No video

EPUKA LAANA HII ISIPIGE FAMILIA YAKO

  Рет қаралды 160,414

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

Жыл бұрын

• TUKIO LA KUTISHA LINAK...
Siku za Nuhu 1. • #1# SIKU ZA NUHU A SIK...
Siku za Nuhu 2. • #2# SIKU ZA NUHU A SIK...
Hatari za siku za mwisho . • HATARI ZA SIKU ZA MWISHO

Пікірлер: 312
@seffsamwel5649
@seffsamwel5649 Жыл бұрын
Mungu akusaidie sana Na akulinde nami nasimama Na wewe baba watazamaji kama uyu baba kasema ukweli nipe like kisha tuombe 💯💯❤️❤️♥️♥️👏👏🇹🇿🇹🇿
@elizabethgodfreytondo3052
@elizabethgodfreytondo3052 Жыл бұрын
Mungu wetu tusaidie na utuhurumie,tulindie watoto wetu dunia haiko salama Baba.
@perisbosibori8524
@perisbosibori8524 Жыл бұрын
LORD please intervene because whatever is going on in the whole world shows that you're soon coming. GOD bless you abundantly Pastor Mmbaga.
@omegawilliam7686
@omegawilliam7686 Жыл бұрын
Nawaza tu kwasauti: Hivi Yehova amekuumba wewe kama mwanaume, na ameahidi ipo siku tutamuina, wewe umebadilisha jinsia kuwa mwanamke, ghafla bin vuu, Yehova anatangaza ule mwisho, na unaonana naye ukiwa mwanamke, sijui utajificha wapi. Asante Pastor MMbaga, kwa ujumbe Mzuri- Naposema amen, naungana na maneno yako katika sala. Amen
@rogathpaul7682
@rogathpaul7682 Жыл бұрын
Ahsante yesu kristo kwa kumwezesha mtumishi wako kutoa somo hili ili watu waamke katika usingizi .amen
@lucknesschiragwile954
@lucknesschiragwile954 Жыл бұрын
asante MUNGU kwa kumpa mtumishi wako macho na masikio ya kiroho kuliona na kulisikia hili na kuliwasilisha kwa wana na binti zako kwa muda na wakati sasa. barikiwa mtumishi wa baba ninakuombea kila siku
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@obedimunguachiza8434
@obedimunguachiza8434 Жыл бұрын
100% tuko pamoja barikiwe ❤
@HopeforAfricaTv
@HopeforAfricaTv Жыл бұрын
Amen
@obedimunguachiza8434
@obedimunguachiza8434 Жыл бұрын
@@HopeforAfricaTv Mungu azidi kukulinda na kukupa mafunuo kwa ajili ya faida ya ufalme wake 🙏
@claudinebatamuriza4936
@claudinebatamuriza4936 Жыл бұрын
Amen 🙏🏿
@hansmarymwasulama1974
@hansmarymwasulama1974 Жыл бұрын
Eeeh Mungu tunaomba rehema zako juu ya nchi ya Tanzania tunaachilia damu ya Yesu ktk archi hii ya Tanz Mungu utuponye roho ya ushonga ,usagaji na matendo yote maovu iondoke ktk nchi yetu pia wasaidie wale wote waathirika wa matendo haya waweze kutoka huko,asante pastor mbaga Mungu akubarik kwa ujumbe huu tusichoke kuiombea nchi yetuTz
@dorisnangay5713
@dorisnangay5713 Жыл бұрын
Yesu ni jibu. Tuombe tu
@dimanchebalole4106
@dimanchebalole4106 Жыл бұрын
Ubarikiwe saana, mchungaji. Mambo ambayo unazungumuza ni kweli kabisa, sisi ambawo tunaishi katika inchi za kigeni tuna omba maombi kwa ajili ya watoto wetu ao generation ijayo kama vile mchungaji unazungumuza🙏
@neemamaganga9774
@neemamaganga9774 Жыл бұрын
Amina mtumishi. Mimi huwa ninakupenda sana na kufuatilia mafundisho yako. Mimi nimekuwa karibu sana na wasabato ila walio wengi wanatanguliza kujiona wao ni bora kuliko wengine bali sio kufundisha . Walio wengi huonyesha kuwadharau na kuwabagua wengine. Hali ya kuwa Yesu ambae ndio kiongozi wetu alikuwa akijari na kumhushimu kila mtu hata kama ana mapungufu gani. Ili tuweze kuwahubiri watu lazima tujishushe ,tuwapende na kuwajari na kuwahubiri kwa upendo mkubwa.
