Aliegundua Kama mzee Makame Buga Ali kazidiwa na mapenzi ya Mtoto wa kimakonde agonge like za kutosha hapa 🥰🥰
@saidmohdsaid85173 жыл бұрын
😂😂😂 chezea miuno ya kimakonde
@masoudyrashidy90413 жыл бұрын
Kwa kweli ni mtihani wamepitia ndg zetu Allah awafanyie wepesi ktk safari yao ila inahitaji subra nzito poleni sana kaka zetu muliopitia madhila haya
@masoudyrashidy90413 жыл бұрын
Shukran ktv tz online kwa kua karibu na hali hii iliotugusa wa zanzibar
@khalidhassan9063 жыл бұрын
Pole cn ndio mambo ktk dunia utakutana na mambo meng muhimu uvumilivu t na kumuomba Allah atufanyie wepes ktk safari yetu
@jumanesaidi7635 Жыл бұрын
Nakubali wema unaoza, Mtanzania anafanyiwa haya msumbiji ! !
@hanifatanzania72583 жыл бұрын
Polesana Kaka inaniuma yani Sana Allah akulipe KWA uwezo wake mtihani umepata
@mwanatz59802 жыл бұрын
Dah! inauma sana 😭 majeshi wa msumbiji hawanaimani hata kidogo Poleni sana.
@liltanz22673 жыл бұрын
Nafatilia hii video.... pole sana anko salam zako kutoka uturuki istanbul Europe
@khamisjuma50463 жыл бұрын
Mimi nafatilia nduguyagu makame mimi yamenikuta Somalia my.brothe never loss hop salam zangu kutoka USA marekani 🇺🇸
@sadabahla71203 жыл бұрын
Daaa polen sana
@ombayjohn97033 жыл бұрын
Pole kaka
@AbdulAbdul-pr9qe3 жыл бұрын
wa Kwanzaa mie leo
@ALIMOHD-bk9lr3 жыл бұрын
Mungu akupeni penye kheri nanyi
@maalimrajabu16343 жыл бұрын
Pole sana
@assiakhadijz41673 жыл бұрын
Asikudanganye mtu wanawake wa msumbiji hawatosheki na mtu mmoja mm yalimkuta mumewangu
@ALIMOHD-bk9lr3 жыл бұрын
👂👂👂👂
@khadijahali48373 жыл бұрын
Mnachelewesha sana
@hajihaji10003 жыл бұрын
Ama kweli maisha yanakamilika kwa kuwepo "Adam na Hawa!!!".
@salummzee97393 жыл бұрын
Daaah mitihan kaka unajua ,wahenga walisema masikin mtu kwao, ugeni sio kitu chema,polen ndio ukubwa huo
@asrymohd66903 жыл бұрын
Mmmh muwezesheni sasa na kumsaidia
@hassanabdalla76443 жыл бұрын
Mnakaa sana jamani
@zuwenshemedy73823 жыл бұрын
Mtihani kweli
@zwinaalhabsi6643 жыл бұрын
Mnakawia kuleta muendelezo pole kaka
@mohdally96603 жыл бұрын
Naomba namba yake nipate kumsaidia kaka Yangu daaah inasikitisha saana
@zakiakondo28493 жыл бұрын
Simulizi nzuri sana
@ashrafualidi2893 Жыл бұрын
Usisheze na moçambique utakufha msenge
@rajabjr4783 жыл бұрын
Niko ktk sayari ya nubiru ila nafumfulitia jembe langu makame buga ally.
@saidmohdsaid85173 жыл бұрын
Bi siwema
@lutfiarashid87703 жыл бұрын
Makame anamaguvu wallah kma Mimi ningeshindwa hata kuelezea
@albaharyhaji82313 жыл бұрын
Baharia huyo maisha ya pwani yana afya sana na nguvu
@khamiskhamis76493 жыл бұрын
Siku kibaooooooo mbona haiyendelei mnAtuboa banaaaa
@muhamadmussa43823 жыл бұрын
Dah ama kwel Leo ndo nimeipata tafsir kamil ya NGUO YAKUSTIRI HAISTIRI MAKALIO ,
@marcominja88503 жыл бұрын
Sasa na nyie makame mnajua kabisa msumbiji kunawaka moto na magaidi mnaenda kufanya nini? Mbona kujiingiza matatizoni?
@fathiarabi83403 жыл бұрын
Musikawie kutoa habari inayo Fuatia mwatukatiza hamu...
@khizralghawy94893 жыл бұрын
Ni week
@ALIMOHD-bk9lr3 жыл бұрын
Lakini makame NAWE hayo machangamoto uliopitia BADO unashikilia upewe siku tatu tena za kukaa huko🙄
@mosaidi26333 жыл бұрын
Siku Nyengine Ukiulizwa kwenu Wapi Ujuwe vya kujibu Vizuri...
@cadhimberec12863 жыл бұрын
Makame buga Ally Naam😀
@fatmakhanii16763 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😁😁
@rojaally72933 жыл бұрын
Pole Sana kaka namitihani
@amourabdalla.31923 жыл бұрын
Hakika mungu yupo pamoja na wenye kusubiri
@omarsheha99293 жыл бұрын
Duuh
@salumnassor38453 жыл бұрын
Hyu makame anaonekana ana matatizo, huwezi ww kuwa na matatizo namna hyo alafu unamwita mkeo ktk wakati mgumu namna hyo ,kwa nini usipigane uweke mambo sawa alafu ndio umwite mkeo ,,fala kweli hyu
@alimussa26553 жыл бұрын
Umesikia mpaka mwisho au unacoment tu
@damwaaussi35903 жыл бұрын
Mjinga kweli ww hiv unajua thamani ya mke au unaskia tu KZbin sasa anajua maisha yatakaa sawa lini na uko so kwao alaf mtu anafurajika kuona ampendae wakati wa shida anakua karibu yake.
@masoudyrashidy90413 жыл бұрын
Fala ni ww usiejua kutumia akili yako vzuri huo ni mtihani kaupata ndg yetu tumuombee kwa Allah amsaidie yy na wenzake waliopitia madhila haya jee ww unajua lipi litakufika ? Jaribu kutumia kauli nzuri kutoka mdomoni mwako
@rahmaomar96463 жыл бұрын
hawa ndio wanaume wasalini wakati wa raha na shida