Baba hakika hata huko uliko tunaamini upo pamoja nasi vijana wako wewe ni baba yetu Tabzania
@africanchocolate42164 жыл бұрын
🤩 Magufuli ali takiwa awe Raisi wa Tanzania 🇹🇿 pindi tu Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipo toka madarakani! Magufuli Oyeeeeh 😲 💪🏾 🇹🇿🦚🌴🏝🌳❤️🌹🥀🙏🏾
@upendomwaipyana92984 жыл бұрын
Kabisa jmn Yani nikimsikiliza mpk nalia peke yg
@radhiambwana87874 жыл бұрын
Kweli kabsa mungu ampe umri mrefu aongoze kwamiaka 20 panapo uzm.
@alexkihongola7984 жыл бұрын
Yaani kweli kabisa, kuna watu waliitawala hii nchi kwa uipapasa tu.
@kayeesbelewa48193 жыл бұрын
Kweli kabisa,tungekua mbali.
@allymnyenye81096 ай бұрын
Well Said
@ferouzmasoud47414 жыл бұрын
Asante Baba magufuri Mw/MUNGU 🙏 akupe maisha marefu Zaid Ww ndyo kiongoz tulye kuwa tunamuhtaj
@daevywizzy1924 жыл бұрын
Best president ever 🙏 🙏 🙏 🙏
@hamsouledi174 жыл бұрын
Mr Magufuli ungwna wako unaleta faraja kwa sura ya kisiasa Africa.
@majidayubu82214 жыл бұрын
Kama na wewe ni mpinzan kama mimi ila unamkubali magu gonga like kama zote magu myaka mia
@mayrfrimi47594 жыл бұрын
Baba magu tunaomba pia kule Kilimanjaro, kuna uwanja uko maeneo ya soweto, ni pori la miaka mingi , inasemekana kilinunuliwa na muingereza , na hakifanyii chochote , tunakiomba sisi wana Kilimanjaro tukiendeleze .
@sadothisalvatory10054 жыл бұрын
Aisee mh shimiwa Raisi Endelea baba yani Mimi Nakukubali sana Raisi
@danieljulius47084 жыл бұрын
Raundi hii ni kunyooshwa tu bila kupepesa, imebakia kwa wabunge watoa rushwa za chumvi na nyamaaa, this is maguuuu brother, a new pan africanist of this era.
@claudiangowi95854 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥😂😂
@bizuwena6234 жыл бұрын
INGEKUWA KASI HII KAIANZA WAKATI HUU TUNGESEMA MSIMU WA KURA UMEFIKA.LAKINI KASA HII MWANZO MWISHO.SAFI SANA
@ismailyusuph7404 жыл бұрын
Mh Amiri Jeshi Mkuu Magufuli anajua story zote ‘ usimfiche kabisa ..!...Sasa shughuli mnayo...!
@leokamil62844 жыл бұрын
Raisi asante sana yaani nakupenda kwa kuwapasha viongozi wanaojifanya wajuaji .Badili Wizara hiyo huyo kalewa madaraka
@tebogolucia68894 жыл бұрын
Safi sn magufuli mungu atakulinda unapiga kazi sana wewe unafaa kutawala miaka ata 30 unajua sn christiano simba Johannesburg
@leokamil62844 жыл бұрын
Yaani Mheshimiwa Raisi leo natamani ningekuwa ningeomba nikuone maana kura yangu nakupa maana ww ni kiboko yao 👏👏👏
@shawaribakari12263 жыл бұрын
Maguful nilikuaa nakupendaa Sana lkn mungu nakupendaa Sana Tena Sana zaidiii yetuu 😭
@Mimi-wf7mb4 жыл бұрын
Katika mawaziri wa Magu hapa kwa lukuvi alipatia. Anapoga kazi balaa. Alipewa wizara yenye changamoto za kila rangi. Anaishughulikia vilivyo. Mungu ampe nguvu kwa kweli
@basilisamsaka84694 жыл бұрын
Lukuvi amejitahidi sana jamn migogoro mingi ya ardhi ameitatua,asiaibishwe kwa hili jamn
