#SYLASS TV ONLINE WASILIANA NASI KWA +255742692079 UNAWEZA KUTUMA SADAKA YAKO KWA M_PESA +255742692079 YOU CAN SEND YOUR LOVE OFFERING TO THESE NUMBERS M_PESA +255742692079
Пікірлер: 133
@Juliusmganga47342 жыл бұрын
Mungu ni mwema. Mtumishi Kulola hakupenda utani na dhambi
@Cosmassmichael-mw1me10 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe mm nilkuwa mdogo najitambua kias ila tulikuwa tukienda na bibi angu kwenye mahubiri yake
@estermsuya88182 жыл бұрын
Lala jemadari wa Bwana. Hakika umeacha alama duniani
@DenisCasey-kh8ub6 ай бұрын
🎉
@user-cc6ed3fy9q2 ай бұрын
Syllas mubarikiwe hii injili ya shujaa huu itaendeleya ku ponya nafsii za watu mpka mwisho ya Dunia n kurudi kwa yesu Kristo mungu atupe mtuu kama n huu mu Afrique
@donatelasamila10 ай бұрын
Ee mungu naomba uniwezeshe niwe mwaminifu daima katika wokovu wangu jeanamu inatisha nadunia inawayawaya sioni pakukimbilia yesuulienjia yangu yauzima wamilele nisaidie
@elizabethndimbwa54709 ай бұрын
Mungu ni Mungu, neno lake ni la milele kinadumu. Wanadamu tunatoweka kimwili lakini neno linasimamia milele.
@JastinKibona6 ай бұрын
Nawaona wakina musa wakina daniel wakina yakobo nawengine wengi ndani yangu naona uchungu mkubwa mungu tupe kumaliza mwisho mwema
@neemamsyani721211 ай бұрын
Mtumishi huyu Mungu ambariki sana, hayupo Duniani lakini Mahubiri yake utadhani anahubiri sasa hivi
@DenisCasey-kh8ub6 ай бұрын
Kwakweli 😮💨
@prophetsayitv15412 жыл бұрын
Ahsante Sana Sylas TV, kwa kuhubiri Injili kwa njia memories.
@agnesstephen79152 жыл бұрын
Mungu nifundishe kukuogopa me peke yangu siwez roho ya kiburi itoke ndani yangu
Ameni nami ktk ujana wangu niifanye kazi ya Mungu kwa mapenzi ya mungu
@user-rj2tg3jg1w7 ай бұрын
Mzee huyu mala ya mwisho kumuona akiubili injili viwanja vya biafra km sikosei alichapa injili watu waliokoka watu walilia,mbaka saa moja usku watu walitamani asiondoke nilimpenda ila mungu kampenda zaid 2013 km sikosei mungu akamwitaji mtumishi wake wapendwa fanyeni kazi ya mungu bila kujali mazingila
@MwebraniakanuLumona-vd1tp9 ай бұрын
Shujaa uyu alietumwa na Mungu Ili ahubiriye ulimwengu abari njema ileteyo wokovu kwa mwanadamu Mimi mwenyewe sijaona mtu kama uyo ambaye amehanza na kweli na kumaliza na kweli Mzee alikua wakipekee Tutumiye Imani kama yake Ili tupate kumuona YESU mwanawa Mungu
@gosbertmuta54212 жыл бұрын
HAKIKA mungu Ni mungu tu NA atabakia kuwa mungu HAKIKA hiki chuma hakitawah kutokea km kingne labda mungu atukumbuke upya
@dadamwebrania70862 жыл бұрын
Bwana Yesu unirehemu mimi mwenye dhambi
@christinacharles6852 Жыл бұрын
Hakika ndivyoitakavyokuwa, hizi no nyakati za mwisho tukae na Bwana yesu Kristo,
@jadielalfuled95552 жыл бұрын
Je! Ww unaexkia huu ujumbe unajifunza nn ebu mtumikie mung kwa uaminifu jaman mungu yupo
@michaeljacobo269 Жыл бұрын
Tumpate wapi tena mtu kama huyu alie kuwa na huruma na roho za watu, dah..!!! 😭😭 Ee Mungu naomba unipe roho ya kuthamini roho za watu kama huyu....na kuhubiri Injili ya kweli....
@felistabosta60802 жыл бұрын
Tumwombe Mungu amwinue mtu kama Dr MCH moses kulola
@doricemrema21772 жыл бұрын
MUNGU nifundishe kukuogopa ili nikutumikie vizuri zaidii😔🙏
@dadafrida920211 ай бұрын
Amen'Yesu ni Bwana mwenye nguvu
@sabratally7688 Жыл бұрын
Nimekuwa nakusikia tu Kwa mch.wangu ikabid nitafute alau kumbukumbu ya mahubili Yako......hakika mungu azidi kukupumzisha hatimae tufufuliwe ufufuo wamilele
@annacambaango64342 жыл бұрын
Kweli Amen ah Moses Kills may your soul rest in Peace ha tu. Ta kusahabu Una maliza kasi ya Mungu Veape acha kasi ya Mungu Ulitumika Kasi ya Injili ya Bwana Yesu Ikusindikise kua Baba amen
@edgarrich98952 жыл бұрын
BWANA MUNGU WA MAJESHI NI MUNGU WA MOTO. MUNGU NISAIDIE NIFIKE KWAKO MBINGUNI NIKIWA SHUJAA WAKO. AMENI
@agustinombena2659 Жыл бұрын
Ubarikiwe kwa uamuzi huo,kwakua ulichaguliwa na Mungu
@nancykirigo58748 ай бұрын
Nilimjua ushuda waaliye kuwa agent wa shetani kwa sahi ni mtumishi wa mungu saa nilitakujua huyu aliyebeba nguvu zamungu ni yupi.nilimtafuta moses kulola live just to know ashalala usingizi wa milele.God......
