"LUKUVI SISI SIO WATOTO WADOGO" MAGUFULI AMVAA VIKALI WAZIRI MBELE YA WANANCHI "UMEWEKWA MKONONI"

  Рет қаралды 127,397

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Пікірлер: 112
@kingmazera8374
@kingmazera8374 4 ай бұрын
Baba hakika hata huko uliko tunaamini upo pamoja nasi vijana wako wewe ni baba yetu Tabzania
@africanchocolate4216
@africanchocolate4216 4 жыл бұрын
🤩 Magufuli ali takiwa awe Raisi wa Tanzania 🇹🇿 pindi tu Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipo toka madarakani! Magufuli Oyeeeeh 😲 💪🏾 🇹🇿🦚🌴🏝🌳❤️🌹🥀🙏🏾
@upendomwaipyana9298
@upendomwaipyana9298 4 жыл бұрын
Kabisa jmn Yani nikimsikiliza mpk nalia peke yg
@radhiambwana8787
@radhiambwana8787 4 жыл бұрын
Kweli kabsa mungu ampe umri mrefu aongoze kwamiaka 20 panapo uzm.
@alexkihongola798
@alexkihongola798 4 жыл бұрын
Yaani kweli kabisa, kuna watu waliitawala hii nchi kwa uipapasa tu.
@kayeesbelewa4819
@kayeesbelewa4819 3 жыл бұрын
Kweli kabisa,tungekua mbali.
@allymnyenye8109
@allymnyenye8109 6 ай бұрын
Well Said
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 4 жыл бұрын
Asante Baba magufuri Mw/MUNGU 🙏 akupe maisha marefu Zaid Ww ndyo kiongoz tulye kuwa tunamuhtaj
@daevywizzy192
@daevywizzy192 4 жыл бұрын
Best president ever 🙏 🙏 🙏 🙏
@hamsouledi17
@hamsouledi17 4 жыл бұрын
Mr Magufuli ungwna wako unaleta faraja kwa sura ya kisiasa Africa.
@majidayubu8221
@majidayubu8221 4 жыл бұрын
Kama na wewe ni mpinzan kama mimi ila unamkubali magu gonga like kama zote magu myaka mia
@mayrfrimi4759
@mayrfrimi4759 4 жыл бұрын
Baba magu tunaomba pia kule Kilimanjaro, kuna uwanja uko maeneo ya soweto, ni pori la miaka mingi , inasemekana kilinunuliwa na muingereza , na hakifanyii chochote , tunakiomba sisi wana Kilimanjaro tukiendeleze .
@sadothisalvatory1005
@sadothisalvatory1005 4 жыл бұрын
Aisee mh shimiwa Raisi Endelea baba yani Mimi Nakukubali sana Raisi
@danieljulius4708
@danieljulius4708 4 жыл бұрын
Raundi hii ni kunyooshwa tu bila kupepesa, imebakia kwa wabunge watoa rushwa za chumvi na nyamaaa, this is maguuuu brother, a new pan africanist of this era.
@claudiangowi9585
@claudiangowi9585 4 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥😂😂
@bizuwena623
@bizuwena623 4 жыл бұрын
INGEKUWA KASI HII KAIANZA WAKATI HUU TUNGESEMA MSIMU WA KURA UMEFIKA.LAKINI KASA HII MWANZO MWISHO.SAFI SANA
@ismailyusuph740
@ismailyusuph740 4 жыл бұрын
Mh Amiri Jeshi Mkuu Magufuli anajua story zote ‘ usimfiche kabisa ..!...Sasa shughuli mnayo...!