@ywydhhd7941
@ywydhhd7941 Жыл бұрын
Big Amen and Amen ubarkiwe sana mtumishi wa Mungu, na Mungu akupe umri mrefu uzidi kuhubiri neno la Mungu, mm namshkuru Mungu nilitekwa na hizo nguvu za kipepo, nikafanya kila dhambi hapa dunia, ila namshkuru Mungu sasa niko huru❤
@cristinekenya1050
@cristinekenya1050 Жыл бұрын
Barikiwa sana pastor Kwa kutuelimisha na Neno la Mungu, ukweli tumefika nyakati z mwisho kwanza hapa Kwa mitandao tunaonyeshwa wazi mambo kama haya ya njinsia Moja lakini katika Jina la Yesu tutashinda , amen
@eliyasamweli639
@eliyasamweli639 Жыл бұрын
Amen
@jdm1459
@jdm1459 Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mchungaji kutukumbusha maneo na maagizo ya Mungu kwa kizazi hiki Mungu wa mbinguni atusamehe na awaokoe watu hao kutoka katika vifungo hivyo vya ibilisi
@amirigogolo6004
@amirigogolo6004 Жыл бұрын
Yesu pekeee abaki kuwa chaguo letu na yeye pekee atusaidie amen 🙏.... Get blessed our pastor and let's be protected by God himself
@gilbertkivawiraofficiel8749
@gilbertkivawiraofficiel8749 Жыл бұрын
Tunanyenyekea chini ya miguu ya Yesu na kutoa shukran kwa huduma ya mahubiri TV, na mbegu zinazo pandwa kupitia wewe...bwana atukutanishe Goma Drc mwezi wa saba anzia tarehe 06 hadi 21/2023.
@hassanhussein6161
@hassanhussein6161 Жыл бұрын
amen mchungaji napenda sana mafundisho yako nabarikiwa sana mungu akupe siku nyingi ili uweze kufundisha watu kuacha giza na kuelekea nuru
@akilimatoto8171
@akilimatoto8171 Жыл бұрын
Nakufwata kutoka Uvira, Asante
@akilimatoto8171
@akilimatoto8171 Жыл бұрын
🇨🇩
@suzyteleja2788
@suzyteleja2788 Жыл бұрын
Ameen
@amonmandikiroelias1165
@amonmandikiroelias1165 Жыл бұрын
Mungu atusaidie
@officialrom2654
@officialrom2654 Жыл бұрын
Amen amen
@samwelyusufu4567
@samwelyusufu4567 Жыл бұрын
I THANK LORD JESUS KWA SOMO ZURI umelifundisha ktk utulivu kiroho saaaana NA LIMETUFUNGUA UFAHAMU WENGI.Mungu akutie Nguvu Zaidi
@estherabayo6797
@estherabayo6797 Жыл бұрын
Mungu akufiche chini ya mbawa zake na kukulinda ili uendelee kufunua mengi yatakayoleta kupona kwa wengi. Endelea kupiga mbiu kama alivyofanya Nuhu maana hatari iko mbele yetu, mwenye masikio na asikie.
@vincentchotta-pd1zw
@vincentchotta-pd1zw Жыл бұрын
Amina Mchungaji kweli Mungu atupiganie sisi na watoto wetu, Taifa kwa ujumla na kila atakaye kupona katika hili Mungu awaponye.
@onesmoelias2285
@onesmoelias2285 Жыл бұрын
Mungu nimwema siku zote yesu yko njian anakja kwa matkio haya pasta ubalikiwe kutupa nondo tunakskilza hapa na wateja kwangu dukan to bwana akufunike kwa damu yayesu
@BirushaAdam.magoma-oi6hw
@BirushaAdam.magoma-oi6hw Жыл бұрын
Amina BWANA akubariki Pastor, kwakweli dunia inaenda kuchomwa moto hivi karibuni
@yohanamalimi6143
@yohanamalimi6143 Жыл бұрын
Amina nabarikiwa sana na somo hili kwel tuvaeni silaha za mungu ili tupate kumpinga mwovu
@namboy_69
@namboy_69 Жыл бұрын
Be blessed 🙌 Pastor Mbaga may GOD keep using your brain to save our nowdays generation 🙏 🥲
@gervasjerry1694
@gervasjerry1694 Жыл бұрын
Asante sana 🙏mchungaji Mungu atutie nguvu wasikizaji kwa mabadiliko ya moyoni
@user-gc2bs3nr8l
@user-gc2bs3nr8l Жыл бұрын
God bless u pastor you uplift my spirit and am blessed whenever isee ua teachings may you live long to save many😭😭 in Jesus name 🙏🙏
@hamumwamboma
@hamumwamboma Жыл бұрын
L
@hamumwamboma
@hamumwamboma Жыл бұрын
Llll lol lol l
@hamumwamboma
@hamumwamboma Жыл бұрын
Lll
@hamumwamboma
@hamumwamboma Жыл бұрын
Lll
@hamumwamboma
@hamumwamboma Жыл бұрын
Ll
@gracejapheth3476
@gracejapheth3476 Жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri mchungaji ubarikiwe.