@jacklinejosam37132 жыл бұрын
Mungu asante kwakumleta mtumishi huyukwetu tulijifunza kupitia yeye
@salehemohamed78852 жыл бұрын
Baba nimekukumbuka Sana wasukuma mungu amewajalia sana
@Cosmassmichael-mw1me10 ай бұрын
amini alitenda kazi ya Mungu hakika na kweli
@NicodemusMwakifwangeАй бұрын
Unakumbukwa daima ktk kazi njema ya kueneza habari njema kwa Ulimwengu mzima vijijini na mjini INJILI
@user-mp8tk1gj1w7 ай бұрын
Jmn kizur hakidumu tutapata wp tena mafundisho km haya😭😭
@tulimwaipopo-eq3be Жыл бұрын
Wenzio tuomuona tuliokoka Kila siku alipokuwa anahubiri mwache Mungu aitwe Mungu kwa habari ya mtumishi wa Mungu huyu
@geitandelwa2992 жыл бұрын
Asante Sana MUNGU KWA AJILI YA WEMA WAKO KWETU SS WANADAMU NA PIA MUNGU ASANTE SANA KWA UKUU WAKO NA WW UTABAKI KUWA MUNGU MILELE NA MILELE
@lukaskanawematz66502 жыл бұрын
sikumoja kwa machoyangu nitamwona kulola tena; asante yesu weweni mkufunzi wamashujaa.
@kimsamespa84902 жыл бұрын
Nasikia ako mbinguni fanya bidii utamuona tu
@dawhiteschola88472 жыл бұрын
👏👏👏👏huyo ndye Mungu tunaye mtumikia Amina🙏
@benardsiele67715 ай бұрын
Nashaghaa jinsi Mungu alivo !! Rev Ben siele kenya
@danielmalambugi10 ай бұрын
Ahsante kwa kutukumbusha kuitafuta uso wa Mungu
@AgnesMlingi2 ай бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu Mungu a tusaidie
@stephanokwandika24824 ай бұрын
Mungu wa moses kulola naomba uwe Mungu wangu piah
@HeriOdace3 ай бұрын
Asante mzee wetu wa hekma kwa kazi nzr ya Mungu
@user-uo1jo6vq4c Жыл бұрын
Mungu ni mwema lala pema
@mwambakibucheche11192 жыл бұрын
Hakika tunaye mungu wa upendo.
@macklinakabyazi30362 жыл бұрын
Hakika Mungu ni mwenye REHEMA, Ee Mungu nisaidie
@joycepaul526011 ай бұрын
Amina alikuwa msafisha njia ya mteule wa bwana Mfalme Zumaridi.
@lucykullaya99992 жыл бұрын
Amen shujaa wa Bwana
@KivizaKiviza2 ай бұрын
Kila kunapokucha tujikague nakuchunguza km tunavofanya kwenye magari kabla safari tukifanya hivo tutakuwa na mwisho mwema mungu awabariki
@frankmaige43782 жыл бұрын
Mungu nibariki na ndugu jamaa wte tuishi kwa kukutegemea wewe
@jairoschiute48522 жыл бұрын
Bsrikiwa saana kwa Ujumbe
@emmanuelchaplingi90502 жыл бұрын
Amina
@daniellalashe6232 жыл бұрын
Amina mtumish wa mungu mung akutie nguvu
@frankmaige43782 жыл бұрын
@@daniellalashe623 Asante
@frankmaige43782 жыл бұрын
@@jairoschiute4852 Amina mtumish
@daudmpulumba2962 жыл бұрын
Huyu n alikuwa n comando wa yesu
@benardsiele67715 ай бұрын
Mungu atuokowe sisi !!