@leokamil6284
@leokamil6284 4 жыл бұрын
Raisi asante sana yaani nakupenda kwa kuwapasha viongozi wanaojifanya wajuaji .Badili Wizara hiyo huyo kalewa madaraka
@tebogolucia6889
@tebogolucia6889 4 жыл бұрын
Safi sn magufuli mungu atakulinda unapiga kazi sana wewe unafaa kutawala miaka ata 30 unajua sn christiano simba Johannesburg
@leokamil6284
@leokamil6284 4 жыл бұрын
Yaani Mheshimiwa Raisi leo natamani ningekuwa ningeomba nikuone maana kura yangu nakupa maana ww ni kiboko yao 👏👏👏
@shawaribakari1226
@shawaribakari1226 3 жыл бұрын
Maguful nilikuaa nakupendaa Sana lkn mungu nakupendaa Sana Tena Sana zaidiii yetuu 😭
@Mimi-wf7mb
@Mimi-wf7mb 4 жыл бұрын
Katika mawaziri wa Magu hapa kwa lukuvi alipatia. Anapoga kazi balaa. Alipewa wizara yenye changamoto za kila rangi. Anaishughulikia vilivyo. Mungu ampe nguvu kwa kweli
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 4 жыл бұрын
Lukuvi amejitahidi sana jamn migogoro mingi ya ardhi ameitatua,asiaibishwe kwa hili jamn
@zuenaomary9987
@zuenaomary9987 4 жыл бұрын
Lukivu leo huna hamu ila kazi unafanya sana
@letshikuku39
@letshikuku39 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂kazi ipo ukiwa muongo ujue kujipanga
@letshikuku39
@letshikuku39 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@gridkibanda2582
@gridkibanda2582 4 жыл бұрын
Perfect Magufuli
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 4 жыл бұрын
Magufuli atawale tu, mpaka apate umri wa miaka angalau 80 ndio angalau apumzike! Lakini kwa sasa aendelee tu.☺
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 4 жыл бұрын
Tumeuona uchumi wa kati? Au ndio wanaokataa wanakataa tu, Tangu uhuru mpaka leo ndani ya miaka mitano JPM katangazia ulimwengu yeye ni wa MFANO. ...nani anaunga mkono Dr, akae madarakani tu mpaka azeeke? ¿tu hablas! Sema
@eischerschwederm7876
@eischerschwederm7876 4 жыл бұрын
Rais wetu you came at the right time..ukiwasikia watanzania maskini wanavyonungunika unatafikiri niwakimbizi..janabi ila hii nchi hatari
@zunguleunardo9292
@zunguleunardo9292 4 жыл бұрын
Mzee lukuvi kmbe anamuogopa Mzee magu
@omaniallybakari2372
@omaniallybakari2372 4 жыл бұрын
Kazi mkuu lazima aogope
@salumjuma3152
@salumjuma3152 4 жыл бұрын
Hatari magu noumah na huku Zanzibar mtuletee mtu kama huyu
@user-sb7ge6yj1i
@user-sb7ge6yj1i 5 ай бұрын
Hatopata kiongozi Kama huyu mungu atamlipa kwa achokisimamia
@manyotaskipper5765
@manyotaskipper5765 4 жыл бұрын
Kwa UTENDAJI HUU WA MAGUFULI acha MBOWE AJIFANYE KATWEKA MAANA HANA HOJA YA KUZUNGUMZA
@moshiomarymnyeda8907
@moshiomarymnyeda8907 4 жыл бұрын
Maguuu kiboko Mwaziri Roho zao zipo juu kama wanakula Tambi 😃😃😃
@letshikuku39
@letshikuku39 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂jiwe lisage unga leo hii 😂😂😂
@upendomwaipyana9298
@upendomwaipyana9298 4 жыл бұрын
Uwiiiiiii hkn kuiba ule na wtt yk tunakula wote na miaka kumi mbele tunampa
@stanslausmwasumbi4236
@stanslausmwasumbi4236 4 жыл бұрын
Rukuvi kuwa makini umejikanyaga kanyaga sana angalia mkuu
@mimitijara4806
@mimitijara4806 3 жыл бұрын
Awa haki lulu ime shatutoka waallahi mungu tupekama big ddy wallahi
@claudiangowi9585
@claudiangowi9585 4 жыл бұрын
