай бұрын
All the best eng Shayo, keep push
@MuhsiniAmraniАй бұрын
Kwanza napenda kukupa hongera kwa vision ulkokuwa nayo juu ya nchi yetu, tunahitaji vijana wanaojitambua ili taifa liendelee na wewe ni mmojawapo hivyo nina ninaiomba serikali na mashirika binafsi kuitumia vizuri hii fursa ya huyu kijana kumwwzesha ili ndoto yake itimie kwani ataleta mabadiloko makubwa ktk sekta ya sayansi na maendeleo katika nchi yetu.
@98technologies12Ай бұрын
Hongera sana Shayo, nakutakia mafanikio katika mission yako
@user-ii6gs2jg4gАй бұрын
Waafrika au viongozi wake ni mbwa kabisa. Hawa watu wanatakiwa kulindwa na kuendelezwa kimasomo ili waje watumikie nchi zao. Ila huangaliwa tu bila mssada wwte ule bila hata kudhaminiwa
@ProsistaTarimoАй бұрын
Huyu jamaa akisaidiwa na serikali nchi yetu ingemfaid huyu jamaa na akapanua campuni yake na kufundisha wengine . Akatoa ajira na taifa likanufaika.
@Mjomba_SideАй бұрын
Wanafysikia gonga like keep it up Leonard Physicists like us have the biggest contribution to the current global economy but go very underrated
@FastpayMauzoАй бұрын
Hii physics unayoongelea ni ya wap?
@Mjomba_SideАй бұрын
@@FastpayMauzo ni hii ya kila siku hamna technolojia yoyote sasa hivi ambayo haitumi elements za fysikia mfano semi conductors have transistors ambazo zinatumia quantum mechanics. Semi conductors zinatumia kukujibu wewe sasa hivi nakuona message hii
@nick1o7bang17Ай бұрын
🙏🏾 mambo kama aya ndo tunayataka
@weahfeint3406Ай бұрын
Sky ni genius interviewer 👏🏾
@greyuhagile5051Ай бұрын
Wa kwanza nipeni like zangu
@FreeGod368Ай бұрын
Kichwa hasaa na serikali badala imu endorse imekaaa tu kushangilia matundu ya choo yamejengwa uko makete
@wisealiyАй бұрын
Acha kuwa omba omba wewe tengeneza content watu wata like sio kuparamia kwenye content za watu halafu uombe like boya wewe.
@USWAZITVONLINEАй бұрын
Hongera Sana kwake
@lirastanley3907 күн бұрын
Watu tunao huyu ni mmoja kati ya ma genius
@francisruambothetechnicianАй бұрын
Very talented 😎😎😎
@SaraphinaKidoti-qe7giАй бұрын
Sky apo yanaingilia kulia kushoto yanatoka 😂😂😂
@alphoncejohn6308Ай бұрын
Daaa aisee
@user-sj3wf5vz7lАй бұрын
Yani mimi mwanangu nampeleka DIT akasome computer maana anapenda tangu mtoto mpaka sasa akifunga shule yupo busy na computer. Nimemwambia form four hata ukipata divion one utaenda chuo ukasome jambo unalopenda
@lameckmatonyaАй бұрын
Mtu wa maana kabisa
@rashidmsuya5721Ай бұрын
Yani mm ningekua raisi mwaka huu huu ingekua ushaipeleka iyo sat kwenye orbit bila kupoteza mda
@MsAggie5Ай бұрын
Mama kasema atahakikisha atarusha chombo ngoja tuone labda atamuhusisha
@KikwaleRashidАй бұрын
Kwa akili za Africa watamua au wata mchomesha kwa wazugu ili kupoteza ujuzi wake
@Del_busi5Ай бұрын
Unawaza Kama mimi mkuu
@MsAggie5Ай бұрын
Wenzetu wachaga wako vizuri ingekuwa Sisi wazaramo hahahaha angeshakuwa history
@JELSONMAUKIАй бұрын
@@MsAggie5. Hapana kka hata wazaramo mbona wako fresh tu kka😅😅😅
@brunoh_bxАй бұрын
Jamaa ni hazina kubwa kwa taifa ingawa nchi yetu haiwapi support watu kama hawa
@abuubilal2646Ай бұрын
Ndio msiba tulionao nchi hii
@MsAggie5Ай бұрын
Kuliko kuwapeleka hao wacheza movie si Bora huyu kijana apelekwe hata China akae na wataalamu ili arudishe huo utaalamu hapa. Lakini nchi hii kama sio CHAWA huonekani
@brunoh_bxАй бұрын
@@MsAggie5 Yaan hapo ndo tatizo
@gigwaswai6527Ай бұрын
Focus focus. Anaelezea vizuri hata mtoto anaelewa. Nakuombea ndoto zako ziwe halisi. Wahusika watakuona na watakutumia
@amandomwamanda9000Ай бұрын
Kwa kuwa unafanya Azam,kwa nini usimpe hiyo Proposal Bakhresa mkapiga jointly ikawa Azam Satellite?