@joycesamweli93792 жыл бұрын
Ameeeeen Ahsante kwaujumbe mzuri
@davidmembedalamethepsalmis28852 жыл бұрын
Ameen Baba pumzika kwa.amani
@abrahamelias96652 жыл бұрын
Hakika Mungu ni mwema
@user-rv5kt6ii9t8 ай бұрын
Mbona vifupi sana tunataka kijifunza zaidi
@Mussajohn999 ай бұрын
YESU ni BWANA
@benardsiele67715 ай бұрын
Mungu atuokowe sisi !! 6:09
@leonardjuniorndarusanze5842 жыл бұрын
I'm blessed my later father
@DenisPella-dv7bfАй бұрын
Mungu ni mwema
@sarahmaro2152 жыл бұрын
Mungu tumpate wapi mtu Kama huyu? Nimekumis tutaonana kwa Baba mbinguni
@gosbertmuta54212 жыл бұрын
😥
@christopherleonard59922 жыл бұрын
Amen barikiwa
@muinjilistdeborahcharles4457 Жыл бұрын
Kweli
@sylvestergaitan33052 жыл бұрын
Bishop Joseph at gwajima
@mtakatifubony55252 жыл бұрын
Ahsanteee Mungu
@leahmoses26252 жыл бұрын
Mungu azidi kukuhifadhi baba uliko tunakumiss sanaa injili za sasa zimezidi mchanganyo
@sarahmaro2152 жыл бұрын
Ni kweli Leah, tukaze mwendo cku moja tutamwona baba kwa Baba yetu MUNGU aishie
@VeronickaJanes7 ай бұрын
Eeh MUNGU yaweke haya maneno ya huyu mtimishi wako vizazi Hadi vizazi
@danstonecool1734 Жыл бұрын
asante kwa mungu
@alpherhaule88702 жыл бұрын
Cjawai kumuona live huyu Mzee, lakini Kwa injili hii lazima niokoke
@deborahrweyemamu84442 жыл бұрын
Amen karibu Sana kwa Yesu
@reilambepela10622 жыл бұрын
Unakaribishwa kwa mikono miwili
@sarahmaro2152 жыл бұрын
Karibu Alpher kwa YESU Ni kuzuri sana ukiabudu ktk Roho na kweli
@johnallen6802 жыл бұрын
Amen
@angelamvaa2229 Жыл бұрын
Pia sikiliza mahubiri ya Mwakasegr
@lelochuwa-fn6tc8 ай бұрын
Nikisikiliza mahubiri haya najawa na hofu
@jilalasitta44422 жыл бұрын
BABA yetu tunakukumbuka san
@reylerreyler22369 ай бұрын
🙏🙏
@AgnesMlingi2 ай бұрын
Amen🎉🎉🎉
@user-jz5mc2dd1k8 ай бұрын
Mungu atusaidie sana
@elizabethndimbwa54709 ай бұрын
Amen, asante sana
@MabelKaaya-hl2je2 ай бұрын
AMINA
@user-gp9px3tl7u11 ай бұрын
R,I,P
@orestkibiki75282 жыл бұрын
Amina
@anethkabelinde53502 жыл бұрын
MUNGU NI MWEMA
@elizabethmuli5911 Жыл бұрын
UKWELI KABISAA PASTOR EZEKIEL WA MOMBASA AMEYAPITIA
@happyngoda70562 жыл бұрын
Mbn nusu nusu 😭😭
@nsimirrlove21392 жыл бұрын
Ameeeen
@elizabethgabriel15022 жыл бұрын
❤🙏
@johnallen6802 жыл бұрын
Mungu ni mungu tu
@telesiasaga56212 жыл бұрын
❤️❤️❤️
@davidnyaonge20355 ай бұрын
Bado tunajifunza mengi kutokkwako
@ynyynyyny2 жыл бұрын
Hii ilikua injili hai,yakweli,sio wachumia tumbo wa Leo, wametukatisha tamaa kwa tamaa zao
@godfreymsembe1692 жыл бұрын
Safari ya mbinguni ni wewe binafsi unaangalia watu?wanakukatisha tamaa ?acha mara moja kukata tana maana hakuna hata mtummoja mwenye mbingu ndungu yangu mwangalie Yesu Alie kufia
@jenipherrobert12552 жыл бұрын
🙌
@selemanimisalaba6 ай бұрын
Ijiri kama hii Leo hakuna,
@reveliusmuchruza7952 Жыл бұрын
Rest in peace dady
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
@pendeza33652 жыл бұрын
Ameen
@juliusjohn20852 жыл бұрын
Amen
@edwardmizambwa2372 жыл бұрын
AINA/HAINA MSAMAHA
@johnbalaka5172 жыл бұрын
Z
@ruthndoto51572 жыл бұрын
Injili ya kweli haihitaji kurembaremba. Mzee Moses Kulola alikuwa ananyoosha mstari hata kama mtu hapendi.
@lilianluhasi50532 жыл бұрын
Hiyo ni kweli kabisa katika jina la Yesu Kristo, hata maneno ya Yesu Kristo yalikuwa hayana majivuno, kujigamba, kujikweza
@danstonecool1734 Жыл бұрын
sasa kuna wakina reality of christ
@bilugwemwanzije Жыл бұрын
Neema na maarifa zikuongoze mtumishi !!?
@jofreyraymond64442 жыл бұрын
I don't think Jesus came to bring the Gospel of fear. Something is wrong with these teachings
@pabraciat89682 жыл бұрын
U
@Mbayo-ig6lf Жыл бұрын
Mungu akumbuke kazi ile uko naifanya
@user-il2ih1gc3r Жыл бұрын
ameni
@farajambugi1775 Жыл бұрын
YESU nisaidie tu nifike mbinguni,,nikupendeze MUNGU na kuwa na amani na watu wote na utakatifuu