Santeeeeee baba Magufuli
@mkumbosamson7981
@mkumbosamson7981 4 жыл бұрын
Lukuvi nakukubali sana kiongozi,Wewe ni Rais mtarajiwa
@claudiangowi9585
@claudiangowi9585 4 жыл бұрын
Koma
@leokamil6284
@leokamil6284 4 жыл бұрын
@@claudiangowi9585 asante jamaa anajidai huyo ata ongea yake ya kijeuri na kujiskia naunga mkono koma yako
@nasriahmad5715
@nasriahmad5715 4 жыл бұрын
Majaliwa
@kimsaid7643
@kimsaid7643 4 жыл бұрын
Kwangu Mimi ni Japho basi
@edistarickmarandu8597
@edistarickmarandu8597 4 жыл бұрын
Mungu ampe maisha marefu
@jimmyjullius1670
@jimmyjullius1670 4 жыл бұрын
Mh Lukuvi jaribu kuongea uongo unao endana na ukweli ili wananchi wakuelewe
@kennethngoleka517
@kennethngoleka517 3 жыл бұрын
Kweli raisi hapo waziri amemfinyia mwenyekiti hiyo cyo kweli,unajuwa kutenda haki ni kazii waziri fanya haki usiendeshwe kama asemavyo mhesh raisi
@hassanmalamla3485
@hassanmalamla3485 4 жыл бұрын
Jiwe lisage unga leo
@leokamil6284
@leokamil6284 4 жыл бұрын
🤣😂👌
@alexkihongola798
@alexkihongola798 4 жыл бұрын
Hahahaaa
@gregorychogelo2013
@gregorychogelo2013 4 жыл бұрын
Lukuvi pia yuko vizuri ila inabidi aongeze umakini!!
@fraviansweetberty8819
@fraviansweetberty8819 3 жыл бұрын
Ni yupi tena atakayesikiliza kero zetuu jaman jibu ni ayupo tunakulilia sasaiv ulisimamia ukweli na haki nandomaan sasaiv wanakuona hufai baba ila Kama ss ulitufaa Sana jpm Pumzika kwa aman
@rusumotfsngara2109
@rusumotfsngara2109 4 жыл бұрын
Lukuvi very humble...
@abumusabmusab3771
@abumusabmusab3771 4 жыл бұрын
Huyu ni gadaff mpya hataki MA's hara na wala hana urafiki na MTU ktk kazi
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
Sasa nimeelewa kwa Nini mashamba yanauzwa kwa kasi hapo dar 🙌🙌🙌🙌
@YasrFak
@YasrFak Жыл бұрын
Wewe ulikuwa raisi wa kweli
@smartmwembe6795
@smartmwembe6795 3 жыл бұрын
mwenyekiti wa chama 🏃🏃
@zunguleunardo9292
@zunguleunardo9292 4 жыл бұрын
Usiwafnye watoto wadogo ata mie sio mtoto mdg najua uyo amekushika😂😂😂😂
@charlesnassary6689
@charlesnassary6689 4 жыл бұрын
duu maguful kiboko
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 4 жыл бұрын
Baba yapo na maji kilimanjaro inaitwa ya mzungu,hii imekaaje Rais wetu. Maji yetu anamiliki mzungu kivipi,baba tunaomba hizi idara nyeti za vitu lishe ziwe chini ya serikali kwa afya ya watu wako wanyonge. Sidhani km tukienda ulaya watatupa investment ya hiyo idara. Baba tunakuomba
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 4 жыл бұрын
Yani hawa wasaidizi wa rais baadhi wanasubil mpaka rais aje uko wakati wao wanaweza kulitatua. Ndio maana Mh Makonda wananchi wa dar wanampenda yeye anavamia tu sehemu na kulimsha. Hapo siku rais akija utaona Mkurugenzi, DC na RC watakavyo anza kujikanyaga kanyaga.
@letshikuku39
@letshikuku39 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂ukiwa muongo ujue kujipanga mzee 😂😂😂😂😂😂
@vikkimaina8558
@vikkimaina8558 3 жыл бұрын
Natamani nikwetu Kenya haya mambo yangekua yanaendelea,,mungu tupe president kama huyu anayejari wakulima wa chini,mungu tu naomba skiza maombi yetu si wakenya
@radhiambwana8787
@radhiambwana8787 4 жыл бұрын
Kura za URAIS 2020 niuhakika mzee baba popote ulipo tupo.