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 Жыл бұрын
Tuombee viongozi wetu wawe na msimamo hali sasa mbaya Sana vijana hawaelewi kwa kukosa madili viongozi wa Africa msimamo
@ebenezermachange-zp4es
@ebenezermachange-zp4es Жыл бұрын
Amen tuyakatate maovu haya ya ushoga Tuombe roho hii ya shetani iteketee kabisa Kwa Jina la Yesu
@mariakingu1221
@mariakingu1221 Жыл бұрын
We mtumishi wew ni mbarikiwa Sana najifunza mengi Sana kupitia wew ubarikiwe Sana 😘🥰🙏🙏🙏
@lidiaawino4740
@lidiaawino4740 Жыл бұрын
Bwana akubariki Pastor, hata mimi nitapiga kelele bila yoga, Bwana afungue taifa zetu Amen 🙏🙏
@sautiyatumainitv9828
@sautiyatumainitv9828 Жыл бұрын
Mungu akusaidie sababu najua shetani hapendi watu kusikia ujumbe huu,,lakini ni nakuombea saana mchungaji Mungu akufiche katika mbawa zake,,niombee pia natamani kutangaza Injili niwapo chuoni
@jennysabina8696
@jennysabina8696 Жыл бұрын
Mungu atusaidiye pia Mungu akutiye nguvu mtumishi kwa kazi unayo ifanya kwa kutusaidiya sisi vijana Mungu akubariki kabisa
@rhodakisena6428
@rhodakisena6428 Жыл бұрын
Ahimidiwe Mungu wa mbinguni aliyekutenga kwa ajili ya saa hii. Mimi binafsi nakufatilia sana umenisaidia sana kiroho , nakili nimefanya maamuzi makubwa ya kubadili mwelekeo wangu kiimani . Mungu akutunze .
@kasesecompany3187
@kasesecompany3187 Жыл бұрын
Bwana na akubariki na akutie nguvu
@graceesiabia5379
@graceesiabia5379 Жыл бұрын
I so agree so much about every detail in this episode. God bless you mchungaji. Let's make noise about this and save our generations
@adarashidi8178
@adarashidi8178 Жыл бұрын
MUNGU akubariki sana Mr David m'mbaga somo hii ni nzuri sana Mungu azi🙏 di 🔥 kukutumia 🙌 mubibali 🙏 bya 🔥 juu 🙌 zaidi 🙏 ili 🔥 injili 🙌 isonge 🙏 mbele 🔥 barikiwa 🙌 sana 🙏🔥🙌
@upendotv2776
@upendotv2776 Жыл бұрын
Amina PR Mungu kubariki na azidi kukupa nguvu na mafunuo ulimwngu ujue ukwli uko wapi kwa kwli nimebrkiwa na mimepta mafunzo
@jimmymarwamatjr491
@jimmymarwamatjr491 Жыл бұрын
Amen... Mungu atusaidie sana. Mungu saidia wenye changamoto hizi.. Mungu lipiganie kanisa na Taifa na dunia kwa ujumla.
@matesomalanda9113
@matesomalanda9113 Жыл бұрын
Ubarikiwe Mchungaji wetu,neno hili ni funzo nzuri hasa kwetu walio katika zinazo sapoti matendo hayo na udhidi kutuombea.
@omobeaggy5786
@omobeaggy5786 Жыл бұрын
Asante Kwa hii sono pastor David.. Kenya has agreed with this evil act . Let us pray for Kenya
@raheljose9524
@raheljose9524 Жыл бұрын
Asante sana Pastor kwa somo zuri sana, Mungu aendelee kukubariki sana.