@zuenaomary99874 жыл бұрын
Lukivu leo huna hamu ila kazi unafanya sana
@letshikuku394 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂kazi ipo ukiwa muongo ujue kujipanga
@letshikuku394 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@gridkibanda25824 жыл бұрын
Perfect Magufuli
@richardboaz-mashagospel23464 жыл бұрын
Magufuli atawale tu, mpaka apate umri wa miaka angalau 80 ndio angalau apumzike! Lakini kwa sasa aendelee tu.☺
@richardboaz-mashagospel23464 жыл бұрын
Tumeuona uchumi wa kati? Au ndio wanaokataa wanakataa tu, Tangu uhuru mpaka leo ndani ya miaka mitano JPM katangazia ulimwengu yeye ni wa MFANO. ...nani anaunga mkono Dr, akae madarakani tu mpaka azeeke? ¿tu hablas! Sema
@eischerschwederm78764 жыл бұрын
Rais wetu you came at the right time..ukiwasikia watanzania maskini wanavyonungunika unatafikiri niwakimbizi..janabi ila hii nchi hatari
@zunguleunardo92924 жыл бұрын
Mzee lukuvi kmbe anamuogopa Mzee magu
@omaniallybakari23724 жыл бұрын
Kazi mkuu lazima aogope
@salumjuma31524 жыл бұрын
Hatari magu noumah na huku Zanzibar mtuletee mtu kama huyu
@user-sb7ge6yj1i5 ай бұрын
Hatopata kiongozi Kama huyu mungu atamlipa kwa achokisimamia
@manyotaskipper57654 жыл бұрын
Kwa UTENDAJI HUU WA MAGUFULI acha MBOWE AJIFANYE KATWEKA MAANA HANA HOJA YA KUZUNGUMZA
@moshiomarymnyeda89074 жыл бұрын
Maguuu kiboko Mwaziri Roho zao zipo juu kama wanakula Tambi 😃😃😃
@letshikuku394 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂jiwe lisage unga leo hii 😂😂😂
@upendomwaipyana92984 жыл бұрын
Uwiiiiiii hkn kuiba ule na wtt yk tunakula wote na miaka kumi mbele tunampa
@stanslausmwasumbi42364 жыл бұрын
Rukuvi kuwa makini umejikanyaga kanyaga sana angalia mkuu
@mimitijara48063 жыл бұрын
Awa haki lulu ime shatutoka waallahi mungu tupekama big ddy wallahi
@claudiangowi95854 жыл бұрын
Santeeeeee baba Magufuli
@mkumbosamson79814 жыл бұрын
Lukuvi nakukubali sana kiongozi,Wewe ni Rais mtarajiwa
@claudiangowi95854 жыл бұрын
Koma
@leokamil62844 жыл бұрын
@@claudiangowi9585 asante jamaa anajidai huyo ata ongea yake ya kijeuri na kujiskia naunga mkono koma yako
@nasriahmad57154 жыл бұрын
Majaliwa
@kimsaid76434 жыл бұрын
Kwangu Mimi ni Japho basi
@edistarickmarandu85974 жыл бұрын
Mungu ampe maisha marefu
@jimmyjullius16704 жыл бұрын
Mh Lukuvi jaribu kuongea uongo unao endana na ukweli ili wananchi wakuelewe
@kennethngoleka5173 жыл бұрын
Kweli raisi hapo waziri amemfinyia mwenyekiti hiyo cyo kweli,unajuwa kutenda haki ni kazii waziri fanya haki usiendeshwe kama asemavyo mhesh raisi
@hassanmalamla34854 жыл бұрын
Jiwe lisage unga leo
@leokamil62844 жыл бұрын
🤣😂👌
@alexkihongola7984 жыл бұрын
Hahahaaa
@gregorychogelo20134 жыл бұрын
Lukuvi pia yuko vizuri ila inabidi aongeze umakini!!