@MsAggie5Ай бұрын
Umesema kweli vile Bakhresa ana hela angemsaidia huyu kijana wangefanya kitu kikubwa Sana na yeye angepata hela nyingi na nchi yetu ingefika mbali.
@JELSONMAUKIАй бұрын
@@MsAggie5.labda kwsab sio mzanzibar 😅😅😅 natania tu
@saidsalum3475Ай бұрын
Nakumbuka niliwahi kutengeneza radio ya kibao na transistor 4 misumari 10 na spica genge na coil niliwahi kuskia mpaka BBC swahili London 😂😂
@samsonhenry3871Ай бұрын
Very humble brother...Elon wetu.
@KasindiPapiАй бұрын
Watanzania mnabarikiwa sana kuwa na vichwa kweli kweli....😂
@user-ku3om4bu8jАй бұрын
ongera sana bro
@KAIHULAKATUNZI-th9gtАй бұрын
Hongera sanaa bro
@paschaljuma3312Ай бұрын
Hivi nchi yetu inasubiri nini kubadili mtaala wa elimu, yani nachukia sana kusoma vitu ambavyo huji kuvifanyia kazi
@vt-kn6qfАй бұрын
Pictures 📸 linaanza waziri wa science and technology kasomea( journalism) mwana Habari Brother angekuwepo Mzee mangufuli kesho upo ikulu
@MsAggie5Ай бұрын
Mno! Na angehakukisha anasaidiwa hata kuendeleza hiyo sittelite yake
@JELSONMAUKIАй бұрын
@@MsAggie5. Wangemloga 😅😅😲
@JELSONMAUKIАй бұрын
Angelogwa 😅😅😅
@RonnieBertinАй бұрын
Kumbe bongo Kuna maginius
@bonemwaminifu3935Ай бұрын
Sns mnajua sana
@nkeshimanayuda1115Ай бұрын
Genius
@kevinmary7129Ай бұрын
Serikali zetu za wajinga huyu alitakiwa awe kwenye National AI& Space Technology centre talented and genius Tanzanian for development
@MsAggie5Ай бұрын
Mama amesema anataka kurusha chombo mwezini labda atamchukua huyu kijana atapoanza hiyo mission 😂
@akbarkisamo8392Ай бұрын
Akili nying🎉
@msukumamnywamaziwa2785Ай бұрын
MIE NAOMBA SIKU UTULETEE MTU AMBAE AMESOMA KATIKA INCH ZA KISOVIETI, maaana elimu za kimagharibi ni za upotoshaji zaidi.maana hanzina faida kwetu zaidi ya wao. wenyew hao wa magharibi
@MursalLusindeАй бұрын
Umetisha sna mwanetuuu hongera sna
@rawalidrajabu5360Ай бұрын
Kwan serikal huyu mtu haimuon kwel mpk anahangaik kuomb mixaad Nje ya nchi
@Vj_hAnssАй бұрын
shida ya serikali zetu za africa zinasuport sana ujinga kuliko mambo ya maana, na siku zote nabii hakubaliki kwao
@fredyjunior6961Ай бұрын
HONGERA SANA KWAKE MWAMBA
@FrankKashamakula-xb1pcАй бұрын
Lakini apo Unapata picha tofauti Ya Elimu Bora ya wenzetu na hiii ya kinjekitile Tunayo itoa sisi Hapa Bongo
@Mtumishi755Ай бұрын
Brother una madini balaaa
@kingvikey4682Ай бұрын
kiukwel lazima tuungane kwaajil ya maendeleo ya taifa letu
@isacktesha665928 күн бұрын
Huyu jamaa kwa maelezo yake atachukuliwa chap ,
@mwana3887Ай бұрын
Kuna watu wanaexposure ama hizi na hawapewi nafasi it's very sad
@SuleimaniKimweri-t2mАй бұрын
Kwa Mimi Sina kitu lakini nakuombea mipango yako ifanikiwe Brother we unaongea kizalendo sisi sote ni binadamu natuko sayari Moja inawezekana pambana
@Leo-kg2lt27 күн бұрын
