🔘JE, NA WEWE UNA HABARI? 🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402), 🔘WhatsApp (+255 692 318213) 🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com 🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Пікірлер: 11
@abdalahgunda131918 күн бұрын
Amkeni nchi ni yetu hakuna mwingine kuja kuwatetea lsipokuwa ni sisi kubadilika ktk taifa letu kazi ya kubadili mfumo sio wa chadema au upinzani ni kubadilika ktk mawazo yetu na kufanya viongozi wa bovu ktk serekali kutulewa shule tulienda wengi ila hatuwezi kuwa wote viongozi ktk serekali lakini tunauelewa
@noelyhaule569518 күн бұрын
Kwamim naona sawa to😂😂😂 mana si mnaendlea kuwakumbatia mi naona saf to😅😅😅😅😅😅😅
@reginas183218 күн бұрын
Hii Nchi inatakiwa mabadiliko. Huu utawala wanachojua ni kuumiza wananchi tu. Wa I wako na mavieti zinazotokana na jasho la wanyonge
@isamony5818 күн бұрын
Safi kabisa
@MathewsSikazwe-up4qd18 күн бұрын
bado ujasemaaa, hapo bado.
@generosennko834318 күн бұрын
Mkurugenzi kaa ofisini bwana uhudumie watu. Usikae getini kuidhinisha mateso ya unaowaongoza. Mwaka wa kuuumbuka huu
@ChristerKoku18 күн бұрын
Viburi kwa wenye mamlaka,hawapendi kibadirika wanna mioyo migumu.Ndo wataanza kujilambalamba kulinda uchaguzi.lakini pia kulindana kunaliangamiza taifa,
@tibbsminja257518 күн бұрын
Mheshimiwa Tundu Lissu ameyasema sana haya mambo ni nchi nzima wqkulima wanapigwa ile mbaya na hela yenyewe inaenda mifukoni. Uchaguzi ujao wa mitaa waondoeni Hawa wahuni wa CCM!!
@margarethpolepole743818 күн бұрын
Kwa maisha ni msgumu haswaaa aaaaaaaa
@margarethpolepole743818 күн бұрын
Makubwa haya Mungu tusaidie tusiwe kama Kenya mbona nchi imekuwa hivi jamani