@woltahaule2726
@woltahaule2726 Жыл бұрын
Namshukuru mungu kwa kufanya nikufahamu mchungaji mbaga mungu wa mbinguni akubariki na akupe maisha marefu
@JuliusOkeyo-gf8ok
@JuliusOkeyo-gf8ok 7 ай бұрын
Mungu na akubariki Dana pestor na akulinde katika wakati juu mgumu
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 Жыл бұрын
Tusaidie baba tunaogopa watoto wetu watapataje kupona mungu akubariki sana somo nzuri
@julietnelima3253
@julietnelima3253 Жыл бұрын
Thank you pastor for powerful teaching God bless you 🙏
@joycemugaka3039
@joycemugaka3039 Жыл бұрын
Sante Sana pastor umekua msaada mkubwa kwangu nilanza kukufuatilia 2019 maisha yangu kiroho yamepatirika na Hadi Leo hii kila nikingia UTBlasima nipate somompya inanijena kiroho ,nakufuatilia kutoka Qatar mm ni mkenya barikiwa sana
@scholasticasamwelmhando2237
@scholasticasamwelmhando2237 Жыл бұрын
May God have mercy on us, I just wonder where will I hide my kids from this weaked world. Stay blessed pastor
@adorymongish2972
@adorymongish2972 Жыл бұрын
Kweli mtumishi hivi jusi mmoja amejitokeza ni msogaji na ni mnenaji, alikua anahojiwa, kweli shetani yu upinzani kuwanaza watu wake, tuinuke tuombee nchi zetu zote
@godlivermkono2231
@godlivermkono2231 Жыл бұрын
Ubarikiwe kwa kusema ukweli Mungu akubariki pastor
@milkerjuma6525
@milkerjuma6525 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaj na MUNGU azid kukutia nguvu kuzidi kuelimisha juu ya atar ya siku za mwisho
@verityngoda268
@verityngoda268 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu Anusuru Watoto Na Wajukuu Zetu
@annastaziamasala9694
@annastaziamasala9694 Жыл бұрын
Amina pastor Mungu akubariki akulinde akupe afya
@lukresiajohn2177
@lukresiajohn2177 Жыл бұрын
Mungu aliyeziumba mbingu na nchi akubariki kwa mafundisho hayo manzuri ya kuteelimisha ktk nyakati hizi za mwisho
@bahatielisafi4389
@bahatielisafi4389 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana pia azidi kukutumia kwaajili ya kuwaleta wengi karibu na Kristo.somo la leo limenibariki sana Mungu akuinue
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 Жыл бұрын
Yaani hapa duniani Kuna unafiq mwingi sana watu wanahubilia lakini hatakikusema ukweli kwamba zipo dini sitaki kutaja majina lakini kwenyumba za ibada wanafingisha doa zajinsia Moja lakini dini hizo hawataji bayana nakuzianika waziwazi na kunadini nyingine wafuasi wao wanafanya huo ufuska lakini hawafungishi ndoa wala kueatukuza bali Wanakemea huo ufuska mungu tuepushe Sisi pamoja navizazi vyetu😢😢😢😢😢😢waumini wa dini hizo wanajijua 😢😢😢munguatungoze msijaji vibaya sijaitaja dini ya mtu tafadhari nimaoniyangu TU!!!????
@mirengekahamwiti1260
@mirengekahamwiti1260 Жыл бұрын
Aksante sana mchungaji MMBAGA, Mungu akubariki
@elizabethkimwemwe7847
@elizabethkimwemwe7847 Жыл бұрын
Pastor ubarikiwe kwa somo hili kwa kweli dunia imeenda mbali na Mungu heri wanaokemea na kulia na kuomboleza kwa ajili ya machukizo haya Mungu atupiganie mioyo ya watu ipone katika machukizo haya.
@raelmasea2941
@raelmasea2941 Жыл бұрын
Thank you for your powerful teachings and telling truth juu hii Dunia ina mambo mingi na shetani ameiteka hii Dunia.
@stevenaleston
@stevenaleston Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi nikwel kabisa ushoga utasababisha laana ktk nchi yetu viongoz waserikal msisain mikataba hiyo nihatar Sana Mungu atatumaliza.