@teacherd
@teacherd 4 жыл бұрын
WANAFUNZI WOTE O-LEVEL,HIGH LEVEL MPAKA CHUO KIKUU... Pita kwenye channel yangu kuna mengi mazuri usipuuuzeeeeee
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 4 жыл бұрын
Magufuli babalao
@ibrahimucharles2227
@ibrahimucharles2227 4 жыл бұрын
Raha ya magu ni Muwazi ndo maana watu wanapata shida sana
@edistarickmarandu8597
@edistarickmarandu8597 4 жыл бұрын
huyu baba aendeleee.kutawala miaka 100
@rosegrminder5702
@rosegrminder5702 4 жыл бұрын
Jesus blessing should rain on him
@zemgotanar5264
@zemgotanar5264 4 жыл бұрын
Tunasimamia ukweri ndio baba
@selemaninankaha9352
@selemaninankaha9352 4 жыл бұрын
Mzee huu sio utawala wenu uliouzoea hauoni aibu
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 4 жыл бұрын
Lukuvi namuaminia kuna watu tu wanataka kumharibia wanampa imfomation si sahihi, lukuvi we jembe no one like you tunakupenda chapa kazi,kazi yoyote haikosi changamoto, ndio hizo.
@janekikoti2179
@janekikoti2179 4 жыл бұрын
Lukuvi hana shida kabsa watu tu wanamletea sifa mbaya
@user-yp1lm5fb1v
@user-yp1lm5fb1v 9 ай бұрын
Tutakukumbuka baba
@bibletv9818
@bibletv9818 4 жыл бұрын
Halafu mtu mwenye akili yake timamu anamfananisha Dkt. JPM na nani sijui. Hebu tumwache mzee afanye kazi.
@kamalofanuel8120
@kamalofanuel8120 4 жыл бұрын
Na Tundu lisu😆😆😆😆
@gabrielbisekwa5238
@gabrielbisekwa5238 4 жыл бұрын
Go go go JPM
@gregorychogelo2013
@gregorychogelo2013 4 жыл бұрын
#VivaJPM!!
@evamlay8997
@evamlay8997 4 жыл бұрын
Lukuvi nakupenda sana
@fatumakamba8579
@fatumakamba8579 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣nitamwambia
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
@Moonface ila anajitahidi Sana katika kazi
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 4 жыл бұрын
More than anything my President
@ladislausngoyinde4384
@ladislausngoyinde4384 4 жыл бұрын
Nchi ilikuwa imeshauzwa
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 4 жыл бұрын
Lukuvi ni waziri makini ila mzee punguza .....
@jumakapesa726
@jumakapesa726 4 жыл бұрын
Rais wa moyo wangu
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 4 жыл бұрын
MDOMO WAKO LEO KWISHNEY
@kennethngoleka517
@kennethngoleka517 3 жыл бұрын
Leo kwishney maana naye huyu, haelewekagi muda mwengine.asitetee
@leokamil6284
@leokamil6284 4 жыл бұрын
Viva Raisi
@linnageorge7795
@linnageorge7795 4 жыл бұрын
Naona,akuna,aja ya,upinzan,huyu,rais,,ni,wananchi,wote,,magu,hoooooooooooye
@amanisima9357
@amanisima9357 4 жыл бұрын
Best President Ever.
@user-ym8mu6ez2n
@user-ym8mu6ez2n 11 ай бұрын
Alikua mpenda ukwel kama yesu
@mihayowambura3349
@mihayowambura3349 6 ай бұрын
Kwa Tanzania hakuna Raisi kama magufuri hata tokea labda!