Historia na maarifa yote dunia hii ni mtu mweusi kwahiyo tuendelee kuwa katika njia hizi sahihi tuanachane na kila aina ya dini maana hizo ndizo zinatufanya tulale tusifanye mambo makubwa
@user-bd4rc8ov8fАй бұрын
Broo sky njoo utembee pemba zanxibar tuna kupenda
@dvjmiloow2955Ай бұрын
Sky please mlete Tena huyu jamaa.
@rashidbusanya5843Ай бұрын
Jamaa angekua na billion kama mia 9 nahisi angeibadili Tanzania kua ktk sura mpya
@GodfreyOswardАй бұрын
Kwani taifa letu hatukusanyi pesa ya umma?. Kule ulaya na marekani serikali zao zinatoa grant kwa bunifu hizi kwa sababu ni utajiri kwa taifa.
@kavishejrkavishe9643Ай бұрын
Huyu kijana alindwe mnoo kama mboni ya jichoo, manake hawa watu wanataka tuwategemee kila kitu
@JELSONMAUKIАй бұрын
Hawalioni hili 😅😅😅
@ramadhanimtozeni8030Ай бұрын
Serikali na matajiri wenginre msaidieni huyu kijana akamilishe mpango wake kwani utaisaidia sana nchi yetu. Huyu kijana ni hazina kubwa sana kwa nchi yetu.
@FahadAbubakariАй бұрын
Serikali yetu Iko busy kuomba omba nakukopa vitu vya msingi wanapuuza kwa waziri kama nape anawezaje kumuelewa mtu ka huyu
@MsAggie5Ай бұрын
@@FahadAbubakarihata huko kukopa sio tatizo, kuwapeleka wabongo movie Kolea si Bora huyu kijana wangempeleka hata China ambao ni rafiki zetu. Nape ni mtoto wao hahaha alileta robot Eunice bungeni si mliona oooh sio waziri tena
@macksonimwandemele42Ай бұрын
du kumbe mrusi katoka mbali aise
@JosephSekuluАй бұрын
Endelea tu ila namba ya simu yako.
@Cristiano1-3Ай бұрын
Hongera sana mtaaramu
@jonaskilomba4094Ай бұрын
Hiki nikichwa sana
@samuelshunashu77055 күн бұрын
Maviongozi ya hii inchi hayawezi kimtumia maana yanaona Kama atayaharibia madili yao ya kupiga pesa za wanainvhi ndiyo maana hatuendelei muda tu inchi za wenzetu wakimjua tu wanamchikia akanufaishe inchi zao watu wa hivi wako wengi tunataifa lahovyo Sana
@isacktesha665928 күн бұрын
USA hawajamgundua huyu jamaa
@allymkumba70Ай бұрын
Unajua iyo kitu au munapenda langi tu satellite zipo aina mbili into inatoa habari juu kuleta chini ipo inatoa chini kupeleka juu yake inatoa wapi upeleka wapi
@sharifahabsi5004Ай бұрын
Mashaallah 🎉
@gideonstephen6879Ай бұрын
Yaani huyu jamaa nimemfuatilia n8meipenda kazi yake mimi sasa nina miaka hamsini na tatu ujujuzi wangu ni kama wake huyu jamaa japo yeye amekwenda mbali zaidi ujuzi wa ugunduzi hasa katika vifaa hivi vya kielectronics ujuzi huu ungefaidisha tanzania kama tungepàta sapoti kwa serikali
@allymkumba70Ай бұрын
Mm nimependa ila wengi wetu atujui mbona aiko ivyo kaunda satellite nikweli au katengeza kitu kinafanana tu na satellite
@GodenBMDanielАй бұрын
Siyokwamba sisi weusi hatuwezi,tunaweza,hata mabomu ya nyuklia tunaweza,serikali tunazokuwa nazo ndoshida
@hamisiprinsi5240Ай бұрын
Ongera Sana bro, Allah yupo nawe ktk Kila hatua.