@ngolorose
@ngolorose Жыл бұрын
Mungu akubariki sana pastor kwa kazi yangu ya ku Zambeza neno la Mungu , ila ninge kuomba uwe una fanya mengine ma funzo kwa Luga ya kingereza kwa ajili ya sisi tuolio inje ya bara Africa ili tuwe tuna share na watoto Wetu , awa jue Kiswahili kwa kua Dunia ina tisha sana leo
@MichaelUrio-dr9nv
@MichaelUrio-dr9nv Жыл бұрын
Mimi nasali TAG Niko tunduma mungu akubariki kwa elim zuri. bwana aendelee kukumia kwajili ya hiki kizazi
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@lydiamapenzi2152
@lydiamapenzi2152 Жыл бұрын
Amen pr tunabrikiwa sana kwa somo zuri Mungu akupe Afya njema
@julianacellestine801
@julianacellestine801 Жыл бұрын
Asante mchungaji Mungu akubariki sanaaa
@BethWanja-oo4rt
@BethWanja-oo4rt Жыл бұрын
Pastor niombe nifunguliwe maisha yangu nimefungwa maisha hayaendi for about 10years please help with prayers am dorcas from maai-mahiu SDA church kenya
@robertrobert563
@robertrobert563 Жыл бұрын
Wafalme wakubwa wa Dunia wametiwa Giza, hivyo hata wanadam wengi wamepotea kwa kufuata Yale wafalme wao wayafurahiyao.bwana yesu Yu karibu kurudi.
@mariahaloyce5190
@mariahaloyce5190 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu Yesu tusaidie
@macklinakabyazi3036
@macklinakabyazi3036 Жыл бұрын
Hakika bila msaada wa Mungu ni ngumu, Mungu atusaidie na vizazi vyetu
@daudinyaruhucha6200
@daudinyaruhucha6200 Жыл бұрын
Barikiwa kwa kujitosa na kusema ukweli na ukweli wote Mungu akitumia kuonyesha kile anachokisema katika biblia
@khalidimsuya4165
@khalidimsuya4165 Жыл бұрын
Mimi ni muislam Ila nakufuatilia sana mch.Mbaga
@sebastianharun800
@sebastianharun800 Жыл бұрын
Pastor mm nakuunga mkono Bwana akubariki mm nakuombea
@dottonsangalufu9530
@dottonsangalufu9530 Жыл бұрын
Asante mchungaji Mungu atusaidie sana😢
@johnmahu5060
@johnmahu5060 Жыл бұрын
Mtumish nakupata hongera naingia maombi mungu ataturehem
@ChristineMtenga-cs9ul
@ChristineMtenga-cs9ul Жыл бұрын
Mungu akubariki Pr kwa ujumbe huu nzito.
@ongechia
@ongechia Жыл бұрын
For sure paster umenitoa mbali kiroho may God bless you
@joycemugaka3039
@joycemugaka3039 Жыл бұрын
Ukweli kuna vitu nilikua napenda kuangalial lakini wakati nilisikilisha somo lako mara ya Kwanza niliana nayo nikaamua kujiunga na Maubiri chanel ukweli nimejifunza kumutegemea mungu tu hata nipitie nn sitoki kwa mungu maana ni mahali Salama pia nimejifunza kuvaa silaha za Vita ndaniya bibilia mungu ataendelea kua mungu hakua mwingine zaidi yake
@user-rt6tn9ew8n
@user-rt6tn9ew8n Жыл бұрын
Barikiwa sana pst,ni wakati wa kuchangamka kujiandaa kwa umilele.
@maotolalumbe2411
@maotolalumbe2411 Жыл бұрын
Asante mchungaji tumekuelewa vi,uri,asante kuelim8sha kanisa na jamii mwenye sikio amekuelewaaaaaa
@purity134
@purity134 Жыл бұрын
Blessed pastor Mmbaga
@kotadapotar5094
@kotadapotar5094 Жыл бұрын
Mungu Atakubariki kwa hilo mtumishi wa mungu Ameen 🤲🇹🇿🇬🇷
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 Жыл бұрын
Ila sehemu kubwa wanaopenda kufira ni waarabu na Waitaliano.