@fraviansweetberty88193 жыл бұрын
Ni yupi tena atakayesikiliza kero zetuu jaman jibu ni ayupo tunakulilia sasaiv ulisimamia ukweli na haki nandomaan sasaiv wanakuona hufai baba ila Kama ss ulitufaa Sana jpm Pumzika kwa aman
@rusumotfsngara21094 жыл бұрын
Lukuvi very humble...
@abumusabmusab37714 жыл бұрын
Huyu ni gadaff mpya hataki MA's hara na wala hana urafiki na MTU ktk kazi
@ilovejesus93034 жыл бұрын
Sasa nimeelewa kwa Nini mashamba yanauzwa kwa kasi hapo dar 🙌🙌🙌🙌
@YasrFak Жыл бұрын
Wewe ulikuwa raisi wa kweli
@smartmwembe67953 жыл бұрын
mwenyekiti wa chama 🏃🏃
@zunguleunardo92924 жыл бұрын
Usiwafnye watoto wadogo ata mie sio mtoto mdg najua uyo amekushika😂😂😂😂
@charlesnassary66894 жыл бұрын
duu maguful kiboko
@hidayaswai31194 жыл бұрын
Baba yapo na maji kilimanjaro inaitwa ya mzungu,hii imekaaje Rais wetu. Maji yetu anamiliki mzungu kivipi,baba tunaomba hizi idara nyeti za vitu lishe ziwe chini ya serikali kwa afya ya watu wako wanyonge. Sidhani km tukienda ulaya watatupa investment ya hiyo idara. Baba tunakuomba
@kaundasutikaunda77694 жыл бұрын
Yani hawa wasaidizi wa rais baadhi wanasubil mpaka rais aje uko wakati wao wanaweza kulitatua. Ndio maana Mh Makonda wananchi wa dar wanampenda yeye anavamia tu sehemu na kulimsha. Hapo siku rais akija utaona Mkurugenzi, DC na RC watakavyo anza kujikanyaga kanyaga.
@letshikuku394 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂ukiwa muongo ujue kujipanga mzee 😂😂😂😂😂😂
@vikkimaina85583 жыл бұрын
Natamani nikwetu Kenya haya mambo yangekua yanaendelea,,mungu tupe president kama huyu anayejari wakulima wa chini,mungu tu naomba skiza maombi yetu si wakenya
@radhiambwana87874 жыл бұрын
Kura za URAIS 2020 niuhakika mzee baba popote ulipo tupo.
@teacherd4 жыл бұрын
WANAFUNZI WOTE O-LEVEL,HIGH LEVEL MPAKA CHUO KIKUU... Pita kwenye channel yangu kuna mengi mazuri usipuuuzeeeeee
@hidayaswai31194 жыл бұрын
Magufuli babalao
@ibrahimucharles22274 жыл бұрын
Raha ya magu ni Muwazi ndo maana watu wanapata shida sana
@edistarickmarandu85974 жыл бұрын
huyu baba aendeleee.kutawala miaka 100
@rosegrminder57024 жыл бұрын
Jesus blessing should rain on him
@zemgotanar52644 жыл бұрын
Tunasimamia ukweri ndio baba
@selemaninankaha93524 жыл бұрын
Mzee huu sio utawala wenu uliouzoea hauoni aibu
@aminanamoyo834 жыл бұрын
Lukuvi namuaminia kuna watu tu wanataka kumharibia wanampa imfomation si sahihi, lukuvi we jembe no one like you tunakupenda chapa kazi,kazi yoyote haikosi changamoto, ndio hizo.
@janekikoti21794 жыл бұрын
Lukuvi hana shida kabsa watu tu wanamletea sifa mbaya
@user-yp1lm5fb1v9 ай бұрын
Tutakukumbuka baba
@bibletv98184 жыл бұрын
Halafu mtu mwenye akili yake timamu anamfananisha Dkt. JPM na nani sijui. Hebu tumwache mzee afanye kazi.
@kamalofanuel81204 жыл бұрын
Na Tundu lisu😆😆😆😆
@gabrielbisekwa52384 жыл бұрын
Go go go JPM
@gregorychogelo20134 жыл бұрын
#VivaJPM!!