@nicholasmacharia3102
@nicholasmacharia3102 Жыл бұрын
Ujamaaism
@jagnamohamed6298
@jagnamohamed6298 4 жыл бұрын
Lukuvi yupo vizuri
@rinovarthiliwi1314
@rinovarthiliwi1314 4 жыл бұрын
Watanzania tusiwe kama watu ambao hatujaenda shule. Demokrasia na Katiba ni vitu muhimu sana kwa nchi yoyote ile hata kama mtakuwa na kiongozi bora na anayekubalika namna gani. Mimi nawashauri Watanzania tubadilike kwa sababu hauwezi kuwa na kiongozi bora kila wakati. Magufuli leo mnamuona bora lakini ni kwa sababu ya kodi zenu mnazolipa na hamuwezi kuwa nae mda wote. Vijana wa kati ya miaka 18 - 30 mnataka kuniambia mtakuwa na Magufuli kila wakati au kwa kuwa amewaambia yeye ni "JIWE" mnadhanishia hatazeeka. Hakikisheni Katiba ya nchi ni bora na Demokrasia ikubalike msidanyanywe na Wanasiasa au watu wa Dini kuwa eti Demokrasia ni ya Wazungu. Lazima mrekebishe Katiba kipindi hiki mukiwa na kiongozi muelewa. Mimi bado simuoni kuwa Magufuli ni kiongozi bora kwa sababu anafanya mambo makubwa Kitaifa huku watu Wakifilisika, Wakipotea, na kuuwawa. Hivi mnataka kuniaminisha kuwa mtu na familia yake aliyefilisiwa na Magufuli anamshangilia. Mnataka kuniambia Familia ya watu waliofukuzwa kazi na kukosa ajira inamshangilia Magufuli. Mnataka kuniaminisha kuwa Familia iliyotumbuliwa na pengine mtu wao kuuwawa na Serekali ya Magufuli wanampenda. Acheni kuwa "MAZUZU"
@abdulaisha4145
@abdulaisha4145 2 ай бұрын
Kisha utasikia punda mmoja anasema jpm hakua rai mzuri hata ni mambo ya kusikitisha mungu amuweke kw
@nkumbimnyamwezi2728
@nkumbimnyamwezi2728 10 ай бұрын
Mzee hana baya pengo lako halitozibika
@dennischeyo1302
@dennischeyo1302 4 жыл бұрын
Kura yangu chukuwa magu
@edayaemily8933
@edayaemily8933 4 жыл бұрын
Hahaa
@michaelcharles8942
@michaelcharles8942 4 жыл бұрын
Ha
@kassidpandu9806
@kassidpandu9806 4 жыл бұрын
Hata mh lukuvi pia anamuogopa rais kwa kweli anatetemeka
@mwambamkombozi4672
@mwambamkombozi4672 4 жыл бұрын
Kuwa waziri katika serikali ya Magu ni sawa na utumwa(slave) tu.
@leokamil6284
@leokamil6284 4 жыл бұрын
Badilisha iWaziri mpya nakuomba Raisi
@jagnamohamed6298
@jagnamohamed6298 4 жыл бұрын
uwe wewe
@kipigapasilisungu2581
@kipigapasilisungu2581 4 жыл бұрын
.
@abubakarhassan4327
@abubakarhassan4327 2 жыл бұрын
Waziti uwe muazi idara inamatatiizo
@user-ym8mu6ez2n
@user-ym8mu6ez2n 11 ай бұрын
Alikua mpenda ukwel kama yesu
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 4 жыл бұрын
LUKUVI UNAJIBU WAZEE WENYE MASHAMBA NA ARDHI VIBAYA SANA
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 25 МЛН
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 38 МЛН
لقد سرقت حلوى القطن بشكل خفي لأصنع مصاصة🤫😎
00:33
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 28 МЛН
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 7 МЛН
Aliyepona KICHAA, AELEZEA ALIVYODHULUMIWA Mjengo MBELE ya WAZIRI
21:35
Global TV Online
Рет қаралды 394 М.
Tundu Lissu Vs Mwana Sheria Mkuu Bungeni
7:05
SIMU. Tv
Рет қаралды 1 МЛН
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 25 МЛН