@emmanuelruben-jv2yv
@emmanuelruben-jv2yv Жыл бұрын
Nashukuru kwa uwepo wako ufahari wa mafundisho yako mungu akuwezeshe zaidi
@Barick2
@Barick2 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana pastor
@georgewinford2809
@georgewinford2809 Жыл бұрын
Kama kuna nyakati tunaungana kama taifa kumuomba Mungu basi katika hili tunamuhitaji sana Mungu alie hai. Hali ni mbaya
@emmanuelruben-jv2yv
@emmanuelruben-jv2yv Жыл бұрын
Mungu Azidi kukuteua usiondoke haraka mpaka watu tuliopotea bila kujua tuzaliwe upya mungu akubariki sanaaaa
@AnnethNgalla-tn3zp
@AnnethNgalla-tn3zp Жыл бұрын
Asante Sana mtumishi kwa somo hilli
@amankasangaa4616
@amankasangaa4616 Жыл бұрын
Mungu Baba akulinde na kukuhifadhi Amina
@glaisfupa9760
@glaisfupa9760 Жыл бұрын
Umeongea kweli baba Mungu tusaidie Mungu turehemu baba Mungu akutie nguvu
@kitulohenry2393
@kitulohenry2393 Жыл бұрын
Here waiting for it...
@davidjohn4239
@davidjohn4239 Жыл бұрын
Pastor tafadhali jaribu kuongeza sauti🙏🙏
@khaldn7409
@khaldn7409 Жыл бұрын
Asante mchungaji kwa somo . We have reached the day of dark ages let's keep praying at this situation our God will not leave us or forsake us.
@gaudiankiwia7631
@gaudiankiwia7631 Жыл бұрын
Mungu awape nguvu na tuombe tuepuke laana hii
@jacklinekitindi-2416
@jacklinekitindi-2416 Жыл бұрын
Barikiwa Sana mtumishi WA Mungu
@juliuskitaluka1206
@juliuskitaluka1206 Жыл бұрын
MUNGU pekee ndiye atatusaidia katika nyakati hizi MUNGU akubariki kwa mafundisho mazuri
@ernestpaulo1672
@ernestpaulo1672 Жыл бұрын
Mchungaji Mungu akubariki.
@paradisomwagala-jh3ki
@paradisomwagala-jh3ki Жыл бұрын
Mungu ninusuru na mabaya🙏🙏🙏
@richardcastromzena5136
@richardcastromzena5136 Жыл бұрын
God bless you pastor
@mizingayaudongo1097
@mizingayaudongo1097 Жыл бұрын
Excellent !!
@theresiariwa4691
@theresiariwa4691 Жыл бұрын
Mungu azidi kukuinua na kukutumia kwa ukuu na utukufu wake ili roho za wengi zipone mtumishi wa Mungu.
@bbabou
@bbabou Жыл бұрын
Mungu akubariki pastor
@V3Aministry40
@V3Aministry40 Жыл бұрын
Barikiwa sana shujaa ! Kwa kutoka mbele kama yohana kupaza sauti ya maonyo
@mwendakalunyu3933
@mwendakalunyu3933 Жыл бұрын
I love you pastor for words of wisdom ,words of hope for this dying world.
@HopeforAfricaTv
@HopeforAfricaTv Жыл бұрын
Amen
@agnethapaul6057
@agnethapaul6057 Жыл бұрын
Ubarikiwe pastor.
@verityngoda268
@verityngoda268 Жыл бұрын
Mii Nasema Mwenyezi Mungu Awe Ngao ya Watoto Wetu Na Wajukuu Zetu Wasipatikane Na Lana Hiyo Na Shetani Ashindwe
@patrickmunishi2277
@patrickmunishi2277 Жыл бұрын
NINA KUKUBALI NA NINA KUAMINI MTUMISHI WA MUNGU, UBARIKIWE SANA
@EstherGideon-ih1yw
@EstherGideon-ih1yw Жыл бұрын
Yesu anarudi...Mungu atusaidie
TUMIA MAMLAKA HII ILI KUFUNGULIWA-- PR. DAVID MMBAGA
1:16:37
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 8 М.
Bony Just Wants To Take A Shower #animation
00:10
GREEN MAX
Рет қаралды 6 МЛН
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 36 МЛН
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 48 МЛН
Alichokisema Tundu Lissu baada ya CCM kumchangia Sh5.3 milioni
4:50
Mwananchi Digital
Рет қаралды 87 М.
UCHAMBUZI
Hope Channel Kenya
Рет қаралды 48
NANI YUKO NYUMA YA USHOGA NA USAGAJI?
17:30
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 83 М.
Bony Just Wants To Take A Shower #animation
00:10
GREEN MAX
Рет қаралды 6 МЛН