@evamlay89974 жыл бұрын
Lukuvi nakupenda sana
@fatumakamba85794 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣nitamwambia
@ilovejesus93034 жыл бұрын
@Moonface ila anajitahidi Sana katika kazi
@hidayaswai31194 жыл бұрын
More than anything my President
@ladislausngoyinde43844 жыл бұрын
Nchi ilikuwa imeshauzwa
@basilisamsaka84694 жыл бұрын
Lukuvi ni waziri makini ila mzee punguza .....
@jumakapesa7264 жыл бұрын
Rais wa moyo wangu
@bimumaulid11714 жыл бұрын
MDOMO WAKO LEO KWISHNEY
@kennethngoleka5173 жыл бұрын
Leo kwishney maana naye huyu, haelewekagi muda mwengine.asitetee
Kwa Tanzania hakuna Raisi kama magufuri hata tokea labda!
@nicholasmacharia3102 Жыл бұрын
Ujamaaism
@jagnamohamed62984 жыл бұрын
Lukuvi yupo vizuri
@rinovarthiliwi13144 жыл бұрын
Watanzania tusiwe kama watu ambao hatujaenda shule. Demokrasia na Katiba ni vitu muhimu sana kwa nchi yoyote ile hata kama mtakuwa na kiongozi bora na anayekubalika namna gani. Mimi nawashauri Watanzania tubadilike kwa sababu hauwezi kuwa na kiongozi bora kila wakati. Magufuli leo mnamuona bora lakini ni kwa sababu ya kodi zenu mnazolipa na hamuwezi kuwa nae mda wote. Vijana wa kati ya miaka 18 - 30 mnataka kuniambia mtakuwa na Magufuli kila wakati au kwa kuwa amewaambia yeye ni "JIWE" mnadhanishia hatazeeka. Hakikisheni Katiba ya nchi ni bora na Demokrasia ikubalike msidanyanywe na Wanasiasa au watu wa Dini kuwa eti Demokrasia ni ya Wazungu. Lazima mrekebishe Katiba kipindi hiki mukiwa na kiongozi muelewa. Mimi bado simuoni kuwa Magufuli ni kiongozi bora kwa sababu anafanya mambo makubwa Kitaifa huku watu Wakifilisika, Wakipotea, na kuuwawa. Hivi mnataka kuniaminisha kuwa mtu na familia yake aliyefilisiwa na Magufuli anamshangilia. Mnataka kuniambia Familia ya watu waliofukuzwa kazi na kukosa ajira inamshangilia Magufuli. Mnataka kuniaminisha kuwa Familia iliyotumbuliwa na pengine mtu wao kuuwawa na Serekali ya Magufuli wanampenda. Acheni kuwa "MAZUZU"
@abdulaisha41452 ай бұрын
Kisha utasikia punda mmoja anasema jpm hakua rai mzuri hata ni mambo ya kusikitisha mungu amuweke kw
@nkumbimnyamwezi272810 ай бұрын
Mzee hana baya pengo lako halitozibika
@dennischeyo13024 жыл бұрын
Kura yangu chukuwa magu
@edayaemily89334 жыл бұрын
Hahaa
@michaelcharles89424 жыл бұрын
Ha
@kassidpandu98064 жыл бұрын
Hata mh lukuvi pia anamuogopa rais kwa kweli anatetemeka
@mwambamkombozi46724 жыл бұрын
Kuwa waziri katika serikali ya Magu ni sawa na utumwa(slave) tu.
@leokamil62844 жыл бұрын
Badilisha iWaziri mpya nakuomba Raisi
@jagnamohamed62984 жыл бұрын
uwe wewe
@kipigapasilisungu25814 жыл бұрын
.
@abubakarhassan43272 жыл бұрын
Waziti uwe muazi idara inamatatiizo
@user-ym8mu6ez2n11 ай бұрын
Alikua mpenda ukwel kama yesu
@bimumaulid11714 жыл бұрын
LUKUVI UNAJIBU WAZEE WENYE MASHAMBA NA ARDHI VIBAYA SANA