@mohammadabdallahmzee3825Ай бұрын
Kwanini mtu km huyu hamufanyi mpango wa makusudi kumkutanisha na viongoz wa serikal wanao husika na fani yake ili wamsaidie na pengine serikal itaweza kupata kitu
@abuubilal2646Ай бұрын
Wapi ndugu yangu nchi hii tumelogwa na nani sijui
@user-yy9sz3lv2sАй бұрын
Kiongozi mwenyewe nani?Nape?
@thobymsule6045Ай бұрын
Wako bize kula kadiri ya urefu wa kamba zao nani ajali
@MsAggie5Ай бұрын
Angekuwa mtoto wao hapo kweli lakini hawahusu mbaya sana
@akbarkisamo8392Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@DpN-rk8xzАй бұрын
Hongera sana Ubarikiwe
@dvjmiloow295521 күн бұрын
Hii interview nme itazama zaaidi ya mara 10.
@user-qr2ol5td5w13 күн бұрын
Me mwenyewe haichoshi kuirudia tena na tena! Kuna mengi ya kujifunza.
@ramamabinda5063Ай бұрын
Safi sana
@NyumbaniHabariMediaАй бұрын
🎉
@rashidyunus1835Ай бұрын
Brother Sky inabidi uweke kipindi tuweze kujua tofauti ya Am na Fm kwa urefu zaidi
@moriscollins4494Ай бұрын
Shida sky anajua kuwahoji wambea akina mwijaku
@FreeGod368Ай бұрын
So AM na FM aweke kipind ata mara moja kwa wiki kuhusu teknolojia..
@nicenice3881Ай бұрын
🇹🇿🇹🇿
@user-it7ih1it3mАй бұрын
Mtangazaji sky umezingua sana unamuacha mtaalamu kuelezea historia zaidi kuliko kuuchambua taaruma yake Nilitegemea mtangazaji umuulize maswali magumu ya kitaalamu ili watu waijue kwa undani sayansi. Sasa maelezo yote hata hatuelewi satelaiti ni kitu gani Yaani mnaongelea vitu utadhan watanzania wote wanaelewa kitu gani mnazungumza Bila shaka watu wote tumewahi kusikia satellite lkn bado hatujui kwa undani ni kitu gani na utendaji kazi wake unakuwaje
@MsAggie5Ай бұрын
Amesema atamuita tena aeleze Kwa undani hii ilikuwa intro tu na historia yake.
@djnizohАй бұрын
HUYU NI ALIEN 👽 TYPE
@Del_busi5Ай бұрын
Allah akulinde maanake wajinga wanaweza kumuuwa huyu genius maana wa Africa hatunaga maroho mazuri
@jacksonmsendo3478Ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@user-ys3tn1pf5kАй бұрын
Wazungu wata muuwa huyu
@pendosailo1989Ай бұрын
Huwa hawawauwi wanachofanya ni kumuvuta kwao. Wazungu hawauwi watu wenye akili ila wanawatumia.
@MsAggie5Ай бұрын
Waamerika wakiiona hii project yake lazima watamuiba
@Entertainmen_tv2024Ай бұрын
Kichwa kwelikweli
@silverman6930Ай бұрын
Where are we failing Tanzania ? We don’t have a centre where by we keep people like this dude together and utilised them … instead it’s all about corruption.. its sad . What a very intellectual dude … Sky you know how to host ..